Ndo tofauti ya taaluma na mipasho. Huyo Salim kikeke ni mwanataaluma wa hiyo fani na ni mkongwe na CV yake kubwa kimataifa kama mzee Charles Hillary vile...
Putin akili kubwa,alafu ww kikeke nna wasiwasi na ww maana umetoka bbc vibaraka wa magharibi,jitahid ufanye kaz kwa ufanisi usijekutuletea propaganda kama ulizokua unafanya bbc
Leo huyu mchambuzi kachambua vyema kuliko apo Awali maana apo Awali aliegamia sana upande wa Kimagharibi ila kwa sasa baada ya kusemwa kajilekebisha very nice 🎉
USA na washirika wake wa magharibi ndio walianzisha NATO baada ya Second World War..Urusi na washirika wake waliunda Warsaw kujibu mapigo sio kinyume chake. 10:51
Urusi alikua kiranja wadunia akajisahau America kaishika dola lakini kutwskucha kuchonganisha watu kuuwana ilimradi wauze siraha hapa kunahaja ya mabadiriko
Nyie vyombo vya habari vya tanzania muko ovyo kweli hamufanyi research kwanza Argentina hawajajitoa kwenye bricks halafu nchi zote ambazo zilingizwa kutoka south afrika tayari ni wanachama .
Nyie tanzania tumiweni tu watu wa ulaya uganda tayari wameshakua wanasubiria na huo mfumo huhitaji dolla kufanya biashara na nchi za brick nyie tz mpaka mupate dolla hii brick ni muhimu sana kiuchumi na maendeleo ya nchi
afrka kunawasomi wengi lakini wanashindwa kutumai elmu yetu sababu ya kupankwiwa na watu wasioshiba hivi tumuombe Sana mugu na SS tuweze kuwa kitu kimoja mbona wao walweza kuungana kwa nini SS wanatugonganisha kama mavyombo tupambane tuacheni kutengana wanatudharau mpaka wanasubutu kututangazia tuone wanaumekwa wanaume hiyo ddharau
Ni jukwaa kubwa mpya na mbadala la kiuchumi na kisiasa ulimwenguni Hongera afrika kusini misri na Ethiopia ni zenye viongozi wabunifu na pekee wenye akili na kujitambua Mataifa mengine Yana viongozi mizigo na wachumia tumbo wabinafsi sio wanye malengo ya mataifa yao
Urussi uchumi wake umekuwa sana na huyo mzee wenu urussi yupo na kila kitu mawasiliano kila kitu Urussi yupo na satellite zao zinaitwa glonas na urusi tayari yupo na mfumo wake wakusafirishia pesa china yupo na mfumo wake
Halafu nyiny wayanzania wengi bado muko na akili za kutawaliwa wandishi wa habari wa tanzania munasikiliza media za nchi za magharibi propaganda za CNN na BBC waongo tu
Kwani wachambuzi wampira wakichambua hua wanachezaa huyo anazijua historia pia wanafuatilia ndiomana hapo anachambua kwakua amefuatilia na kujua misimamo ya kila kiongozi
It will ill be a colossal mistake for tanzania to play politics on abstaining joining BRICS for the fear of our colonial masters. BRICS is more inclusive of development for all than the western development institutions. Shame to hear Uganda is leading candidate for BRICS membership in East Africa than tanzania where it has been a source of liberation in many fronts whether in politics or economic dependent.
Hamjui wote kwenye muungano ilishatabiliwa kwenye biblia hii inaitwa gogu na magogu na murusi ndio gogu mwenyewe ataaongoza mataifa kwenye vita vya tatu kwenda kuipiga Israel,sasa nyinyi mliopo kwenye siasa hamjui kabisa mnachekelea tu hamjui ni unabii huu unatimia.Yesu anarudi
@@moshikashindye8852 Russia yeye ndo nchi yenye rasilimali za asili nyingi duniani zenye thamani ya $ trill 75 ila kwa mafuta ghafi Venezuela ndo inaongoza kwa akiba.
