FITNA 7 ZA MUUNGANO ZA MLIZA MAKAMU WA KWANZA WA RAISI ZANZIBAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 149

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp 5 месяцев назад +8

    Bila kupepesa macho hiki kizazi cha leo cc muungano hatuwebu,tugawane mbao sio hawa wanaharamu wa ccm kung,ang,ania kujaza matumbo yao moto wa jahanam kwakututoza nguvu ss ifikie mwisho

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb 5 месяцев назад +14

    Hawa viongozi wa ccm wanajali matumbo yao tuu hawaumizwi kabisaa na nchi yao kila siku nchi yetu inadhalilika inashuka hadhi maadil wapo na yote hio ni Mungano. Uchaguzi ukija km vita yote hio wanataka kudhulumu wakae kibabe halafu waingie miskitin waseme tudumishe Amani dhulma tupu.

    • @Skomi-0nedayyes
      @Skomi-0nedayyes 5 месяцев назад +1

      Halafu kuusu amani wanatuongopea Tanzania aipo ata 20 bora ktk nchi za afrika zenye amani ndo watu wafahamu kwmba siasa ni ulaghai, Tanzania ukilinganisha na DRC, SUDAN,SOMALIA ETHIOPIA Nk.ni kweli Sababu Izo NCHI zinapigana vita lakini uwezi kulinganisha na nchi zilizo Bakia barani Afrika Tanzania sio Nchi Miongoni zinazo ongoza kwa amani Afrika

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 5 месяцев назад +13

    Ata sisi watanganyika atutaki muungano kivuli maana kila siku tukitoka Matembezi Zanzibar tukirudi na kitu tu kidogo tunatozwa kodi kubwa na maafisa wa TRA wanasema wazi kuwa ni nchi mbili tofauti razima ulipe kodi kwanini ununue Zanzibar kwani kaliakoo akuna. Ivyo mie sioni umuhimu wa muungano kma mwananchi labda viongozi ndo wananufaika na muongano Kwaiyo kama vp bora kiramtu apawe 50 zake tutabaki kuwa ndugu tu sioni baya.

    • @LeeySeedorf
      @LeeySeedorf 5 месяцев назад +5

      Fact 100% hauna maana yeyote muungano hasa kwa ujinga wa hapo bandarini tu

    • @IssaMohamed-mp4hj
      @IssaMohamed-mp4hj 4 месяца назад

      Kweli

  • @اللهأكبر-ذ7ث3س
    @اللهأكبر-ذ7ث3س 5 месяцев назад +11

    Ilo neno Muungano kichwani mwangu sitaki ata kulisikia
    Waislam tushagewa

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx 5 месяцев назад +7

    Uvunjike bwana maslahi hakuna isipokua kwa wakubwa tu

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk 5 месяцев назад +6

    HUU MUUNGANO HAUNA MAANA YEYOTE KWA ZANZIBAR. ZAIDI YA KUFINYWATU. . ATA SHEIKH ULUNGA ALISEMA KUA KWA SASA ZANZIBAR SI NCHI BALI NI MKOA WA TANGANYIKA.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 5 месяцев назад +1

      Bora hata nyie mnafaidi kuliko sisi.Nyie mnanunua ardhi wakati huku siyo kwenu

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i 2 месяца назад

      ​@@FridayMwassaardhi nini ndg

  • @oscar-pc6fz
    @oscar-pc6fz 4 месяца назад +2

    Najifunza sana kuhusu muungano, mbona wanasiasa amuleweki.

  • @josephpetro2968
    @josephpetro2968 4 месяца назад +1

    zanzibar ni unguja pemba ni nini.mkivunja muungano mtasambaratika kama mwl. nyerere alivyosema.

    • @KhamisAli-r1w
      @KhamisAli-r1w Месяц назад

      Kabla ya muungano unguja na Pemba waliishije????!!;, wewe na nyerere wako nyote waganga tu....

  • @AisajumaKikwajuni
    @AisajumaKikwajuni 5 месяцев назад +2

    Uvunjike si lazima kila siku tunasoma hatutaki tumechoka kuuliwa na kudhalilisha tokea mapinduzi waznz wangapigwa sasa kila miaka mitanno wanaletwa majeshi na bifaru kuja kuwa znz.

  • @Humble.....
    @Humble..... 5 месяцев назад +4

    Wazanzibari tusimtafute mchawe ni sisi wenyewe.... Hebu rudini kw ALLAH... Kuna Amri nyingi za Allah zikiukwa na wazanzibar wenyewe...

