#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 29

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 4 месяца назад +7

    Askofu mwana mapinduzi Mungu atubariki Kwa kuona uonevu tanganyika Mungu ambsriki tundu lissu na Mbowe wskombozi tangyka

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 4 месяца назад +7

    My brother lissu God bless you Tanzania people believing on you about true speaking 👍

  • @FrankasamisyeMwaiswasu
    @FrankasamisyeMwaiswasu 4 месяца назад +4

    ccm ni wadharimu wakubwa mungu awandoe hima

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 4 месяца назад +6

    Hongera sana Rais wa mioyo ya Watanzania

  • @FrancisThomas-jc8wq
    @FrancisThomas-jc8wq 4 месяца назад +7

    Mungu awàlinde sana watetezi wa. Wanyonge

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 4 месяца назад

    Tundulissu wewe ni msema kweli siku zote na hujawahi kubadilika wala kuyumbishwa kuhusu msimamo wako, Mungu alikuponya na risasi zote zile kwa makusudi maalum,wewe ni tegemeo la Watanganyika kwa sasa kuikomboa Tanganyika kutoka mikono ya mafisadi wa ccm. Mungu akulinde akutunze daima. Wewe ni Rais ujae,Mungu akupe kibali.

  • @FrankasamisyeMwaiswasu
    @FrankasamisyeMwaiswasu 4 месяца назад +3

    samia ndie mpolaji no 1

  • @SAKAWA4
    @SAKAWA4 4 месяца назад +6

    Hongera

  • @fredricksanga6864
    @fredricksanga6864 4 месяца назад +2

    Nasubiri kwa hamu kuona muujiza wa Mungu kumnusuru Ndugu yetu Tundu Lisu kuwa hai kwa risasi zilizo mpiga..

  • @FrankasamisyeMwaiswasu
    @FrankasamisyeMwaiswasu 4 месяца назад +4

    warabu hawa waondoke na mahoteri hayo yabomolewe

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 месяца назад +6

    ✌️👊👍.

  • @chrissymarcus5051
    @chrissymarcus5051 4 месяца назад +3

    Dar es salaam wanatuangusha katika safari ya ukombozi wa nchi yetu.

    • @KelvinBamuhiga
      @KelvinBamuhiga 4 месяца назад

      Hilo umesema ukweli nitofauti na uvyoenda mkoa kama geita, Kagera simiyu, Arusha Moshi na kwingineko, mikoani washaamka ila dar bado sana

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 4 месяца назад +2

    Hongera sana Mkuu jamani😢😢😢

  • @jessalmas2122
    @jessalmas2122 4 месяца назад +4

    pamoja makanda

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 4 месяца назад +4

    Nchi yetu inakufa kwa kukosa maarifa

  • @JastinAmonsimon
    @JastinAmonsimon 4 месяца назад +3

    Askofu umeupiga mwingi

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422
    @dullahkalanjedullahkalanje1422 4 месяца назад +4

    ifike mahali tuwe na akili ambao sio watanzania warudi kwao

  • @FrankasamisyeMwaiswasu
    @FrankasamisyeMwaiswasu 4 месяца назад +3

    mimi nashagaa usarama wako kimya jeshi nchi inaharibiwa wako kimya

  • @EmanuelIdd
    @EmanuelIdd 4 месяца назад

    Ccm wanatutesa Sana tuseme wote imetosha

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 4 месяца назад

    Mungu tunaomba utusaidie Watanganyika,uliokoe Taifa letu, najiuliza tu kwamba hivi viongozi wa jeshi wenye uwezo wa kuiokoa Nchi isiuzwe na rasilimali zetu zote! Wanajeshi mmepewa kitu gani!??? na hawa wanaouza Nchi yetu na wanaonunua!!!??? Wananchi amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Tuikatae ccm uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais.

  • @rastheunique
    @rastheunique 4 месяца назад +2

    Dar es salaam sio kitovu cha ukombozi tena!! Raia wake karibu wote wamenyweshwa UNGA WA NDELE!! Nguvu ihamie mikoani 😫

    • @KelvinBamuhiga
      @KelvinBamuhiga 4 месяца назад

      Ukweli umesema Bora kampeni za ukombozi zipigwe mkoani maana wanamuitkio mkubwa yani dar wanatuangusha

  • @SichivulaGevasi
    @SichivulaGevasi 3 месяца назад

    Asantesana

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 4 месяца назад

    CCM wameinyonya nchi saana

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 4 месяца назад

    Nyinyi ni Watanganyika tu mkitaka mistake na Zanzibar ipo tangu Enzi za awali wa zama hizoooo 😂😂

  • @ElibarikiNasari
    @ElibarikiNasari 4 месяца назад

    Y

  • @EmanuelIdd
    @EmanuelIdd 4 месяца назад

    Ccm wanatutesa Sana tuseme wote imetosha