KIJANA ALIYEPATA HASARA ya MILIONI 200 ALIA na MKURUGENZI wa JIJI la ARUSHA -ALIA kwa RC MAKONDA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 май 2024
  • KIJANA ALIYEPATA HASARA ya MILIONI 200 ALIA na MKURUGENZI wa JIJI la ARUSHA -ALIA kwa RC MAKONDA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 83

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад +4

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @PatriciaMatowo
    @PatriciaMatowo Месяц назад +6

    Kaka pole mungu akupe wepesi wa kuyapokea lakini mungu yupo

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 Месяц назад +4

    Ndugu yangu Mh . Makonda , una kazi kubwa sana ya kusuluhisha hili lakini kutoka na Maelezo ya huyu kijana , basi haki itendeke.🤷‍♀️

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania Месяц назад +2

    Pole kaka yupo Makonda hapo watatapika hakika hapo Kuna jambo nyuma ya pazia

  • @gmdigitostore8550
    @gmdigitostore8550 23 дня назад +2

    Ujanja mwingi, sio mzuri kwenye biashara.. ulitakiwa kukubaliana na waliokupangisha kwanza.

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Месяц назад +2

    Pole sana kijana

  • @ThadeusWilibald
    @ThadeusWilibald Месяц назад +5

    Ungekuwa mwelewa ungepeana ile 40,000,000 kwa wale wa mama. Ni ngumu. Leo nikupangishe alafu utake kuwa mmiliki halali bila kupitia mimi nilie kupangisha. Mkurugenzi, ocd, na mkuu wa wilaya wapo sawa.

  • @magrethyoseph3034
    @magrethyoseph3034 Месяц назад

    Pole kija Mungu Mwema Akutetee

  • @Ab113tech
    @Ab113tech Месяц назад +2

    Huyo Mkurugenzi Muhuni Sana !

  • @user-rg1qu2iu3r
    @user-rg1qu2iu3r 7 дней назад

    Mpe Mr Makonda namba yako pole mwanangu

  • @user-vi9xf1gk9o
    @user-vi9xf1gk9o Месяц назад

    Regards

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Месяц назад +2

    dah kaka ninamaana wew umiliki ata panga wew sikunyingine kata watu wawili ata mapanga wataludi nyuma

  • @didimeandrewngowi
    @didimeandrewngowi Месяц назад

    Kaka Pole sana kwa yote.
    Mwakilishi wa Rais wetu na mtendaji asiyemumunya maneno mh.makonda.
    Nakushauri mwone hapo arusha natumaini haki yako utaipata tuu.
    Utawala Mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan ni wa haki na sheria.Pole sana ndugu yangu.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 14 дней назад

    Ni kweli kabisa Thadeus uwezi kumiliki jengo la mtu mwingine wewe ukachukua jukumucla kujenga gholofa sehem ambayo sio yako. Mkurugenzi OCD DC wako sahihi kabisa huo ni ukorofi. Yeye alikuwa MPANGAJI tu. Pole sana baba.

    • @deogratiuskweka8488
      @deogratiuskweka8488 14 дней назад

      Sikiliza maelezo vizuri uwelewe kasema nini kuhusu ilo jengo.

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Месяц назад +1

    Ungekumbuka ungemrekod yani dah Pole sana kaka ila mtetezi wa wanyonge yupo makonda atakusaidia

  • @elizabethsjoberg5734
    @elizabethsjoberg5734 Месяц назад

    😢😢😢pole kaka

  • @WinfridaFabian
    @WinfridaFabian Месяц назад +3

    Brother haukua na bastola?kama ingekua mm labda dalali awe ana roho kama ya lissu ndo angekuepo hai

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 18 дней назад +1

    Km ulikuwa mwema kwanini ukuwatafuta waliokupangisha uliwadhalau

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 Месяц назад

    Daaah maisha sio poa! Watu ni wabaya sana!

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper Месяц назад +2

    Hapana hivyo vibanda miaka kumi ikiisha tangu mwaka 2000. Baada ya hapo vibanda vilirud jiji na wakaanza kulipa Kodi jiji...

