BAADA YA MATOKEO SUGU AFUNGUKA YAKE || MSIGWA NAE ASEMA YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Mwenyekiti mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi 'Sugu' ameahidi kuwaunganisha wanachama wote kama kazi yake ya kwanza baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo.
    Katika uchaguzi huo Sugu alichuana na Mchungaji Peter Msigwa, ambaye amashindwa kutetea nafasi yake hiyo kwa kupata kura 52 dhidi ya 54 za Sugu. Akizungumza leo Jumatano, Mei 29 muda mfupi uliopita baada ya kutangazwa, Sugu amesema kazi yake itakuwa kuwaunganisha wanachama wote baada ya kumalizika kwa uchaguzi huo. Hatua hiyo inatokana na kawaida ya kuibuka kwa makundi wakati wa uchaguzi.

Комментарии • 45

  • @EdwardUrassa-xc6gz
    @EdwardUrassa-xc6gz 3 месяца назад +10

    Hongera sana,msigwa ukomavu wako kisiasa ni wakuigwa Hongera

  • @paulkamete2947
    @paulkamete2947 3 месяца назад +3

    Weweeeeeee Grace oyeeee God is good All the time!

  • @marybukuku1494
    @marybukuku1494 3 месяца назад +1

    Nakupongeza sana sana msigwa kwa ukomavu wa siasa umeuonyesha wazi,na pia nakupongeza kwa kauli ya hekima ya heshima na ufahamu Ahsante sana

  • @issaramadhani9141
    @issaramadhani9141 3 месяца назад +5

    Nilipoangalia ule mdahalo wao niliona kabisa wale wajumbe waliokuwa wanawauliza maswali wamedhamiria kumtoa Msigwa but kwangu mimi naona Msigwa anamzidi mbali Sugu,

    • @hafidhnzota2142
      @hafidhnzota2142 2 месяца назад

      Alikuwa na MAPUNGUFU kisiasa pesa NJAA mbele

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 2 месяца назад

    Msigwa umeonyesha ustarabu mkubwa sana Mungu akulinde na adui zako popote pale ndani ya Chama na inje ya chama

  • @jumbeojaso5767
    @jumbeojaso5767 3 месяца назад +7

    Msigwa ni think tank kubwa ndani ya chadema na hazina ya hekima na busara aliyonayo, ni hazina kwa viongozi vijana wajao

  • @alphocemadinda5158
    @alphocemadinda5158 3 месяца назад

    Hongereni sana mh Msigwa na sugu kwa ukomavu Sasa mkayaishi maneno yenu

  • @suleimanalkindy6502
    @suleimanalkindy6502 3 месяца назад +4

    Msigwa yupo smart Sana.

  • @amanyisyemkoma6638
    @amanyisyemkoma6638 3 месяца назад +1

    Msingwa uko vizuri

  • @LeonardSiame
    @LeonardSiame 3 месяца назад +2

    Hongera mheshimiwa sugu

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s 3 месяца назад

    Hongera msigwa kwa uaminifu mkubea ndani ya chama chetu pia hongera mwekiti sugu kwa kuchaguliwa najua wewe nipamoja na msigwa

  • @leonardmartine662
    @leonardmartine662 3 месяца назад +2

    Safi sana

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 3 месяца назад +1

    MSIGWA WEWE KWELI NI MKOMAVU SANA, UNAKIPENDA SANA CHAMA,MUNGU AKUJALIE SANA MSIGWA,

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x 3 месяца назад +1

    Sugu hongera kw ushindi sugu na msigwa wote ni nyota ni vile TU mwenyekiti ni moja mnafaa wote 2

  • @janethngole369
    @janethngole369 3 месяца назад

    Barikiwa sana maneno yabusara

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 3 месяца назад +1

    Huo ndiyo ukomavu waki siasa hongera sana kaka Msigwa hongera sana sugu

  • @dabigregory3221
    @dabigregory3221 3 месяца назад +1

    Mungu akutunze msigwa

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 3 месяца назад +3

    Msigwa wewe ni kiongozi shupavu sana. Tutumie umoja wetu wa kupambana na hawa wasaliti tukiwa wamoja.

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 2 месяца назад +1

    Una uwezo kabisa wa kuongoza Chama kabisa nenda kaimba mziki

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 3 месяца назад +3

    maneno ya hekima kwa mwanasiasa mbobevu

  • @rogathesarwatt
    @rogathesarwatt 3 месяца назад +2

    Kuunguanisha na makundi yaishie hapo Hapo Ulumbini

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 3 месяца назад +2

    Msigwa anajua kujenga hoja.

  • @rastheunique
    @rastheunique 3 месяца назад +1

    Kilichonikera Sugu alienda kwa staili ya kumchafua Msigwa wakati Msigwa alienda kwa namna ya kujenga hoja

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 месяца назад

    ✌️👊👍.

  • @emanuelmwakamisa2511
    @emanuelmwakamisa2511 3 месяца назад

    🙏🙏

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 месяца назад +1

    Kubali matokeo tuu maneno mengi ya nn

  • @pablo_066
    @pablo_066 3 месяца назад +1

    100 steps back ..,chadema tumeanza kuki_shep chama kwa muonekano wa kiccm tumeanza kichwa na kuchagua posho

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 2 месяца назад

    Sasa rufaa ya Nini?

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 2 месяца назад

    Kifupi nawapenda

  • @reginas1832
    @reginas1832 2 месяца назад

    Sikupenda jinsi Sugu alivyokuwa anamwatack Mh Msigwa. Something was not right.

  • @MinskBelarus-il2tl
    @MinskBelarus-il2tl 3 месяца назад +1

    Kama Msigwa alifanya kazi kubwa,kwa nini SUGU agombee au ashindane nae??????

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 3 месяца назад

    Chama kubwa pongezi msigwa na sugu wote mmeshinda

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o 3 месяца назад +1

    Hiki chama bdo saaana 😢

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 3 месяца назад

      Huo ni wivu tu CCM imechoka iwaachie wengine

  • @melch3097
    @melch3097 3 месяца назад

    Msigwa, tunakazi kubwa kwako inakuja, huko mwachie sugu,,uje makao

  • @NgomeTz
    @NgomeTz 3 месяца назад

    Kwanini mmeruka Sugu alipomshukuru Msigwa

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg 3 месяца назад +1

    jaman tusiwe na chuki

  • @rogathesarwatt
    @rogathesarwatt 3 месяца назад

    Hii ndo Chadema ninayoijui

  • @bongo39
    @bongo39 3 месяца назад

    Kweli kutoka ktk moyo wako mnhhh sijui ila tusubirie hapo mbele yatakayo jiri