🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 май 2024
  • 🔴#Live: TUNDU LISSU AJILIPUA VIBAYA AKIWA MPWAPWA - AZUNGUMZA MAMBO MAZITO - RUSHWA CHADEMA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 87

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад +4

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @godlovekimaro7167
    @godlovekimaro7167 Месяц назад +9

    Zamani nilivyokuwa darasa la nne nilikuwa najua Zanzibar ni miongoni mwa mikoa ya Tanzania😂😂😂

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp Месяц назад +7

    Akuna Kiongozi Wa Ccm Anae Weza Kumjibu Tundu Lisu Kwahoja Ila Watakao Ropoka niwengi

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 17 дней назад

    Mungu akutunze baba usiogope kutisha kwao Mungu yuko upande wako.

  • @kelvinathuman8545
    @kelvinathuman8545 Месяц назад +1

    Tindulissu ni mwamba kabisaa daah hadi nimeliaa Mungu akutunzee baba

  • @ElishadaiSam-rq3hl
    @ElishadaiSam-rq3hl Месяц назад +5

    Mheshimiwa sana, uko timamu mno. Hiyo nafasi inakufaa,

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 Месяц назад +4

    Mmeyataka!!! Ccm.

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 Месяц назад +2

    Lisu ni darasa tosha kabisa .Asante

  • @allenmassangwa3438
    @allenmassangwa3438 Месяц назад +1

    Hongera kamanda mungu akutie nguvu kwa kutetea wananchi

  • @RingsonMwabulanga
    @RingsonMwabulanga 27 дней назад

    Daa! Mpinzani wa kwel mwamba wew ni mwamba

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 28 дней назад

    Mungu akubariki mr Lisu Mungu amekuponya ili uisaidie nchi hii kupata elimu unayoitoa watanzania hatuna maarifa ndio maana ni kilio kila kona maccm yanacheka tu wanahalalisha uongo big up Mr Lisu.

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm Месяц назад +8

    Usipo mwelewa Mh Huyu kajipime akili milembe auko sawa Wewe sio tundu lissu Mungu anamtumia kutuokoa wala mihogo Sisi wa tanganyika

  • @shd12m55
    @shd12m55 Месяц назад +2

    Daah kuuumbee Tanganyika tumepigwa😳😳😳😳

  • @packisapaulmakwembe8176
    @packisapaulmakwembe8176 Месяц назад +2

    Umetisha sana

  • @EliaHiluka-uz3ty
    @EliaHiluka-uz3ty Месяц назад +2

    Hongera sanaaaaaa

  • @farajimmari1523
    @farajimmari1523 Месяц назад +1

    ZAsante kwa kutuelimisha

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Месяц назад +1

    Hotuba nzito imejaa ukweli utafikiri unasikiliza mahubir iseeeh.Lissu kamanda kweli kweli

  • @pdwanakaza2411
    @pdwanakaza2411 Месяц назад +1

    Nakukubali sna lisu

  • @danielkavugha189
    @danielkavugha189 Месяц назад +1

    Wewe ni Mwalimu. Asiyekuelewa jua tu amefundishwa ujinga Hadi amekuwa mjinga.

  • @bashiruwise
    @bashiruwise Месяц назад

    Ndio maana walijaribu kumpiga risasi ikashindikana ama kweli Mungu kashampa kipawa hiki anakifanya vizuri, barikiwa Mh. Lissu

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 Месяц назад +3

    Na leo nembo ya Taifa siku hizi haionekani kwenye kit cha Rais au katika meza ya kutoa hotuba ya Rais , bibi na bwana hawaonekani kwenye nembo hiyo ya Taifa.

  • @goodshoo4060
    @goodshoo4060 Месяц назад +2

    Tupo mpaka kieleweke

  • @godsonmosi8428
    @godsonmosi8428 28 дней назад

    Huyu mwamba ni darasa kubwa sana

  • @aminieljohn5475
    @aminieljohn5475 Месяц назад +3

    Mheshimiwa jirani yangu mzee kinana hebu mjibu huyu bwana ukweli...usimleble mbaguzi...mwambie ubaguzi wake uko wapi...sema ukweli....ukweli utakuweka huru...Hoja za Lissu ni progressive...

  • @irenekitomary7271
    @irenekitomary7271 Месяц назад +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @user-uv3ns8zj4m
    @user-uv3ns8zj4m 29 дней назад

    MUNGU AKUBARIKI LISU

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 дня назад

    Kwani Zanzibar inaipenda Tanganyika mbona ninyi ndiyo mlianza kuhamisha kila kitu? Labda mnapenda kiunafiki kupora ardhi yetu kwa kujipenyeza kwenye ardhi ya Tanganyika. Na huyo Nyerere ndiyo atatuletea matatizo makubwa na yeye hatakuwepo.

  • @aminieljohn5475
    @aminieljohn5475 Месяц назад +1

    Muungano wetu ni Hollow trinity!!..hollow!!......