  • @bettyphares9046
    @bettyphares9046 Месяц назад

    Duuuu pole sana kaka,mheshimiwa wetu mama Samia alijua hali mbayar inayoendelea Arusha ndio maana Mungu akampa jicho la kumuona Mheshimiwa Makonda utapata ufumbuzi kaka usijali.

  • @bilid4128
    @bilid4128 Месяц назад +2

    Huo ni mtandao uliosukwa ...ndiyo maana mfanyabiashara alikuwa anakwama kila anapoenda ! Ila nyuma ya pazia tumuulize Mfanyabiashara wetu anajihusisha na siasa ? Ana uhusiano na wanasiasa ?

  • @faithreed861
    @faithreed861 27 дней назад +1

    Nenda kwa Makonda

  • @angelmawalla4827
    @angelmawalla4827 Месяц назад +1

    Mwamdishi umefanya vizuri lakini hujabance story je wale wawekezaji kwa Nini hujawasikiliza ambao kimsingi ndio walimpangisha huyu na sio mkurugenzi
    Je huoni kama kijana anajichanganya kuwa na mikataba miwili bila sababu za msingi??

    • @victoremanuel29
      @victoremanuel29 14 дней назад

      Huy noel na mke wake nawajua vizurialiwazulumu wawekezaj

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 Месяц назад +2

    Hao watu watatu mkuu wa wilaya OCD mkurugenzi tunasubri break 📰

  • @florageofrey9486
    @florageofrey9486 19 дней назад

    Kwanza pole sana sana ila mie nazani baada ya kuongea na mkurugenzi ulitakiwa urudi kwa wamama mlio kubaliana mkaingia mkataba na ukakubaliana kuwa utalipa na mtakatana maana tatizo linaonekana limeanzia kwa hao wamama nazani walihisi unawatapeli ndo wakawahi huko maana inaonesha ww umelipia na wao wamelipia na hao wamama ndo wanatambulika kama wamiliki
    Pili hao madalali unatakiwa ukawadai vitu vyako kwani sidhani kama kunasheria iliwaruhusu waviuze, Mungu Naomba akusaidie

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Месяц назад +1

    Tatizo lako limeisha mbele ya makonda mpenda haki

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper Месяц назад +1

    Dc hawez kukusaidia kwenye hilo, akiwa afsa tarafa mimi nilinuang'anywa kila kitu changu, na nilikuwa nafanya biashara kama yako... Hapakuwa na order ya mahakama yoyote... Hao madalali wanachezaga madeal na mapai na ofsn.. mimi nilinyang'anywa kila kituuu.. Huo ni wizi.... Na mkurugenzi hapo hana kosa

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z Месяц назад +2

    Mkurugenzi huyo ni mwizi mkubwa analalamikiwa na watu kibao

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 18 дней назад +1

    arusha kuna wizi kinoma sio mkoa huo hakuna uongozi yaaan makonda kareveals wizi mwing sana arusha na watu wa arusha na viongozi wamezoea wizi

  • @elishamungaya8038
    @elishamungaya8038 Месяц назад +1

    Ukweli huu ni uonevu wa wazi kabisa kwani aliye kwa upinzani haruhusiwi kufanya biashara . Pole sana mdogo wangu pambana usijali, je hao akina mama ni kina nani kwa majina tujue profile zao huwenda tukajua who is behind the move hizi

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania Месяц назад +1

    Usihofu mh Makonda atakusaidia kabisaa

  • @marrypius576
    @marrypius576 20 дней назад

    Hiv huy mkurugenzi si yule alimpigia makonda magoti au😂😂😂😂😂

  • @moyowangu1561
    @moyowangu1561 Месяц назад +2

    Kwanini usiende mahakamani?

