PAMBALU AICHAKAZA CCM KAGERA, ATOA HOTUBA NZITO, "MTAENDELEA KUTESWA NA CCM MPAKA LINI?"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #TANZANIA: John Pambalu, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema aichakaza CCM huko Kagera, atoa hotuba nzito, "mtaendelea kuteswa na CCM mpaka lini?, mnapeleka watoto wenu vyuo wakimaliza wanakuwa bodaboda kisha wanawaita maafisa usafirishaji, mpaka lini?, Idi Amini alivyokuwa anaichokoza Tanzania, Nyerere alijiuliza mpaka lini? akamtwanga"

Комментарии • 74

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 5 месяцев назад +4

    John Pambalu, Mungu akubariki sana. Umenifanya nibubujikwe machozi..,😭😭😭...mpaka lini..!!??..😭😭😭

  • @IssaIra-j9u
    @IssaIra-j9u 3 месяца назад

    Upo vzr sana , utafika mbali ndani ya chasde au nje ya chadema

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 5 месяцев назад +2

    Big up John safi sana

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 5 месяцев назад +3

    Point pambalu creat lmotion into Tanzania population there kagera hiyo ndio sauti ya upinzani jengeni nguvu ya Uma umoja kulindana sababu upinzani nguvu yake ni unity kulinda wanachama wake na viongozi wake na kuwaaminisha sauti ya viongozi ni silaa na nguvu moja hapo mtafanya nchi ya wananchi sio vyama tuu eshima itakauwepo police na ccm chama tawala wataeshimu maamuzi ya wengi

  • @vitalisnyagali2774
    @vitalisnyagali2774 5 месяцев назад +2

    Pambaru mungu akulinde

  • @JonathanLugna
    @JonathanLugna 5 месяцев назад

    Mpaka lini
    Duuuuh big up dogo
    Upo vyema sanaaaa

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 5 месяцев назад +4

    Mpaka lini inauma Sana watu wanacheka kama mazuri tuchukue hatua

  • @LufingoMwalongo
    @LufingoMwalongo 3 месяца назад

    Sawa

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 5 месяцев назад +2

    Huyu kiongozi wa CCM aitwe ahojiwe pengine anajoa walipo waliopotea na kama CCM inahusika kupoteza watuambie

  • @Baraka-wn3mj
    @Baraka-wn3mj 5 месяцев назад

    Umetisha AA kamanda❤❤❤

  • @LekenMatambash
    @LekenMatambash 5 месяцев назад

    Ongera Sana wanna kangera tupo pamoja kazi Andi ileweke

  • @MzeewaslowHusseinAndrew
    @MzeewaslowHusseinAndrew 5 месяцев назад +3

    Kiongozi wangu umenifanya ni mwage machozi ya hasila sana baada ya kunikumbusha kifo cha Alfonsi mawazo.

  • @scolabwana8252
    @scolabwana8252 3 месяца назад

    Kijana yupo vizuri

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 5 месяцев назад

    Ujumbe mkali sana ndani ya siasa za Taifa letu, Mungu akuongoze kwenye elimu iliyopotea ndani ya Taifa letu

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Месяц назад

    Hakika CHADEMA inawatu welevu akili mingi sana .MUNGU awabariki San.

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 5 месяцев назад +2

    Pambalu politics guys good point

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 2 месяца назад

    All the best...kamanda..!
    Kagera mna mtu, huyo dogo ni jembe!!

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 5 месяцев назад +1

    OPERATION MPAKA LINI
    WELL DONE PAMBALU ❤️🙏🏾

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 5 месяцев назад +1

    Strong leader

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 5 месяцев назад +1

    Ujumbe mzito kutoka kwa Mwlm John Pambalu!
    Mazingira ya kisiasa yanayovumilia chama dola CCM kuhusika na jinai ya kupotezwa kwa wananchi hayapaswi kuvumiliwa hata kidogo!
    Maisha ya kila raia yana thamani kubwa!
    Sote tujifunze toka kwa Mwlm. Pambalu...MPAKA LINI?
    Siasa ifanyike kwa ushawishi wa hoja SI KUTEKANA NA KUPOTEZA ROHO ZA WATU!

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 5 месяцев назад

    Point kaka,

  • @AnuariSatari
    @AnuariSatari 5 месяцев назад +2

    Mtateswa nini Mozambique zenu zi
    Mambi Mozambique sababu Zina imetawala mwilni lazima mate muadhibiwe wote Wana siasa ni vapiga diĺi

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 5 месяцев назад +2

    Huyu ndio pambalu

  • @ZabroniSiyaleo
    @ZabroniSiyaleo 5 месяцев назад +1

    Pamoja kagela

  • @adellakyando2829
    @adellakyando2829 4 месяца назад

    👍 good

  • @musasiame6138
    @musasiame6138 5 месяцев назад +3

    Products za SAUT

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 5 месяцев назад +1

    Power

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 5 месяцев назад

    Ukovzur na sa hihi bro ✌️💪

  • @StevenTambi
    @StevenTambi 5 месяцев назад

    Upo sahihi kabisa.

