Pole sana kamanda mpambanaji hii damu siku moja italipwa tu. Mh. Sugu nikuhaidi hawa miungu watu kuna siku watalia kilio cha mbwa koko na hawatahurumiwa
Pole sana kamanda hakika mungu atawalipa mara elfu hao police walio wapiga pamoja na kila mwana ccm atalipwa mara duff maana ccm ndio chanzo cha maumivu haya mungu awa laani ccm wote na awapige kwa mapigo makubwa mno.
Pole sugu mungu atakulipia mda SI mrefu na kwa NN baada ya msigwa kuhamia ccm ndipi viongozi wandamizi muumizwe hivyo msigwa unachofanya na makala mtapata malipo kwa mungu mda SI mrefu
Askari wa tanzania na jeshi lao ni kwa ajili ya kuilinda ccm na maovu yao wanayoyafanya mungu anawaona kwakweli sijawai kuona askari wapumbavu kama askari wa tanania
Pole sana mheshimiwa sugu, mungu wetu si kiziwi
Pole sana kamanda ipo siku moja 1, katika siku za Mungu italeta majibu
Poleni mno wapendwa Tumshukuru Mungu kwa uzima. Endelea kupata matibabu mheshimiwa
Pole sana mr sugu Mungu atakulipa usipo zimia moyo ,laana naiwe juu yao nafsi zao hazitatulia kamwe kwa hichi kitendo walicho kifanya...amen
Kamanda pole sana Mungu akuponye. Katika hali hii na kwenye hili Mungu atalipa kwa njia ambayo CCM hawataamini, Wa muulize mfalme Nebkadiliza
Pole sana ndg tunaendelea kukuombea kwa Mungu akuponye amina.
Pole mwamba tupo pamoja
Pole sana mhe: Sugu mungu akupe afya njema, kwa vile watesi nao ni viumbe kama sisi tumwachie mungu kwani malipo ni hapa hapa duniani!
Pole sana Mheshimiwa Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa JOSEPH MBILINYI SUGU
Pole Sana kamanda Mungu yupo atawalipa ipo siku yao
Mungu akuponye mh. Sugu ili uendelee kujenga Chama Kanda ya Nyasa. Pole sana kamanda.
Pole sana mh yana mwisho haya
Polen sana, Sisi zetu dua, Tunaumia mnooo, kwa kweli Hayo mochozi na maumivu mnayopitia yupo wa kutafuta,Tunawaombea.
Pole mheshimiwa Mungu yupamojanawe utashinda hawata kuweza ukombozi siyo kazilahisi kwa pamoja tutashinda
Pole sana. Mungu yuko nawe atakuponya
Thanks goodness you look okay. You will perfectly be fine in due course. GOD IS A JUST GOD🙏🙏
Pole kaka
Pole sana kamanda
Pole sana kamanda mpambanaji hii damu siku moja italipwa tu.
Mh. Sugu nikuhaidi hawa miungu watu kuna siku watalia kilio cha mbwa koko na hawatahurumiwa
Pole Sana kamanda mungu akuponye wewe ni jembe
Nakuombea mdogo wangu.uwe mzima.Yesu akuponye.
Mwenyezi akufanyie wepesi upone Kamanda uingie Barabarani
pole sana kaka mkubwa
Pole mwanaharakati wa kweli, uovu haujawahi shinda dhidi ya haki, amini watesi wako wata aibika mbele ya macho Yako ngoja tuendelee kupiga goti
Pole sana kamanda pole kabisa
Daah pole sana mr sugu Mungu akupe shifaa zaid😢
Pole sana kamanda mungu yu nawe
Pole sana baba. Bwana akuponye.
Pole Allah atakuafu.
Pole sana Mungu akuponye ila pambana
Mwenyezi mungu atajibu Kwa wakatiwake mungu nimwema t tunakuombea
Mungu akutie nguvu
Atukuzwe Sana Mungu aliyekuponya pole Sana kamanda
Mungu akutie nguvu kiongozi huo ninyi ni washindi Kili ubaya malipo ni hapa chini ya jua hili
Pole brother ukiona majaribu yanazidi ujue ushindi upo karibu jipe moyo mkuu na watanzania tupo pamoja wewe
Mhe. Sugu , pole sana kwa madhila yaliyokupata .
Mwenyezi Mungu akulinde na akujalie uponyaji wa haraka ! Amina .
Pole sana mtu wa Mungu. Mungu ashukuriwe kukuponya hakika analo kusudi kwa ajili yako akusaidie.ulitimize kwa ustawi wa taifa letu
Soma alubadili wafe wote
Pole sana kaka Mr sugu. Mungu anakupenda ndio maana amekutunza uhai wako.. Songa mbele bro mtegemee Mungu hatakuacha kamwe..
