🔴
HTML-код
- Опубликовано: 7 май 2024
- 🔴#Live: TUNDU LISSU AJILIPUA VIBAYA AKIWA MPWAPWA - AZUNGUMZA MAMBO MAZITO - RUSHWA CHADEMA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Zamani nilivyokuwa darasa la nne nilikuwa najua Zanzibar ni miongoni mwa mikoa ya Tanzania😂😂😂
Duh sasa umeshakuwa na ukweli ushaupata
Akuna Kiongozi Wa Ccm Anae Weza Kumjibu Tundu Lisu Kwahoja Ila Watakao Ropoka niwengi
Mungu akutunze baba usiogope kutisha kwao Mungu yuko upande wako.
Tindulissu ni mwamba kabisaa daah hadi nimeliaa Mungu akutunzee baba
Mheshimiwa sana, uko timamu mno. Hiyo nafasi inakufaa,
Mmeyataka!!! Ccm.
Lisu ni darasa tosha kabisa .Asante
Hongera kamanda mungu akutie nguvu kwa kutetea wananchi
Daa! Mpinzani wa kwel mwamba wew ni mwamba
Mungu akubariki mr Lisu Mungu amekuponya ili uisaidie nchi hii kupata elimu unayoitoa watanzania hatuna maarifa ndio maana ni kilio kila kona maccm yanacheka tu wanahalalisha uongo big up Mr Lisu.
Usipo mwelewa Mh Huyu kajipime akili milembe auko sawa Wewe sio tundu lissu Mungu anamtumia kutuokoa wala mihogo Sisi wa tanganyika
Daah kuuumbee Tanganyika tumepigwa😳😳😳😳
Umetisha sana
Hongera sanaaaaaa
ZAsante kwa kutuelimisha
Hotuba nzito imejaa ukweli utafikiri unasikiliza mahubir iseeeh.Lissu kamanda kweli kweli
Nakukubali sna lisu
Wewe ni Mwalimu. Asiyekuelewa jua tu amefundishwa ujinga Hadi amekuwa mjinga.
Ndio maana walijaribu kumpiga risasi ikashindikana ama kweli Mungu kashampa kipawa hiki anakifanya vizuri, barikiwa Mh. Lissu
Na leo nembo ya Taifa siku hizi haionekani kwenye kit cha Rais au katika meza ya kutoa hotuba ya Rais , bibi na bwana hawaonekani kwenye nembo hiyo ya Taifa.
Tupo mpaka kieleweke
Huyu mwamba ni darasa kubwa sana
Mheshimiwa jirani yangu mzee kinana hebu mjibu huyu bwana ukweli...usimleble mbaguzi...mwambie ubaguzi wake uko wapi...sema ukweli....ukweli utakuweka huru...Hoja za Lissu ni progressive...
🎉🎉🎉🎉
MUNGU AKUBARIKI LISU
Kwani Zanzibar inaipenda Tanganyika mbona ninyi ndiyo mlianza kuhamisha kila kitu? Labda mnapenda kiunafiki kupora ardhi yetu kwa kujipenyeza kwenye ardhi ya Tanganyika. Na huyo Nyerere ndiyo atatuletea matatizo makubwa na yeye hatakuwepo.
Muungano wetu ni Hollow trinity!!..hollow!!......
Mimi sijawahi acha kuwapigia chadema kura hata kama najua wanaibiwaga kura
Kisu kimeingia kwenye mfupa
Hiyo la kuhamishwa. Je, wameuza bandari kweli? Mbona tangu kwenye SERIKALI zote bandari zilikua zinaendeshwa na makampuni kutoka inje? Sidhani ameuz bandari kwa upande wangu au mbuga za wanyama. Kuhamishwa watu masai na watu wengine hiyo sidhani kuna kosa kama wamepewa pakuishi. Kwakua hata hapa Marekani ikiwa SERIKALI inahitaji eneo husika ambayo haimiliki wawekezaji wanafidia na kuchukua maeneo na watu kwenda kununua au kukodi baada ya kufidiwa
Lisu kuhusu Muungano upo sahihi bhana asilimia Mia moja na Wazanzibari wanakusapoti asilimia Mia moja ila hayo mengine ni yako mwenyewe
Shida kidogo mkuu sera ya chama chetu inahitaji kuongelewa acha hadithiiii Lisuuu, sheria unauja sawa
Jifunze elimu hiyo anayokupa Lisu wala hulipii pesa ccm hawawezi kukuelimisha kama hivyo.
