#ZaNdaaani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 237

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 Месяц назад +10

    Kama NIKWELI, MOO SHKAMOO KAKA WATAIFA😂😂❤❤❤❤❤😅😊

  • @user-wh2mm1eq2x
    @user-wh2mm1eq2x Месяц назад +23

    Za ndaaaaani😂😂😂
    Momo bwana, eti Mo Sarah. Momo sema Mo dewj siyo Mo Sarah

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv6958 Месяц назад +6

    Wa mwisho naomba like zangu ila naushauri acheni kupenda wachezaji pendeni timu zenu😂😂😂😂😂❤

  • @mcray0609
    @mcray0609 Месяц назад +2

    Eng. Hersi shikamoo.. Unajua kuyumbusha watu ad momo anadanganya umma

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Месяц назад +8

    Halafu mnataka kusema tx dullah ndio mwenye comedian talent pekee msiache jina la Momo tafadhali 😂

  • @basiaarsh3835
    @basiaarsh3835 Месяц назад +11

    Huyu jamaa yupo vzuri saaana

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 Месяц назад +9

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu kaka hahaha anajua kunivunja mbavu

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Месяц назад +4

    Momo kwa mikwala cheki alivyomuigiza tajiri alivyoshika sigara 😂😂😂

  • @StephanoFrance
    @StephanoFrance Месяц назад +6

    Aaah ila leo mzee wa za ndani umetupa laha sana wa lunyasi

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g Месяц назад +6

    Zaa ndani nakutukana kwa furaha kudadadekiii zako

  • @jamesngindo4583
    @jamesngindo4583 Месяц назад +1

    Mnahangaika tu Aziz alishasaini yanga kitambo, sema engineer mjanja ameaachia tu media zihangaike kwa muda huu

  • @amosmemba9926
    @amosmemba9926 Месяц назад +21

    Aziz Ki huyooooo

  • @francismomo7067
    @francismomo7067 Месяц назад +2

    Safi sana wajina

  • @victorvenance1009
    @victorvenance1009 Месяц назад +6

    Hakuna timu ya kufanya usajili wa Bilion 3 kwa mwaka mmoja kwenye ligi ya Tanzania.

  • @georgesheto4542
    @georgesheto4542 Месяц назад +41

    Azizi k to simba like za kutosha apa

    • @Veni584
      @Veni584 Месяц назад +5

      Akacheze shirikisho

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt Месяц назад

      ​@@Veni584mjomba watu wanaangalia pesa hilo shirikisho halimpunguzii wala halimungezei kitu

    • @bone102
      @bone102 Месяц назад

      ​​@@Veni584kama Ahly timu ya 1 Africa ilicheza shirikisho mwaka 2014 kuna kitu gan cha ajabu zaid Simba ambaye ni ya 5 Africa kucheza shirikisho wachezaji wanaangalia timu gani ina muendelezo na sio timu ndo inajifunza kwenye club bingwa mara ya 2 na hamna uhakika mtaingia group stage

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA Месяц назад

      JE YA KWELI HAYO ?

    • @alfonceanton2273
      @alfonceanton2273 Месяц назад +1

      ​@@Veni584Kwani wakati anakuja nyuma mwiko mlikuwa mnashiriki mashindano gani?

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 Месяц назад +1

    Azizi Ally labda hhahaaaaaaa Azizi ki Jangwani yupo sana sajilini kina Debora tuleteeni na Mwajuma 😂😂

  • @biggy_aziz255
    @biggy_aziz255 Месяц назад +8

    Kama unatamani kumuona Aziz Ki SIMBA like hapa 👍

  • @evdsam7286
    @evdsam7286 Месяц назад +1

    Huyu jamaa anatabia za kikekike sana, anavyodanganya mpaka sura inaonesha ukike ndani yake

