KIVUMBI MAHAKAMANI! MAZITO YATOKEA KESI YA KUPNGA TAMISEMI KUSIMAMIA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 14

  • @AdamuMsinge
    @AdamuMsinge 16 дней назад +1

    Safi sana wakil Kambole Mungu akupiganie na kukulinda bro

    • @BintChaula-yj2xw
      @BintChaula-yj2xw 16 дней назад

      Kabisa kijana wa mzee cunbert mungu akuweke shemeji yangu🙏

  • @duniakidogo8516
    @duniakidogo8516 16 дней назад

    Hongereni sana

  • @NeemaKomba-ks4so
    @NeemaKomba-ks4so 15 дней назад

    Hivi hii hali rais anaona kweli mbona kama haoni kama watanzania wanateswa na hawa policcm wake na haitoi kauli yeyote

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 15 дней назад

    Mafisi mafisi mafisiemu mmetuibia kura miaka yote kwa ni ni hamtosheki mungu. Awalaani nyie na familia zenu

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 16 дней назад

    Safi sana

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 16 дней назад +1

    Mawaziri wa hii awamu ya sita hawajui kabisa katiba

  • @MickyMgeri
    @MickyMgeri 16 дней назад

    Hiyo haki mnaipata mahakama hizi hizi za ccm au mahakama gani??????

  • @nyucletkikonamaluhe2274
    @nyucletkikonamaluhe2274 16 дней назад

    Binafsi sitaki Tamisemi iingilie shughuli za uchaguzi wa mitaa na ule mkuu

  • @user-mj6oe7ur7t
    @user-mj6oe7ur7t 16 дней назад

    Wanataka tamisemi isimami uchaguzi ili watuibie na kutuumiza.

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 16 дней назад

    Ccm.bila.polisi.hawatoboi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 16 дней назад

    Tanzania kuna moto mkali jamani hiki nini Mungu tusaidie

    • @csato9415
      @csato9415 16 дней назад

      Watawala hawataki kuachia madaraka hivyo wanaweka kila aina mianya ili washinde, ila kwa watanzania si wale wa kuburuzwa tena.