KISUGU AKINUKISHA ENG.HERSI SAID KUUBWAGA URAIS | JUMA MWAMBA ASHIKWA NA UKAKASI SAKATA LA WAZEE !!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 113

  • @BarakaChristopher-dv4wf
    @BarakaChristopher-dv4wf Месяц назад +2

    Alikuwa. Mwizi wazee wamemgundua mapema wazee ongereni sana wazee

  • @BarakaChristopher-dv4wf
    @BarakaChristopher-dv4wf Месяц назад +3

    Yaani wazee wako vizuri sana tena mnashindwa kuongea mambo yenu mnabaki kufatilia wachezaji wa simba tu wazee wamepiga panapo uma thank you hersi said tafuta usajili 😅😃😀😃

    • @kefangendwa3336
      @kefangendwa3336 Месяц назад

      😂😂😂😂 thank you ya engineer hers 😂😂🎉🎉🎉

  • @Swahilimovie-h5p
    @Swahilimovie-h5p Месяц назад +1

    Ni hatariiii na huyo engineer😅😅😅😅😅😂🎉❤

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn Месяц назад +2

    Kwahio unataka useme eng hers kapewa thank u na wazee 😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @NeemaAntony-b8q
    @NeemaAntony-b8q 9 дней назад

    Sisi Simba tunamuamini Mungu tu ndio msaada wetu

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Месяц назад +1

    Kisugu pamoja sana

  • @wetemjini8818
    @wetemjini8818 Месяц назад +1

    Wazee oyeee

  • @AnciscoKayombo
    @AnciscoKayombo Месяц назад +1

    Kumbe uto bhana 😂😂😂😂

  • @JumbeKajembe
    @JumbeKajembe Месяц назад

    Mtalijua jiji

  • @SaimonAnton-rj3vt
    @SaimonAnton-rj3vt Месяц назад

    Hiyo kofia ya mzee unatsha ni noma

  • @AbusamiyaMpangachuma
    @AbusamiyaMpangachuma Месяц назад +3

    Kisugu uko njema sanaa pasuka tu usiogope hao wazee wametumwa kutuvuruga Kwa karne hii wameshindwa na watalegea

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio8196 Месяц назад +2

    Katiba jamani

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Месяц назад +1

    BABRA WA SIMBA KAITWA CAF NA NDIE ALIEMPIGIA DEBE HUYO HERIS WENO HAMNA LOLOTE MATOPOLO MACHOGO FC MACHOGOOOOOOOOO 😂😂😂😂😂

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA Месяц назад +2

    KWELI KISUGU ANAFAA KUWA MSEMAJI WA SIMBA .

  • @kashangakuroka997
    @kashangakuroka997 Месяц назад +3

    😂😂Yanga mnapenda kufuatilia Kambi ya Simba lakini kesi za wazee wenu aaaah🐸🐸🐸

    • @essaumapunda5766
      @essaumapunda5766 Месяц назад +1

      Nssf kitanzini

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Месяц назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kITANZI MASHUZI PWIIIIII PWIIIIII 😂😂😂 NA BADO

  • @HassibuMvungi
    @HassibuMvungi Месяц назад +1

    Kila tatizo la yanga wanayanga wanakuambia limetoka simba huu niupungufu wa mawazo wabadilike

  • @michaelmwikalo971
    @michaelmwikalo971 Месяц назад +1

    Ubaya Ubwela ndio inaanzia hapo 😂

  • @sakinasakina1286
    @sakinasakina1286 Месяц назад

    mishabiki ya yanga ni mimbumbu hayaelewi ha kiswahili

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Месяц назад +1

    Uto walikurupuka wanapenda kuiga manake baada ya simba kumtangaza mo awe rais wa heshima na wao wakaiga

  • @hajingangila1558
    @hajingangila1558 Месяц назад +1

    Sasa wewe mbona hauongelei Yanga yako mpaka hapo bado Simba mbovu Shabalala mala Kapombe sema sisi siyo people tutakutana.🎉

  • @mdemualphonce1559
    @mdemualphonce1559 Месяц назад

    Mahakama iheshimiwe

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Месяц назад +1

    NA WEWE KAZI YA ALI KOMO UPEWE WEWE 😂😂😂 KWANI WEWE JUMA UNAPEWA MSHAHARA????

