ISMAIL JUSSA AFICHUA SIRI -ACT WAZALENDO: UHUSIANO NA CCM,MUUNGANO NA KUMSOMAMISHA ZITTO KABWE 2025

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

Комментарии • 41

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 3 месяца назад +13

    Hongera Mh. Ismail Makamo Mwenyekiti wa ACT wazalendo

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 3 месяца назад +2

    Nakupenda Jussa kwa ajili ya ALLAH buure❤❤❤

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 месяца назад +6

    Excellent interview

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 3 месяца назад +4

    Hakika wazanzibari tunachotaka ni mamlaka kamili ya Zanzibar sio kuombewa misaada na Tanganyika ndio Zanzibar ijenge barabara, hospitali na maji tunataka Zanzibar tujitegemee wenyewe sio leo mpaka tuombewe na mkoloni Tanganyika.

  • @jovankishamba9424
    @jovankishamba9424 3 месяца назад +3

    Mzee Jusa umeeleweka vizuri sana.

  • @NabilAchimid
    @NabilAchimid 2 месяца назад +1

    Wakat nashuka ndege Canada naenda migration nikakutana na Maigration mzungu kabica akaniuliza unatoka tanzania bara au visiwani nikamjib visiwani akaniuliza neno moja tu ismail jussa unamjuwa ndio ni our leader alinijib neno moja tu yap.

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 месяца назад +5

    Respect mh Jussa ... you are Zanzibarians hero

  • @MohdIkra-d7s
    @MohdIkra-d7s 3 месяца назад +6

    Naam kaabbisa kabbisa Hatuhitaji ghorofa tunahitaji zanzibar moja zanzibar mpya mamlaka kamili nasio ajira JKU au Kufagia manispaa hapana tunahitaji kujenga zanzibar bandari kua freeport tunahitaji elimu ya juuu tunahitaji sarafu yetu jeshi letu bendera yetu haaaa
    Ahaaa kabbissa kabisa tunahitaji uhaniaji sawasawa

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 3 месяца назад +9

    Jussa sisi wazanzibar tunakua hatuchoki kukuskiliza

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 месяца назад +4

    Please mhe tunataka ugombee jimbo la malindi Please Please please

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 23 дня назад

    JUSA NI INTERNATIONAL 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @MohdIkra-d7s
    @MohdIkra-d7s 3 месяца назад +8

    Jamanii huyu anaezuungumza ndio yule alie pigwaaa akavunjwaa vunjwa mbona inaonekanaa anaipenda nchi yakeee ya zanzibar kwanini alipigwa kwanini alifanyiwa yale mbona haonekani kua anakisasi anaonekana anaukunjufu wa moyo wake mtu huyu anapendeza sana mpeni nguvu na umoja huyu mtu pia inaonekana anatetea watu wakeee eti jamaniii

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 3 месяца назад +4

      Ni mtu makini sana, anajua zipi siasa za jukwaanina zipi siasa za mahojiano na siasa majadiliano. Yupo smart

    • @NassorRashid-g9y
      @NassorRashid-g9y 3 месяца назад +1

      Huyo bwana ndie Mh Ismail Jussa Ladu aliefunzwa siasa na Maallim akafunzika.

    • @LatifaAley
      @LatifaAley 2 месяца назад

      Akiwekacho Mungu Binaadamu hukiondowi kaza buti Jussa tupo na wewe

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 3 месяца назад +7

    Mtangazaji sauti yako kama Ahmed Ally wa simba 😂

  • @YahyaOthman-et2ki
    @YahyaOthman-et2ki 3 месяца назад

    Hongera kiongoz wetu

  • @HajjNgwali
    @HajjNgwali 3 месяца назад +4

    Kinach nifurahisha nikwmb wana shukran kw mam ni jamb zur San

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 3 месяца назад +1

    Kuna haja ya kubadiishwa huu mfumo wa katiba unaosema Rais ndio muwamuzi wa mwisho hili jambo ndio linaowapa kibur marais wa Zanzibar ingewekwa maamuzi ya Raisi wakubaliane na washauri wake enough