  • @hamidabdallah5841
    @hamidabdallah5841 Месяц назад +3

    Dah siamin

  • @mwitafabian9403
    @mwitafabian9403 Месяц назад

    Jamaa mpaka kaapa, kweli Dunia ina mambo

  • @harounzuberi8179
    @harounzuberi8179 Месяц назад +2

    Sospiter Bajuna huyo😅😅😅😅

  • @chidyothman5285
    @chidyothman5285 Месяц назад

    Kula chuma ikoooo yule avc Town

  • @phidolineprivatus9078
    @phidolineprivatus9078 Месяц назад +3

    We msenge leo umejua kunichekesha😂

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад +3

    MNYAMA MKALI

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego3308 Месяц назад

    sasaivi momo umekuwa muongo sikuwamini tena mpaka unaapa Kwa mungu

  • @user-iv1it9yy3c
    @user-iv1it9yy3c Месяц назад +20

    Shajua kama injinia aje simba hata leta mgogoro mkubwa bora auzwe huko kaizer sio makolo nae shuka thamani timu ashirk klabu bingwa

    • @barakayusuph4617
      @barakayusuph4617 Месяц назад +7

      wew amka aziz ki yuko huru sasa mtamuuzaje chura wew😂😂

    • @chamyluna8030
      @chamyluna8030 Месяц назад

      Lilisikika pumbavu likiongea 😢😢😢😢

    • @JumaSuleiman-np3eb
      @JumaSuleiman-np3eb Месяц назад

      Wivu tu

    • @onesmothimos2635
      @onesmothimos2635 Месяц назад

      Ujui kuandika nenda shule choko wewe

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 Месяц назад

      Yanga hana mamlaka ya kumuuza Aziz k.Aziz ki yuko hurt hana mkataba na timu yoyote.

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g Месяц назад +4

    Wewee ucitutie tamaaa

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g Месяц назад +2

    Umeeeapa kwa Dini nakuamini

  • @LowasaSanare
    @LowasaSanare Месяц назад +1

    Hahahahaha 😅😅😅😅 we jamaa unajuaa kuigizia umbea akii 😂😂😂 nmecheka

  • @shaiburajabumrope8113
    @shaiburajabumrope8113 Месяц назад +3

    Nakukbal sana likado momo

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Месяц назад

    Mnapaish JMN

  • @user-bj8hk9td9f
    @user-bj8hk9td9f Месяц назад +1

    Ina maan wasafi muko vizr kwel munauliza ripoti imendikwa na nani timu haikua na kocha

  • @chidoxtv.7394
    @chidoxtv.7394 Месяц назад

    Chidox company limited karibuni

  • @hendrixmarvel7387
    @hendrixmarvel7387 Месяц назад +15

    Naombeni likes jaman😅

  • @AlphaPetro
    @AlphaPetro 5 часов назад

    Wew

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 Месяц назад +2

    Leo momo kanichekesha sana

  • @georgekyando885
    @georgekyando885 Месяц назад +1

    6:21 siku zote mkuki ni mtamu kwa ……. Na kwa ….

  • @chrissantkaunda9958
    @chrissantkaunda9958 Месяц назад +2

    Daaaah aziz ki tumemkosa

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c Месяц назад +1

    Mlikuwa wapi kabla eris hajàsema azizi hajasain we muongo bhana

  • @josafko2259
    @josafko2259 Месяц назад +1

    Timu gan ya kutoa 3b hapa bongo😂😂😂

  • @allytv1714
    @allytv1714 Месяц назад +6

    Huyo ni aziz funguo utoo wanamganda na awana pesa ya wanataka aishi kama family ndo maana mayele alisepa alikataa mfumo wa ww family

    • @reonardchatanda6371
      @reonardchatanda6371 Месяц назад

      Poleni sana

    • @Munyama675
      @Munyama675 Месяц назад

      Yaan Aziz aache Yanga aende SIMBA?

    • @allytv1714
      @allytv1714 Месяц назад

      @@Munyama675 mpira ni biashara kama timu inamwaga pesa zaidi ya yanga anaenda siyo kwao pale mayele alisema yy anaangalia pesa anatafuta pesa kama cristiano Ronaldo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Месяц назад

      ​@@reonardchatanda6371POLE MATAKO AU 😂😂😂😂😂😂 UTOPOLO MACHOGO FC WEWE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Месяц назад

      ​@@Munyama675UTOPOLO MACHOGO FC NJAA NYIE

  • @GETRUDEGODWIN
    @GETRUDEGODWIN Месяц назад +1

    Chama uyo jamani sio azizi k

  • @richymello14
    @richymello14 Месяц назад +1

    Fiston Kalala Mayele 🛫

  • @killerwizzyofficial2157
    @killerwizzyofficial2157 Месяц назад

    Daaaaahh brother 😂😂😂😂😂

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Месяц назад +1

    Wapike keki wao si wanapika keki!!!