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im 5 месяцев назад

    Ukweli huo

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl 5 месяцев назад

    Inauma

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 5 месяцев назад +1

    Wazeee wa maokoto wanasubiri wakazimege bungeni kule

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 5 месяцев назад

    Bravo

  • @dillonfoya
    @dillonfoya 5 месяцев назад

    Nami nimeelewa Pambalu alivyotueleza serikali isiyosikiliza hitaji la Wananchi "mpaka Lini"

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 Месяц назад

    Ccm ni laana ya Taifa hili

  • @musasiame6138
    @musasiame6138 5 месяцев назад +1

    Kamanda pambalu

  • @rahabufilangali-cp6br
    @rahabufilangali-cp6br 5 месяцев назад

    Nimetoa chozi😢😢😢😢 mpaka lini

  • @ElinaziAdil
    @ElinaziAdil 4 месяца назад

    Tumeni maelokezo kwa kiswahili

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 4 месяца назад

    Maisha yanazd kuw magum had tunataman ccm isngekuwepo

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 5 месяцев назад

    niko lufiji lakini pambalu naku fatilia upo powa sana mwamba

  • @JJ-fb9jp
    @JJ-fb9jp 5 месяцев назад +1

    Mh Pambalu kiboko

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 5 месяцев назад

    0:51 ❤❤😂😂❤

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 4 месяца назад

    Saf sana makamanda 2025 tunamalizana nahao wates wetu

  • @pastorpetermageta6833
    @pastorpetermageta6833 5 месяцев назад

    Maisha ni magumu duniani kote, siyo Tanzania tu, bali ni kila mahali duniani

  • @DausonShensherwa
    @DausonShensherwa 4 месяца назад

    Bgp pambaru

  • @AlexPetro-z1e
    @AlexPetro-z1e 5 месяцев назад

    One dream,, until the last cell

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 5 месяцев назад

    #NASIMAMA NA SAMIA

  • @JosephJon-wk6il
    @JosephJon-wk6il 5 месяцев назад

    Pambalu huwezi kustaph bambana nahaliyako

  • @SULEIMAN-l8v
    @SULEIMAN-l8v 4 месяца назад

    Idi Amini alikua sahihi ila NYERERE wenu ndie aliemchokoza uliza historia kama hujui 2:21

  • @LawiNgakala-f1t
    @LawiNgakala-f1t 4 месяца назад

    MPAKA KESHO KUTWA MSIPO CHUKUA HATUA LEO

  • @FestolMkumbwa
    @FestolMkumbwa 5 месяцев назад

    Somebody comred Pambalu.

  • @MikidadiMahumbi
    @MikidadiMahumbi 5 месяцев назад

    Umesahau libiya

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 5 месяцев назад

    Tuko pamoja makamanda

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 5 месяцев назад

    Na sisi tuseme mwisho ni
    sasa majizi haya yaondoke

  • @nkwabidonald4277
    @nkwabidonald4277 4 месяца назад

    Mh

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 5 месяцев назад

    Hao wanasimamia ccm kuiba tuu

  • @Henryphd355
    @Henryphd355 5 месяцев назад

    😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @ValerianaKilumile
    @ValerianaKilumile 5 месяцев назад

    Ukisikia maajabu ya dunia watumnacheka matatito

  • @twalibulomy-cd4zd
    @twalibulomy-cd4zd Месяц назад

    Mbowe, nyundo sugu, lema wote wana bet.

  • @dickprince8757
    @dickprince8757 5 месяцев назад

    Pambalu umewakaaaa hatari

  • @rahabufilangali-cp6br
    @rahabufilangali-cp6br 5 месяцев назад

    Nimetoa chozi😢😢😢😢 mpaka lini

  • @SayiMaduhu-ms7nl
    @SayiMaduhu-ms7nl 5 месяцев назад

    Mimi nadhani haya aliyamaliza mwl.nyerere na akamwachia Joshua ambaye ni mwinyi baada ya hapo wafalme wengine wakafuatia

  • @LekenMatambash
    @LekenMatambash 5 месяцев назад

    John pambalu mungu akutakulie Yani unajaribu kuelimisha but tupo pamoja na wewe

  • @alenminja445
    @alenminja445 5 месяцев назад +1

    Pambalu Mungu akulinde

  • @ramadhanikassimu
    @ramadhanikassimu 5 месяцев назад

    Iyofasiyako tupesisiba watuawafanani sambay

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 4 месяца назад

    Mungu awasaidie

  • @eliaskhamis1546
    @eliaskhamis1546 5 месяцев назад

    Neno kuntu

  • @ThadeiAndrea
    @ThadeiAndrea 4 месяца назад

    Nicee

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 5 месяцев назад

    Head shaking

  • @SandeMasawe-j6n
    @SandeMasawe-j6n 5 месяцев назад

    Mpaka liniiiii