Heche Aibua Upya Suala la Bandari, Adai Haiwezekani Miaka 60 ya Uhuru Hatuwezi Kuendesha Bandari
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na aliyewahi kuwa Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche amesema kuwa ni aibu kwa Tanzania kushindwa kuendesha bandari zake kupelekea kutafuta wawekezaji kuendesha rasilimali za nchi kama bandari.
Eeeh, huyu ndiye Heche eti. CCM hawapendi hii kitu balaa. Wakisikia hotuba kama hizi, ufalme wao unatikisika kwa kiwango cha kuporomoka!
Watanzania wenyekuelewa waelewe🎉tu kama sisi alie tulonga alikufa
Viongozi wa Ccm Jamani Uwezo Wao wa Kiongozi ni Aibu
Mungu awatie nguvu
Tatizo kuelewa kwetu bado sana alive turoga alikufa.had arud yesu siku ya kiama
People's power
Hizo ndio NONDO.
Heche unajieleza vyema kuliko Lisu. Wenye kusikia na wasikie.
Lissu na heche ni watu wawil tofauti acha zako wew chawa
Msioelewa na hili sijui kama mtaellewa tena
Safi sana Heche
Chadema, mbona tunawaona kuwa muna agenda, nzuri sana kwaajili ya masrahi, mapana ya nchi, hii ninini kinacho zuia musishike Dora, nazani hilo ndilo tulitafutiye ninani aliye mchawi anaye zuia chadema isishike Dora.
Heche, nimekusikiliza kwakweli tunazo tunu katika nchi yetu ya tz, lakini bahati mbaya sijui kwa kuelewa au, kuto kuelewa tumeshinda kuzitumia tunu hizo kwaajili ya masrahi ya taifa letu.
Waatakubali2 tuzidi kukaza Buti fuck CCM
Niliudhuria mahafali chuo cha Tumaini,nilionav ninjinsi gani mch Msigwa anaheshimika pale Iringa.
Nchi Tunaipenda sana lakini ccm inatufanya vibaya kama sio Wa Tanzania wenzetu
Ongea sera ndugu
🎉🎉🎉
Njaa tu hawa,kama wakishika Dola wataanza upigaji mkubwa ! Kinachowauma ni kuwa hawamo kwenye system ya upigaji sio kutetea wananchi kama wanavyoropoka. Wajinga ndio waliwao shauri yenu !
Heche anaongeaga point kwa point hauchoki kumsikiliza hata kidogo. Ccm inabidi muachie tu madaraka mmeshiba mno
Intelejensia ya uchumi, hakuna. Hili nalo shida.
👏👏👏👏👏🔥🔥🔥✌️✌️💯💯💯💯😅
Makamanda hao
Ila hizi serikali zetu za Africa bado ni TATIZO sana hasa Tz zinahitaka Mabadiriko mkubwa
Kwa kweli kuna baadhi ya viongozi wameoza sana.
Ñashauri maandamano yaende pamoja na sauti hii kwenye gali la matangazo ilikuelimsha walio lala vijiweni na majumbani naomba lifanyike
Wa mama wa nyumbani hawaelewage na hawaelewi hili somo wanasubiri vitenge vya bureee
Ccm tumeruhusu maandamano na mikutano ya hadhara hii nani sasa akategue mabomu?
Elimu nzuri sana hila watanzania wengi ni zero brain
Unamtindio. Wew yaani chadema wangedhirikiana na magufuli aliyekuwa anajua watu unaongea mautumbo kakojoe ulale
Mzee huwezi kulinganishi Kenya na Tanzania yaani nyie bado kabisa muko nyuma sana siaza Zunu ni zakizamani mno Kenya ni nchi ya wasomi na wajanja.
Were nice Mkenya?
Wewe si chawa wa hapa Bongo?
Nani asiyekujua mpumbavu fulani hivi?
Hio ndio CCM Ina ubinafsi
Hawa ni Mangungu
ccm ni waizi ndy maana mkapa alisema yeye ni mwizi
Grace wewe ni mjinga sera kwa mwambie bwana yako akupe sera mwache heche aongelee CCM walivyokuwa wajinga
Acheni lawama.Tutawaona mwakani
Pole, wewe bado hujaiona CHADEMA unasubiri mpaka mwakanu!!!? CCM yako iliyogawa bure bandari zetu imeishaiona CHADEMA tangu zamani kuwa ni Moto wa kuotea mbali(NI KIBOKO YAO) ndiyo sababu hawataki KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI ILI WAENDELEE KUFANYA UJAMBAZI KTK CHAGUZI MBALI MBALI!!! NDIYO MAANA NA KUPA POLE KWA KUWA WEWE NI TUTUSA!!! BADILI TUIKOMBOE NCHI YETU TULIYO PEWA NA MUNGU WETU. PENDA NCHI YAKO BADALA YA KUNDI LA WEZI WACHACHE (CCM)!!!!!
He he ni jembe lisilopindika.
Nchi hii ina watu wajinga sana Heche hata waowanaodanga wanchi na kujiunga na ccm ni watu choka mbaya sana
Nadhani tukubaliane tu kwamba,nyie wanasiasa ni watu mnaogeuka geuka,nadhani mngeshirikiana na jpm wakati wa utawala wake mambo yangeenda vizuri,ajabu mlimpinga kwa hayo hayo unayoongea bwana heche,
Hakuna aliyempinga isipokuwa Mungu hadi akamwondoa kwenye uso wa Dunia
@@sebastianmwantuge5597kwangu mimi samia ni kiongozi bora kuliko huyo magufuli.