  • @festofeisag392
    @festofeisag392 Месяц назад

    Azizi ki😢😢😢😢😢😢

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Месяц назад

    Umenichekesha sana

  • @sundaymsomi6284
    @sundaymsomi6284 Месяц назад +1

    Hapa hakuna taarifa ya ukweli kuweni watulivu

  • @geraldchawala9506
    @geraldchawala9506 Месяц назад

    aka kajamaa kaongo sana.😂😅😂😂😅

  • @mcray0609
    @mcray0609 Месяц назад

    Unajua comedy bro

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo Месяц назад

    Wahindi matapeli sana

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv6958 Месяц назад +1

    Momo acha uongo unaapia mpka jina la mola wako ufai bara wala pwani

  • @NNONGWA
    @NNONGWA Месяц назад

    Kuanzia leo sintakusikilizaaa tenaaa ,Mzushiiiiii mkubwaaaaaaaaa

  • @geralddeus1434
    @geralddeus1434 Месяц назад +1

    Momo jau sana daah🤣🤣

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy Месяц назад +1

    Msenge akikutana na shoga bora nani jamani hapo ndio radio hao wachambuzi mmoja msenge na mwingine ni shoga

    • @rogersdavis3058
      @rogersdavis3058 Месяц назад

      Tatizo la ushabiki wa kipuuzi unatukana kisa nini

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 Месяц назад +2

    😂😂😂😂ameshindwa kumbakisha chama kwa mshahara wa ml 40 utaweza kwa ki kakojoe ukalale nawewe saizi hauna za ndani wala nini

    • @user-mo6be6gz3t
      @user-mo6be6gz3t Месяц назад +1

      Million 40 kwa umri ule kaka miaka 33 ni uongo kaka hata ww usingetoa

    • @jamesngindo4583
      @jamesngindo4583 Месяц назад

      @@user-mo6be6gz3t Chama hajaisha mpira wangembakisha tu kwa mwaka mmoja, sasa tusubiri tumuangalie akiwa yanga tujiridhishe

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx Месяц назад +1

    Huyo momoo! Jinga kweri umetisha
    Kutuchekesha umenivunja mbavu😃😃😃

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Месяц назад +3

    Kumbe kashaanguka wino 😂😂😂😂 mimi msenge sana

  • @LovelyForestHills-eh4zs
    @LovelyForestHills-eh4zs Месяц назад

    Jaman mnajua anaezungumziwa kiiiiiiiiiiii az

  • @georgekyando885
    @georgekyando885 Месяц назад +2

    Siku zote mkuki ni mtamu kwa ………… na kwa ni……..

  • @answarihamza6814
    @answarihamza6814 Месяц назад

    Za ndani zako hazijawahi kuwa za kweli shibe ndo inakufanya uongee utumbo

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians Месяц назад +1

    From #EconomicallyGrowthMusicians 😂😂😂😂😂

  • @robertkisasa1346
    @robertkisasa1346 Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂dah tajiri katisha…momo hadi umesimuliwa tajir kavuta ciger😂😂