    • @MakameCarhire
      @MakameCarhire 5 месяцев назад

      Tunataka wazanzibari gari kutoka zanzibar zikienda bara zisitozwe ushuru😢bara mama liangalie hili kiliochetu kikubwa wazanzibari na wabara

    • @HusnaKhamis-bf9sm
      @HusnaKhamis-bf9sm 5 месяцев назад +2

      Hatutaki tena mungano watanganyika hawatutaki mema kilamoja achukuwe ubaowake

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 5 месяцев назад +1

      ​@@HusnaKhamis-bf9smHatuwatakii mema wakati kila kitu mnategemea bara na mnanunua ardhi bila masharti

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 4 месяца назад +3

    Tanganyika inafaidi nini huu muungano, hata huu muungano usipokuepo Tanganyika itapata hasara gani , kuna kipi Tanganyika inapata Zanzibar,

    • @MackameHassani
      @MackameHassani 4 месяца назад +1

      Yeeeeees!!!!! Km tukiamua sote sasa tuanze kuongea itakuwa ni makelele tuu, wenzetu wa visiwani malalamiko yamekuwa mengi mnoo. Ukiwasikilza vizuri hawa viongozi wa Act nikujazana chuki tuu. Km wanataka nchi yao na wapewe tuu nchi yao baasi ubaki udugu wa kihistoria.

    • @KhamisAli-r1w
      @KhamisAli-r1w Месяц назад

      Kuna siri kubwa wanaijua viongoz wetu, so bure!!!!.

  • @DarrAlzain
    @DarrAlzain 5 месяцев назад +3

    Sababu Halisi Ya Muungano Ni Kuwadhalilisha Wa Zanzibar
    Hata Uhuru Wa Tanaganyika Ni Kuwadhalilisha Wa Tanaganyika

  • @saeedslum1163
    @saeedslum1163 5 месяцев назад +2

    Nyinyi wenyewe muliungana na tanganyika hamukulazimishawa mulipendua hukmu ya sultan mukaongana na Tanganyika mukauwa zaidi ya 25000 waislamu wenye asili ya kiarabu bila sababu... Mwenyezi mungu hawatasamehe :
    قال تعالى : ومن يقتل مؤمنا متعمدا فجزاؤه جهنم خالدا فيها وغضب الله عليه و لعنه وأعد له عذابا عظيماً

    • @smallscaleminingsupplies9670
      @smallscaleminingsupplies9670 4 месяца назад

      Hao waarabu wameua waafrika wangapi

    • @saeedslum1163
      @saeedslum1163 4 месяца назад

      Wewe mrongo wala huna dini wewe una chuki na warabu na utakufa na roho yako mbaya. Wakati wa hukmu ya sultan Zanzibar ilikua ni inchi ya amani.. Kufa na chuki yako.. Mpaka Leo waramba ndio wanatoa misaada Zanzibar.. Lakini utakufa na chuki yako hasidi

  • @kipozeobakari7254
    @kipozeobakari7254 Месяц назад

    Tafuteni sera nzuri acheni kuzungumzia muungano kwani hauna tatizo ila wenyematatizo ninyie wanasiasa

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge3695 5 месяцев назад +1

    Si uvunjike tu kwani tatizo liko wap? Acha inyeeshe tuone panapo vuja.

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda2734 4 месяца назад

    Mbowe hacha ubinafsi nchi hii haitatawaliwa na wachaga wewe mbowe humeweka ukabila mbele na mfano siku chadema wakichukua nchi wewe mbowe hutawafukuza wakina lisu kama kuku chadema itakuwa ya wachaga

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 4 месяца назад

    MUUNGANO SIO HALALI SABABU HAWAKUCHANGANYA MAJI YA BAHARI

  • @BonifaceHassan-j5m
    @BonifaceHassan-j5m 4 месяца назад

    Hakuna sababu ya muungano,kila huyo akae na nchi yake!

  • @KhadijaIbrahim-xr5eg
    @KhadijaIbrahim-xr5eg 4 месяца назад +1

    Kuwenahakikatikamuungano

  • @yonazimpombe1160
    @yonazimpombe1160 4 месяца назад

    Siasa za waungwana na watwana

  • @paulnachenga6302
    @paulnachenga6302 4 месяца назад

    Mtoto akililia wembe muache tuwaachie wajitegemee mbona tunawang'ang'ania tuwaache hao

    • @KhamisAli-r1w
      @KhamisAli-r1w Месяц назад

      Kakojoe ukalale!!! Kesho shule!!!.

