Mwenye macho hambiwi tazama. Ccm atakayeichagua labda hajielewi. Na Kam ni njaa Kali inasumbuwa watu Kwa mauaji hayo jaman maana hiyo njaa YAKO hujui ya kesho YAKO.
Jamani tuache uzembe,tusikubali mwenzetu achukuliwe mbele ya macho yetu,yaani akitokea mtu wa ajabu atekwe yeye,hivi kwanini tunalialia tu kama mazuzu?kwani wao hatuwezi wateka?au sisi uwezo wetu ni kulialia tu mitandaoni,mujahid anatufumbua kila siku kuwa tuchukue hatua,sisi bado tunalialia tu,hivi tunadhani hawa wapuuzi wataacha huu ushetani?
Nahici watu wengi watakufa Kwa dhambi za ndg zao ambao wamemwaga damu na kupoteza watu Kwan ndg zao lazima wafanye jambo baya la kuwatafuta ndg zao hasa hizi chungu.
Wananchi ndiyo msingi wa mamlaka ya utawala wa nchi.Serkali ya nchi hii kama haipendi kuwepo kwa Katiba mpya ya wananchi na uchaguzi wa halali,basi wananchi wenyewe waandike hiyo katiba mpya.
Wewe unafikiri alipitishwa na nani? Unajua JOHN P. MAGUFULI alipata kura ngapi mwaka 2020? Hiyo idadi ya kura iko wapi? Jimboni kwako alipata kura ngapi? Ukijibu maswali hayo vizuri, ndiyo JIBU la swali lako!!
Hongera ndugu Masai nakupa kumi, na nakuonea Mungu akilinde na mikono dhalimu mkuki wanaokutupia gizani uwageukie wenyewe ikawe asara yao milele
Watu wa Mungu sasa wapo kazini kupinga maovu yanayotendwa na serikali inayoongozwa na dekiteta Samia. Mungu azidi kuwafichua waongo, wazushi na waovu
Wamasai vunjeni vyungu zaidi ili watu waliomwaga damu za Watanganyika wazidi kupagawa
Iwe Tanzania Zima tuandamane
Mungu yupo mtetezi wa wanyonge
Ni ukweli mtupu ndugu, watanzania wanapaswa kubadilika, katiba mpya ni lazima. Mungu atawalipizia kisasi waovu wote Tanzania.
Mwenye macho hambiwi tazama. Ccm atakayeichagua labda hajielewi. Na Kam ni njaa Kali inasumbuwa watu Kwa mauaji hayo jaman maana hiyo njaa YAKO hujui ya kesho YAKO.
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
Hawa mwisho wao umefika
Jamani tuache uzembe,tusikubali mwenzetu achukuliwe mbele ya macho yetu,yaani akitokea mtu wa ajabu atekwe yeye,hivi kwanini tunalialia tu kama mazuzu?kwani wao hatuwezi wateka?au sisi uwezo wetu ni kulialia tu mitandaoni,mujahid anatufumbua kila siku kuwa tuchukue hatua,sisi bado tunalialia tu,hivi tunadhani hawa wapuuzi wataacha huu ushetani?
Kama chungu hiyo ndo Kazi ya chungu Vunjeni zaiiidiiii 😊😊😊
Lakini wamasai mlikuaga ccm wote!
Kwakweli ambao wanaisapot ccm mungu awasamehe
Tanzania Mutu mtetezi wa HAKI anafuatiliwa hata
kutekwa au kupotezwa .
Hata Mkoa wa Tanga kuna kuvunja chungu
Nahici watu wengi watakufa Kwa dhambi za ndg zao ambao wamemwaga damu na kupoteza watu Kwan ndg zao lazima wafanye jambo baya la kuwatafuta ndg zao hasa hizi chungu.
Wananchi ndiyo msingi wa mamlaka ya utawala wa nchi.Serkali ya nchi hii kama haipendi kuwepo kwa Katiba mpya ya wananchi na uchaguzi wa halali,basi wananchi wenyewe waandike hiyo katiba mpya.
Achiangazimuchengerwa.unamaibisha.raisiwetu.mambo.yasiofaa
Usipelekee.wananchi
Anamuaibisha raisi? Kwani hujui kaoa binti wa raisi na mama mkwe wake kampa hiyo kazi ya kusimamia uchaguzi? Ili waibe kura yeye raisi ashinde?
Mdomo ni kwa chakula na maneno,chagua kinachokupa uhai,ili uishi,uhai hauna mbadala,
Maliyamungu wa Samia ni mafyere
Du pore tuko pamoja
Kama madiwani walipitishwa na serikali je rais alisaidiwa na nani?
🤔
Wewe unafikiri alipitishwa na nani? Unajua JOHN P. MAGUFULI alipata kura ngapi mwaka 2020? Hiyo idadi ya kura iko wapi? Jimboni kwako alipata kura ngapi? Ukijibu maswali hayo vizuri, ndiyo JIBU la swali lako!!
Yah good questions bornagain mtu akijijibu hayo anarudi nyumbani kuhama kabisa hii nchi kwenda ata sayari ya mars
Jibu unalo ni polosi ccm
WAKICHOMA MOTO SEHEMU YAMALISHO PIGENI PICHA USHAHIDI
Mwenyenzi mungu hatatuachabpekeyetu watanganyika nadamu ninzito kuliko maji
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wamasai nyooka tu yaan nataman muishe
Lakini kwa uweso wa Mungu wapo na wataendelea kuwepo na. Wapo imara
Mungu akusamehe sana hujui kesho yako ndugu
Nyoka wewe na ukoo wako mzima mtaanza kuisha nyinyi
maana duniani hampo ahera pia hampo jendaeka mkubwa
Mungu atakujibu wew siku siyo ngingi na utajuta kwann ulitamka hivo