Jamaa upo sahih venezuela ndio inaongoz kuwa n akiba kubwa ya mafuta ambaya hayajachimbwa n hzi nchi ulizo taj hap chini ila mzalishaji mkubwa wa mafuta ghafi ni urusi tu
Africa tukiungana na kua na sauti moja , tutamlazimisha mbwamwitu ale mbogamboga ❤❤🎉🎉
Tulishindwa kumuunga mkono Gaddaf nchi za Africa sisi Ni wanafiki na warabu
Sio mbwa mwitu simba kabisa atakula nyasi.
Ila kwa sharti la kutokumuogopa simba atakama ndo mfalme wa nyika natuache unafiki.
Urisikia wapi maskini wakaungana?
Kaka haitowezeka viongozi wengi niwanafiki wajipenda wenyewe na faida zao tu
Heeeh.Mbona kama Naskiliza BBC❤
Hongera sana Kikeke kwa kuraribisha Mchambuzi wa kutuelimisha
Crown naiona mbali aiseeeee maana sikuiz nilisha aacha kusikiriza bbc tangu zuhura na kikeke wakimbie
Halafu uzuri crown iko kihabari zaidi Tena habari nzito siyo kuchamban chambana Kama nyingine
Ndo tofauti ya taaluma na mipasho.
Huyo Salim kikeke ni mwanataaluma wa hiyo fani na ni mkongwe na CV yake kubwa kimataifa kama mzee Charles Hillary vile...
Putin akili kubwa,alafu ww kikeke nna wasiwasi na ww maana umetoka bbc vibaraka wa magharibi,jitahid ufanye kaz kwa ufanisi usijekutuletea propaganda kama ulizokua unafanya bbc
Akili huna hata 1 kabisa we jamaa.
@@GeorgeAkasha-zx2rjwe ndo hujui kitu
@@IshipalemyPasko Aisee una simu ila unakuwa mbishi, daah sawa mkuu
Unataka atoe habari za kukufurahisha ww et eh watu wengine bhana😂😂
@@GeorgeAkasha-zx2rjanachosema kipo sahihi asilete propaganda
Ulimwengu wa mashetani G7 umeanguka, BRICS ulimwengu mpya, wahaki, Amani, ushirikiano, upendo.... , Wafrika fursa hii.
Leo huyu mchambuzi kachambua vyema kuliko apo Awali maana apo Awali aliegamia sana upande wa Kimagharibi ila kwa sasa baada ya kusemwa kajilekebisha very nice 🎉
Jamani mi Nina shida ya kujua jina la huyu mzee mchambuzi mwenye mvi maan anamadin konk aise😮
Abdulkarim Atik ndio jina lake mtaalam wa siasa za kimataifa 😅
😂😂🎉
Kipindi bora zaidi lakini ubora huu umepatikana kwa kuwanawatu bora wenye fikra bora hongereni sana kwakuwahabarisha wananchi na kwa kutoa elimu
Dollars,ipo kwenye heka heka😂😂😂
USA na washirika wake wa magharibi ndio walianzisha NATO baada ya Second World War..Urusi na washirika wake waliunda Warsaw kujibu mapigo sio kinyume chake. 10:51
Kwl kbs baba angu unaongea kwl ❤❤❤ wape wajielewe hao
Brazil.Rashia.India.China.Southafrica.
Urusi alikua kiranja wadunia akajisahau America kaishika dola lakini kutwskucha kuchonganisha watu kuuwana ilimradi wauze siraha hapa kunahaja ya mabadiriko
Siraha na mabadiriko ndio nini?
Dolar inaenda kuanguka soon
@@mzalendomzalendo2567wewe huja elewa comment yake.
dola ishaanza kushuka@@Mkubwa_jr
Nimefurahia sana kukifatilia kipindi hichi kizuri sana time tunaelewa ulimwengu unaendaje asante sana baba kikeke tunakupenda sana 🎉🎉🎉🎉
Huyu Bingwa ANAJUA NA ANAJUA! Kikeke usije kumuacha huyo mzee! Usjaribu kuwa mbali nae kabisa! Kabisa!