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Месяц назад +1

    sasa kama ww ungekua kiongozi ungechukua hatua gani kwa DC. OCD na mkulugenzi mimi OCD ningemshusha cheo kutoka OCD mpka inspector mkaguzi msaidizi DC nae hafai kua DC mgulugenz nae hafai kua hapo

    • @samwelnevele7796
      @samwelnevele7796 21 день назад

      Kuwafukuza kazi kwa kuwa ni maajenti wa rushw

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 18 дней назад

    Faida za utaperi ukubali matokeo

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 Месяц назад

    Wewe mtangazaji kiswahili kipi unachotumia KUFANYAGA....
    WA MAMA WAWILI.. Hiki ni kiswahili au upotoshaji

  • @angelmawalla4827
    @angelmawalla4827 Месяц назад +1

    Pia huyo kijana anasema uongo je ana hiyo mikataba ya miaka kumi anayoisema anayo?? Ameionyesha kwako au ni Hadithi tu

    • @yusuphsanga7194
      @yusuphsanga7194 18 дней назад

      Hiyo mikataba yq miaka kumi hakuna ambaye alipewa ndio maana wote waliokuwepo ktk eneo hilo waliambia watakaa kwa miaka kumi kisha hiyo miaka ikiisha ndio watapatiwa mikataba ili waanze kulipia manispaa mipind inakuja mikataba ndio ikamkuta huyu sasa

  • @elieneapalangyo6938
    @elieneapalangyo6938 Месяц назад

    Wewe kubali uliwazunguka

  • @FloraGervans-xy5fk
    @FloraGervans-xy5fk Месяц назад

    Makonda tunaomba ufatilie pia ofice za mkuu wa wilaya zina dhuluma sana

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 Месяц назад

    Daaaaaaaah! Tutapataje kupona tusipoujali ukovu mkuu namna hii?

  • @florageofrey9486
    @florageofrey9486 19 дней назад

    Hofu yangu mkienda mkakuta wale wamama walikua wanalipa jiji kama kawaida na nyie mpo kama wapangaji wao kwani mwisho wa siku biashara ni mtu anavyoweza kuikuza faida yake

  • @ludovickbenjamin6104
    @ludovickbenjamin6104 20 дней назад

    Hao wotee wanatakiwaa kuswekwa ndani wotee.
    Na hao madalali ndo matapeli

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 26 дней назад

    Tuna Imani na makonda msaidie huyo kijana arusha imeoza matapeli watupu kama ila inasema vijana wajiajili arafu wanatapeliwa

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper Месяц назад

    Jeshi linasimamiaje zoezi ambalo halina order ya mahakama?? Duuu

  • @user-qi6ql1lp9k
    @user-qi6ql1lp9k Месяц назад +1

    Mkulugenzi anamashaka

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 18 дней назад

    Hata mm nilimwamini mtu akanizunguka arusha watu jamani wayo tamaa

  • @paulkamete2947
    @paulkamete2947 Месяц назад

    Ocd Jamani anahusika nin na wafanya biashara! Naombeni ufafanuzi

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 21 день назад

    Mambo kama haya tukiyafumbia macho tunaumiza wafanyabiashara wetu rushwa ni adui wa haki

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Месяц назад

    Hizi mangwepe auction Arusha ni mtihani mkubwaa kwa wananchi wa Arusha

  • @godsonkilewo5098
    @godsonkilewo5098 25 дней назад

    Kijana ajifunze!!! Ana mkono mfupi 🤣🤣

  • @user-wm9hr7fx9l
    @user-wm9hr7fx9l Месяц назад

    Dc huyo hafai hata kuwepo ofisini

  • @DM_15
    @DM_15 20 дней назад

    Bahati mbaya huyomkurugenzi saahii yupokwenye hari ngumu tia tim kwa mkuu wamkoa baba huyo mjuba anatamaa sana

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 Месяц назад

    Asilimia kubwa ya watumishi wa CCM yote ni mijizi. You can't trust this party anymore, wanadhani nchi ni yao. Rushwa! Rushwa! Rushwa !

