KIMEWAKA MAHAKAMANI! KESI YA MPINA DHIDI YA BASHE, SPIKA TULIA NA WENGINE YAIVA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 19

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 16 дней назад +3

    Hongereni sana Bwana lugemeleza na wenzako tunawaombea sana

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 15 дней назад

    Bunge na Waziri wa Kilimo ktk hili swala la uchumi wa taifa na maslahi binafsi haki ionekane kutendeka!

  • @ZakayoJoseph-g5p
    @ZakayoJoseph-g5p 16 дней назад +1

    Mpina we are together my brother yaani sifa ya kiongozi ni kusimama kutetea jamii kwa jumla wala sio watu wa kisesa bali wote wa tz

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 16 дней назад

    Safari hii kumekucha

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 16 дней назад +3

    huyo spika ni aibu kwa Taifa letu ana uwezo mdogo sana kuongoza Bunge

  • @mohdhussein4548
    @mohdhussein4548 16 дней назад +2

    Mama anamlinda mwarabu huy cjui why

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 16 дней назад

    Tuombe mambo ni mengi.

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 16 дней назад

    Tunawafuatilia

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 16 дней назад

    Wewe maisha yako hujatishiwa?

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 16 дней назад +1

    Sasa sukari kwa nini ilipanda halafu kwa nini tusiwashtaki wale walio pewa dhamana ya kulima sukari kwa nini inakua chache ndio maana wa kapewa watu vibali walete kwahiyo tunataka na wale walio sababisha kutokuepo sukar na wao waingie

    • @noelsawe2914
      @noelsawe2914 16 дней назад

      Kinachohojiwa sio kupewa vibali, Bali ni namna vibali vilivyotolewa

  • @edwindezidery632
    @edwindezidery632 16 дней назад

    Ila Bashe ila Bashe ulaaniwe na vizazi vyako

  • @Landisy
    @Landisy 16 дней назад

    Kweli tutafuatilia.

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga388 16 дней назад

    Kumechangamka safarii iii

  • @aaronswai3092
    @aaronswai3092 16 дней назад

    Ee BWANA mtetee Mhe. Mpina!

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 16 дней назад

    Upuuzi mtupu wakati sukari ilivyopanda hamkutoka kutetea wananchi 😂

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk 16 дней назад

      Wewe Leo umekwenda chooni kunya subiri nije nikutawaze maana unabakili ya kushikiwa!