Heche Aibua Upya Suala la Bandari, Adai Haiwezekani Miaka 60 ya Uhuru Hatuwezi Kuendesha Bandari

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na aliyewahi kuwa Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche amesema kuwa ni aibu kwa Tanzania kushindwa kuendesha bandari zake kupelekea kutafuta wawekezaji kuendesha rasilimali za nchi kama bandari.

Комментарии • 44

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 4 месяца назад +10

    Eeeh, huyu ndiye Heche eti. CCM hawapendi hii kitu balaa. Wakisikia hotuba kama hizi, ufalme wao unatikisika kwa kiwango cha kuporomoka!

  • @jeitangogo-rf8uf
    @jeitangogo-rf8uf 4 месяца назад +7

    Watanzania wenyekuelewa waelewe🎉tu kama sisi alie tulonga alikufa

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 4 месяца назад +5

    Viongozi wa Ccm Jamani Uwezo Wao wa Kiongozi ni Aibu

  • @EsterChalale-uq4jh
    @EsterChalale-uq4jh 4 месяца назад +4

    Mungu awatie nguvu

  • @BoscorPatrick
    @BoscorPatrick 4 месяца назад +4

    Tatizo kuelewa kwetu bado sana alive turoga alikufa.had arud yesu siku ya kiama

  • @moseskyaman9323
    @moseskyaman9323 4 месяца назад +3

    People's power

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 4 месяца назад +5

    Hizo ndio NONDO.

  • @shijakija9194
    @shijakija9194 4 месяца назад +2

    Heche unajieleza vyema kuliko Lisu. Wenye kusikia na wasikie.

    • @abedymtore2707
      @abedymtore2707 4 месяца назад

      Lissu na heche ni watu wawil tofauti acha zako wew chawa

  • @user-bl3go5yr8u
    @user-bl3go5yr8u 4 месяца назад +3

    Msioelewa na hili sijui kama mtaellewa tena

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 4 месяца назад +1

    Safi sana Heche

  • @ezekieldeus6022
    @ezekieldeus6022 4 месяца назад

    Chadema, mbona tunawaona kuwa muna agenda, nzuri sana kwaajili ya masrahi, mapana ya nchi, hii ninini kinacho zuia musishike Dora, nazani hilo ndilo tulitafutiye ninani aliye mchawi anaye zuia chadema isishike Dora.

  • @ezekieldeus6022
    @ezekieldeus6022 4 месяца назад

    Heche, nimekusikiliza kwakweli tunazo tunu katika nchi yetu ya tz, lakini bahati mbaya sijui kwa kuelewa au, kuto kuelewa tumeshinda kuzitumia tunu hizo kwaajili ya masrahi ya taifa letu.

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 4 месяца назад

    Waatakubali2 tuzidi kukaza Buti fuck CCM

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 4 месяца назад

    Niliudhuria mahafali chuo cha Tumaini,nilionav ninjinsi gani mch Msigwa anaheshimika pale Iringa.

  • @user-xk1bx2gp6e
    @user-xk1bx2gp6e 4 месяца назад +1

    Nchi Tunaipenda sana lakini ccm inatufanya vibaya kama sio Wa Tanzania wenzetu

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 месяца назад +1

    Ongea sera ndugu

  • @mussaluhwago8829
    @mussaluhwago8829 4 месяца назад +1

    🎉🎉🎉

  • @kandorohussein6890
    @kandorohussein6890 4 месяца назад

    Njaa tu hawa,kama wakishika Dola wataanza upigaji mkubwa ! Kinachowauma ni kuwa hawamo kwenye system ya upigaji sio kutetea wananchi kama wanavyoropoka. Wajinga ndio waliwao shauri yenu !

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 4 месяца назад +1

    Heche anaongeaga point kwa point hauchoki kumsikiliza hata kidogo. Ccm inabidi muachie tu madaraka mmeshiba mno

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward 4 месяца назад +1

    Intelejensia ya uchumi, hakuna. Hili nalo shida.

