MAKONDA;RPC UKOWAPI KAMATA WOTE TIA NDANI/AMSAIDIA MAMA ALIYEKIMBIWA NA MUME KISA KUJIFUNGUA MAPACHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 54

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es 4 месяца назад +9

    Hakika Mungu amempeleka Mheshimiwa Makonda Arusha...Glory be to. GOD

  • @chriseskibet718
    @chriseskibet718 4 месяца назад +9

    Nasikia raha sana nikiwa Kenya,aki mwenyezi mungu akulinde siku zote popote uendako dunia nzima.

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 4 месяца назад

      sasa wewe njoo huku kwetu uhamie kabisa. tutakukatia uwanja ujenge ukae hapa kwa Makonda Arusha

  • @msafiritalentmedia1085
    @msafiritalentmedia1085 4 месяца назад +15

    tumeshaanza kupaki mabegi tunahamia arusha kwa makonda makonda oyeeeeeeeeeee. hicho ni chuma

  • @AnnaNoah-jr6ow
    @AnnaNoah-jr6ow 4 месяца назад +5

    Jamani Mungu akutiye nguvu sana na akuongoze katika uwongozi wako♥️♥️

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 4 месяца назад +4

    Nitafutieni nyumba arusha nihamie huko 🙌🙌🙌

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 4 месяца назад

    Duh Makonda Mungu asimame na wewe...uwiii❤❤❤

  • @JenethFrank
    @JenethFrank 4 месяца назад +3

    Mungu akutunze muheshimiwa.

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 4 месяца назад +4

    Hivi mm najiuliza kwa hasira sana,hv viongozi wengne wanakazi gani ? Mpaka Makonda kweli!?

  • @YunisJerald
    @YunisJerald 4 месяца назад +4

    Mama yetu Samia tunakupenda sana .usimtoe Arusha hyu Mkuu wetu wa mkoa .Arusha pana shida nyingi.

  • @paschalmanumbu572
    @paschalmanumbu572 4 месяца назад +3

    Yaani Makonda, nahisi wengine wenye mali za watu wanaweza kuanza kujiua. Unasolve mambo hadharani hadi watu wanongeza sala juu yako

  • @elizabethebambo6286
    @elizabethebambo6286 4 месяца назад +1

    Nakupendaa makonda akika unastahili kuwa rais una moyo wa huruma Mungu azidi kukubariki

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 4 месяца назад +5

    Huwa nimewaza.Hivi hizi kero ,wakuu wa mikoa si watatue kero za wananchi kwa style hii ????

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 4 месяца назад +2

    mama huko uliko tunaomba utuletee agrey aliye wahi kuwa mkuu wa mkoa tabora alinogesha kama makonda anavokiwasha makonda miaka inayokuja apewe nchi waonevu watakiona

  • @juliusjoseph6320
    @juliusjoseph6320 4 месяца назад +2

    Watendaji ni wezi Sana rushwa imezidi Arusha hivi Mpaka Makonda kweli Watendaji oneni aibu mmeshindwa kutetea raia

  • @KelvinMaganga-ew7xb
    @KelvinMaganga-ew7xb 4 месяца назад +2

    Bro ubarikiwe sana

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 4 месяца назад +3

    ,jamani wakuu WA mikoa wengina kwa nini wasifuate mfana makonda kutatua ma😮😮kutatua shifaa za wanyonge hapa tanga mjane na yatima wamedhulumiwa waziwazi kupitia mahakama ikawapa ushindi katikaya kutatanisha hospitali wakamfungia inateketea kwa si yao hawana uchungu nayo mazingiray

  • @stevenadogo3774
    @stevenadogo3774 4 месяца назад

    I love people who have empathy towards other

  • @MashakaMapelani-xd9np
    @MashakaMapelani-xd9np 4 месяца назад

    Nimekukubali sana

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 4 месяца назад +4

    Pongezi kwako mkuu wa mkoa,makonda,wakuu wa mikoa wengine wako kama mazuzu tu

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 месяца назад

    Nao makutano walimfuata Yesu, wakihitaji uponyaji...ameacha wafuasi wake wawasaidie watu, tunaona wazi leo watu wanamfuata makonda, huyu ni mtumishi wa Mungu alie hai,mpenda haki.
    Ombi langu kwa viongozi wengine, mkuu wa mkoa ni mtu mkubwa sana ktk mkoa wake, amechaguliwa na mkuu wa nchi, tunaomba sana huku chini watu wanawahitaji sana, kuna vilioooo😢

  • @BalakaMnyoho
    @BalakaMnyoho 4 месяца назад +3

    Makomda bwana kweli chuma😅😅😅😅😅

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 4 месяца назад +2

    Kwa maelezo ya huyu dada hakuna haja ya wana sheria nikuangalia Documents kama ziko sawa maamzi yatolewe hapo hapo siyo wote wana moyo huo wa kusaidia

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 месяца назад

    Jamani kudhulumiwa kunaumaaaa,
    Wapendwa huu ndio wakati wa kudai haki zetu, Mungu kupitia mama Samia ametuletea Makonda Arusha.
    Yupo na Silaa kule, mama Samia mama tunakushukuru,Mungu azidi kukulinda.