  • @IssaMohamed-mp4hj
    @IssaMohamed-mp4hj 4 месяца назад

    Kwani watanganyika tunapata nini kwenye uumungano tuuvunje kilasiku vijembe adi tumechoka gesi ipo tanganyika tunakila kitu

    • @KhamisAli-r1w
      @KhamisAli-r1w Месяц назад

      Viongozi ndio wenye maslahi na huu muungano....

  • @fabby1181
    @fabby1181 4 месяца назад

    Tujifunze sote

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm 5 месяцев назад +2

    Zanzibar imekwisha koloni latanganyika kutawaliwa na mtumweusi nishida sana

  • @MwinyiAhmad
    @MwinyiAhmad 4 месяца назад

    Yasemwe tuu

  • @KhadijaIbrahim-xr5eg
    @KhadijaIbrahim-xr5eg 4 месяца назад +1

    🎉hakisawakwawote

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 5 месяцев назад +1

    Mnatakiwa mpambane sana ili mrudi wanzanzibar

  • @kassimhaji1141
    @kassimhaji1141 5 месяцев назад +1

    Jamani wazee wetu tunakosea wapi asa mpaka leo Zanzibar

  • @maskatitravel
    @maskatitravel 5 месяцев назад

    Tunataka Zanzibar HURU na kiti chetu cha U. N. Tukorudishe. Tanganyika wawe na mamlaka yao na Zanzibar iwe mamlaka yake.

  • @ElihurumaThomas-kz8nq
    @ElihurumaThomas-kz8nq 4 месяца назад

    ME NAONA BORA MUUNGANO UVUNJIKE TUBAKIE TU KUA NDUGU KAMA ILIVYO KENYA NA UGANDA NI NDUGU ZETU NA TUNASHIRIKIANA TU VIZURI COZ WAZANZIBARI HAWAUTAKI MUUNGANO NA WATANGANYIKA PIA HAUTAKI .WANAOTAKA MUUNGANO NI VIONGOZI AMBAO KIMSINGI HUENDA WANAMASLAHI YAO. IPIGWE KURA YA MAONI WANANCHI WAAMUE WENYEWE

  • @nyumbanituthegendaheka7222
    @nyumbanituthegendaheka7222 5 месяцев назад

    Nyie wa zanzibar mnadhania hasili yenu wapi? Bara au Oman? Maana watu waliokaa zanzibar ni wavuvi na watumwa aliokwenda huko...sasa kujifanya kama ni watu wa tofauti bhas hamjui hasili na historia yenu...mnadhania nyie waarabu sababu ya kupokea Dini na tamaduni za mwarabu

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 5 месяцев назад

    ZANZIBAR inamaadui wa 3
    Adui wa kwanza ni Adui wa Ndani ccm.
    Adui wa pili ni Adui jiran Tangayika
    Adui wa tatu ni Adui wageni wa njee ya tanzania wengereza a marekani

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 5 месяцев назад

    Kama utafutwa muuungano mchanga uchaguliwe wa bara urudi na visiwani ubaki huko

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm 5 месяцев назад

    Tuungane upya mambo yaendele bilahivyo watuache tupumuwe

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk 5 месяцев назад

    NIPO JAMHURI YA MSUMBIJI NAUMIASANA NA MUUNGANOHUO. MAANA UNAWAKANDAMIZA KWANZA WAISLAMU NA UISLAMU. PILI WAZANZIBAE WENYEWE.

  • @deo-gratiasmwita
    @deo-gratiasmwita 5 месяцев назад

    Naheshimu saana mawazo huru ya Kila Mtu! Mwaafrika mwenzetu anapo chochea kuvunja umoja wa Waafrika namshangaa saana! Nillitegemea Mheshimiwa atatoa mapendekezo namna ya kuboresha umoja wetu! Badala yake anatoa sababu za kuuvunja! Hivi hajui Lego kuu la Africa kwa Sasa ni kuungana!

    • @KhamisAli-r1w
      @KhamisAli-r1w Месяц назад

      Watu washajichokea weweee!!!! Kila kukicha vijana kutoka kisiwa cha Pemba wanakimbilia DSM kusaka ajira, Zanzibar kunanuka njaa.

