Iringa ,acheni uchawa kwa CCM mmesikia hiyo ya kwamba shimo la panya halizibwi na kipande chamkate bali lina zibwa kwa mawe yenye cument kali ili afie humo 2024/2025 nikuhakikisha CCM tuna icement kabisa hata isifufuke wala kuishi tena kama chama cha KANU cha kenya
nakupata mwambigija hawaelewi vizuri ccm
Ujumbe mkali umewafikia nyang'au CCM 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwamba mwingine wa Rungwe ,usiopukutika kwa mvuA... Wala kimbunga.
CCM mnalo!!
Iringa ,acheni uchawa kwa CCM mmesikia hiyo ya kwamba shimo la panya halizibwi na kipande chamkate bali lina zibwa kwa mawe yenye cument kali ili afie humo 2024/2025 nikuhakikisha CCM tuna icement kabisa hata isifufuke wala kuishi tena kama chama cha KANU cha kenya