MBOWE AKIWASHA, OCD WA HAI WA WAKATI WA MAGUFULI, AKUTANA NAYE AMKIMBIA, "MLIWASAIDIA HAWA KIJANI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 46

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Месяц назад +9

    Kila mara ni kumkashfu Mbowe, wewe ulitoa nini ! Big up Freeman, together we can.

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 Месяц назад +6

    Mungu akutunze mpambanaji

  • @user-kj5jp2ii5n
    @user-kj5jp2ii5n Месяц назад +10

    Kwa maoni yangu huyu jamaa anastahili heshima kubwa kabisa nchi hii kuliko hata Nyerere!
    Hii kazi ni kubwa kuliko hata aliyo ifanya Nyerere kwa sababu wazungu walikuwa wastaarabu ukiwalinganisha na hawa watawala wa sasa anao pamba nao!

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Месяц назад

      Huwezi mfananisha kiongozi msaka tonge na Nyerere hiyo helicopter analipiwa na mama Samia. Hata msigwa alipiga kelele siku ya pili akajiunga na CCM. Huyu si ndio alimkaribisha mama Samia kwenye mkutano mkuu wa chadema. Sasa hivi anajenga magorofa hela anapata wapi anagaiwa keki maana ndio ilikuwa kilio chake. Magufuri ndio alikuwa kiongozi mwaminifu alikuwa hapendi wezi na Mbowe ni mmoja wapo. Kama anadhurumu ndugu zake mali za ulithi ataweza kulinda mali za taifa?

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale Месяц назад +1

      sahihi!

  • @deomponzi2459
    @deomponzi2459 Месяц назад +5

    Mbowe heshima yako mkuu wewe ni kamanda

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 Месяц назад +2

    Nyi ikwai ndii😂😂😂😂😂😂

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 Месяц назад

    Wew una akili kabsa mpka umuongee maguful lala salam maguful baba

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Месяц назад

    Kamanda apeqe maua yake umenifuraxha vitanda 60 si mchezo ccm wametoa vingapi

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Месяц назад

    4R lazima zihubiriwe kwa nguvu. Watz hawajazifahamu

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Месяц назад +2

    Duuh

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Месяц назад +1

    Kiswahili kinanisumbua sana hivi akiuliza "UONGO AU KWELI " jibu "KWELI" sasa hii "KWELI' maana yake nini. KWELI ni Uongo au SIo KWELI.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Месяц назад

    Uungwana ni kuzuia kutukanana na kukwazana siasa za uungwana zitawale.

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Месяц назад

    Mbowe apeqe maua yake

  • @Naomianthonyreige
    @Naomianthonyreige Месяц назад

    Tanganyika ni wajinga, hamjagundua Bado Nia ya mama, mama ana Nia mbaya sana, mpaka tunyooke, tukishtuka tuvunje muungano.

  • @edenusmrosso9225
    @edenusmrosso9225 Месяц назад +1

    Mimi mchaga niliajiriwa wakati wa Magufuli

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Месяц назад

    Huyu mzee Kwayu alinyanyasika .

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 Месяц назад

    Hili jamaa liongo na linaukabila ile mbaya halifai anafikili Kilimanjaro itampeleka ikulu never.

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Месяц назад

    Ulitowa siulikuwa ni mbunge Matusi hayo ndiyo Wananchi wanakuona mjinga kabisa .

  • @eliasmakoye3939
    @eliasmakoye3939 Месяц назад

    Siasa hizi za ukabila hazifai ndani ya nchi hii ulisikia wapi rais katangaza kuwa watu wa Moshi wasiajiliwe? Mboe acha ukabila

  • @geey7893
    @geey7893 Месяц назад +1

    Mpumbavu huyu Mzee kumanina, Nimeajiriwa na jamaa zangu wa3 wachaga Kwa pamoja kipind Cha Magu

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Месяц назад

      Chuki itakuua mwenyewe.

    • @geey7893
      @geey7893 Месяц назад

      @@TM-zs3rm Kama vile yeye anavomchukia Marehemu.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Месяц назад +1

    SIASA ZA MAJI TAKATAKA

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Месяц назад

    Muongo mkubwa fatani mkubwa huyo bora uendelee na biashara zako. Muongo mkubwa sana

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Месяц назад

      Kafilwe ccm

    • @frankkimaro1354
      @frankkimaro1354 Месяц назад

      Mwoga mama yako

    • @joojombi2341
      @joojombi2341 Месяц назад

      @@frankkimaro1354 kumbe wee umezaliwa na punda huna mama. Maandazi wahed usokua na adabu hata mama yako wamtukana kenge wahed