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 5 месяцев назад

    Watangayika hawana tafauti kama wa israel kwa nchi ya Zanzibar

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 5 месяцев назад +2

    Mie binafsi sipendi kuskia neno Tanzania bara kwani Tanganyika yetu iko wapi, na Sisi tunataka tanganyika yetu maana kuna Zanzibar na Kuna Tanganyika je Tanganyika iko wapi maana Wazanzibar wanavitambulisho vyao vp kuusu Watanganyika.

    • @farheenmasoudchannel2495
      @farheenmasoudchannel2495 5 месяцев назад

      WEWE UNA AKILI SANA HAKUNA KUTAWALIANA KWA ZAMA HIZI ZANZIBAR HAWAKATAI MUUNGANO ILA MUUNDO WA MUUNGANO SII MZURI

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq 5 месяцев назад

    Watanganyika,hawana,nchi,nchi,Yao,muungano,

  • @AbduliHalim-o2y
    @AbduliHalim-o2y 5 месяцев назад

    Fitina gani kwani sisi hatuoni kuwa Zanzibar tunaonewa na kiukweli wazanzibari hatuwapendi wa bara sababu nyinyi si watu wazuri jecha mulomteka na jeshi😊

  • @AllyRamadhani-wl3um
    @AllyRamadhani-wl3um 5 месяцев назад

    Huna lolote we makamu ni mbinafsi Sana umekosa Sera muungano utadumu tu nyie mnaopinga muungano ni wafuasi wa shetani lusifa

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 5 месяцев назад

      Allah akulaani adui wa Wazanzibar!usiyekuwa na hata aibu!au ni Mzanzibara uliyepewa eka Machui na Kizimbani?

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 5 месяцев назад +1

    Janja janja.

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 5 месяцев назад

    Othman mwisho ndio ulikokosea

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 5 месяцев назад

    WAZANZIBARI NA RAIS SAMIHA SULUHU NI MISUKULE YA WATANGANYIKA TU, ANAKIJA RAIS MTANGANYIKA MTAKIONA CHA MOTO👀👀

    • @abdallaomar4009
      @abdallaomar4009 5 месяцев назад

      Hata nyinyi mutakiona cha moto mbele ya Mung na huko ndio kwenye moto haswa, hapa hapana lolote.

  • @farouqjaku951
    @farouqjaku951 5 месяцев назад

    Wan'yamwezi wa kibongo wajan'ja.

  • @HijaxZone
    @HijaxZone 5 месяцев назад

    Wanatafuta lawama wa Zanzibar

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 5 месяцев назад

    KAARUME NA YERERE NDIO CHANZO WA HUU UCHAFU LEO UNAOTUSUMBUWA

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 5 месяцев назад +1

      Kweli kabisa mimi naamini nje ya Muungano huu wa dhulma Zanzibar tungekuwa na maendeleo makubwa kabisa.Afrika Mashariki nzima hakuna anayetufikia.

  • @Championmjeluman
    @Championmjeluman 5 месяцев назад

    Mbona wapemba tu

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln 5 месяцев назад

    Muungano 😂😂😂

  • @suleimanmuhammad-bu7pe
    @suleimanmuhammad-bu7pe 5 месяцев назад

    Me naamini kwa viajana wa ccm Zanzibar walikua hawajaamka kiakili Kabla mwanzo ila tusikate tamaa cis kwanza1.nchi yetu tuamini kama tunaweza kuishi kama ulaya ya kati . kama Singapore wallah nawaambia

    • @fatumamroki2716
      @fatumamroki2716 5 месяцев назад

      😂😂😂mtakufa njaaa mkinywa maji ya karafuu 😂😂😂

    • @IvanChrisantus
      @IvanChrisantus 5 месяцев назад

      Baada ya hapo nao wapemba watataka uhuru wao

  • @saumumtait1381
    @saumumtait1381 5 месяцев назад

    Qw

  • @saumumtait1381
    @saumumtait1381 5 месяцев назад

    P

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 5 месяцев назад +1

    Kweli nimeamini kila mja na urefu wa akiliyake ! Kwasababu hata mchanga mnautowa bara wabara wanachukuwa nini kwenu? au wabara wanapata nini kwenu? acha hizo

    • @MokiwaAbdallah
      @MokiwaAbdallah 5 месяцев назад +1

      Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake!lini wewe ni kipara kabisaa!au ni chuki tu zinatawala akili zake kipara?

