Makonda kutatua kero zenye kesi Mahakamani, adai yupo tayari kupoteza chochote kwaajili ya Wananchi
HTML-код
- Опубликовано: 7 май 2024
- Mkuu wa Mkoa wa Arusha paul Makonda amesema yeye na timu yake watasikiliza kero zote za wananchi wa Arusha hata kama kesi hizo zipo mahakamani kwa kuwa, wapo wanasheria aliowaandaa kwa ajili ya kwenda kusikiliza kesi hizo.
“Hata kama una kesi mahakamani lakini huelewi mwenendo wa kesi unavyokwenda, inawezekana wewe ni masikini, mama mjane, mtoto au yatima nimekuandalia wanasheria bingwa tutakwenda nao mahakamani kutetea haki yako kwa hiyo usiogope,”amesema.
Makonda amesema hayo leo Mei 8, 2024 kwenye kliniki ya kusikiliza kero za wananchi mkoani Arusha.
Hapo umesema mahakama inatusumbua sana
Makonda hua ananimalizia sana bando langu aisee! Keep doing bro!
Pambana Poul Makonda Mungu atakua pamoja nawewe Pambana Sana tena Pambana
Safi sana bonge ya kiongozi
Makonda watanzania wenye akili timamu tu Nakuombea kwa Mungu
Makonda Eeeh Wewe ni kiongozi wa kuigwa Mwenyezi Mungu akujalie afya njema Inshallah na Akuepusha na husda mbaya xa Watu ❤
Maomb yako kwa Mungu,yatasikiwa.. Nae Mungu atafanya k2 kwa ajil yake!
Wewe uliyeandika kichwa Cha habar unapotosha watu,Makonda hajasema hvyo
Jamani Makonda nashindwa nikuombee Dua ipi mpaka chozi linanitoka Allah akuongoze
Safi sana makonda Mungu akubariki sana
Mungu akulinde sana Mr makonda
❤❤❤🎉🎉🎉🎉 ubarikiwe mnooo
Hakika Tanzania mungu anatupenda na awape afya njema viongozi wetu wapendwa .GOD bless the world 🌎
Makonda mungu akulinde ndug yangu
❤❤❤❤Mungu akulinde akutunze na akuepushe na kila baya MAKONDA ❤❤❤
Mungu akubariki
Mhe makonda atakae kuonea mungu amuone
❤❤ Makonda
Damu ya Yesu ikufunike Makonda
Jaman mimi namkubal sana makonda mungu akulinde choz langu la magufur limerud da kaz iendelee kiongoz wetu
Huyu ndo kiongozi sasa achana na hao wanaohtaji bumu litolewe😂😂😂
Masaria ya magufuri bado yapo na husitawi siku hadi siku.
Ameanda wanasheria kusaidia wananchi ambao hawana uwezo kuendesha kesi kwahali hiyo anaheshimu mamlaka ya mahakama au mhimili wa mahakama
Ubarikiwe kiongozi mwema
We muheshiwa naonavyowaliza watu, wanashangaa hawaamini kama kweli wanapata haki zao.
Nakukubali sana kaka ,we n mkomboz wa wanyonge
Mweshiwa nashindwa la kufanya Niko nje ya mkoa naomba namba za mweshimiwa jamani nisaidieni
Mungu akutunze
Samia muongee mshahala uyoo jamaaa
Wakuu wa mikoa mingine wajifunze kwako kupiga wahuni spana..
Na uko mahakamani ndio kwenye dhulma kubwa kuliko sehemu zote mahukumu ya kipumbavu yamejaa uko
🙏🙏🙏🙏🙏
Hivi mikoa mingine hawana wakuuu? Wanafanya Nini?
Wapige spana mkuu
Ivi mikoa mingine hakuna kero mbona hatusikii au kuko shwari
Magufuli wapili huyoooo
soko la kisongo limeenda na wajanja
Sasa wakuu wa mikoa awaonagi KERO zawatu kama makondo hajikutokea kama makondo na aliy happi
Mwandishi has unapotosha
❤️🥱
Muandishi unapotosha Tutakupiga pini hii chanal yako
Safisha police hasa upande wa arusha wilayani kuna shida sana hakuna kusaidiwa haki yako ni mateso ukifika hapo rushwa tupu
Jerry jifunze kwa makonda...anauelwa juu ya utawala wa sheria
Huo ni uchochezi kasema atatoa wanasheria kwa asiyeweza kuwa na uwezo wa cost kusaidia haki ipatikane wataenda hadi mahakan mnyonge mzee yatima mjane wasikose haki zao kisa kukosa malipo ya wakili wewe KICHWA CHAKO KIHABARI HUONI KAMA UNA NIA YAKUONYESHA KUWA MAKONDA ANANIA YA KUINGILIA UTENDAJI WA MAHAKAMA!!!!!!!!!
Bando likiisha, nipo tayari hata kukupa songesha.