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 Месяц назад

    Mimi sijawahi acha kuwapigia chadema kura hata kama najua wanaibiwaga kura

  • @user-vh9wt8zh4n
    @user-vh9wt8zh4n 29 дней назад

    Kisu kimeingia kwenye mfupa

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Месяц назад +1

    Hiyo la kuhamishwa. Je, wameuza bandari kweli? Mbona tangu kwenye SERIKALI zote bandari zilikua zinaendeshwa na makampuni kutoka inje? Sidhani ameuz bandari kwa upande wangu au mbuga za wanyama. Kuhamishwa watu masai na watu wengine hiyo sidhani kuna kosa kama wamepewa pakuishi. Kwakua hata hapa Marekani ikiwa SERIKALI inahitaji eneo husika ambayo haimiliki wawekezaji wanafidia na kuchukua maeneo na watu kwenda kununua au kukodi baada ya kufidiwa

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Месяц назад +1

    Lisu kuhusu Muungano upo sahihi bhana asilimia Mia moja na Wazanzibari wanakusapoti asilimia Mia moja ila hayo mengine ni yako mwenyewe

  • @paulmabena5684
    @paulmabena5684 Месяц назад +1

    Shida kidogo mkuu sera ya chama chetu inahitaji kuongelewa acha hadithiiii Lisuuu, sheria unauja sawa

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Месяц назад +1

      Jifunze elimu hiyo anayokupa Lisu wala hulipii pesa ccm hawawezi kukuelimisha kama hivyo.

  • @ImamFarid-we9pl
    @ImamFarid-we9pl Месяц назад

    Huyu ni mbbaguzi 😂😂

  • @AMOUTOPARTS
    @AMOUTOPARTS Месяц назад +1

    CCM daima ni propaganda kwa kila jambo yaani siku Hadi siku

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 дня назад

    Wandishi ndiyo machawa wakubwa. Kwanza huwa hawaongei kuhusu matatizo ya CCM hata wanaccm wakisema matusi kwa wanainchi huwa hawawezi kuziandika sasa hao ni waandishi. Ni wachawa tu wa CCM.

  • @kenanmwabamba
    @kenanmwabamba Месяц назад

    Hoja zote ulizo ongea zinaeleweka sana. Na hawawezi jibu maana wametufanya mambumbumbu wananchi.😮

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 28 дней назад

    Mwandishi acha uchawa Lisu sio kajilipua Lisu katoa elimu ya ubaguzi,madini na kikokotoo kilichopandikizwa na maccm

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 Месяц назад

    Je angeshinda uraisi Salim Mwalimu angekua nani? Na je angeuvunja Muungano?? Au kwa vile kaukosa uraisi ndio anajisika vibaya??

  • @eliasjimmy1821
    @eliasjimmy1821 28 дней назад

    Huu Muungano uvujike tu

  • @visionstudios6804
    @visionstudios6804 Месяц назад

    Kwan mama Abdul ni Nani?

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 Месяц назад +1

    Hao unaongea nao usidhani ni wajinga. Kwani wao hawaoni maendeleo yaliyofanyika?

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Месяц назад

    Tanzania kweli Rais ana madaraka makubwa sana. Hasa kwenye uteuzi. Ni kama yeye ndo anakaa anateua nchi nzima na kutengua. Ambao wanataka kupata nafasi wazishindanie kutokana na qualifications zao. Ili tuanze kuona namna watu wanarogana. Kwenye uchaguzi....hata kenya ambapo Chadema wanasifia mbona chaguzi wanasema kua SERIKALI imeiba. Kwahio hata Marekani ambapo rais hawachagui Rais isipokua watu 538 ambao ndo wanamchagua Rais na wakwanza kupata kula 270 ndo automatically anatangazwa kua Rais. Tunawasifia kila siku lakini hata uchaguzi wa kwao mbona una kelele? Kwahio hata aje Mungu kutufanyisha uchaguzi na ushenzi wetu tutaishia kupinga matokeo. Mfano hata kwenye makanisa pangekua panafanyika uchaguzi wakuwateua wachungaji, utadhani pangekua na maneno ya kua wamepakwa mafuta na kutudanganya kua mungu ndo amewateua wakati Mungu tunajua kua hateui watu baada ya watu kua na akili zao

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 дня назад

    Hapa siyo kuvunja muungano bali kuweka muungano sawa. Kwanini kuwa na muungano wa upande mmoja? Kwa sababu Mzee Warioba alipokuwa anaelezea kuhusu Zanzibar alipokuwa anaelezea kuhusu muungano alisema Zanzibar wamehamisha kila sheria iliyokuwa kwa ajili ya muungano wamehamishia Zanzibar. Zanzibar ni Inchi kamili ina waziri wake wana serikali yao sasa kuna muungano gani. Mtanganyika huwezi kushika hata ujumbe wa nyumba kumi. Sasa Tanganyika iliungana na Inchi gani? Sasa kwa nini tusikatae? Tundu Lissu Zanzibar inatunyonya tu tuna wabunge 80 wanakula pesa za bure. Muungano uko wapi? Tunaachia watoto wetu mzigo tu. Na kwa vile hawaelewi watawafanya watumwa wakati hatupo! Waelimishe hawa watu ambayo wanadhani kuna muungano.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 дня назад

    Na huyu mzanzibari kwa nini auze mali ya Tanganyika? Kwa nini kwa muda mfupi ambavyo aliingia kwa sababu ya KATIBA aweze kumaliza awamu ya 5 ya Magufuli kwa nini akabadilisha kuwa awamu ya 6? Alifanya hivyo ili apate kujipenyeza kugombea uraisi kwenye awamu iliyokuwa inaanza 2025. Mungu mshughulikie kwa sababu wewe Mungu unapenda haki hupendi unafiki wa hawa CCM. Watoto toeni uongo wa CCM msije mkawa watumwa wa warabu tena.