    • @MWIGAADAM-r3e
      @MWIGAADAM-r3e 5 месяцев назад

      Kaaa tafakar Tanganyika inachukuwa Nini kutoka Zanzibar mbona wazanzibar wanapiga kelele sana?

    • @khalifasaidi7001
      @khalifasaidi7001 5 месяцев назад

      @@MWIGAADAM-r3e ni uraghai unaotokana na waarabu haswa hizbullah mbona inakuwa wapembazaidi kuliko waunguja?

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 5 месяцев назад +1

      Mjinga sn kumbe ww sasa kama hawapati ki2 kwann musituachie znz jamani

    • @khalifasaidi7001
      @khalifasaidi7001 5 месяцев назад

      @@KassimAlly-xp4dz wewe unayesambaza upumbavu ndo mjinga huna elimu ya kutosha ungekuwa na elimu using ng'ang'ania uozo kama huo Africa nzima watu wanataka iwe moja wewe unakazi ya kuusakama muungano kwanini usizungumzie maendeleo azim yanayofanywa na ccm chini ya doctar mahili raisi mwinyi,,,leo zanzibar imekuwa mulwa!!!

  • @jumA-th7rs
    @jumA-th7rs 5 месяцев назад

    Nafasi uliopewa na ccm ulichukua uamuzi gani na hiyo niayako njema wewe Fitina tu.

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 5 месяцев назад +1

      Alikata kuiuza Zanzibar kwenye bunge la katiba

    • @Yussuf-b3b
      @Yussuf-b3b 5 месяцев назад

      Wewe hujuwi kitu wala hufahamu analolisema,,ANASEMA HUU MUUNGANO SIO MUONGANO NI KUIDHIBITI ZANZIBAR NA KUTAKA KUIFANYA IWE MKOA,,USIFANYE UCHAWA KWENYE MAMBO YA KITAIFA

    • @mhandomhina5503
      @mhandomhina5503 5 месяцев назад

      Hii ndio lugha majukwaa ya siasa hutoka vinywani tu na wapo walikuwa mawaziri viongozi huko huko lakini walivujisha mipango ya Zanzibar kujitoa Kwenye huu muungano lakini walipotoka serikalini na kuja Kwenye majukwaa haya Kwenye mfumo wa vyama vingi basi hadithi zao kubwa za kuwateka watu ni kichaka Cha kujivua na kero za muungano japo unazingua pande zote mbili

  • @IvanChrisantus
    @IvanChrisantus 5 месяцев назад

    Baada ya hapo , wapemba nao watataka uhuru wao !

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 5 месяцев назад

      Pemba haikuwa nchi watataka uhuru wao kutoka wapi ?.hebu nifahamishe mimi nielewe.kama Pemba itataka uhuru na Morogoro itataka uhuru, Daresalam itataka uhuru, Singida itataka uhuru na sehemu nyingine pia .kama Dodoma ,Kagera na sehemu nyinginezo .hizo zote ni hisia za kufanya watu wasidai haki katika Muungano ndio munahisia za kijinga kama hizo.

    • @panduali4862
      @panduali4862 5 месяцев назад

      Mbona haikudai kabla ya huo muungano.? Pemba haikuungana vp idai Uhuru?

    • @farheenmasoudchannel2495
      @farheenmasoudchannel2495 5 месяцев назад

      ATA WAPEMBA WAKITAKA UHURU WE SIO KAZI YAKO SISI NA NYINYI TUMEUNGANA UNGUJA NA PEMBA NI ZANZIBAR
      ULIWAHI KUSKIA PEMBA INADAI UHURU NYIE WA BARA MACHIZI

    • @IvanChrisantus
      @IvanChrisantus 5 месяцев назад

      @@farheenmasoudchannel2495 Kwa hio wapemba ni watu wa "Zanzibar " jaribuni tuone

    • @IvanChrisantus
      @IvanChrisantus 5 месяцев назад

      @@panduali4862 Kwa hio wapemba ni watu wa "Zanzibar " ok

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 5 месяцев назад +1

    Mtu fitina ni mbaya kuliko muuwaji, na kama huoni hawa act ni fitina wewe ni mgonjwa sugu wa akili.

