🔴LIVE: TARAKEA- ROMBO MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 19

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Месяц назад

    Nimekuelewa shekhe. Uko vizuri Sana

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Месяц назад +1

    Shekh Ubarikiwe Mno Uko vizuri Mno asiyekuelewa ni shetani na chawa tu Umetoa Elimu

  • @lwitikomwakatumbula5672
    @lwitikomwakatumbula5672 Месяц назад

    Shekh upo vizuri sana haupoi hauboi nimecheka sana Yani kama unachekesha ivi lakini ndio ilimu inaingia ivyo Mungu akutunze shekh watu 😂😂😂

  • @sadamshantiwa9749
    @sadamshantiwa9749 Месяц назад

    Sheikh uko vzr umeiva nimekukubari.

  • @reginamwendwa6709
    @reginamwendwa6709 Месяц назад

    Shekhe big up nimekukubali

  • @osama-k4p
    @osama-k4p Месяц назад +1

    Motooooo

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 Месяц назад

    Sema baba sema tunakuelewa 🙌

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Месяц назад

    She nime kuelewa uko vizuri sana

  • @NicIbrahim
    @NicIbrahim Месяц назад +1

    😢😢😢😢

  • @DjJohnBashir-oy7cx
    @DjJohnBashir-oy7cx Месяц назад

    Chadema wote ni wasomi

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Месяц назад +1

    Kwa elimu hii maaskari kama haijawaingia basi akili zimehama kwakweli maana nyinyi ndo msaada mkubwa kwa ccm wanawategemea nyinyi tu hawana nguvu ccm

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 Месяц назад

    Huyu shehee amenivutia sana hoja zake tunakuhitaji uje Iringa kuna mpumbavu anajiita Mchungaji kajiuza !

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 Месяц назад +1

    Kwa kweli leo nimejifunza kitu kikubwa kwa huyu sheikh Chochote cha serikali kinazidiwa na za binafsi

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Месяц назад +2

      Dah kumbe elimu hiyo hiyo ulioishika wewe namimi nimeishika vile vile nimejifunza vyema kbs✌️💪

  • @MonicaBeni
    @MonicaBeni Месяц назад

    Yule mama nani? Naye siana chawa hahaha mama naniiii!!!

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u Месяц назад +1

    Wewe na shehe ponda ktk mashehe wote nyinyi ndio mtaingi peponi

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u Месяц назад

    Shehe njoo kwetu kimbiji kigamboni

  • @JumaGishanga
    @JumaGishanga Месяц назад

    Mtoto wangu amesoma shule ya kata amefaulu naambiwa nilipe ada laki Tisa nitazipata wapi kama nilikosa ada ya shule binasfi je hii ccm haina akili kwanini inatutesa masikini

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Месяц назад

    huyu jamaa aje na huku Kanda ya Nyasa has njombe