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v Месяц назад +1

    Ubaya ubwela

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Месяц назад +1

    YULE MOMO WA ZANDAAAAAANI KWANI ANASEMAJE??? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂UBAYA UBWELA

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Месяц назад +1

    MWANDISHI NENDA KWENYE MKUTANO WA MACHOGO WAKITIANA BAKORA RECODI UTULETEE 😂😂😂😂😂😂 NG'OMBE WA MAZIWA OYEEEEEE 😂😂😂😂😂

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina Месяц назад +1

    figisungu zimeanza

  • @user-bc2wd1sq3k
    @user-bc2wd1sq3k Месяц назад +1

    Sikia hayo maswali mabayo hayana maana kama alikua anaendelea kukusanya upelelezi baada ya upelelezi kukamilisha ndio kaenda mahakamani na kashinda kesi

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 Месяц назад +1

    Simba inahusikaje hapo

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Месяц назад +1

    ALBADIRI ISHAANZA KAZI YAKE WANGA WACHAWI WAKUBWA NYIE 😂😂😂😂😂😂 NA BADO MACHOGOOOOOOOOO

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад +1

    Na ww ndio muhusika mkuu jinga mkubwa

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 Месяц назад

    Mahakama kuu ni chombo cha juu ktk sheria.Hao viongozi watoke wakabidhi ofisi

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Месяц назад

    Na nyie nguvu moja,kazi kuiga uto

  • @clemantmalisawa3080
    @clemantmalisawa3080 Месяц назад

    Kwamafanikio walionao yanga si rahisi kumtowa hersi mana kawafikisha yanga kwenye nchi Yao ya ahadi

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Месяц назад +1

    Wazee wa Yanga wamesahaurika sana na ndo walezi vijana wanawabeza wazee wao hapi utulivu haupo tena Mzee Juma Magoma komaa mchuzi wa moto moto Eng hapo alipofanya inatoshaaa

  • @TibaKamna
    @TibaKamna Месяц назад +4

    Mm niko pamoja na wazee mpaka kieleweke litang'oka jitu😂😂

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Месяц назад

    KISUGU UNACHOPIGIA KELELE TUTAKIONA TAREHE NANE KWANZA WEWE NI POROJO TU UNALUPWA NA VIONGOZI WA SIMBA KUSIFIA UJINGA WA VINGOZI WAO IVYO WEWE UJUI MPIRA ILA KIPAJI CHAKO NI KUPIGA KELELE TUU UJUI MPIRA UJUI MPIRA NARUDIA TENA UJUI MPIRA WENGE NI NYINGI SANA

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Месяц назад

    Siyo mahakama unayo isema siyo ya michezo kumbuka kenye ilio fanyiwa

  • @emmanueltango2179
    @emmanueltango2179 Месяц назад

    Hao vijana watuachie timu yetu wazee yaani ata mzee pili walimuaxha na gari

  • @InocentInocent-wh1lr
    @InocentInocent-wh1lr Месяц назад

    Mzee huyo mchawi😅😅😅

  • @OmarAshraph
    @OmarAshraph Месяц назад +1

    Piga churahao

  • @MohamediSleyum
    @MohamediSleyum Месяц назад

    Watu wa simba ni mafala sana leo ndo nimejua hilo wanahangaika na mambo yasowahusu