Mzee!, anaelezea vizuri sana kwa kweli. Kikeke ndie anamharakisha
Mnawezaje kuikwepa Russia 🇷🇺 nyinyi
Kipindi kikubwa kabisa, king keke mwana mfalme imani na temidayo mauwa yenu 🎉
Aisee hii ni Kali Sana..kikeke u a so amaizing
Mungu ndio kila kitu marekani huwezi kushinda vita ya kuzuia Brics isisonge mbele watakwama tu
Kipindi kifupi tunapenda hizi chambuzi ziwe ndefu,cc hatupendi miziki wala udaku.
Apo kuna vita nyengine ya kiuchumi ipo njiani,Mungu atunusuru
Hizi ndio habari tunazipenda sio makele tu mara huyu kamrudi huyu mara huyu kafumaniwa wanatuvuruga tu haya ndio tunayahitaji
Nyie vyombo vya habari vya tanzania muko ovyo kweli hamufanyi research kwanza Argentina hawajajitoa kwenye bricks halafu nchi zote ambazo zilingizwa kutoka south afrika tayari ni wanachama .
Nyie tanzania tumiweni tu watu wa ulaya uganda tayari wameshakua wanasubiria na huo mfumo huhitaji dolla kufanya biashara na nchi za brick nyie tz mpaka mupate dolla hii brick ni muhimu sana kiuchumi na maendeleo ya nchi
Mzee hajasoma nae Akiba kubwa ya mafuta Duniani Urusi ni moja wapo ila sio ya kwanza🤣🤣🤣
amefundisha history ya A level anima kwa dakika tano..🤣🤣🤣 akili kubwaa Sanaa
afrka kunawasomi wengi lakini wanashindwa kutumai elmu yetu sababu ya kupankwiwa na watu wasioshiba hivi tumuombe Sana mugu na SS tuweze kuwa kitu kimoja mbona wao walweza kuungana kwa nini SS wanatugonganisha kama mavyombo tupambane tuacheni kutengana wanatudharau mpaka wanasubutu kututangazia tuone wanaumekwa wanaume hiyo ddharau
Miziki mingi hatusikii
Hapo dogo zere kachukia baraa😮😮😮
Kikeke huyu mchambuzi yuko vzr nampongeza mno kwenye ukweli ananyooshaa.
Urusi kaupiga kwingi
viongozi wa afrka kaeninchini fungeni mabano imefkamwisho tujtabue Mali tunazo
Ni jukwaa kubwa mpya na mbadala la kiuchumi na kisiasa ulimwenguni
Hongera afrika kusini misri na Ethiopia ni zenye viongozi wabunifu na pekee wenye akili na kujitambua
Mataifa mengine Yana viongozi mizigo na wachumia tumbo wabinafsi sio wanye malengo ya mataifa yao
Hii sasa ndiyo BBC ambayo sio ya mchongo hapa hawajapika habari
Urus ni habari nyingine kidunia
Urussi uchumi wake umekuwa sana na huyo mzee wenu urussi yupo na kila kitu mawasiliano kila kitu Urussi yupo na satellite zao zinaitwa glonas na urusi tayari yupo na mfumo wake wakusafirishia pesa china yupo na mfumo wake
Nyie wote ni vibaraka vya ma
gharibi... Dollar 💵 inaenda kuanguka soon
Hiyote nikunganganiya mamalakayaduniya, ahkuna mwaminifuhapo.
