🅻🅸🆅🅴 : WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI ANATOA TAMKO MUDA HUU...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 69

  • @johnkaliwanje434
    @johnkaliwanje434 11 дней назад +1

    wazir wa mambo ya ndan ( Hamad Masaun) jihudhuru, hufai kabisa kuwa kiongoz

    • @johnkaliwanje434
      @johnkaliwanje434 11 дней назад

      uko kimya sana kama hakuna wazir, sion bidii yoyote umefanya kwa wanaotekwa, wanaoteka , wanaobaka , wanaolawiti wote ni kundi moja, yaan ww wazir mm sikuelew kabisa.

  • @geofreymajaliwa9294
    @geofreymajaliwa9294 Месяц назад +6

    Uyu waziri sijawai mwelewa hata kidogo

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад +1

      Hafai hata kidogo

    • @Jal210
      @Jal210 Месяц назад

      @@leokamil6284huyu anabebwa na mama mbona kwa JPM alifeli kabisa

    • @johnkaliwanje434
      @johnkaliwanje434 11 дней назад

      ajihudhuru, hafai kabisa, na hata mm simwelewi kabisa ni kama sanamu

  • @nestor384
    @nestor384 Месяц назад +6

    Jeshi la polisi lilishapoteza legitimacy Mwananchi ni bora kutafta haki yake kwa njia nyingine si jeshi la polisi

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад +1

      Wewe husikii anawatetea kwa kuwa wanamlinda yeye .Hizi nani anamuelewa Waziri huyo wa mambo ya ndani?.Kwa mtazamo wangu hafai hata kidogo

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Месяц назад +2

    KUTOKA ZANZIBAR, DIRECT KUJA KUWA WAZIRI WA WIZARA NYETI TANGANYIKA. HIVI MTANGANYIKA ANAWEZA KWENDA KUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ZNZ

  • @michaelmwambije3603
    @michaelmwambije3603 Месяц назад +3

    Kunausalama gan watu wanatekwa ko nisalamaa watoto wanapotea ko nisalamaa Kwa kupotea Kwa wa toto na kutekwa Kwa watu wazili mwoongo mkubwa

  • @innocentMallya-v4r
    @innocentMallya-v4r 7 дней назад

    Hii nchi ni ngumu sana mh tundulisu alipigwa risas mchana kweupe watu wanatekwa police wanau watu nchi yetu imekuwa si salama kabisa wazir ajiuzulu tu sina koment nyingine

  • @RajabuLanda
    @RajabuLanda 17 дней назад

    Tumechochewa hapo et wazr wambo ya ndaniiiiiiiiii!

  • @danielkanso
    @danielkanso Месяц назад

    Ndiyo aina ya viongozi wetu

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Месяц назад

    Huyu waziri kichefuchefu anatoka nchi gani

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Месяц назад

    Huyu kiongozi hajitambui natamani angevaa siku kiatu anachopia mwanainchi Huyu ni kilaza mkubwa anajitekenya mwenyewe

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 26 дней назад

    Huyu jamaa anamaliza bando langu

  • @user-dn8dg2rl2q
    @user-dn8dg2rl2q Месяц назад +1

    Ndio waziri wa kwanza anayeangalia tumbo lake hata barabarnani mageti kibao tumedi kulekule

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад

      Hafai lakini upole wetu ndio matokeo haya

  • @nasibuathumani7705
    @nasibuathumani7705 Месяц назад +2

    Daah. Kwer ina mana huyu mwamba. Ana ishi dubai au wende hajui kinacho enderea

  • @othmanothman389
    @othmanothman389 Месяц назад

    Kwa jeshi letu linafanya kazi kimazoea na siyo kwa ubunifu wa mmoja mmoja wala siyo kama jeshi kwa ujumla wake. Wanaamini kuwa vitisho vitaleta suluhu!

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 7 дней назад

    Kwani hawa Wazanzibar wamekosea nini acheni na ubaguzii kuwa waziri hawa Marais wanaotawala huku Zanzibar si Watanganyika na Mawaziri ndio watupu mbona munawachukia Wazanzibar wakati huku Zanzibar wako hata DC RC na hata Mawaziri na Masheha mbona Wazanzibar hawasemi lolote au wao hawaumii munao umia ni nyinyi tu.

