EXCLUSIVE: KAULI TATA YA SUGU BAADA YA KUTOKA HOSPITALI KUFIKA NYUMBANI KWAKE ||AELEZA ALIVYOUMIZWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 183

  • @mongogwelaanthony6867
    @mongogwelaanthony6867 2 месяца назад +4

    Pole sana mheshimiwa sugu, mungu wetu si kiziwi

  • @JailosKitugu
    @JailosKitugu 2 месяца назад +4

    Pole sana kamanda ipo siku moja 1, katika siku za Mungu italeta majibu

  • @Marthamkilema
    @Marthamkilema 2 месяца назад +5

    Poleni mno wapendwa Tumshukuru Mungu kwa uzima. Endelea kupata matibabu mheshimiwa

  • @AbeliFormsixngilangwa
    @AbeliFormsixngilangwa 2 месяца назад +3

    Pole sana mr sugu Mungu atakulipa usipo zimia moyo ,laana naiwe juu yao nafsi zao hazitatulia kamwe kwa hichi kitendo walicho kifanya...amen

  • @giftmloge7134
    @giftmloge7134 2 месяца назад +13

    Kamanda pole sana Mungu akuponye. Katika hali hii na kwenye hili Mungu atalipa kwa njia ambayo CCM hawataamini, Wa muulize mfalme Nebkadiliza

  • @AnteloSanga
    @AnteloSanga 2 месяца назад

    Pole sana ndg tunaendelea kukuombea kwa Mungu akuponye amina.

  • @barakamwasenga2143
    @barakamwasenga2143 2 месяца назад +7

    Pole mwamba tupo pamoja

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 2 месяца назад +4

    Pole sana mhe: Sugu mungu akupe afya njema, kwa vile watesi nao ni viumbe kama sisi tumwachie mungu kwani malipo ni hapa hapa duniani!

  • @amrankanda4291
    @amrankanda4291 2 месяца назад +5

    Pole sana Mheshimiwa Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa JOSEPH MBILINYI SUGU

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 месяца назад +3

    Pole Sana kamanda Mungu yupo atawalipa ipo siku yao

  • @silasmakweta3002
    @silasmakweta3002 2 месяца назад

    Mungu akuponye mh. Sugu ili uendelee kujenga Chama Kanda ya Nyasa. Pole sana kamanda.

  • @MubaKamlete
    @MubaKamlete 2 месяца назад +2

    Pole sana mh yana mwisho haya

  • @alfagindo7814
    @alfagindo7814 2 месяца назад +1

    Polen sana, Sisi zetu dua, Tunaumia mnooo, kwa kweli Hayo mochozi na maumivu mnayopitia yupo wa kutafuta,Tunawaombea.

  • @alfredkwavava6235
    @alfredkwavava6235 2 месяца назад +5

    Pole mheshimiwa Mungu yupamojanawe utashinda hawata kuweza ukombozi siyo kazilahisi kwa pamoja tutashinda

  • @MARYLembeli
    @MARYLembeli 2 месяца назад +9

    Pole sana. Mungu yuko nawe atakuponya

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 2 месяца назад +1

      Thanks goodness you look okay. You will perfectly be fine in due course. GOD IS A JUST GOD🙏🙏

  • @PeterAndrea-z7r
    @PeterAndrea-z7r 2 месяца назад +4

    Pole kaka

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 2 месяца назад +6

    Pole sana kamanda

  • @jafarymohammed3251
    @jafarymohammed3251 Месяц назад

    Pole sana kamanda mpambanaji hii damu siku moja italipwa tu.
    Mh. Sugu nikuhaidi hawa miungu watu kuna siku watalia kilio cha mbwa koko na hawatahurumiwa

  • @PauloFumbo
    @PauloFumbo 2 месяца назад +1

    Pole Sana kamanda mungu akuponye wewe ni jembe

  • @ericamwkyokile4681
    @ericamwkyokile4681 2 месяца назад +1

    Nakuombea mdogo wangu.uwe mzima.Yesu akuponye.