  • @nasrakambimton9522
    @nasrakambimton9522 Месяц назад

    Sas jaman wenzen wanaongerea mpira ww unaweka matus

  • @RESPECTFOOTBALL2024
    @RESPECTFOOTBALL2024 Месяц назад +3

    HACHOMOI HUYO

  • @IdrisuMabuda
    @IdrisuMabuda Месяц назад +1

    Yess

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri Месяц назад

    😂😂😂😂Hivi huyu anapataga wapi habar

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Месяц назад

    MO KWA AZIZI KI DUUUH AISEEE HATARI SN NDUGU YANGU

  • @CaryDebes
    @CaryDebes Месяц назад

    Tripple C uyo 😅😅😅umetisha baba huna baya 😊

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Месяц назад

      WANAJISIFIA UJINGA MATOPOLO MACHOGO FC WATOWE DOLA LAKI 5 MADENI MPAKA MIKUNDUNI NYIE 😂😂😂😂😂

  • @mwemajulius5036
    @mwemajulius5036 Месяц назад

    Nimecheka kwamba kamtikisaa

  • @user-yk9ll1cd9b
    @user-yk9ll1cd9b Месяц назад +1

    Momo hivyo viwili unavyonyosha juu unatupa mashaka ya ww kuwa mmasonia

  • @SadiFesi
    @SadiFesi Месяц назад

    Endeleaga kudanganya watu

  • @jameszephania3143
    @jameszephania3143 Месяц назад

    feisal

  • @DavidChristofa
    @DavidChristofa Месяц назад

    Wanajitekenya alafu wanacheka😂😂😂

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 Месяц назад +1

    Msijixime data alisema hataondoka kwa ajili ya pesa mpaka atakapomalizana na boss wake anaemheshimu sana waambie wakalilie chooni

    • @user-xm5xg1tt6d
      @user-xm5xg1tt6d Месяц назад

      Mbona povu

    • @brownmoses9543
      @brownmoses9543 Месяц назад

      Heshima haipo palipo na pes😅

    • @bone102
      @bone102 Месяц назад

      Kwan Mayele alisemaje na tangazo la jezi mpya alivaa kaka wachezaji wanaangalia wap watapata pesa mzee

    • @bone102
      @bone102 Месяц назад

      Kwan Mayele ilikuwaje na hadi jezi mpya za msimi alivaa na mkasema Mayele haondoki😂

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 Месяц назад +1

    😂😂😂wakati leo wadanganye ao makolo wenzio

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 Месяц назад

    Vyura🐸🐸🐸wataanza kuchoma jezi muda si mrefu😂😂😂😂😂#SIMBA nguvu moja

  • @user-ye3rb9jd6z
    @user-ye3rb9jd6z Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂😂 Momo we muongo akavuta sigara

  • @LovelyForestHills-eh4zs
    @LovelyForestHills-eh4zs Месяц назад

    Tunamtaka kii aziz

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl Месяц назад

    Inatumika siku hizi... injinia kashafanya yake kwako!

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Месяц назад +2

    Amchukue lakini mfumo ndo shida kolo. Muulize Mayele mfumo umemkataa asingizia majini.

    • @JumaSaidi-xq7ui
      @JumaSaidi-xq7ui Месяц назад

      Mfumo wakufnya nn

    • @SurprisedFullMoon-gg9vu
      @SurprisedFullMoon-gg9vu Месяц назад

      Mfumo wa kukutombaaa au

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 Месяц назад

      ​@@SurprisedFullMoon-gg9vu😂😂😂umelijibu vzur hilo punga

    • @SurprisedFullMoon-gg9vu
      @SurprisedFullMoon-gg9vu Месяц назад

      @@personpeter2221 haya ma utokwinyoo masengee kwel

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Месяц назад

      Mayele umemkataa mfumo wakt anaongoza kwa magoli ligi ya Misri na ana assist 5 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂be

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Месяц назад

    Nimecheka sana😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @MagahGeoffrey-md5wb
    @MagahGeoffrey-md5wb Месяц назад

    Huyo Ni guede Joseph

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri Месяц назад +1

    Huyo ni Jonas mkude

  • @jafethleonard5821
    @jafethleonard5821 Месяц назад +1

    Mbona mafumbo mengi

  • @user-ws2ub7px4t
    @user-ws2ub7px4t Месяц назад +1

    Uyu nimuongo

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Месяц назад +1

    Yani kweli kuna mashabiki wanae mshabikia huyu .mimi ndio mara yangu ya kwanza kumsikiza nasitatokea tena kusikiza uongo kama huu kama anaongea na watoto wadogo

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt Месяц назад

      😂ni kweli sio uongo sema kwakuwa wee unaonekana jeuri kataa hivyo hivyo!na sio moo aliye fanya hivyo kuna jamaa anaitwa saraha lafiki yake mwana FA