    • @Yussuf-b3b
      @Yussuf-b3b 5 месяцев назад

      Jichunguze wewe kwanza elimu yako na elimu yake halafu ndipo utoe matusi,,mtu husikilizwa na kupewa uongozi kutokana na elimu yake ,,sasa wewe mwenzangu una uwezo wa kujibu yote aliyozungumza au una uwezo wa kutoa matusi ?WASWAHILI WANASEMA ELIMU YA MJINGA NI MATUSI

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 5 месяцев назад

      @@Yussuf-b3b hata Firauni, hamana na Abu jahal walikuwa wasomi WA wakati wao. MTU hapimwi Kwa makaratasi alozawadiwa hupimwa Kwa anachoongea mbele za watu.

    • @maishasafari9724
      @maishasafari9724 5 месяцев назад

      @@Yussuf-b3b kuna cha maana alichoongea hapo. Zaidi ya malalamiko. Sisi tuna focus kuanzisha East African currency, yeye anataka Zanzibar currency 😢 maandazi kabisa.

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 5 месяцев назад

      Kwa akili zako wewe,na mimi kwangu anaye kataa dhulma anayofanyiwa ni mtu mwenye akili sana kuliko anayekubali dhulma anayofanyiwa na kukaa kimya bila kuipinga dhulma hiyo.

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 5 месяцев назад +1

    Sasa hiyo kesi atapelekewa nan aitatuwe maana hata mkipeleka nje hakuna liwalo.. nisawa na kesi ya nguruwe kumpelekea nguruwe..

    • @farheenmasoudchannel2495
      @farheenmasoudchannel2495 5 месяцев назад

      WE UNAUMIA NAONA ILA SISI HATUWATAKI BARA MNAJILAZIMISHA KWETU MDA MREFU HATUTAKI

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5uk 5 месяцев назад

    Asoelewa uyo sio mzanzibari

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln 5 месяцев назад

      Yupi sio mzanzibar

    • @IvanChrisantus
      @IvanChrisantus 5 месяцев назад

      Baada ya hapo nao wapemba watataka uhuru wao

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 5 месяцев назад

      Pemba haikuwahi kuwa nchi watataka uhuru kutoka wapi?.kwa maana hiyo hata Morogoro ,Dodoma ,Singida,Ruvuma,Mbeya na sehemu nyingine watataka uhuru pia sio Pemba tu peke yake mbona husemi .acha akili za kitoto watu wanazungumza mambo ya maana watu wamenyimwa maendeleo katika nchi yao kwa roho mbaya tu za watu wengine kwa kisingizio cha Muungano.

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 4 месяца назад

    Ukitaka ujue sio muungano nunua kitu Zanzibar njoo nacho bara

  • @AllyRamadhani-wl3um
    @AllyRamadhani-wl3um 5 месяцев назад

    Muungango ni Jambo nzuri Ila wabinafsi wanaopenda kujitenga ni watu wabaya Sana gadafi mungu amrehemu alipenda afrika tuungane we makamu wa raisi wa nzanzibar dumisha muungango acha ubinafsi

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 5 месяцев назад

    Juzi kuna Kiongoz flani kutoka SUZA eti hoja yke yy ni kwmb kuna Wazanzbar 1 mil wanaish Tanganyika hvo Muungano ukivunjika watu wale watakwend kuish wp
    Halaf naskia alietoa hoja hii Msomi wa Kiwango cha Proffesa

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 5 месяцев назад

      Wazanzibar wapo Uganga,Kenya ,Rwanda,UingerezaMarikani ,huko hatuna Muungano ,hata huko bara utawekwa utaratibu wanaweza kuendelea kuishi huko huko bila ya kuwa katika Muungano .isipo kuwa watafuata taratibu zilizopo kama Wazanzibar waliopo Rwanda,Kenya ,Rwanda.

    • @IvanChrisantus
      @IvanChrisantus 5 месяцев назад

      Baada ya hapo nao wapemba watataka uhuru wao

    • @Soon815
      @Soon815 5 месяцев назад

      Wewe unaakili wewe?? Hiyo pia ni hoja wakifukuzwa wanaenda wap!? Wewe mjinga

  • @perisiverympwenku139
    @perisiverympwenku139 5 месяцев назад

    Muungano ni kitu kizuri zanzibar laxima muunganishwe lasivyo mtapigana wenyewe geographia hii pemba na unguja ..kisha mtulipue na sisi wtanganyika kwa ugaidi ..nA itikadi zenu kali za mlengo wa kushoto..kueni na akili..haya ndio maendeleo..elimu nimewapa.ichukueni..