  • @WilhelmIbaganisa-bx7zj
    @WilhelmIbaganisa-bx7zj 4 месяца назад +2

    👏👏👏👏👏🔥🔥🔥✌️✌️💯💯💯💯😅

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 4 месяца назад +1

    Makamanda hao

  • @EmmanuelSimion-d3e
    @EmmanuelSimion-d3e 4 месяца назад

    Ila hizi serikali zetu za Africa bado ni TATIZO sana hasa Tz zinahitaka Mabadiriko mkubwa

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 4 месяца назад

    Kwa kweli kuna baadhi ya viongozi wameoza sana.

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter 4 месяца назад

    Ñashauri maandamano yaende pamoja na sauti hii kwenye gali la matangazo ilikuelimsha walio lala vijiweni na majumbani naomba lifanyike

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 4 месяца назад

    Wa mama wa nyumbani hawaelewage na hawaelewi hili somo wanasubiri vitenge vya bureee

  • @deusdeditmwombeki8837
    @deusdeditmwombeki8837 4 месяца назад

    Ccm tumeruhusu maandamano na mikutano ya hadhara hii nani sasa akategue mabomu?

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 4 месяца назад

    Elimu nzuri sana hila watanzania wengi ni zero brain

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 месяца назад

    Unamtindio. Wew yaani chadema wangedhirikiana na magufuli aliyekuwa anajua watu unaongea mautumbo kakojoe ulale

  • @user-xx2ex2nj8f
    @user-xx2ex2nj8f 4 месяца назад +2

    Mzee huwezi kulinganishi Kenya na Tanzania yaani nyie bado kabisa muko nyuma sana siaza Zunu ni zakizamani mno Kenya ni nchi ya wasomi na wajanja.

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 4 месяца назад

    Hio ndio CCM Ina ubinafsi

  • @kaburi920
    @kaburi920 4 месяца назад

    Hawa ni Mangungu

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg 4 месяца назад

    ccm ni waizi ndy maana mkapa alisema yeye ni mwizi

  • @neemadaud312
    @neemadaud312 4 месяца назад

    Grace wewe ni mjinga sera kwa mwambie bwana yako akupe sera mwache heche aongelee CCM walivyokuwa wajinga

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 месяца назад

    Acheni lawama.Tutawaona mwakani

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 4 месяца назад

      Pole, wewe bado hujaiona CHADEMA unasubiri mpaka mwakanu!!!? CCM yako iliyogawa bure bandari zetu imeishaiona CHADEMA tangu zamani kuwa ni Moto wa kuotea mbali(NI KIBOKO YAO) ndiyo sababu hawataki KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI ILI WAENDELEE KUFANYA UJAMBAZI KTK CHAGUZI MBALI MBALI!!! NDIYO MAANA NA KUPA POLE KWA KUWA WEWE NI TUTUSA!!! BADILI TUIKOMBOE NCHI YETU TULIYO PEWA NA MUNGU WETU. PENDA NCHI YAKO BADALA YA KUNDI LA WEZI WACHACHE (CCM)!!!!!

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 4 месяца назад

    He he ni jembe lisilopindika.

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 4 месяца назад +1

    Nchi hii ina watu wajinga sana Heche hata waowanaodanga wanchi na kujiunga na ccm ni watu choka mbaya sana

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 4 месяца назад +1

    Nadhani tukubaliane tu kwamba,nyie wanasiasa ni watu mnaogeuka geuka,nadhani mngeshirikiana na jpm wakati wa utawala wake mambo yangeenda vizuri,ajabu mlimpinga kwa hayo hayo unayoongea bwana heche,

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 4 месяца назад

      Hakuna aliyempinga isipokuwa Mungu hadi akamwondoa kwenye uso wa Dunia

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 4 месяца назад

      ​@@sebastianmwantuge5597kwangu mimi samia ni kiongozi bora kuliko huyo magufuli.