🔴LIVE: MAKONDA awaka, anamfyatua MKURUGENZI WA ARUSHA muda huu.
HTML-код
- Опубликовано: 17 май 2024
- ..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook - Развлечения
Chuga ilikua ni muhimu sana kuwa na mkuu wa mkoa kama makonda ivy big up sana makonda sasa tunataka na mbunge makini toka ccm na mkurugenzi pia
Asante muheshimiwa makonda Mungu akupe maisha malefu
Huyu jamaa anawawakilisha vzr chuga
Hapa kazi tu, kazi iendelee. Siku za mwizi ni 40. Mh. Makonda ubarikiwe sana, vilevile tunaomba wakuu wa mikoa wote muige kwa mh Makonda. Huo ni mfano wa kuigwa.
Hakika Mheshimiwa Makonda nimefurahi sana kwa hili, yaani vitu straight hakuna kona kona, you deserve that position and more, madudu ni mengi sana na raia wanateseka mno hawana wa kumuambia wala pakukimbilia.
Pokea 💐🌹🌹🥀 yako mapema mzee wangu
Makondaaaa unafaaaa kila nyumbaaa kwa maana ya kila mkoaaa
Mungu akusimamie mkuu wa mkowa
Jamani tunahitaji kuwa na Makonda wengi wenye utendaji wa kweli kama huyu na sio makonda jina
TATIZO DHARAU... POLEE MH. RC
Makonda is intelligent!!
Huyu mfanyabiashara anajitambua pia! Hategemei rushwa na uhusiano kufanya biashara.
Halmashuri ilifanya wizi kwa makusudi. Kama lingekuwa kosa la kibinadamu, milioni zote 20 zingelipwa kwa jina la The Tanganyika. Kwa nini ziligawanywa kampuni mbili.
Majizihayo Makonda chapa ndani hao.ded ni mwizi
Nchi inatafunwa na machawa wa Mama na hakuna hatuwa za kuchukuliwa
Mamaetu samia wakuu wa mikoa dizaini ya makonda chukuwa na sabaya chomeka ndaniyaserikaliyako nalohilo ni jembe
Mh. Makonda hamia kwetu
Wakwanza hapa komenti zenu wadau
Samia aendelee kwa juhudi hizi zinazofanywa na mkuu wa mkoa
Shida kubwa ipo IKULU mtu ana tuhuma za ubadhirifu na rushwa akaondolewa ukurugenzi alivyotoka serengeti..ni nani anamrudisha tena kuwa mkurugenzi arusha??? That means kuna networks za wizi hadi ikulu sababu wao ndio wanafanya vetting ya wateuliwa..hii nchi itapona kweli?? Very sad, mtu anavaa mapete mikononi kiongozi sijui majini ya kumkinga, ana kitu gani maalum yeye lazima awe mkurugenzi?
Wakuu wa Mikoa nchi Nzima mnajifunza Nini kutaka Arusha?au mmekaa ofisini mmefunga Tai mnaingia kwenye gari la serikali mnaweka kishoka na kupiga story
Mzungu yuko Sawa Kabisa Bado kunawezi , iyo ni Sawa na Zenji wezi Walivyo bainika Wamepigwa out .
Kutoka Serengeti hadi Arusha huyu afukunzwe anatia aibu, tatizo lake akitoka kwenye kikao kama hiki kesho ataitisha kikakoa na waandishi wa habari
Nakuombea ubaki kua mkuuwamkoa wa arusha maana hiikazi gombo hakuimudu kabisa
Tulichelewa wapi kukupata mkuu
Tunaomba matokeo ya Takukuru yawe waz ili wananchi tutambue ukweli upo wap
Huyu DED aliwahi kuwa DED serengeti akaripotiwa kwa rushwa Magufuli akamkingia kifua.
Takukuru kazi yao kubwa ni nini?kama wanashindwa kudhibiti haya bora ifutwe tu kuliko kutafuna kodi za wananchi.
Big up makonda
99% of the harm is caused in your head, by you and your thoughts.
1% of the harm is caused by reality, what actually happens and the outcome.
Most of the time, the problem isn't the problem.
The way you think about the problem is.
Mnahangaika na mtu ana godfathers/network TAMISEMI au ikulu hao waliomrudisha...huyu hamsini hata kwa kumtizama tu hana sifa kabisa za kuwa kiongozi hata kwa dakika moja..