Mikononi mwa police nimahari pausalama mbona wanatangaza kiama quick recovery bro 💪💪
Pole sana kiongozi, yote mkabidhi Mungu. Ndiye hakimu wa yote
Pole kamanda inauma sana
Pole mheshimiwa
POLE SANA KOMREDI SUGU....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.
Sio uhuru wa siasa pole sana kamanda wetu
Pole mheshimiwa sugu hofu ya unaoshindana nao katika eneo lako ndiyo wanaofanya hivyo hofu imewabana
😭😭😭😭 mungu simama nasi tunaumia kwenye hii nchi
Pole sana kamanda sugu
Pole sana kiongozi
Pole sana bro
Pole kamamanda MUNGU akutuzee
Mungu akupenguvu
Pole sana
Aluta continua SUGU❤
Pole sana kamanda hakika mungu atawalipa mara elfu hao police walio wapiga pamoja na kila mwana ccm atalipwa mara duff maana ccm ndio chanzo cha maumivu haya mungu awa laani ccm wote na awapige kwa mapigo makubwa mno.
Pole sana kamanda ipo siku mungu atakulipa tu dunia ni mzunguko
Mwenyez mungu akupe shifaa na yy ndo muweza wa yote
Pole Mr sugu sugu moto chini
Pole sana Sugu mungu azidi kukupa nguvu.
pole sana branza wetu sugu ucwaze ikocku mungu atalipa
Pole mhe sugu, mungu anajua na atatenda mkuu
Pole sana mh mungu akuponye
Kiongozi wangu Sugu pole Sana 😭😭😭 We need peace ✌️🕊️
So sad mi hermano de alma que luchar hasta la Victoria
Point together ❤❤❤❤❤❤❤
Pole sna mwambaaa
Pole sana kamanda mungu yupamoja nawe
Pole Sana mhe sugu. Tuko nyuma yenu. Tunaendelea kukuombea baba mtetezi wa wanyonge.
Mungu akupe uponyaji wa haraka mungu atakuponya!
Mungu mtakatifu atalipa kwa wakati wake na saa yake
🎉
POLE SANA BROTHER
Pole sana jongwe
Hatakama jeshi lapolisi limejiandaa kua chama cha siacha mama mama alivo liambia lijiandae MUNGU yupo asante mungu alie kulinda tupo nyuma yako✌
Mungu ashuhulike na huyo aliye fanya ubaya na unyama Kama huo Mungu shuka na Moto wako
Asante baba kwa maneno mazuri
Pole sana baba tunamshukuru munguvhawajahujumurohobyakovkura zote kwako baba
Mkuu pole mno aisee
pole mwamba
Pole bro
Pole sugu mungu atakulipia mda SI mrefu na kwa NN baada ya msigwa kuhamia ccm ndipi viongozi wandamizi muumizwe hivyo msigwa unachofanya na makala mtapata malipo kwa mungu mda SI mrefu
MUNGU NDIO NGUZO,MHESHIMIWA ATAKUA SAFI.
Pole San mkuu
pole Xana Mh Sugu BWANA Atazidi kukuponya Na Afya itazidi kuimarika
Pole Sana Mungu akuponye na kukulinda .
Juzi Tu alidai amepigwa na polish Yuko mahututi ajabu sura haioneshi kupigwa na hamtaki kusema kuambia wapi
Kwahiyo Hospitality alikwenda kutembea?@@AhmedHassan-vl5zf
Pole sugu
✌️chadema💥💥
Pole
Nami kwa kuwa ni mpenda haki, Nakupa pole. Kikulacho ni kinguoni mwako.
Msigwa moja iyo ila kila kitu kinamwanzo na mwisho🙏
@@rogersiddyhakika
Tulia na Msigwa..ndio wabaya..MUNGU akuponye..KAMANDA..
Pol San kamanda
Wapewe fidia walioumizwa
Tuko pamoja kaka sugu
Hii ccm hii Mungu yupo angalieni waliotesa na kuua wako wapi?
Alaaniwe mhusika wahayo na zaid awaz na tulia lkn yupo mungu wahak
Askari wa tanzania na jeshi lao ni kwa ajili ya kuilinda ccm na maovu yao wanayoyafanya mungu anawaona kwakweli sijawai kuona askari wapumbavu kama askari wa tanania
Inahuzunisha sanasanasana Mungu Yupo
Pole kamanda waovu watatoweshwa ipo siku tu
Katika maisha ya binadamu ni mwenyezi mungu tu anaweza kumhukumu binadamu na sio mtu mwingineo Kwa waliofanya mabaya. 5:50
Uguza pole kamanda wetu saa yaukombozi iko kalibuu
Hukupigwa show
Masikini aliteswa sana Sugu hata mnyama humfanyii namna hiyo Mungu akuponye
ASANTE MUNGU KEAKUMPONYA KAMANDA WETU SUGU.MUNGU AENDELEE KUKUPA AFYA NJEMA.ENDELEA KUTETEA WATANZANIA NI HAKI YAKO NA YETU.