  • @Vike333-l8o
    @Vike333-l8o 2 месяца назад +1

    Mwenyezi akufanyie wepesi upone Kamanda uingie Barabarani

  • @CatherineJohn-uo1tq
    @CatherineJohn-uo1tq 2 месяца назад +7

    pole sana kaka mkubwa

  • @GodfreyErene
    @GodfreyErene 2 месяца назад +2

    Pole mwanaharakati wa kweli, uovu haujawahi shinda dhidi ya haki, amini watesi wako wata aibika mbele ya macho Yako ngoja tuendelee kupiga goti

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 2 месяца назад

    Pole sana kamanda pole kabisa

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi2770 2 месяца назад +1

    Daah pole sana mr sugu Mungu akupe shifaa zaid😢

  • @ChristopherSumary
    @ChristopherSumary 2 месяца назад +1

    Pole sana kamanda mungu yu nawe

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 2 месяца назад +1

    Pole sana baba. Bwana akuponye.

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 2 месяца назад +4

    Pole Allah atakuafu.

  • @ezekielkagine8684
    @ezekielkagine8684 2 месяца назад +5

    Pole sana Mungu akuponye ila pambana

    • @LuciaAgustino-pt5mg
      @LuciaAgustino-pt5mg 2 месяца назад

      Mwenyezi mungu atajibu Kwa wakatiwake mungu nimwema t tunakuombea

  • @EsterMzelela-m5s
    @EsterMzelela-m5s 2 месяца назад +1

    Mungu akutie nguvu

  • @FortinathaMvikule-cm1im
    @FortinathaMvikule-cm1im 2 месяца назад

    Atukuzwe Sana Mungu aliyekuponya pole Sana kamanda

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 месяца назад +2

    Mungu akutie nguvu kiongozi huo ninyi ni washindi Kili ubaya malipo ni hapa chini ya jua hili

  • @JuhudyMachete
    @JuhudyMachete 2 месяца назад +2

    Pole brother ukiona majaribu yanazidi ujue ushindi upo karibu jipe moyo mkuu na watanzania tupo pamoja wewe

  • @RockusssySanka
    @RockusssySanka 2 месяца назад +4

    Mhe. Sugu , pole sana kwa madhila yaliyokupata .
    Mwenyezi Mungu akulinde na akujalie uponyaji wa haraka ! Amina .

  • @EstermsuyaMsuya
    @EstermsuyaMsuya 2 месяца назад +2

    Pole sana mtu wa Mungu. Mungu ashukuriwe kukuponya hakika analo kusudi kwa ajili yako akusaidie.ulitimize kwa ustawi wa taifa letu

    • @DaheerK
      @DaheerK 2 месяца назад

      Soma alubadili wafe wote

  • @PhinaEdmund
    @PhinaEdmund 2 месяца назад

    Pole sana kaka Mr sugu. Mungu anakupenda ndio maana amekutunza uhai wako.. Songa mbele bro mtegemee Mungu hatakuacha kamwe..

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 2 месяца назад

    Mikononi mwa police nimahari pausalama mbona wanatangaza kiama quick recovery bro 💪💪

  • @swaibumwesiga640
    @swaibumwesiga640 2 месяца назад +1

    Pole sana kiongozi, yote mkabidhi Mungu. Ndiye hakimu wa yote

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct Месяц назад

    Pole kamanda inauma sana

  • @SiraMohere
    @SiraMohere 2 месяца назад +1

    Pole mheshimiwa

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 2 месяца назад +2

    POLE SANA KOMREDI SUGU....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.

  • @mussajohnAngetile
    @mussajohnAngetile 2 месяца назад

    Sio uhuru wa siasa pole sana kamanda wetu

  • @danielkanso
    @danielkanso 2 месяца назад +4

    Pole mheshimiwa sugu hofu ya unaoshindana nao katika eneo lako ndiyo wanaofanya hivyo hofu imewabana