  • @mukhtaromar-g5p
    @mukhtaromar-g5p 3 месяца назад +2

    ❤❤❤❤❤

  • @LatifaAley
    @LatifaAley 2 месяца назад

    Sawa Makamo

  • @WahidMuhidin-g5e
    @WahidMuhidin-g5e 2 месяца назад

    Tupo pamoja na ACT

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 3 месяца назад +3

    Jussa nakupa heshima kwenye muungano, lakini kuhusu zito anaetaka kazi na bata hachaguliki hata kwa sawa. Labda ubunge wa kigoma. Kipindi kigumu tulikipenda kwa sababu wizi wa fedha za Uma, rushwa, matumizi mabaya ya mali za Uma yalipungua sana. Nakubali JPM hakuwa mtume huenda alikosea kwenye mambo ya demokrasia. Lakini Mali za Uma rushwa matumizi mabaya ya mali za Uma, ulinzi wa lasilimali za nchi na wizi wa Mali za Uma alifanya kazi hiyo kwa hali kubwa na kujitoa. Ndio maana watanzania wa ya chini anaowatetea jussa ndio wapenzi wakubwa wa ile hali iliyokuwa ngumu kwa wanasiasa ilikubalika na watanzania walio wengi. Lakini vile vile ndugu yangu jussa ufisadi wa mwinyi nzanzibar hauna tofauti na ufisadi wa Samia kwenye muungano hebu tuwe wakweli ili ufisadi uishe Bara na Visiwani!

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 3 месяца назад

      Mawazo yako mazuri tena inafaa wote wawe na fikra zinazotokana na wewe maana zinajenga hazibomoi

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 3 месяца назад +2

    Sawa jembe mm nikimuona jussa naona km maalim seif

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 месяца назад

    ✌️👍👊.

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 3 месяца назад

    🎉🎉🎉

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 3 месяца назад

    😮 SADAQTA 😢

  • @fahadabdalla8194
    @fahadabdalla8194 3 месяца назад

    Uraaaaa

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365 3 месяца назад

    Zito haaminiki ndumilakuwili

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 3 месяца назад +1

    MARAISI WA MUUNGANO BAADO WANAFUWATA MILA NA ITIKADI ZILEZILE ZA DR NYERERE

    • @salyali7807
      @salyali7807 3 месяца назад

      Umekusudia mchonga meno nyerere sio dr.

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 3 месяца назад

    Ufisadi upo ndani ya familia,

  • @MkungwaNgwarumbwa
    @MkungwaNgwarumbwa 3 месяца назад +1

    Elewa neno mwana-siasa, aongelei uhasilia eti serikali ya ubadhiribu na ufisadi tema mate chini ww, miradi ya viwanja vya ndege na bandari inaendelea bila kusita huo ndio ufisadi, mufilisi wa sera kichwani jussa...

    • @bakarsuleiman3989
      @bakarsuleiman3989 3 месяца назад +2

      Ww una wazimu kijana hujui unacholiongea wizi umekithiri kwa mgongo wa maghorofa wananchi walipa kodi ni maskini pesa zinapigwa

    • @nassorseif7907
      @nassorseif7907 3 месяца назад

      Muheshimiwa mutashinda vp 2025 wakati Mwinyi kakataa kubadilisha muundo wa Tume ya uchaguzi na wo wanategemea huko kubadilisha matokeo au kufuta kabisa matokeo mmejipanga vp na hili mkurengezi mpk saiv ni yule yulemuaji Faina kuraya mapema sheria haijabadilishwa baraza la wawakilishi vp unaaminisha watu ushindi wa 2925 muheshimiwa??

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 3 месяца назад

      Wewe matako

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Месяц назад

      Acha ujinga.

  • @KhalidAli-nk5qh
    @KhalidAli-nk5qh 3 месяца назад +1

    Jussa uwemwema kwenye maongezi uwe na hikma busara