Hakuna cha ajabu ndio siasa za Bongo. Wanasiasa wote karibu wana Njaa kali ukiona kahama Chama ameona hayuko ndani ya mtandao wa kula Ruzuku na akihamia Chama kingine anakuwa mtaji kwa kutoa siri za adui na kuponda sera na siyo yote ya uwongo mengi yana ukweli, ajibiwe kwa hoja tu
Hakuna cha ajabu ndio siasa za Bongo. Wanasiasa wote karibu wana Njaa kali ukiona kahama Chama ameona hayuko ndani ya mtandao wa kula Ruzuku na akihamia Chama kingine anakuwa mtaji kwa kutoa siri za adui na kuponda sera na siyo yote ya uwongo mengi yana ukweli, ajibiwe kwa hoja tu
Msigwa ni fisi tu wala hana ukweli na hoja zake niza kipumbavu.
Kamanda halali Nyassa
Msigwa ,fala mla mbwa
Kwelikweli
👏🏼👏🏼👏🏼
✌️✌️
Msigwa anafurahia sasa hivi wanavyopigwa kugungwa kutekwa ..wakati ule ile clip ya mkuu wa wilaya na msigwa sipati picha leo eti limehama na kukashifu
Hacha wewe