Tundulissu wewe ni msema kweli siku zote na hujawahi kubadilika wala kuyumbishwa kuhusu msimamo wako, Mungu alikuponya na risasi zote zile kwa makusudi maalum,wewe ni tegemeo la Watanganyika kwa sasa kuikomboa Tanganyika kutoka mikono ya mafisadi wa ccm. Mungu akulinde akutunze daima. Wewe ni Rais ujae,Mungu akupe kibali.
Mungu tunaomba utusaidie Watanganyika,uliokoe Taifa letu, najiuliza tu kwamba hivi viongozi wa jeshi wenye uwezo wa kuiokoa Nchi isiuzwe na rasilimali zetu zote! Wanajeshi mmepewa kitu gani!??? na hawa wanaouza Nchi yetu na wanaonunua!!!??? Wananchi amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Tuikatae ccm uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais.
Askofu mwana mapinduzi Mungu atubariki Kwa kuona uonevu tanganyika Mungu ambsriki tundu lissu na Mbowe wskombozi tangyka
My brother lissu God bless you Tanzania people believing on you about true speaking 👍
ccm ni wadharimu wakubwa mungu awandoe hima
Hongera sana Rais wa mioyo ya Watanzania
Mungu awàlinde sana watetezi wa. Wanyonge
Tundulissu wewe ni msema kweli siku zote na hujawahi kubadilika wala kuyumbishwa kuhusu msimamo wako, Mungu alikuponya na risasi zote zile kwa makusudi maalum,wewe ni tegemeo la Watanganyika kwa sasa kuikomboa Tanganyika kutoka mikono ya mafisadi wa ccm. Mungu akulinde akutunze daima. Wewe ni Rais ujae,Mungu akupe kibali.
samia ndie mpolaji no 1
Hongera
Nasubiri kwa hamu kuona muujiza wa Mungu kumnusuru Ndugu yetu Tundu Lisu kuwa hai kwa risasi zilizo mpiga..
warabu hawa waondoke na mahoteri hayo yabomolewe
✌️👊👍.
Dar es salaam wanatuangusha katika safari ya ukombozi wa nchi yetu.
Hilo umesema ukweli nitofauti na uvyoenda mkoa kama geita, Kagera simiyu, Arusha Moshi na kwingineko, mikoani washaamka ila dar bado sana
Hongera sana Mkuu jamani😢😢😢
pamoja makanda
Nchi yetu inakufa kwa kukosa maarifa
Askofu umeupiga mwingi
ifike mahali tuwe na akili ambao sio watanzania warudi kwao
mimi nashagaa usarama wako kimya jeshi nchi inaharibiwa wako kimya
Wameshalishwa! hawawezi kumpinga anaewapa hela!
Ccm wanatutesa Sana tuseme wote imetosha
Mungu tunaomba utusaidie Watanganyika,uliokoe Taifa letu, najiuliza tu kwamba hivi viongozi wa jeshi wenye uwezo wa kuiokoa Nchi isiuzwe na rasilimali zetu zote! Wanajeshi mmepewa kitu gani!??? na hawa wanaouza Nchi yetu na wanaonunua!!!??? Wananchi amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Tuikatae ccm uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais.
Dar es salaam sio kitovu cha ukombozi tena!! Raia wake karibu wote wamenyweshwa UNGA WA NDELE!! Nguvu ihamie mikoani 😫
Ukweli umesema Bora kampeni za ukombozi zipigwe mkoani maana wanamuitkio mkubwa yani dar wanatuangusha
Asantesana
CCM wameinyonya nchi saana
Nyinyi ni Watanganyika tu mkitaka mistake na Zanzibar ipo tangu Enzi za awali wa zama hizoooo 😂😂
Y
Ccm wanatutesa Sana tuseme wote imetosha