  • @mack_vita_onyango8409
    @mack_vita_onyango8409 Месяц назад +1

    Injinia hawezi pinga mamuzi ya mahakama, lazima atii usicheze mahakama

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 Месяц назад

    Kisugu anatumia Matako kufikiria

  • @user-bn6iz2ve1n
    @user-bn6iz2ve1n Месяц назад

    Leo ndo nimengundua baadhi ya watazania ni watyu wa hovyo kabisa

  • @user-br7fz4zd5x
    @user-br7fz4zd5x Месяц назад

    Kolo furahieni lakini mjue yule kolo mwenzenu hafui dafu

  • @PeterLazaro-x6e
    @PeterLazaro-x6e 29 дней назад

    Kisugu mwaga sumu ubaya ubwela

  • @hamzaminangu1053
    @hamzaminangu1053 Месяц назад +7

    huyo mzee nyuma ya kisugu anaonekana nae alikuwepo na wazee wa yanga mahakamani

  • @ThomasMatale
    @ThomasMatale Месяц назад +1

    Tatizo vijana wa yanga hamjui katiba yenu

  • @StanleyMhagama-t3w
    @StanleyMhagama-t3w Месяц назад

    Hapo mwishoni nimerudia na kucheka

  • @francisphilipo5749
    @francisphilipo5749 Месяц назад

    7:34 ppo 7:36 7:37

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu Месяц назад +1

    Na hizo bajeti za matumizi mengineyo zilizokuwa zikipitishwa wazee hawazitambui.mmmh hapo Sasa.!

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Месяц назад

    Kisugu kasuguwe meno yoko machafu

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani Месяц назад +2

    Wewe nimpumbavu katiba inasemaje

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm Месяц назад

      Ww ndo mjinga katiba ya yanga inakuhusu nn ww Debora

    • @ramamohamed492
      @ramamohamed492 Месяц назад +1

      ​@@EliaMkumbo-wn7bm🤣🤣 unajizima data sio et Debora umesahau kuwa kuna joys upande wenu

    • @user-id5oc7hm4n
      @user-id5oc7hm4n Месяц назад +1

      ​@@EliaMkumbo-wn7bm😂😂😂😂😂 jamon joyce😂😂😂😂

  • @MataulaMikusi
    @MataulaMikusi Месяц назад

    Watu wampige magoma

  • @MohamediSleyum
    @MohamediSleyum Месяц назад

    Fatilieni SIMBA yenu YANGA itawasaidia nini Nyie MAKOLO Kwanza nyie SAIVI ni WAFAMAJI TU

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu Месяц назад +1

    Eti combination ataipata wapi,no logic.mmepatwa na wazee.

  • @johnmwita9370
    @johnmwita9370 Месяц назад

    Uyu jamaa j na upaa wote atajui kuongea

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Месяц назад +1

    Bundi huyoooooooo hakuna lugha moja tena yapoooo!

  • @johnmwita9370
    @johnmwita9370 Месяц назад

    Nywere kichwani huna Akili huna, mbona umeshindwa kesi yanga?

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 Месяц назад

    Kwani Mo alipokua anapangua watu taharuki ilitoka wpi si kwenu mvurugane tu😂

  • @RamadhanAlly-qg9hq
    @RamadhanAlly-qg9hq Месяц назад

    Mpiraa usipokuwa na imani unaweza piga mtuu mpira unakelaa

  • @felixmluge3211
    @felixmluge3211 Месяц назад

    mtangazaji kafanana na Kicheche wa komediani...

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Месяц назад

    Kisugu umecheka kama mbuzi

  • @sakinasakina1286
    @sakinasakina1286 Месяц назад

    kwani simba ndyo mahakamam

  • @Bashirusalum
    @Bashirusalum Месяц назад

    Mbona mkiyaoji majitu ya yanga nyie waandishi mnawasapoti hadi maneno wakishindwa waacheni washindwe tu

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Месяц назад

    Dr MSHINDO aliondolewa Kwa MAPINDUZI BARDI....hii HAINA BUSARA utaratibu UGUATWE....