    • @farheenmasoudchannel2495
      @farheenmasoudchannel2495 5 месяцев назад

      WE CHIZI UNAMPA ELIMU NANI SI SI HATUWATAKI MNAFORCE HATUNA SHIDA NA UDUGU NA NYINYI HATUFANANI MBONA

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i 2 месяца назад

      We una cha kutupa ss

    • @perisiverympwenku139
      @perisiverympwenku139 2 месяца назад

      @@SuleimanMussa-x5i tumewapa muungano na hamuwezi kuuvunja jaribuni muone..hata Mungu anapenfa watu waungane wapatane,lkin mashwetan hayapend uMoja..

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 месяцев назад

    ✌️👊👍.

  • @topmixmedia-d7h
    @topmixmedia-d7h 5 месяцев назад

    muungano Daima❤

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 5 месяцев назад +4

    MZIZI WA MUUNGANO
    NI
    UKOLONI WA TANGANYIKA
    Kwanza Wavunje Muungano Khalafu Kung'owa Mizizi Saba.

    • @Skomi-0nedayyes
      @Skomi-0nedayyes 5 месяцев назад

      Wazanzibar watakacho kiamua Sisi watanganyika tuna wasaport 💯 maana nasi atuoni manufaa yake kma kuna manufaa basi tuunganeni na nchi zengine za afrika mashariki lasivyo sote kwa pamoja tuseme imetosha Free Zanzibar free Tanganyika na bado tutabaki kuwa ndugu lakini lakini bora kila nchi iwe na mamraka yake mie nasikitika Tanganyika imefutwa akuna Tanganyika kuskika wakati ndio iliyounda Tanzania leo hii Imebaki Zanzibar na Tanzania bara kinacho ogopwa kutamka Tanganyika ni nini au kuna sili gani iliyo fichwa hapo. Nauliza ili swali kwanini kuna serikali ya Zanzibar na serikali ya muungano na akuna serikali ya Tanganyika why?? Kuna vitambulisho vya Zanzibar na vitambulisho vya muungano lakini akuna vitambulisho vya Tanganyika inamaanisha huu muungano ni fake.. free Zanzibar free Tanganyika

    • @IvanChrisantus
      @IvanChrisantus 5 месяцев назад

      Baada ya hapo nao wapemba watataka uhuru wao

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 5 месяцев назад

      CHUKI ZA UISLAM NI NGUZO
      ZA
      KUIMARISHA MUUNGANO
      ​@IvanChrisantus. Hiyo ni moja ya hoja ya NYEREREISM. Kama hivyo, Wakilwa watataka Uhuru wao.
      Mchungaji Christopher Mtikila, Kiongozi wa Full Salvation Church, Mbunge Njelu Kasaka wa Mbeya, Jenerali Ulimwengu na wengi wengineo walitaka Uhuru wa Tanganyika wakati wa Uraisi wa Ali Hassan.
      Lakini kwa sababu hawa ni Makiristo hawakutiwa jela ila Mashekhe wa Uamsho nao walipodai Mamlaka Kamili ya Zanzibar, Hussain Ali, Mzaliwa wa Tanganyika aliwafunga zaidi ya miaka minane. Na walitoka baada ya kuwa Rais.

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 5 месяцев назад +2

    Udumu Muungano wetu

    • @fahmysaid-zw4np
      @fahmysaid-zw4np 5 месяцев назад +3

      udumu na mkundu wako usije kufirwa

    • @muhammedbakari2867
      @muhammedbakari2867 5 месяцев назад +3

      Sina uhakika kama ww ni mzanzibari kwali..ww ndio wale wale kina jon okelo..

    • @KichwaKigumu
      @KichwaKigumu 5 месяцев назад

      😅😅😅😅😂​@@fahmysaid-zw4np

    • @MWIGAADAM-r3e
      @MWIGAADAM-r3e 5 месяцев назад +1

      WA mama na baba Ako waliokuzaa mbwa ww

    • @muhammedbakari2867
      @muhammedbakari2867 5 месяцев назад

      @@MWIGAADAM-r3e Kwa wazanzibar tamu kwenu chungu ukome 🤣🤣🤣🤣shenzi..mukome kutufatafata kwan hamuna kwenu mpaka muig'a ng'anie Zanzibar.. eti muungano na kuma za mama zenu kama raha kuungana..