PAMBALU AICHAKAZA CCM KAGERA, ATOA HOTUBA NZITO, "MTAENDELEA KUTESWA NA CCM MPAKA LINI?"
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- #TANZANIA: John Pambalu, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema aichakaza CCM huko Kagera, atoa hotuba nzito, "mtaendelea kuteswa na CCM mpaka lini?, mnapeleka watoto wenu vyuo wakimaliza wanakuwa bodaboda kisha wanawaita maafisa usafirishaji, mpaka lini?, Idi Amini alivyokuwa anaichokoza Tanzania, Nyerere alijiuliza mpaka lini? akamtwanga"
John Pambalu, Mungu akubariki sana. Umenifanya nibubujikwe machozi..,😭😭😭...mpaka lini..!!??..😭😭😭
Upo vzr sana , utafika mbali ndani ya chasde au nje ya chadema
Big up John safi sana
Point pambalu creat lmotion into Tanzania population there kagera hiyo ndio sauti ya upinzani jengeni nguvu ya Uma umoja kulindana sababu upinzani nguvu yake ni unity kulinda wanachama wake na viongozi wake na kuwaaminisha sauti ya viongozi ni silaa na nguvu moja hapo mtafanya nchi ya wananchi sio vyama tuu eshima itakauwepo police na ccm chama tawala wataeshimu maamuzi ya wengi
Pambaru mungu akulinde
Mpaka lini
Duuuuh big up dogo
Upo vyema sanaaaa
Mpaka lini inauma Sana watu wanacheka kama mazuri tuchukue hatua
Sawa
Huyu kiongozi wa CCM aitwe ahojiwe pengine anajoa walipo waliopotea na kama CCM inahusika kupoteza watuambie
Umetisha AA kamanda❤❤❤
Ongera Sana wanna kangera tupo pamoja kazi Andi ileweke
Kiongozi wangu umenifanya ni mwage machozi ya hasila sana baada ya kunikumbusha kifo cha Alfonsi mawazo.
Kijana yupo vizuri
Ujumbe mkali sana ndani ya siasa za Taifa letu, Mungu akuongoze kwenye elimu iliyopotea ndani ya Taifa letu
Hakika CHADEMA inawatu welevu akili mingi sana .MUNGU awabariki San.
Pambalu politics guys good point
All the best...kamanda..!
Kagera mna mtu, huyo dogo ni jembe!!
OPERATION MPAKA LINI
WELL DONE PAMBALU ❤️🙏🏾
Strong leader
Ujumbe mzito kutoka kwa Mwlm John Pambalu!
Mazingira ya kisiasa yanayovumilia chama dola CCM kuhusika na jinai ya kupotezwa kwa wananchi hayapaswi kuvumiliwa hata kidogo!
Maisha ya kila raia yana thamani kubwa!
Sote tujifunze toka kwa Mwlm. Pambalu...MPAKA LINI?
Siasa ifanyike kwa ushawishi wa hoja SI KUTEKANA NA KUPOTEZA ROHO ZA WATU!
Point kaka,
Mtateswa nini Mozambique zenu zi
Mambi Mozambique sababu Zina imetawala mwilni lazima mate muadhibiwe wote Wana siasa ni vapiga diĺi
Huyu ndio pambalu
Pamoja kagela
👍 good
Products za SAUT
Haswaaaa
Power
Ukovzur na sa hihi bro ✌️💪
Upo sahihi kabisa.
Ukweli huo
Inauma
Wazeee wa maokoto wanasubiri wakazimege bungeni kule
Bravo
Nami nimeelewa Pambalu alivyotueleza serikali isiyosikiliza hitaji la Wananchi "mpaka Lini"
Ccm ni laana ya Taifa hili
Kamanda pambalu
Nimetoa chozi😢😢😢😢 mpaka lini
Tumeni maelokezo kwa kiswahili
Maisha yanazd kuw magum had tunataman ccm isngekuwepo
niko lufiji lakini pambalu naku fatilia upo powa sana mwamba
Mh Pambalu kiboko
0:51 ❤❤😂😂❤
Saf sana makamanda 2025 tunamalizana nahao wates wetu
Maisha ni magumu duniani kote, siyo Tanzania tu, bali ni kila mahali duniani
Bgp pambaru
One dream,, until the last cell
#NASIMAMA NA SAMIA
Pambalu huwezi kustaph bambana nahaliyako
Idi Amini alikua sahihi ila NYERERE wenu ndie aliemchokoza uliza historia kama hujui 2:21
MPAKA KESHO KUTWA MSIPO CHUKUA HATUA LEO
Somebody comred Pambalu.
Umesahau libiya
Tuko pamoja makamanda
Na sisi tuseme mwisho ni
sasa majizi haya yaondoke
Kabisa kabisa
Mh
Hao wanasimamia ccm kuiba tuu
😅😅😅😅😅😅😅😅
Ukisikia maajabu ya dunia watumnacheka matatito
Hapo ndo pakuchukua hatua
Mbowe, nyundo sugu, lema wote wana bet.
Pambalu umewakaaaa hatari
Nimetoa chozi😢😢😢😢 mpaka lini
Mimi nadhani haya aliyamaliza mwl.nyerere na akamwachia Joshua ambaye ni mwinyi baada ya hapo wafalme wengine wakafuatia
John pambalu mungu akutakulie Yani unajaribu kuelimisha but tupo pamoja na wewe
Pambalu Mungu akulinde
Iyofasiyako tupesisiba watuawafanani sambay
Mungu awasaidie
Neno kuntu
Nicee
Head shaking
Mpaka liniiiii