MKUTANO WA BRICS SIRI YAKE NI HII, FAIDA YAKE KWA NCHI ZA AFRIKA, VIPI TANZANIA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 100

  • @yeyemkulu8743
    @yeyemkulu8743 6 часов назад +15

    Africa tukiungana na kua na sauti moja , tutamlazimisha mbwamwitu ale mbogamboga ❤❤🎉🎉

    • @MsangoDiesel
      @MsangoDiesel 3 часа назад +3

      Tulishindwa kumuunga mkono Gaddaf nchi za Africa sisi Ni wanafiki na warabu

    • @athumanikadaika5817
      @athumanikadaika5817 3 часа назад

      Sio mbwa mwitu simba kabisa atakula nyasi.
      Ila kwa sharti la kutokumuogopa simba atakama ndo mfalme wa nyika natuache unafiki.

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Час назад

      Urisikia wapi maskini wakaungana?

    • @hamzafishten9560
      @hamzafishten9560 Час назад

      Kaka haitowezeka viongozi wengi niwanafiki wajipenda wenyewe na faida zao tu

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije3882 5 часов назад +6

    Heeeh.Mbona kama Naskiliza BBC❤

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 2 часа назад +4

    Hongera sana Kikeke kwa kuraribisha Mchambuzi wa kutuelimisha

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 4 часа назад +5

    Crown naiona mbali aiseeeee maana sikuiz nilisha aacha kusikiriza bbc tangu zuhura na kikeke wakimbie

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 3 часа назад +2

      Halafu uzuri crown iko kihabari zaidi Tena habari nzito siyo kuchamban chambana Kama nyingine

    • @athumanikadaika5817
      @athumanikadaika5817 3 часа назад +1

      Ndo tofauti ya taaluma na mipasho.
      Huyo Salim kikeke ni mwanataaluma wa hiyo fani na ni mkongwe na CV yake kubwa kimataifa kama mzee Charles Hillary vile...

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg 11 часов назад +21

    Putin akili kubwa,alafu ww kikeke nna wasiwasi na ww maana umetoka bbc vibaraka wa magharibi,jitahid ufanye kaz kwa ufanisi usijekutuletea propaganda kama ulizokua unafanya bbc

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 6 часов назад +3

      Akili huna hata 1 kabisa we jamaa.

    • @IshipalemyPasko
      @IshipalemyPasko 5 часов назад

      ​@@GeorgeAkasha-zx2rjwe ndo hujui kitu

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 5 часов назад

      @@IshipalemyPasko Aisee una simu ila unakuwa mbishi, daah sawa mkuu

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 3 часа назад

      Unataka atoe habari za kukufurahisha ww et eh watu wengine bhana😂😂

    • @clyvanboss
      @clyvanboss 3 часа назад

      ​@@GeorgeAkasha-zx2rjanachosema kipo sahihi asilete propaganda

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel 8 часов назад +3

    Ulimwengu wa mashetani G7 umeanguka, BRICS ulimwengu mpya, wahaki, Amani, ushirikiano, upendo.... , Wafrika fursa hii.

  • @zuberympulo6564
    @zuberympulo6564 4 часа назад +2

    Leo huyu mchambuzi kachambua vyema kuliko apo Awali maana apo Awali aliegamia sana upande wa Kimagharibi ila kwa sasa baada ya kusemwa kajilekebisha very nice 🎉

  • @hamiszubeir242
    @hamiszubeir242 12 часов назад +7

    Jamani mi Nina shida ya kujua jina la huyu mzee mchambuzi mwenye mvi maan anamadin konk aise😮

    • @gharibalhusni2716
      @gharibalhusni2716 12 часов назад

      Abdulkarim Atik ndio jina lake mtaalam wa siasa za kimataifa 😅

    • @hanspop6961
      @hanspop6961 10 часов назад

      😂😂🎉

  • @MahmoodAhmed-yt9me
    @MahmoodAhmed-yt9me 3 часа назад +1

    Kipindi bora zaidi lakini ubora huu umepatikana kwa kuwanawatu bora wenye fikra bora hongereni sana kwakuwahabarisha wananchi na kwa kutoa elimu

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 5 часов назад +2

    Dollars,ipo kwenye heka heka😂😂😂

  • @kassimmwawado7002
    @kassimmwawado7002 Час назад +1

    USA na washirika wake wa magharibi ndio walianzisha NATO baada ya Second World War..Urusi na washirika wake waliunda Warsaw kujibu mapigo sio kinyume chake. 10:51

  • @SalumMajorhood
    @SalumMajorhood 5 часов назад +1

    Kwl kbs baba angu unaongea kwl ❤❤❤ wape wajielewe hao

  • @obyigogo9920
    @obyigogo9920 Час назад

    Brazil.Rashia.India.China.Southafrica.