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 Месяц назад

      @@IbniAbbas-yz3kt mimi ni yanga damu damu na mpira naujua ni biashara Aziz akienda bado nina furaha kuwa timu yangu Young African iko na muongozo wa kisasa na tunavuna mipesa na itatufanya tuzidi kuwa strong.nyie Simba sasa Mo muhindi kawaida yake pre -season mwenye timu yake anasafiri na jitimu lake anafanya market ata pesa anayowapa nyie omba omba baada ya preseason marketing aliyofanya yeye kwa biashara yake na kutumia nembo ya Simba ni yake anakua amerudisha trillion cz Mo ni bilionia .marketing yake ni ndefu sijui umenifahamu .anawahujumu hawajengei ata Simba complex nyumba za wachezaji yani muna jina kubwa tu lakini hamuna kitu munamuomba muhindi yani munatawaliwa .nyerere alishatugomboa amkeni

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 Месяц назад

    RICARDO MOMO🐸🐸🐸 watazimia😅😅😅#SIMBA nguvu moja

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er Месяц назад

    Huo usijari wa kagoma wala msihangaike sio Aziz k😂😂😂😂

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Месяц назад +2

    Huyu kama msenge kwenye media analeta story za kama amekula mirungi au mlevi .hawa ndio waharibifu wa kazi za watu .yani kafanya hapa kwa media kama mgahawa wa kahawa ndio maana kaachwa na mke wake sababu ni muongo

    • @luqmanomary3558
      @luqmanomary3558 Месяц назад

      Usitutus wala kirungi au pombe chagua starehe yako na wew😂😂😂😂😂

    • @charlestobby6031
      @charlestobby6031 Месяц назад

      Mwanzo mlifurahi mwisho wa stori mkanuna mtasubiri sana kudadeki😂😂

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 Месяц назад

      Jamaa muongo maendeleo ya ki afya ya akili mwanzo ni mtu awe haongei uongo bongo linakua safi .alafu ukizingatia yuko kwenye media kaa sio mlevi ni nani huyo chizi basi au ndio media ya mdogo wake anakaa akidanganya watu .huo wakati wa kutunga naongezi sisi yanga tumeshawacha muda mwingi ata maongezi ya kurogana kitambo tumesahau kuyatamka sisi wana yanga sababu .uchawi wa mpira ni zoezi na pesa management nzuri yenye uwelidi na kuwatizama wachezaji kwa furaha .nyie simba omba omba wa babujiiiii muhindi anawahujumu simba wote wanafiki sasahv yenyewe inashangilia usajili.kweli wachezaji wao ukiwatizama sio uhakika upo .nimependa napenda mpizani awe na timu pia lakini kimaendeleo simba ni ndondo club huo ndio ukweli

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 Месяц назад

    Jamaa ongo hili😅😅😅

  • @Adrext
    @Adrext Месяц назад

    😂😂momo bhana

  • @shabanihalfani9718
    @shabanihalfani9718 Месяц назад

    Umbea tuuuu

  • @davidkabungo1192
    @davidkabungo1192 Месяц назад

    Punguzeni huo muzic tafadhali.

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 Месяц назад

    We muongo Sana Aya mbona atumuoni kwenye timu ya Simba

  • @tuntumzazi
    @tuntumzazi Месяц назад

    😅😅😅😅😂😂😂. Wakola waitu.

  • @hassanchikwaya4170
    @hassanchikwaya4170 Месяц назад +1

    😂😂😂 ila momo

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Месяц назад +1

    Anatumika kukikisha propaganda ya Yanga na Ki sema hii ya tajiri lilivyovuta sigar kuwasha na kuvuta ni kali😂😂😂😂

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Месяц назад +1

    Mo wakomeshe hao wasenge mamae

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm Месяц назад

      Ma Debora mbona matusi ya nn mama tuliza Nyoro hiyo

  • @MalakEnock
    @MalakEnock Месяц назад

    Mnazinguwaa huuu mwezii sasa sisikii redio yenu morogoro raha kama hii naipatia wap acheni usengee