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 Месяц назад

    Kwanza mshahara wa Rais ni kiasi gani kwa mwezi naomba tufahamishwe wananchi maana sie ndo waajiri wake.

    • @sambigaTZA
      @sambigaTZA Месяц назад

      Sasa unaanzaje kuajiri mtu bila kupanga na kujua mshahara wake ?? Tatizo limeanzia kwako 😅😅😅

    • @user-lp4fi7bx9q
      @user-lp4fi7bx9q 29 дней назад

      😂😂😂😂😂

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Месяц назад

    Chadema hawaipendi Zanzibar na wananchi wake na ndio maana hata wazanzibar ktk chama chao ni mmoja tu..

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk Месяц назад

    Unastahili kufungwa unapotosha watu umekimbiya kodi zawatoto wako siyo kweli kakimbiya kodi ubelijiji kazi kweli kweli

  • @user-gr9px4pi2w
    @user-gr9px4pi2w Месяц назад

    Sasa na Sumaye na lowasa na wengine wengi walienda chadema na rushwa? Huyu mzee mbona sikuelewi vizuri

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 Месяц назад +1

    Mbaguzi mkubwa wewe. Tuache wanawake .

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Месяц назад

    Ongea sera za chama chako acha kuimba taarab

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 Месяц назад +3

      Utakuwa chawa wewe

    • @geraldgedi4657
      @geraldgedi4657 Месяц назад +2

      Kichaa peke yake ndo anaweza kutoa maoni ya hovyo namna hiyo.

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 Месяц назад +3

      Hòngera sana lisu namim nimejua nin mana ya mungano nilikuwa naishi tu kula na kunya

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Месяц назад +2

      Ukimsikiliza huyu Lisu utajifunza mengi ambayo hujawahi kuyasikia kutoka kwa viongozi wote wa CCM mchukie Lisu lakini wengi wanaendelea kujifunza kupitia yeye kwa sababu ni mkweli.

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 Месяц назад

    Kichaa kabisa

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 Месяц назад

    Huyu akapimwe akili.sera wapi.kulalama tu

  • @Ba63828
    @Ba63828 Месяц назад +1

    Chizi

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 Месяц назад

      Chizi mama Yako

    • @Ba63828
      @Ba63828 Месяц назад

      @@mbwanahasan2971 mashoga nyie pamoja na walokuzaa pumbavu yobo

    • @user-uq5vm2ge4q
      @user-uq5vm2ge4q Месяц назад

      Mshenzi ww

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 Месяц назад

      @@Ba63828 umetaja ushoga wewe inaelekea ndio shoga hakuna anaetaka nyoro lako hilo bwabwa wewe

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 Месяц назад

      @@Ba63828 choko wewe unaonekana tu

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Месяц назад +1

    WAPINZANI badala ya kuongelea sera zao WANANCHI WANATAKA MAJI safi na ajira kukuwa kwa UCHUMI na Afya kwa WANANCHI badala yake WANAZUNGUMZIA Raisi katoka wapi wakati UK inaongozwa na muhindi lakini watu wanaangalia leadership na experience 😢😢😢😢😢😢

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 Месяц назад +4

      Maji safi yapo?miaka 60 maji madawa yapo hospital?unataka waongelee nini wewe chawa? Jitambue kidogo basi

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Месяц назад

      @@mbwanahasan2971 WEWE PINGA WENZAKO WANAGAWANA RUZUKU HALAFU WEWE HELA YA BANDO NI SHIDA

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 Месяц назад +3

      Akili ya mpumbavu hakuna cha kujifunza zaidi ya utahira

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Месяц назад

      @@erickmsigala138 AKILI KILA MTU ANA NYWELE MIMI SIFATI MKUMBO LAKINI WAPINZANI BADO SANA HATA MDUDE AKISIMAMA CCM CHADEMA HAWATOBOI SABABU WANARUKARUKA BILA SERA MPAKA MATUKIO YAJE NDIO WANABWEKA 🤪🤪🤪🤪🤪

    • @nicholauskilosa5336
      @nicholauskilosa5336 Месяц назад +2

      Hawawezi kuzungumzia maji na afya kwasababu hawakusanyi kodi,wapinzani duniani kote kazi yao ni kuikosoa serikali iliyopo madarakani.

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 28 дней назад

    Mwandishi acha uchawa Lisu sio kajilipua Lisu katoa elimu ya ubaguzi,madini na kikokotoo kilichopandikizwa na maccm