  • @allykomsonde7813
    @allykomsonde7813 13 часов назад +3

    Urusi alikua kiranja wadunia akajisahau America kaishika dola lakini kutwskucha kuchonganisha watu kuuwana ilimradi wauze siraha hapa kunahaja ya mabadiriko

    • @mzalendomzalendo2567
      @mzalendomzalendo2567 13 часов назад

      Siraha na mabadiriko ndio nini?

    • @Mkubwa_jr
      @Mkubwa_jr 13 часов назад +2

      Dolar inaenda kuanguka soon

    • @daprince7545
      @daprince7545 12 часов назад

      ​@@mzalendomzalendo2567wewe huja elewa comment yake.

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 9 часов назад

      dola ishaanza kushuka​@@Mkubwa_jr

  • @thebabilon7
    @thebabilon7 4 часа назад

    Nimefurahia sana kukifatilia kipindi hichi kizuri sana time tunaelewa ulimwengu unaendaje asante sana baba kikeke tunakupenda sana 🎉🎉🎉🎉

  • @ABDULCOSTA
    @ABDULCOSTA Час назад

    Huyu Bingwa ANAJUA NA ANAJUA! Kikeke usije kumuacha huyo mzee! Usjaribu kuwa mbali nae kabisa! Kabisa!

  • @elvisnzovu8282
    @elvisnzovu8282 3 часа назад

    Mzee!, anaelezea vizuri sana kwa kweli. Kikeke ndie anamharakisha

  • @mwinyiothman5106
    @mwinyiothman5106 5 часов назад +1

    Mnawezaje kuikwepa Russia 🇷🇺 nyinyi

  • @ahmedronga7583
    @ahmedronga7583 3 часа назад

    Kipindi kikubwa kabisa, king keke mwana mfalme imani na temidayo mauwa yenu 🎉

  • @hansiempire5093
    @hansiempire5093 12 часов назад

    Aisee hii ni Kali Sana..kikeke u a so amaizing

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 4 часа назад

    Mungu ndio kila kitu marekani huwezi kushinda vita ya kuzuia Brics isisonge mbele watakwama tu

  • @MohamadHamza-hb2qv
    @MohamadHamza-hb2qv 2 часа назад

    Kipindi kifupi tunapenda hizi chambuzi ziwe ndefu,cc hatupendi miziki wala udaku.

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 2 часа назад

    Apo kuna vita nyengine ya kiuchumi ipo njiani,Mungu atunusuru

  • @AbbMotors-pc4rx
    @AbbMotors-pc4rx Час назад

    Hizi ndio habari tunazipenda sio makele tu mara huyu kamrudi huyu mara huyu kafumaniwa wanatuvuruga tu haya ndio tunayahitaji

  • @jabiraxmed7898
    @jabiraxmed7898 6 часов назад

    Nyie vyombo vya habari vya tanzania muko ovyo kweli hamufanyi research kwanza Argentina hawajajitoa kwenye bricks halafu nchi zote ambazo zilingizwa kutoka south afrika tayari ni wanachama .

  • @jabiraxmed7898
    @jabiraxmed7898 6 часов назад

    Nyie tanzania tumiweni tu watu wa ulaya uganda tayari wameshakua wanasubiria na huo mfumo huhitaji dolla kufanya biashara na nchi za brick nyie tz mpaka mupate dolla hii brick ni muhimu sana kiuchumi na maendeleo ya nchi

  • @mtaasisi
    @mtaasisi 3 часа назад

    Mzee hajasoma nae Akiba kubwa ya mafuta Duniani Urusi ni moja wapo ila sio ya kwanza🤣🤣🤣