  • @LoiteyoAmakoMako
    @LoiteyoAmakoMako 2 месяца назад +9

    😭😭😭😭 mungu simama nasi tunaumia kwenye hii nchi

  • @ThomasMamasita
    @ThomasMamasita 2 месяца назад +1

    Pole sana kamanda sugu

  • @PhimoniGeorge
    @PhimoniGeorge 2 месяца назад +1

    Pole sana kiongozi

  • @saadhassan4933
    @saadhassan4933 2 месяца назад

    Pole sana bro

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 2 месяца назад +1

    Pole kamamanda MUNGU akutuzee

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga 2 месяца назад +1

    Mungu akupenguvu

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 2 месяца назад +1

    Pole sana

  • @kingtheswaggerdon
    @kingtheswaggerdon 2 месяца назад

    Aluta continua SUGU❤

  • @SamweliZaburi-fk3qj
    @SamweliZaburi-fk3qj 2 месяца назад

    Pole sana kamanda hakika mungu atawalipa mara elfu hao police walio wapiga pamoja na kila mwana ccm atalipwa mara duff maana ccm ndio chanzo cha maumivu haya mungu awa laani ccm wote na awapige kwa mapigo makubwa mno.

  • @YassinJuma-q9s
    @YassinJuma-q9s 2 месяца назад

    Pole sana kamanda ipo siku mungu atakulipa tu dunia ni mzunguko

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 2 месяца назад +1

    Mwenyez mungu akupe shifaa na yy ndo muweza wa yote

  • @ZainabuHassan-uk2zt
    @ZainabuHassan-uk2zt 2 месяца назад +1

    Pole Mr sugu sugu moto chini

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 месяца назад +1

    Pole sana Sugu mungu azidi kukupa nguvu.

  • @lemamolelilemamoleli7740
    @lemamolelilemamoleli7740 2 месяца назад +1

    pole sana branza wetu sugu ucwaze ikocku mungu atalipa

  • @IssahMfundo-un6hz
    @IssahMfundo-un6hz 2 месяца назад

    Pole mhe sugu, mungu anajua na atatenda mkuu

  • @GiftyJackson-k3v
    @GiftyJackson-k3v 2 месяца назад +1

    Pole sana mh mungu akuponye

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 2 месяца назад +1

    Kiongozi wangu Sugu pole Sana 😭😭😭 We need peace ✌️🕊️

  • @Omari-d2h
    @Omari-d2h 2 месяца назад

    So sad mi hermano de alma que luchar hasta la Victoria

  • @kiberitistartv8887
    @kiberitistartv8887 2 месяца назад

    Point together ❤❤❤❤❤❤❤

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 2 месяца назад +1

    Pole sna mwambaaa

  • @FestoMhongole
    @FestoMhongole 2 месяца назад +1

    Pole sana kamanda mungu yupamoja nawe

  • @EvaKiswaga-j2o
    @EvaKiswaga-j2o 2 месяца назад +2

    Pole Sana mhe sugu. Tuko nyuma yenu. Tunaendelea kukuombea baba mtetezi wa wanyonge.

  • @stanleyshoo9602
    @stanleyshoo9602 2 месяца назад

    Mungu akupe uponyaji wa haraka mungu atakuponya!

  • @giftotaru5808
    @giftotaru5808 2 месяца назад

    Mungu mtakatifu atalipa kwa wakati wake na saa yake

  • @SebastianTewele
    @SebastianTewele Месяц назад

    🎉

  • @stedeteam531
    @stedeteam531 2 месяца назад

    POLE SANA BROTHER

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 2 месяца назад +1

    Pole sana jongwe

  • @Loyghena-w5p
    @Loyghena-w5p 2 месяца назад

    Hatakama jeshi lapolisi limejiandaa kua chama cha siacha mama mama alivo liambia lijiandae MUNGU yupo asante mungu alie kulinda tupo nyuma yako✌

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 месяца назад +1

    Mungu ashuhulike na huyo aliye fanya ubaya na unyama Kama huo Mungu shuka na Moto wako

  • @EvaKiswaga-j2o
    @EvaKiswaga-j2o 2 месяца назад

    Asante baba kwa maneno mazuri

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 месяца назад

    Pole sana baba tunamshukuru munguvhawajahujumurohobyakovkura zote kwako baba

  • @SamweliHozza
    @SamweliHozza 2 месяца назад

    Mkuu pole mno aisee

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 2 месяца назад

    pole mwamba

  • @JAMESALBANO-uv5kt
    @JAMESALBANO-uv5kt 2 месяца назад

    Pole bro

  • @JacksonMahende-ho2wb
    @JacksonMahende-ho2wb 2 месяца назад

    Pole sugu mungu atakulipia mda SI mrefu na kwa NN baada ya msigwa kuhamia ccm ndipi viongozi wandamizi muumizwe hivyo msigwa unachofanya na makala mtapata malipo kwa mungu mda SI mrefu

  • @JoelRichard-hj3bi
    @JoelRichard-hj3bi 2 месяца назад +1

    MUNGU NDIO NGUZO,MHESHIMIWA ATAKUA SAFI.