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t Месяц назад

    Tatizo lenu hamtaki kukosolewa au kuambiwa ukweli mnapenda kusifiwa vitu ambavyo havipo

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Месяц назад

    Kweli upo vizuri mama kombo analia😊

  • @jeremiahakonaay1842
    @jeremiahakonaay1842 16 дней назад

    Mbona unamzungumzia watoto tu je watu wazima! Hivi huyu waziri hajui yanayoendelea nchini wakati hata sasa kuna taarifa za watu kutekwa au ndyo mnaosema wamejiteka na kijipiga risasi???

  • @jeremiahakonaay1842
    @jeremiahakonaay1842 16 дней назад

    MUNGU gani huyo unamtaja wakati kila kona kilio wizara unayoiongoza inahusishwa na mateso ya wananchi

  • @MasterPetro-oj1fd
    @MasterPetro-oj1fd Месяц назад +3

    Ninyi endeleenitu sikuzinakuja

  • @nasibuathumani7705
    @nasibuathumani7705 Месяц назад +1

    Tuache siasa baba.

  • @fathermore9772
    @fathermore9772 Месяц назад

    Unaleta siasa kwenye maisha ya watanzania

  • @user-vt1dx7gr2j
    @user-vt1dx7gr2j 14 дней назад

    Hakuna usalama unavyoongea TU inaonyesha hujui unasoma ulichoandikiwa hakuna kit

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Месяц назад

    Hivi hawa wauliza maswali kama wanaogopa kuuliza maswali mbona kuna kesi mahakamani kuuawa kwa albino?

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Месяц назад +1

    Gazeti la mwananchi!!!!??

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Месяц назад +2

    Mbona hata watu wazima wanatekwa mmh

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад

      Tanzania haijawahi kuwa na Waziri ambae haeleweki kama huyu

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 25 дней назад

    Hakuna mungu wa kutujalia wrong myself wewe labda upewe uongozi huko huko kwenu soo huku...

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Месяц назад

    ILA BORA UTUONGOZE WEWE KULIKO HUYO MTOTO WA MAKAMBA

  • @skuleetech6896
    @skuleetech6896 Месяц назад +1

    Uhalifu kupungua ,je vituoni mahabusu wamepungua

  • @user-pr2pn8xs1q
    @user-pr2pn8xs1q Месяц назад

    Mheshimiwa waziri nakuomba kwa jinsi hali ya upotoshaji wa habari na ukweli waandishi wa habari hao wangechukuliwa hatua kali.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Месяц назад

    Hotuba kaandikwa au niaje mbona anafanya kuisoma

  • @allyjarufu1461
    @allyjarufu1461 Месяц назад

    M

  • @HeriMohamedi-re7xu
    @HeriMohamedi-re7xu 27 дней назад

    Makondoo ni watanganyika siyo Zanzibar jeshi la lenyewe linadili n'a chadema mambo ya watu wanakufa wenyewe hawajui waza'zibar qanapokezanakuja kuja kwa wajinga

  • @ZawadyKaoneka
    @ZawadyKaoneka Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uswe tukuti asee

  • @user-pr2pn8xs1q
    @user-pr2pn8xs1q Месяц назад

    Kuna habari sasa hivi za Makonda kupotea na kupewa sumu mwandishi wa habari kama huyu aulizwe habari hizo amezipata wapi kama sio kweli achukuliwe hatua.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Месяц назад

    Serikali inafaidi nini kuwa na waganga wa ramli karne hii? Futeni usajili tubaki na utabibu wa kawaida kama nchi zingine dunia iliyoendelea. Wananchi wanafahamu nan mpiga ramli chonganishi na nani ni.mtabibu bila ramli. Wizara inayotoa usajili iwajibike kufuatilia mienendo ya waliowapa leseni. Hata baadhi ya madhehebu yanaendeshwa kishirikina lakini mtoa leseni.achukue hatua stahiki kuyaadhibu. Mamlaka za usajili zichukue hatua za kiuchunguzi je masharti.ya leseni yanafuatiliwe vilivyo? Wananchi tuwe bega kwa bega na serikali hasa kutoa taarifa sahihi.

  • @abeidsanga7361
    @abeidsanga7361 Месяц назад

    Tunamtaka Makonda

  • @gadielmungure9711
    @gadielmungure9711 Месяц назад +1

    Tuambieni wasiojulikana mmewakamata wangapi? Watu waliotekwa na mmewawakoa wangapi? Mh. Umesema mnapambana na wanaoteka watoto. Je hao wanaotekwa na magari kuteswa na kutupwa msituni taarifa yake ni vipi?