  • @kingdully2367
    @kingdully2367 3 часа назад

    amefundisha history ya A level anima kwa dakika tano..🤣🤣🤣 akili kubwaa Sanaa

  • @HassanDodi-j6o
    @HassanDodi-j6o 5 часов назад

    afrka kunawasomi wengi lakini wanashindwa kutumai elmu yetu sababu ya kupankwiwa na watu wasioshiba hivi tumuombe Sana mugu na SS tuweze kuwa kitu kimoja mbona wao walweza kuungana kwa nini SS wanatugonganisha kama mavyombo tupambane tuacheni kutengana wanatudharau mpaka wanasubutu kututangazia tuone wanaumekwa wanaume hiyo ddharau

  • @IssaQuimeza
    @IssaQuimeza 2 часа назад

    Miziki mingi hatusikii

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 3 часа назад

    Hapo dogo zere kachukia baraa😮😮😮

  • @JustineWangi-j2t
    @JustineWangi-j2t Час назад

    Kikeke huyu mchambuzi yuko vzr nampongeza mno kwenye ukweli ananyooshaa.

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 12 часов назад +1

    Urusi kaupiga kwingi

  • @HassanDodi-j6o
    @HassanDodi-j6o 4 часа назад

    viongozi wa afrka kaeninchini fungeni mabano imefkamwisho tujtabue Mali tunazo

  • @ThomasAssey-uq2ur
    @ThomasAssey-uq2ur 4 часа назад

    Ni jukwaa kubwa mpya na mbadala la kiuchumi na kisiasa ulimwenguni
    Hongera afrika kusini misri na Ethiopia ni zenye viongozi wabunifu na pekee wenye akili na kujitambua
    Mataifa mengine Yana viongozi mizigo na wachumia tumbo wabinafsi sio wanye malengo ya mataifa yao

  • @NeemaJulius-r6u
    @NeemaJulius-r6u 47 минут назад

    Hii sasa ndiyo BBC ambayo sio ya mchongo hapa hawajapika habari

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 5 часов назад

    Urus ni habari nyingine kidunia

  • @jabiraxmed7898
    @jabiraxmed7898 6 часов назад

    Urussi uchumi wake umekuwa sana na huyo mzee wenu urussi yupo na kila kitu mawasiliano kila kitu Urussi yupo na satellite zao zinaitwa glonas na urusi tayari yupo na mfumo wake wakusafirishia pesa china yupo na mfumo wake

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 9 часов назад

    Nyie wote ni vibaraka vya ma
    gharibi... Dollar 💵 inaenda kuanguka soon

  • @FredWabwire-w3q
    @FredWabwire-w3q 2 часа назад

    Hiyote nikunganganiya mamalakayaduniya, ahkuna mwaminifuhapo.

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 5 часов назад

    Algebra wakacheze Mpira tu

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko 5 часов назад

    Bwana acheni propaganda. Russia hakili kubwa sana hawamuwezi

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 5 часов назад

    WEWE MCHAMBUZI MAREKANI INAKWENDA ZAKE MIAKA MITAO HINAYOKUJA

  • @XasanXuseen-c5n
    @XasanXuseen-c5n 11 часов назад

    Kwetu neema itakuwa
    Sasa Africa

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 4 часа назад

    Democracy ni ushetani mzee ondoa neno hilo Ghadaff hukuwa na kosa sema wa kulaumiwa ni viongozi watu Africa vibaraka

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 2 часа назад

    Putin ndo mtetez wa dunia tanzania tukijiunga hatutajuta

  • @jabiraxmed7898
    @jabiraxmed7898 6 часов назад

    Halafu nyiny wayanzania wengi bado muko na akili za kutawaliwa wandishi wa habari wa tanzania munasikiliza media za nchi za magharibi propaganda za CNN na BBC waongo tu

  • @sulaimanabdullah-qp8vs
    @sulaimanabdullah-qp8vs 2 часа назад

    tanzania.tunajifunza.nini

  • @davyadamsontz
    @davyadamsontz 3 часа назад

    Mbn katika zile bendera sijaiona ya South Africa?