  • @drallan6879
    @drallan6879 Месяц назад

    case mahakamani ya yanga haituhusu sisi simba

  • @HemedLikondoro
    @HemedLikondoro Месяц назад

    Y

  • @SaidiMpate-o5m
    @SaidiMpate-o5m Месяц назад

    S

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Месяц назад +2

    Mimi ni mpenzi wa Yanga niwaulize hawa wazee akitoka injinia halafu iweje??? Hawa wazee wametumwa

    • @bettyrugemalila9185
      @bettyrugemalila9185 Месяц назад

      Wametumwa lkn hawataweza,hvi kwa mafanikio haya wanataka kuipeleka yanga kumbe wenyewe hawakufurahishwa na haya mafanikio

  • @AshaAbdallah-o9d
    @AshaAbdallah-o9d Месяц назад

    Sasa wewe mwandishi kagoma ni nani

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Месяц назад

    KISUGU FUATA YA TIMU YAKO MBOVU

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад

    Kisugu sura mbaya sana na roho

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Месяц назад +2

    Wale wazee wametumwa na Mangungu na Try again full stop

    • @ZachariaMwita-bu7rw
      @ZachariaMwita-bu7rw Месяц назад

      😂😂😂😂

    • @user-id5oc7hm4n
      @user-id5oc7hm4n Месяц назад +1

      😂😂😂😂😂,, jamani mbona mnaionea Simba ,,,ubaya ubwela

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 Месяц назад

      🤣🤣🤣🤣🤣👉🐸🐸🐸🐸🔥🔥🔥🔥🔥

    • @user-pf6yw7vh1p
      @user-pf6yw7vh1p Месяц назад +1

      Eee yamekua hayo zamu yenu tulieni 6 zinakuja 4:35

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 Месяц назад

      @@user-pf6yw7vh1p yanga hawafahamu club yao imeingizwa hasara bilion moja ushehe

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx
    @RaymondCharlesSaliboko-to6vx Месяц назад +1

    Ukimfanyia ubaya MTU Tena kwamakusudi,tambuaaa mabaya yoteeee yatakuludia

  • @AtirioDaimon
    @AtirioDaimon Месяц назад

    Aende zake huyo mzeeee asitulundishe kule

  • @MonaMbalike
    @MonaMbalike Месяц назад

    Yaan wameshindwa kupambana uwanjan wanaanza siasa zao

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Месяц назад

    Huyo ajui mpira ji jinga tuuu

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Месяц назад

    Mambo ya Michezo hayaendi Mahakamani

    • @bone102
      @bone102 Месяц назад +2

      MORISON mlimpeleka mahakamani alikuwa mwanasiasa au🤣

    • @amirabubakar9195
      @amirabubakar9195 Месяц назад +1

      Ndio lishafika

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 Месяц назад

    Waropokaji wengi Akina Kisugu
    Kagoma amesema Hajui aliye peleka Kesi Mahakama
    Kagoma Sio Mzee ni Shida zake hawezi kufanikiwa Kiumbe Magoma

  • @user-fl4jy5zj3v
    @user-fl4jy5zj3v Месяц назад

    Hii hukumu umetoka mahakama ya kisutu sio mahakama kuu

  • @ErcksonjohnMishoori
    @ErcksonjohnMishoori Месяц назад +1

    huyo mzee ni mbwa

  • @SaidiMpate-o5m
    @SaidiMpate-o5m Месяц назад

    Ao wazee wana2mika na waasilika kuivuluga yanga kwann wasiendemahakmani kipindi yangainafanyavibaya waende wakatiinafanya vzr?ha2waelewi

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 Месяц назад

    Tatizo Kisugu hajielewi kabisa. Halafu waandishi hawajielewi kabisa

  • @AbusamiyaMpangachuma
    @AbusamiyaMpangachuma Месяц назад

    Kikubwa ni utulivu tu sio kingine

  • @AbusamiyaMpangachuma
    @AbusamiyaMpangachuma Месяц назад

    Kwani yeye huyo shabiki wa Simba anataka haya yazungumziwe wapi kama sio kuita watu comfrence ni muhimu weee umetumwaaa sio wewe

  • @kilambanyuchi5731
    @kilambanyuchi5731 Месяц назад

    Wazee wengine wachawi tu