  • @frankmakyao7657
    @frankmakyao7657 Месяц назад

    Tukumbuke!! Maadui wa hii nchi na wale wenye jucho la husda BADO WAPO.
    Nia yao ni kuasudio la kuichafu ili ATI AONEKANE HAWEZI
    Mama mwenyewe kwa mdomo wake aliawma, " Vyama pinzani ukiwatekelezea yalio kwenye TARATIBU ZILIZOPO HAWANA TATIZO. Tatizo lipo kwa wavaa nguo za KIJANI!"!.

  • @ymohammed963
    @ymohammed963 Месяц назад

    Mzenji

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Месяц назад +1

    Polisi wanafanya kazi kubwa gani,? Labda ya kupoteza watu

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад

      Si wanawalinda wao ndio maana hajali

  • @IbrahimKasambala-ts8re
    @IbrahimKasambala-ts8re 18 дней назад

    KWA NINI?WAZIRI WA MAMBO YA NDANI MAMBO MENGI YANATOKEA HUTOKI KAMA ULIVYOTOKA LEO? UZALENDO SIKU HIZI UKO WAPI LITOKEE LIPI ILI UWEZE KUJIUZURU?

  • @frankmakyao7657
    @frankmakyao7657 Месяц назад

    Jeshi la Polisi ni UKWELI WANAFANYA KAZI YAO KWA 80% (nionavyo) ila TRAFIKI WA BARABARANI NI 45% tatizo . Wizi wamefanikiwa kwa zaidi 95%
    Naomba tusijeTUKAWANYOOSHEA KIDOLE JESHI LA POLISI.
    TUWACHUNGUZE WAZEMBE WAPISHE!

  • @user-fx6zr6ij5y
    @user-fx6zr6ij5y Месяц назад

    Hawa wanahabari wa Tanzania ni vichekesho wanauliza maswali ya uwoga uwoga tu pumbavu

  • @frankmakyao7657
    @frankmakyao7657 Месяц назад

    Nimeamini Serikali ya Mama ipo makini.
    Hata asemwa vibaya hadharani, MSICHOKE, heri wasemao kuliko wale NDUMA KUWILI.
    AMANI, UPENDO NA MSHIKAMAO NDIYO VITU VYA KWANZA!.
    MAENDELEO misingi yake ndiyo hiyo!!

  • @TLAQASISULLE-zr5qg
    @TLAQASISULLE-zr5qg Месяц назад +1

    Acha kudanganya watu sativa na hao wanaotekwa na magari vp

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd Месяц назад

    hivi ninyi viongozi uchwara kuweni na haibu basi atakidogo, yani mtu anatekwa nayeye mwenyewe anasema police wana usika, alafu we unasema nchi iko safi acheni ubwege, tumechoka propanganda zenu wajinga sana nyie yani mpa nchi ikamwage damu ndio hakili zenu zita funguka,,?

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Месяц назад +2

    HUYU WAZIRI NI SHOGA, ETI WATU WANATESWA KISIASA👁️👁️! RUDI KWENU ZANZIBAR JISHOHA

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Месяц назад

    Je Ile taarifa ya gari la mafuta kugeuzwa kuwa chombo maalum ya kubebea watoto ni vipi

    • @elizabethmassi7327
      @elizabethmassi7327 Месяц назад

      lile gari lilibeba wahamiaji haramu na sio watoto tuache kuongeza chumvi

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Месяц назад +1

    Mambo ya ndani kombo mpeleken hoapitali kidole kinanza tumbo limefurugika police mnakaa na mtu badala ya kumpeleka hosp

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh Месяц назад

    Mdogo wangu masauni kazan sana lazima uwe mkali usipochukua hatua afirika imebadirika lejesha macaroni wa nyumba kumi

    • @Omarjumanne-zm9zh
      @Omarjumanne-zm9zh Месяц назад

      Lejesha mabarozi wa nyumba kumi

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 Месяц назад

      ​@@Omarjumanne-zm9zh Ibrahim Troure wa Burkina Faso Ni kidume kweli naongea bila shida anakabili maswali ya Aina yote

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Месяц назад

    Mheshimiwa waziri mimi majuzi nimeona video mtu akimwagiwa mafuta na kuvalisjwa tairi bovu na kuchoma moto kwa tuhuma za kutaka kuteka mtoto je! Kama ni kweli polisi ilifikia wapi kiupelelezi

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Месяц назад +1

    Nenda tu kwenu zanzibar huku tanganyika tumewachoka

  • @user-hn7uv4yg2q
    @user-hn7uv4yg2q Месяц назад

    fake news serikali iwe kali world wide fake news ni uharifu😟