  • @AugustinoHaule-sh4fi
    @AugustinoHaule-sh4fi 27 дней назад

    Kaka makonda saidia huyo kinjana

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 21 день назад

    Mkurugenzi huyu ni shida kwenye jiji la arusha

  • @amonmethod
    @amonmethod Месяц назад

    Huu ni unyama hamna utu😭

  • @faithreed861
    @faithreed861 27 дней назад

    Rushwa imejaa hapo.hakuna kingine

  • @Ab113tech
    @Ab113tech Месяц назад

    Sema Serekali yetu 🤣🤣🤣

  • @veronicamedukenya7416
    @veronicamedukenya7416 Месяц назад

    Na pia ndugu mtangazaji sakata la stendi ndogo arusha wawekezaji hawakupewa kwa miaka 10.. Walipewa wajenge kisha wakaanza kulipa kodi... So kuna wawekezaji stendi ndogo ambapo kila baada ya miaka 3 mikataba yao inahuishwa na jiji lakini kuanzia mwaka jana kumekuwa na figisu sana jiji... Kama utapenda kujua mtafute kiongozi wa stendi ndogo na akuonyeshe mikataba ya jiji.. Na wawekezaji...
    Na hili jambo lilisuluhishwa na waziri mkuu mwaka 2016..je yeye alipataje vibanda stendi ndogo?! Mwanzoni kabla ya kuzunguka na kwenda jiji.

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper Месяц назад

    Dawa hapo nenda kwa Makondaa... Hao wawekezaji ni feki na mkataba wao uliisha tangu 2020. Wanakosesha serikali mapato.. Nenda kwa Makonda kaka

    • @veronicamedukenya7416
      @veronicamedukenya7416 Месяц назад

      Kama kweli ni wawekezaji feki wanafanya nini mpaka leo stendi ndogo?! Kwamba yeye ambaye amekuja na kuwakuta kina mama na vibanda vyao ana haki kuliko hao wamama?! Je hao wamama haki yao iko wapii?! Yeye noel akubali aliona ni wepesi kudhulumu wamama... Sasa imegeuka tofauti ajipambanie na aende mahakamani kama anahisi ana hakii

    • @angelmawalla4827
      @angelmawalla4827 Месяц назад

      Wewe acha uchochezi wewe mwenyewe ulitolewa mbona usiende kwa Makonda

  • @veronicamedukenya7416
    @veronicamedukenya7416 Месяц назад +1

    Ulitaka kudhulumu eneo la mwekezaji... Wamama wajane... Ambapo wanapata hela kidogo ya chakula... Hakuna mtu anaokota nyumba stendi ndogo... Dhuluma uliianza wewe...

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад

    Kama Mh.RC Makonda ataamua kulivalia njuga swala hili,kwa kweli wateule wa Rais wamekalia kuti kavu. Fikiria kwa Mkurugenzi,DC,OCD,na aliyeuza fream inaonekana ni chain moja! Je, ni wangapi wanafanyiwa haya?!

    • @furahafranscicah4312
      @furahafranscicah4312 27 дней назад

      Tuko wengi hata mimi nimefanyiwa hivyo hivyo na huyo dalali pia ni mtu hana office … wala kibali chochote mimi ni miaka 2 nafuatilia😢😢😢

  • @veronicamedukenya7416
    @veronicamedukenya7416 Месяц назад +1

    Stendi ndogo tayari kuna wawekezaji na pia wewe ulikuwa mpangaji wa mwekezaji wamama wawili... So wewe ulitakiwa kuwalipa kina mama na kina mama waendelee kulipa manispaa... Lakini kwa sababu uliona ni rahisi kuwadhulumu wamama... Na kupata/ kuchukua kwa hujuma vibanda vyao stendi ndogo lakini jua nao wanamlilia Mungu na wamepata haki yao...

    • @kingbkmusic
      @kingbkmusic Месяц назад

      Alfu ww kama ndo mumemufanyia huyu brother hamufiki 2026 tutazika na jengo litabaki kwahiyo ujanja weka mufuko mukabizi bro Mari yake na hili nionyo sio ombi✅

  • @mussaelias3535
    @mussaelias3535 Месяц назад +1

    Acheni kuonea watu madaraka hayo ya napita mmemtia hasara sana huyu jamaa makonda wasaidie watu kama hawa

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Месяц назад

    Mheshimiwa Makonda yaelekea Arusha mafisadi mengi sana, pambana nayo hayo majizi