  • @simonishija8087
    @simonishija8087 6 часов назад

    we mzee gsm ya wapi 😂? aseme GPS

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 4 часа назад

    Mzee haukuwA KWENYE mkutano lakini anajua chenye walizungumza wachambuzi bana

    • @BakaryOmally
      @BakaryOmally 2 часа назад

      Kwani wachambuzi wampira wakichambua hua wanachezaa huyo anazijua historia pia wanafuatilia ndiomana hapo anachambua kwakua amefuatilia na kujua misimamo ya kila kiongozi

  • @endekekubanzaku2886
    @endekekubanzaku2886 4 часа назад

    Hopefully this is my last time kuongea Sametimes kikenge

  • @PakatJames
    @PakatJames 5 часов назад

    It will ill be a colossal mistake for tanzania to play politics on abstaining joining BRICS for the fear of our colonial masters. BRICS is more inclusive of development for all than the western development institutions. Shame to hear Uganda is leading candidate for BRICS membership in East Africa than tanzania where it has been a source of liberation in many fronts whether in politics or economic dependent.

    • @obyigogo9920
      @obyigogo9920 Час назад

      Why getting so much worried? U have what is called FEAR OF UNKNOWN.
      BRICS is the way to go

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 4 часа назад

    Sasa fanya kitu mvute xuhura hapo uoone crown itakavokua habr nyinginr

    • @MhinaKulewa
      @MhinaKulewa 3 часа назад

      Zuhura ni muajiriwa wa serikali Kwa sasa

  • @endekekubanzaku2886
    @endekekubanzaku2886 4 часа назад

    Kama ni views utaka pewa 😅

  • @endekekubanzaku2886
    @endekekubanzaku2886 4 часа назад

    Propaganda tupu majama wameomba kazi urusi mufano kikeke

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 10 часов назад

    Hamna faida yeyote ni madictetor wameunguna

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 4 часа назад +1

    Hamjui wote kwenye muungano ilishatabiliwa kwenye biblia hii inaitwa gogu na magogu na murusi ndio gogu mwenyewe ataaongoza mataifa kwenye vita vya tatu kwenda kuipiga Israel,sasa nyinyi mliopo kwenye siasa hamjui kabisa mnachekelea tu hamjui ni unabii huu unatimia.Yesu anarudi

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 3 часа назад +1

      hapo penyewe usikute ni jitu/muumini WA dhehebu Fulani ev unaanzaje kuujua ukweli sasa.

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj 6 часов назад +1

    Akiba kubwa ya mafuta ghafi duniani iko
    1: Venezuela
    2: Saudi Arabia
    3: Iran
    4: Iraq
    5: U.A.E

    • @moshikashindye8852
      @moshikashindye8852 6 часов назад

      Hizo data umechukua Thread na zimekaa kishabiki… ukweli ni kwamba Russia ana mafuta na madini ya kutosha.

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 6 часов назад

      @@moshikashindye8852 Mkuu acha kuwa mbishi na akili za kitoto, hebu tafuta taarifa mbona ziko wazi nchi zenye akiba kubwa za mafuta ghafi duniani.

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 6 часов назад

      @@moshikashindye8852 Russia yeye ndo nchi yenye rasilimali za asili nyingi duniani zenye thamani ya $ trill 75 ila kwa mafuta ghafi Venezuela ndo inaongoza kwa akiba.

    • @nellymans-f1v
      @nellymans-f1v 3 часа назад

      Jamaa upo sahih venezuela ndio inaongoz kuwa n akiba kubwa ya mafuta ambaya hayajachimbwa n hzi nchi ulizo taj hap chini ila mzalishaji mkubwa wa mafuta ghafi ni urusi tu

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg 11 часов назад +1

    Wachambuz ni propaganda

  • @ahamadiyusuphu6011
    @ahamadiyusuphu6011 4 часа назад

    Sasa hizo inchi zote...zinamafuta nani utamuzia mwenzie.........Africa pelekeni vichwa vyenu urusi....mungano wakinafiki huo.......inchi za viongozi wabinafsi...mno hawatoboi....

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 3 часа назад +1

      baba Yako mwenyewe alisema amekuzaa galasa/zuzu Leo nimemuamini wewe ni lijinga la mwisho

    • @ahamadiyusuphu6011
      @ahamadiyusuphu6011 Час назад

      @@PAULNYANDILE peleka ukimwi wako mbele swala bric wewe lina kumaanini unafiki.....