  • @BarakaTutito
    @BarakaTutito 2 месяца назад

    Pole San mkuu

  • @dicksonkibuti8569
    @dicksonkibuti8569 2 месяца назад

    pole Xana Mh Sugu BWANA Atazidi kukuponya Na Afya itazidi kuimarika

  • @ZabronJonathan-b5s
    @ZabronJonathan-b5s 2 месяца назад +2

    Pole Sana Mungu akuponye na kukulinda .

    • @AhmedHassan-vl5zf
      @AhmedHassan-vl5zf 2 месяца назад

      Juzi Tu alidai amepigwa na polish Yuko mahututi ajabu sura haioneshi kupigwa na hamtaki kusema kuambia wapi

    • @hopefully7090
      @hopefully7090 2 месяца назад

      Kwahiyo Hospitality alikwenda kutembea?​@@AhmedHassan-vl5zf

  • @mohdhussein4548
    @mohdhussein4548 2 месяца назад

    Pole sugu

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 2 месяца назад

    ✌️chadema💥💥

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 2 месяца назад

    Pole

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 2 месяца назад +8

    Nami kwa kuwa ni mpenda haki, Nakupa pole. Kikulacho ni kinguoni mwako.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 2 месяца назад +3

      Msigwa moja iyo ila kila kitu kinamwanzo na mwisho🙏

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 месяца назад

      ​@@rogersiddyhakika

  • @AnoldMatei
    @AnoldMatei 2 месяца назад

    Tulia na Msigwa..ndio wabaya..MUNGU akuponye..KAMANDA..

  • @AreKiwango
    @AreKiwango 2 месяца назад +3

    Pol San kamanda

  • @EvaKiswaga-j2o
    @EvaKiswaga-j2o 2 месяца назад +1

    Wapewe fidia walioumizwa

  • @thabit5775
    @thabit5775 2 месяца назад

    Tuko pamoja kaka sugu

  • @weramunisi7490
    @weramunisi7490 2 месяца назад

    Hii ccm hii Mungu yupo angalieni waliotesa na kuua wako wapi?

  • @NoahSeludao
    @NoahSeludao 2 месяца назад +1

    Alaaniwe mhusika wahayo na zaid awaz na tulia lkn yupo mungu wahak

  • @KiringoMtemi
    @KiringoMtemi 2 месяца назад

    Askari wa tanzania na jeshi lao ni kwa ajili ya kuilinda ccm na maovu yao wanayoyafanya mungu anawaona kwakweli sijawai kuona askari wapumbavu kama askari wa tanania

  • @janemwaipopo
    @janemwaipopo 2 месяца назад

    Inahuzunisha sanasanasana Mungu Yupo

  • @FikiriniMwaluko
    @FikiriniMwaluko 2 месяца назад +4

    Pole kamanda waovu watatoweshwa ipo siku tu

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi 2 месяца назад

    Katika maisha ya binadamu ni mwenyezi mungu tu anaweza kumhukumu binadamu na sio mtu mwingineo Kwa waliofanya mabaya. 5:50

  • @GodwineMuchunguzi
    @GodwineMuchunguzi 2 месяца назад

    Uguza pole kamanda wetu saa yaukombozi iko kalibuu

  • @JovinPeter
    @JovinPeter 2 месяца назад

    Hukupigwa show

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 2 месяца назад +3

    Masikini aliteswa sana Sugu hata mnyama humfanyii namna hiyo Mungu akuponye

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 2 месяца назад +2

    ASANTE MUNGU KEAKUMPONYA KAMANDA WETU SUGU.MUNGU AENDELEE KUKUPA AFYA NJEMA.ENDELEA KUTETEA WATANZANIA NI HAKI YAKO NA YETU.