Algebra wakacheze Mpira tu
Bwana acheni propaganda. Russia hakili kubwa sana hawamuwezi
WEWE MCHAMBUZI MAREKANI INAKWENDA ZAKE MIAKA MITAO HINAYOKUJA
Kwetu neema itakuwa
Sasa Africa
Nimjinga tu ndoo anaweza amini
Democracy ni ushetani mzee ondoa neno hilo Ghadaff hukuwa na kosa sema wa kulaumiwa ni viongozi watu Africa vibaraka
Putin ndo mtetez wa dunia tanzania tukijiunga hatutajuta
Halafu nyiny wayanzania wengi bado muko na akili za kutawaliwa wandishi wa habari wa tanzania munasikiliza media za nchi za magharibi propaganda za CNN na BBC waongo tu
tanzania.tunajifunza.nini
Mbn katika zile bendera sijaiona ya South Africa?
Tazama vizry
we mzee gsm ya wapi 😂? aseme GPS
Mzee haukuwA KWENYE mkutano lakini anajua chenye walizungumza wachambuzi bana
Kwani wachambuzi wampira wakichambua hua wanachezaa huyo anazijua historia pia wanafuatilia ndiomana hapo anachambua kwakua amefuatilia na kujua misimamo ya kila kiongozi
Hopefully this is my last time kuongea Sametimes kikenge
It will ill be a colossal mistake for tanzania to play politics on abstaining joining BRICS for the fear of our colonial masters. BRICS is more inclusive of development for all than the western development institutions. Shame to hear Uganda is leading candidate for BRICS membership in East Africa than tanzania where it has been a source of liberation in many fronts whether in politics or economic dependent.
Why getting so much worried? U have what is called FEAR OF UNKNOWN.
BRICS is the way to go
Sasa fanya kitu mvute xuhura hapo uoone crown itakavokua habr nyinginr
Zuhura ni muajiriwa wa serikali Kwa sasa
Kama ni views utaka pewa 😅
Propaganda tupu majama wameomba kazi urusi mufano kikeke
Hamna faida yeyote ni madictetor wameunguna
au sio, kaa kwa kutulia😅
Shoga ww
Tazama vzry kuna bendera zote znazo unga kundi hlo
Hamjui wote kwenye muungano ilishatabiliwa kwenye biblia hii inaitwa gogu na magogu na murusi ndio gogu mwenyewe ataaongoza mataifa kwenye vita vya tatu kwenda kuipiga Israel,sasa nyinyi mliopo kwenye siasa hamjui kabisa mnachekelea tu hamjui ni unabii huu unatimia.Yesu anarudi
hapo penyewe usikute ni jitu/muumini WA dhehebu Fulani ev unaanzaje kuujua ukweli sasa.
Akiba kubwa ya mafuta ghafi duniani iko
1: Venezuela
2: Saudi Arabia
3: Iran
4: Iraq
5: U.A.E
Hizo data umechukua Thread na zimekaa kishabiki… ukweli ni kwamba Russia ana mafuta na madini ya kutosha.
@@moshikashindye8852 Mkuu acha kuwa mbishi na akili za kitoto, hebu tafuta taarifa mbona ziko wazi nchi zenye akiba kubwa za mafuta ghafi duniani.
@@moshikashindye8852 Russia yeye ndo nchi yenye rasilimali za asili nyingi duniani zenye thamani ya $ trill 75 ila kwa mafuta ghafi Venezuela ndo inaongoza kwa akiba.
Jamaa upo sahih venezuela ndio inaongoz kuwa n akiba kubwa ya mafuta ambaya hayajachimbwa n hzi nchi ulizo taj hap chini ila mzalishaji mkubwa wa mafuta ghafi ni urusi tu
Wachambuz ni propaganda
Nam mjini shule
Sasa hizo inchi zote...zinamafuta nani utamuzia mwenzie.........Africa pelekeni vichwa vyenu urusi....mungano wakinafiki huo.......inchi za viongozi wabinafsi...mno hawatoboi....
baba Yako mwenyewe alisema amekuzaa galasa/zuzu Leo nimemuamini wewe ni lijinga la mwisho
@@PAULNYANDILE peleka ukimwi wako mbele swala bric wewe lina kumaanini unafiki.....