Huyu ni mbbaguzi 😂😂
CCM daima ni propaganda kwa kila jambo yaani siku Hadi siku
Wandishi ndiyo machawa wakubwa. Kwanza huwa hawaongei kuhusu matatizo ya CCM hata wanaccm wakisema matusi kwa wanainchi huwa hawawezi kuziandika sasa hao ni waandishi. Ni wachawa tu wa CCM.
Hoja zote ulizo ongea zinaeleweka sana. Na hawawezi jibu maana wametufanya mambumbumbu wananchi.😮
Mwandishi acha uchawa Lisu sio kajilipua Lisu katoa elimu ya ubaguzi,madini na kikokotoo kilichopandikizwa na maccm
Je angeshinda uraisi Salim Mwalimu angekua nani? Na je angeuvunja Muungano?? Au kwa vile kaukosa uraisi ndio anajisika vibaya??
Huu Muungano uvujike tu
Kwan mama Abdul ni Nani?
Rais Samia
Hao unaongea nao usidhani ni wajinga. Kwani wao hawaoni maendeleo yaliyofanyika?
Tanzania kweli Rais ana madaraka makubwa sana. Hasa kwenye uteuzi. Ni kama yeye ndo anakaa anateua nchi nzima na kutengua. Ambao wanataka kupata nafasi wazishindanie kutokana na qualifications zao. Ili tuanze kuona namna watu wanarogana. Kwenye uchaguzi....hata kenya ambapo Chadema wanasifia mbona chaguzi wanasema kua SERIKALI imeiba. Kwahio hata Marekani ambapo rais hawachagui Rais isipokua watu 538 ambao ndo wanamchagua Rais na wakwanza kupata kula 270 ndo automatically anatangazwa kua Rais. Tunawasifia kila siku lakini hata uchaguzi wa kwao mbona una kelele? Kwahio hata aje Mungu kutufanyisha uchaguzi na ushenzi wetu tutaishia kupinga matokeo. Mfano hata kwenye makanisa pangekua panafanyika uchaguzi wakuwateua wachungaji, utadhani pangekua na maneno ya kua wamepakwa mafuta na kutudanganya kua mungu ndo amewateua wakati Mungu tunajua kua hateui watu baada ya watu kua na akili zao
Hapa siyo kuvunja muungano bali kuweka muungano sawa. Kwanini kuwa na muungano wa upande mmoja? Kwa sababu Mzee Warioba alipokuwa anaelezea kuhusu Zanzibar alipokuwa anaelezea kuhusu muungano alisema Zanzibar wamehamisha kila sheria iliyokuwa kwa ajili ya muungano wamehamishia Zanzibar. Zanzibar ni Inchi kamili ina waziri wake wana serikali yao sasa kuna muungano gani. Mtanganyika huwezi kushika hata ujumbe wa nyumba kumi. Sasa Tanganyika iliungana na Inchi gani? Sasa kwa nini tusikatae? Tundu Lissu Zanzibar inatunyonya tu tuna wabunge 80 wanakula pesa za bure. Muungano uko wapi? Tunaachia watoto wetu mzigo tu. Na kwa vile hawaelewi watawafanya watumwa wakati hatupo! Waelimishe hawa watu ambayo wanadhani kuna muungano.
