KIVUMBI! WAMAASAI WAKIWASHA HUKO, WAVUNJA VYUNGU | WAOVU WAANZA KUROPOKA MAOVU YAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 36

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 11 дней назад +4

    Hongera ndugu Masai nakupa kumi, na nakuonea Mungu akilinde na mikono dhalimu mkuki wanaokutupia gizani uwageukie wenyewe ikawe asara yao milele

  • @HenryKisusi
    @HenryKisusi 8 дней назад

    Watu wa Mungu sasa wapo kazini kupinga maovu yanayotendwa na serikali inayoongozwa na dekiteta Samia. Mungu azidi kuwafichua waongo, wazushi na waovu

  • @OliveryHagite
    @OliveryHagite 11 дней назад +4

    Wamasai vunjeni vyungu zaidi ili watu waliomwaga damu za Watanganyika wazidi kupagawa

  • @EmmanuelMwankusye
    @EmmanuelMwankusye 11 дней назад +4

    Iwe Tanzania Zima tuandamane

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 11 дней назад +2

    Mungu yupo mtetezi wa wanyonge

  • @CharlesMarupa
    @CharlesMarupa 11 дней назад +3

    Ni ukweli mtupu ndugu, watanzania wanapaswa kubadilika, katiba mpya ni lazima. Mungu atawalipizia kisasi waovu wote Tanzania.

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 11 дней назад +3

    Mwenye macho hambiwi tazama. Ccm atakayeichagua labda hajielewi. Na Kam ni njaa Kali inasumbuwa watu Kwa mauaji hayo jaman maana hiyo njaa YAKO hujui ya kesho YAKO.

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 11 дней назад +3

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @LeonardSiame
    @LeonardSiame 10 дней назад

    Hawa mwisho wao umefika

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 11 дней назад

    Jamani tuache uzembe,tusikubali mwenzetu achukuliwe mbele ya macho yetu,yaani akitokea mtu wa ajabu atekwe yeye,hivi kwanini tunalialia tu kama mazuzu?kwani wao hatuwezi wateka?au sisi uwezo wetu ni kulialia tu mitandaoni,mujahid anatufumbua kila siku kuwa tuchukue hatua,sisi bado tunalialia tu,hivi tunadhani hawa wapuuzi wataacha huu ushetani?

  • @mountoftransfigurationchur2879
    @mountoftransfigurationchur2879 11 дней назад

    Kama chungu hiyo ndo Kazi ya chungu Vunjeni zaiiidiiii 😊😊😊

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 11 дней назад +1

    Lakini wamasai mlikuaga ccm wote!

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 11 дней назад

    Kwakweli ambao wanaisapot ccm mungu awasamehe

  • @EliauMtishbi-os5ky
    @EliauMtishbi-os5ky 11 дней назад

    Tanzania Mutu mtetezi wa HAKI anafuatiliwa hata
    kutekwa au kupotezwa .

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 11 дней назад +1

    Hata Mkoa wa Tanga kuna kuvunja chungu

  • @user-uk3eg3uo7s
    @user-uk3eg3uo7s 11 дней назад

    Nahici watu wengi watakufa Kwa dhambi za ndg zao ambao wamemwaga damu na kupoteza watu Kwan ndg zao lazima wafanye jambo baya la kuwatafuta ndg zao hasa hizi chungu.

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 11 дней назад

    Wananchi ndiyo msingi wa mamlaka ya utawala wa nchi.Serkali ya nchi hii kama haipendi kuwepo kwa Katiba mpya ya wananchi na uchaguzi wa halali,basi wananchi wenyewe waandike hiyo katiba mpya.

  • @evelina9621
    @evelina9621 11 дней назад +1

    Achiangazimuchengerwa.unamaibisha.raisiwetu.mambo.yasiofaa
    Usipelekee.wananchi

    • @lindajohansen9220
      @lindajohansen9220 11 дней назад

      Anamuaibisha raisi? Kwani hujui kaoa binti wa raisi na mama mkwe wake kampa hiyo kazi ya kusimamia uchaguzi? Ili waibe kura yeye raisi ashinde?

  • @EzekielKaminyoge
    @EzekielKaminyoge 11 дней назад

    Mdomo ni kwa chakula na maneno,chagua kinachokupa uhai,ili uishi,uhai hauna mbadala,

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard 11 дней назад

    Maliyamungu wa Samia ni mafyere

  • @EmmanuelMwankusye
    @EmmanuelMwankusye 11 дней назад

    Du pore tuko pamoja

  • @nicodemuskecho39
    @nicodemuskecho39 11 дней назад +1

    Kama madiwani walipitishwa na serikali je rais alisaidiwa na nani?

    • @knight6757
      @knight6757 11 дней назад

      🤔

    • @The1979bornagain
      @The1979bornagain 11 дней назад +1

      Wewe unafikiri alipitishwa na nani? Unajua JOHN P. MAGUFULI alipata kura ngapi mwaka 2020? Hiyo idadi ya kura iko wapi? Jimboni kwako alipata kura ngapi? Ukijibu maswali hayo vizuri, ndiyo JIBU la swali lako!!

    • @corporatethugsent7380
      @corporatethugsent7380 11 дней назад

      Yah good questions bornagain mtu akijijibu hayo anarudi nyumbani kuhama kabisa hii nchi kwenda ata sayari ya mars

    • @lindajohansen9220
      @lindajohansen9220 11 дней назад

      Jibu unalo ni polosi ccm

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 11 дней назад +2

    WAKICHOMA MOTO SEHEMU YAMALISHO PIGENI PICHA USHAHIDI

    • @LuciaAgustino-pt5mg
      @LuciaAgustino-pt5mg 11 дней назад +1

      Mwenyenzi mungu hatatuachabpekeyetu watanganyika nadamu ninzito kuliko maji

  • @RamadhaniMasumira
    @RamadhaniMasumira 11 дней назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @HajiKassimu-ww5oz
    @HajiKassimu-ww5oz 11 дней назад +1

    Wamasai nyooka tu yaan nataman muishe

    • @salashtuyaiimollel1016
      @salashtuyaiimollel1016 11 дней назад

      Lakini kwa uweso wa Mungu wapo na wataendelea kuwepo na. Wapo imara

    • @OlosekiLokoy-sy6qg
      @OlosekiLokoy-sy6qg 11 дней назад

      Mungu akusamehe sana hujui kesho yako ndugu

    • @user-lu8ny2gu7t
      @user-lu8ny2gu7t 10 дней назад

      Nyoka wewe na ukoo wako mzima mtaanza kuisha nyinyi
      maana duniani hampo ahera pia hampo jendaeka mkubwa

    • @KilomoMollel
      @KilomoMollel 10 дней назад

      Mungu atakujibu wew siku siyo ngingi na utajuta kwann ulitamka hivo