  • @RashidHamad-ro8sd
    @RashidHamad-ro8sd 4 месяца назад

    Makonda yup vizur sana nikiongoz wa mfano kabisa

  • @mkurangacnajemasabatochane4626
    @mkurangacnajemasabatochane4626 4 месяца назад

    Hii biashara ya kuandika majina ya mpenzi wako kwenye vitu Hawa wata wazulumu mpaka kifo ,, aise siandiki

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 месяца назад

    Makonda mtumishi wa Mungu, ulikuja kwa kusudi la Mungu.

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 4 месяца назад +5

    Uongozi ni kujiongeza!!

  • @SalumSquare-p2c
    @SalumSquare-p2c 4 месяца назад

    Thank you

  • @ElibarikiLevava
    @ElibarikiLevava 4 месяца назад +3

    NAWASHAURI NYIE MNAOSAIDIWA NA MWESHIMIWA MAKONDA
    MUWE NA MOYO WA SHUKURANI .
    Kwahyo naomba siku ukifanikiwa mumkumbuke
    1.kwa maombi na kwa mengineyo na Mungu atawabariki sana
    Makonda akipatikana mwingine Tanzania 🇹🇿 basi tutapiga hatua sana

  • @Elizabethmwegoha
    @Elizabethmwegoha 4 месяца назад

    Makonda Mungu amlinde pia ambariki sana binafsi namkubali.

  • @stevenmwamwenda-3927
    @stevenmwamwenda-3927 4 месяца назад

    Kiongozi wa viwango vya juu mfano wa kuigwa

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 4 месяца назад +2

    Aliyekuwa mkuu wa mkoa alikuwa anatatuaje kero hizi? Kuna ufuatiliaji hafifu sana wa utatuzi wa kero za. Watu. Mliopewa dhamana ya uongozi na rais igeni utendaji wa mkuu huyu wa mkoa.

  • @JacobmwakituJacobmwakitu
    @JacobmwakituJacobmwakitu 4 месяца назад +1

    Hvi nafikiria hata sielewi nikwann mtu atoke dar,Dodoma n.k akiwa labda anatatizo la aridhi hivyo anampelekea makonda Arusha je,mikoa hiyo haina viongozi wenye kujua majukmu yao?inashangaza sana Hadi mwanza, babati,najiuliza makonda atafanya kazi ngapi anafanya kazi Hadi za nje ya mkoa wake.lkn mungu anafanya kazi juu yake.nahao wanaomkimbilia nimungu anawaelekeza sehem mhimu yakutatua shida zao.

  • @janesterbatikinasabuninzur3628
    @janesterbatikinasabuninzur3628 4 месяца назад

  • @halimajuma-zq9dk
    @halimajuma-zq9dk 4 месяца назад

    Jamn lini Tena hiki kitu kitafanyika jmnan ninashida mpk bas

  • @ezekielkiribwa7072
    @ezekielkiribwa7072 4 месяца назад +2

    So sad

  • @jamalimussa4928
    @jamalimussa4928 4 месяца назад +2

    Jembe

  • @vickykwembe5842
    @vickykwembe5842 4 месяца назад

    Sina miseme nini,makonda nimekuelewa sana jaman unatusaidia sisi wanyonge

  • @HumphreyKarua
    @HumphreyKarua 4 месяца назад

    RC MAKONDA WEWE NI JEMBE WATO WOTE WANYONGE WANAPATA MADAI YAO HAPO KWA HAPO ONGERA KWA KUWA RC UNAFAFFA KUWA WAZIRI MUNGU AKUBALIKI

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 4 месяца назад

    Jamni unalia mpaka ucheke.

  • @KibibiShetui
    @KibibiShetui 4 месяца назад

    Mh jamani

  • @majaliwaelias1981
    @majaliwaelias1981 4 месяца назад

    Tunaomba uteuzi ujao makonda aletwe nahuku kwetu tabora

  • @hassanisaimon1531
    @hassanisaimon1531 4 месяца назад

    Kweli chuma

  • @ruwaichijoseph5946
    @ruwaichijoseph5946 4 месяца назад +1

    Tunataka katiba mpya , nchi haiongozwi naporajo majukwaani wao ndio wanaleta haya ,

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 4 месяца назад

    Duh Makonda Mungu asimame na wewe...uwiii❤❤❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 месяца назад +2

    Yaan Rais wangu Samia hivi watendaji wengine angekuwa kama Makonda si nchi angekuwa mbali.Kumbe mambo haya yanawezekana hati. Ongera Mwanangu Makonda Mtani wangu❤❤❤❤🙏🙏👍👍

  • @FranceMwanjala
    @FranceMwanjala 4 месяца назад

    Jembe

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 4 месяца назад +2

    SUKUMA NDANI WOTE MHESHIMIWA WAACHE JANJA JANJA

  • @JasmineRashidi
    @JasmineRashidi 4 месяца назад +2

    Jaman makonda abaki Arusha milele