Na huyu mzanzibari kwa nini auze mali ya Tanganyika? Kwa nini kwa muda mfupi ambavyo aliingia kwa sababu ya KATIBA aweze kumaliza awamu ya 5 ya Magufuli kwa nini akabadilisha kuwa awamu ya 6? Alifanya hivyo ili apate kujipenyeza kugombea uraisi kwenye awamu iliyokuwa inaanza 2025. Mungu mshughulikie kwa sababu wewe Mungu unapenda haki hupendi unafiki wa hawa CCM. Watoto toeni uongo wa CCM msije mkawa watumwa wa warabu tena.
Kwanza mshahara wa Rais ni kiasi gani kwa mwezi naomba tufahamishwe wananchi maana sie ndo waajiri wake.
Sasa unaanzaje kuajiri mtu bila kupanga na kujua mshahara wake ?? Tatizo limeanzia kwako 😅😅😅
😂😂😂😂😂
Chadema hawaipendi Zanzibar na wananchi wake na ndio maana hata wazanzibar ktk chama chao ni mmoja tu..
Unastahili kufungwa unapotosha watu umekimbiya kodi zawatoto wako siyo kweli kakimbiya kodi ubelijiji kazi kweli kweli
Sasa na Sumaye na lowasa na wengine wengi walienda chadema na rushwa? Huyu mzee mbona sikuelewi vizuri
Mamluki
Mbaguzi mkubwa wewe. Tuache wanawake .
Ongea sera za chama chako acha kuimba taarab
Utakuwa chawa wewe
Kichaa peke yake ndo anaweza kutoa maoni ya hovyo namna hiyo.
Hòngera sana lisu namim nimejua nin mana ya mungano nilikuwa naishi tu kula na kunya
Ukimsikiliza huyu Lisu utajifunza mengi ambayo hujawahi kuyasikia kutoka kwa viongozi wote wa CCM mchukie Lisu lakini wengi wanaendelea kujifunza kupitia yeye kwa sababu ni mkweli.
Kichaa kabisa
Kama baba Yako aliekurisisha uchawa
Huyu akapimwe akili.sera wapi.kulalama tu
Sera n tunataka Tanganyika yetu
kwel kbsa
Chizi
Chizi mama Yako
@@mbwanahasan2971 mashoga nyie pamoja na walokuzaa pumbavu yobo
Mshenzi ww
@@Ba63828 umetaja ushoga wewe inaelekea ndio shoga hakuna anaetaka nyoro lako hilo bwabwa wewe
@@Ba63828 choko wewe unaonekana tu
WAPINZANI badala ya kuongelea sera zao WANANCHI WANATAKA MAJI safi na ajira kukuwa kwa UCHUMI na Afya kwa WANANCHI badala yake WANAZUNGUMZIA Raisi katoka wapi wakati UK inaongozwa na muhindi lakini watu wanaangalia leadership na experience 😢😢😢😢😢😢
Maji safi yapo?miaka 60 maji madawa yapo hospital?unataka waongelee nini wewe chawa? Jitambue kidogo basi
@@mbwanahasan2971 WEWE PINGA WENZAKO WANAGAWANA RUZUKU HALAFU WEWE HELA YA BANDO NI SHIDA
Akili ya mpumbavu hakuna cha kujifunza zaidi ya utahira
@@erickmsigala138 AKILI KILA MTU ANA NYWELE MIMI SIFATI MKUMBO LAKINI WAPINZANI BADO SANA HATA MDUDE AKISIMAMA CCM CHADEMA HAWATOBOI SABABU WANARUKARUKA BILA SERA MPAKA MATUKIO YAJE NDIO WANABWEKA 🤪🤪🤪🤪🤪
Hawawezi kuzungumzia maji na afya kwasababu hawakusanyi kodi,wapinzani duniani kote kazi yao ni kuikosoa serikali iliyopo madarakani.
Mwandishi acha uchawa Lisu sio kajilipua Lisu katoa elimu ya ubaguzi,madini na kikokotoo kilichopandikizwa na maccm