#kivumbi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • #kivumbi CHADEMA WATOA TAMKO ZITO KWA POLISI MBOWE AGEUKA MBOGO "SUGU HARI YAKE NI MBAYA SANA

Комментарии • 57

  • @husseinomary-dg1wx
    @husseinomary-dg1wx 26 дней назад +5

    HAHAHA UPO SAHIHI ILA HII NCHI YAWATU SIYO YAWANANCHI 😂😂😂

  • @WilliamMandwanga
    @WilliamMandwanga 26 дней назад +4

    Hawako tayali ccm kuleta tumehuru ya uchaguzi

  • @jonathankessy9615
    @jonathankessy9615 26 дней назад +4

    Hili sio jeshi la police la Tanzania bali ni jeshi la ccm
    Basi na kila chama kianzishe jeshi lake

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 26 дней назад +5

    Sahihi kbs Tanzania hakuna Democrasia ya kweli uongo mtupu tu Mungu atujaalie Democrasia ya kweli ili tufanye siasa za huru na haki

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 26 дней назад +2

    Kabisa niaibu tupu mungu tubaliki sisi walalahoi

  • @JemeslaizerJemeslaizer
    @JemeslaizerJemeslaizer 26 дней назад +2

    Uko sawa ndivyo walivyo... Lakini solition nini... Ni Katiba tu ndivyo tiba.... Bila Katiba mpya,, hawezi koma.. Sasa iliyo baki nini ni kuunganisha nguvu.... Mmoja na kuuikemea siasa Mbaya na kuchukua hatua dhabiti.

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 26 дней назад +8

    Waziri Masauni ajiuzuru na viongozi wake wafuate waziri wao....

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 26 дней назад +4

      Chadema waombwe radhi na wapewe fursa ya kufanya kongamano lao

    • @JuliusMhina
      @JuliusMhina 26 дней назад

      ​@@adelinelyaruu3036Nani atagharamia

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 26 дней назад +4

    Masauni kibaraka mkubwa unayeruhusu polisi kwenda kufanya watanganyika kama watumwa wenu. Tuliko toka na Nyerere wetu aliyepigania hii Inchi hajawahi kufanyiwa ukaburu mkubwa wa aina hii ya masalia tu ambayo hawajui hii ilanzajr. Lakini Nyerere najua huko uliko huna raha na mzanzibari huyu na vibaraka wake

  • @emanuelurio-ok8yl
    @emanuelurio-ok8yl 26 дней назад +1

    Tz kuna mambo ya jabu kweli kweli. Utawala wa sheria na amri ni vita viwili vinavyotumiwa na Polish kiajabuajabu

  • @leomika8473
    @leomika8473 26 дней назад +2

    Nawote mapolis walio usika siku iyo wajiuzulu

  • @michaelmshighati8432
    @michaelmshighati8432 26 дней назад +2

    Nikampuni ya Chama Cha Mapinduzi ya kutesa Wana Nchi

    • @HadijaJoseph-d1g
      @HadijaJoseph-d1g 26 дней назад

      @@michaelmshighati8432 kabisa kaka kweli hiyo ni kampuni

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 26 дней назад +1

    Kabisa baba ni Kweli Kabisa,gatuna jeshi TZ Bali ni vibaka tu na vibaraka wa. ccm.

  • @SwahibuAthuman-wh5wr
    @SwahibuAthuman-wh5wr 25 дней назад

    Mm.mwanangu.akiwa.asikari
    Polisi na.mlaani

  • @eunicemacha8497
    @eunicemacha8497 26 дней назад

    Mtumishi Apo umesomeka

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 26 дней назад

    Lah mchungaji !!!😮

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 26 дней назад

    Cheo cha masauni anastahiri mzee camilions wambura ananiambia walioharibu wajiuzuru

  • @eliaschipanda2006
    @eliaschipanda2006 26 дней назад +6

    Hao hawana aibu.Ni wanyama.

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y 26 дней назад

    uko sahii ukweli mtupu mtumishi

  • @evelina9621
    @evelina9621 26 дней назад +1

    Hata.viongozi.kama.raisi.upate.muda.ongea.na.wakuu.wote.waelimshe
    Watii.amria.ya.kutii.sheria.waliosomea.vijana.wa.ss.wanaadabu.kutaka.nyumbani.wanapotoka.,zamani.wanapeleleza.nyumbani
    ANAPOTOKA.

  • @YesuKristu-y5w
    @YesuKristu-y5w 26 дней назад

    Hakuna kitu hiyo umesema shida ni kutisha wayu wasichague mageuzi

  • @richardmagaka9525
    @richardmagaka9525 26 дней назад +1

    Sina hakika kama atajiudhuru mtu hapa labda kurujuani na Novena yaani maombi maalum ili waliohusika wote mioyo yao iwatume kujiudhuru bila wao kuhiari 😂😂

  • @emmanuelndotela9412
    @emmanuelndotela9412 25 дней назад

    Utavunjwa miguu bure.

