PAMBALU AICHAKAZA CCM KAGERA, ATOA HOTUBA NZITO, "MTAENDELEA KUTESWA NA CCM MPAKA LINI?"
HTML-код
- Опубликовано: 21 апр 2024
- #TANZANIA: John Pambalu, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema aichakaza CCM huko Kagera, atoa hotuba nzito, "mtaendelea kuteswa na CCM mpaka lini?, mnapeleka watoto wenu vyuo wakimaliza wanakuwa bodaboda kisha wanawaita maafisa usafirishaji, mpaka lini?, Idi Amini alivyokuwa anaichokoza Tanzania, Nyerere alijiuliza mpaka lini? akamtwanga"
John Pambalu, Mungu akubariki sana. Umenifanya nibubujikwe machozi..,😭😭😭...mpaka lini..!!??..😭😭😭
Sawa
Big up John safi sana
Kijana yupo vizuri
Mpaka lini inauma Sana watu wanacheka kama mazuri tuchukue hatua
Point pambalu creat lmotion into Tanzania population there kagera hiyo ndio sauti ya upinzani jengeni nguvu ya Uma umoja kulindana sababu upinzani nguvu yake ni unity kulinda wanachama wake na viongozi wake na kuwaaminisha sauti ya viongozi ni silaa na nguvu moja hapo mtafanya nchi ya wananchi sio vyama tuu eshima itakauwepo police na ccm chama tawala wataeshimu maamuzi ya wengi
Strong leader
Pambaru mungu akulinde
Pambalu Mungu akulinde
Huyu kiongozi wa CCM aitwe ahojiwe pengine anajoa walipo waliopotea na kama CCM inahusika kupoteza watuambie
Pambalu politics guys good point
Kiongozi wangu umenifanya ni mwage machozi ya hasila sana baada ya kunikumbusha kifo cha Alfonsi mawazo.
Mpaka lini
Duuuuh big up dogo
Upo vyema sanaaaa
Ujumbe mkali sana ndani ya siasa za Taifa letu, Mungu akuongoze kwenye elimu iliyopotea ndani ya Taifa letu
OPERATION MPAKA LINI
WELL DONE PAMBALU ❤️🙏🏾
Ongera Sana wanna kangera tupo pamoja kazi Andi ileweke
Tumeni maelokezo kwa kiswahili
Umetisha AA kamanda❤❤❤
Huyu ndio pambalu
Pamoja kagela
Point kaka,
Mungu awasaidie
John pambalu mungu akutakulie Yani unajaribu kuelimisha but tupo pamoja na wewe
Saf sana makamanda 2025 tunamalizana nahao wates wetu
Nicee
Power
Mtateswa nini Mozambique zenu zi
Mambi Mozambique sababu Zina imetawala mwilni lazima mate muadhibiwe wote Wana siasa ni vapiga diĺi
👍 good
Bravo
Idi Amini alikua sahihi ila NYERERE wenu ndie aliemchokoza uliza historia kama hujui 2:21
Upo sahihi kabisa.
MPAKA KESHO KUTWA MSIPO CHUKUA HATUA LEO
Products za SAUT
Haswaaaa
Ujumbe mzito kutoka kwa Mwlm John Pambalu!
Mazingira ya kisiasa yanayovumilia chama dola CCM kuhusika na jinai ya kupotezwa kwa wananchi hayapaswi kuvumiliwa hata kidogo!
Maisha ya kila raia yana thamani kubwa!
Sote tujifunze toka kwa Mwlm. Pambalu...MPAKA LINI?
Siasa ifanyike kwa ushawishi wa hoja SI KUTEKANA NA KUPOTEZA ROHO ZA WATU!
Wazeee wa maokoto wanasubiri wakazimege bungeni kule
Bgp pambaru
Ukovzur na sa hihi bro ✌️💪
Kamanda pambalu
Nimetoa chozi😢😢😢😢 mpaka lini
Inauma
Ukweli huo
Mh
0:51 ❤❤😂😂❤
Nami nimeelewa Pambalu alivyotueleza serikali isiyosikiliza hitaji la Wananchi "mpaka Lini"
Mh Pambalu kiboko
One dream,, until the last cell
#NASIMAMA NA SAMIA
Maisha yanazd kuw magum had tunataman ccm isngekuwepo
niko lufiji lakini pambalu naku fatilia upo powa sana mwamba
Mimi nadhani haya aliyamaliza mwl.nyerere na akamwachia Joshua ambaye ni mwinyi baada ya hapo wafalme wengine wakafuatia
Somebody comred Pambalu.
Mpaka liniiiii
Maisha ni magumu duniani kote, siyo Tanzania tu, bali ni kila mahali duniani
Pambalu huwezi kustaph bambana nahaliyako
Iyofasiyako tupesisiba watuawafanani sambay
Head shaking
Umesahau libiya
Tuko pamoja makamanda
😅😅😅😅😅😅😅😅
Hao wanasimamia ccm kuiba tuu
Na sisi tuseme mwisho ni
sasa majizi haya yaondoke
Kabisa kabisa
Neno kuntu
Ukisikia maajabu ya dunia watumnacheka matatito
Hapo ndo pakuchukua hatua
Pambalu umewakaaaa hatari
Nimetoa chozi😢😢😢😢 mpaka lini