  • @InnocentDamian
    @InnocentDamian 26 дней назад +1

    Mh!

  • @JaphetJackson-p6b
    @JaphetJackson-p6b 26 дней назад +1

    😂

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y 26 дней назад

    Watu wote serikari ilipe na mali zote zizopotea kualibiwa na usafili waliokua wamekodi garama zote zilipwe na selikari hiyo ya ccm iliyotuma polisi kuumiza watu

  • @user-ti8fn1wn1w
    @user-ti8fn1wn1w 26 дней назад

    🎉🎉🎉 amina

  • @silstardaudi1718
    @silstardaudi1718 25 дней назад

    Sahihikabisa tunaonewe

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 26 дней назад +1

    Wasije kukupa sumu unaongea ukweli

  • @silstardaudi1718
    @silstardaudi1718 25 дней назад

    Siojeshiraporisituu atawanajeshi nao

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 26 дней назад +2

    Safi sana baba sema tupone Baba🙏

  • @SDM2024-z4s
    @SDM2024-z4s 26 дней назад

    Mchungaji salisha kanisa mengine hayakuhusu

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 26 дней назад +4

    Hatuna imani na jeshi lapolisi

  • @SamweliZaburi-fk3qj
    @SamweliZaburi-fk3qj 26 дней назад +1

    Hawa polisi tunawaheshim tu lakini sasa naona hawastahili heshima wao ni wachache kuliko sisi

  • @jamhurigeorge7730
    @jamhurigeorge7730 26 дней назад

    Na huo ndio ukweli wenyewe ccm wanatumia dolla kubaki madarakani

  • @StephenMpallange
    @StephenMpallange 25 дней назад

    Police Ni kikosi Cha Ulinzi na Usalama Cha CCM.

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 26 дней назад +4

    Masauni hatoshi kwenye jeshi la polisi.

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf 26 дней назад

      Hawa viongozi wanaamua kumharibia mama mama ni mtu WA maridhiano ila Hawa viongozi hahapendezwi na maridhiano ikimpendeza mama aamue kuondowa wote na ateuwe wengine wasiomiharibiya

  • @matrida-w3o
    @matrida-w3o 26 дней назад

    Amina

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 26 дней назад

    Kweli jaman

  • @BeathaChambo
    @BeathaChambo 26 дней назад +3

    Hii ni aibu kwa Taifa letu

  • @user-jg6hm9cr9t
    @user-jg6hm9cr9t 26 дней назад

    Watakula mpaka lini

  • @mohamedzambo1511
    @mohamedzambo1511 26 дней назад

    Ni tume huru YA " UCHAFUZI" SIO "UCHAGUZI"

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 26 дней назад

    Eatu wametuya gharama zao kutoka sehemu mbalimbali

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 26 дней назад +2

    hao polisi waliofanya hiyo mission ni wahuni tu majambazi na waliobeba roho za kuzimu mashetani

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 26 дней назад +1

    haya mambo polisi mnayaacha kwa sababu ni chadema mtalipa gharama kubwa sana

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 26 дней назад +1

    Watumishi wa Mungu woooote wangekuwa kama wewe taifa lingepona ila watumiahi wengi wanapambania matumbo yao tu hata wakiona maovu yanatendeka kwenye taifa letu wapo kimyaaa

  • @khatibumakame6014
    @khatibumakame6014 26 дней назад

    Wewee vp habari ya siro na ngunguri
    Alipoleta polisi pemba na
    Unguja watu wamekufa na wengine kuumizwa na
    Hata kubakwa mbele ya wazee wao mbona hujasema kitu na chadema hajasema kitu wala ww hukusema kitu Wale sio binadamu wacha unafiki njoo mbele ya maandamano tukuone

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 26 дней назад +1

      Akili yako kiduchu imejaa unyafuzi na utapiamlo, kwa kuwa Siro alituma polisi Pemba kwa hiyo utawala wa sasa unalipiza kisasi kuwafurahisha wapemba? Kauli za kipumbavu kama hii zinadhihirisha ujuha, uhasidi na gubu iliyogubika upeo wako mdogo wa ufahamu!

  • @NancyMatuli-fb5jp
    @NancyMatuli-fb5jp 26 дней назад +1

    Hakunaga jeshi la police Tanzania ila huwa kuna chama cha ccm na ikiwezekana wangeanza kuvaa sare za ccm

  • @ismailramadhani1649
    @ismailramadhani1649 26 дней назад

    Mzee nani atajiuzulu ache ulaji na kuwatumikia upande wa pili?

  • @JhonsonCharo
    @JhonsonCharo 26 дней назад

    Hii kweli ni Aibu kubwa sana na wame wadhalilisha sana Wakina Mama zetu wote Watanzania, hata kwa Mama Samia ni aibu kubwa mama zetu kupekuliwa na jeshi la polisi wakiume. Hilo sio sawa kamwe na wametuletea Aibu kubwa sana nao wamejichukulia Laana