Ni kundi gani sasa hili ambalo linalotumia jina la "Jeshi la polisi" kuteka, kutesa na kisha kuwaua watu? Na kwanini Jeshi la polisi halishituki kuchafuliwa na kundi hili la ujambazi na uhalifu na kufanya kazi yake kuwatafuta majambazi na wahalifu hawa? Je, tuamini kuwa polisi nao ni washiriki wa ujambazi na uhalifu huu? Kwanini hawashituki? Kwanini hawafanyi kazi yao?
sijui nani atawastua Police. usingizi gani huu wanalala mpaka hata gazette na mitandao wanapiga kelele kupitia amplifier na bado hawawezi amka. nani kawatwanga usingizi huu jmni au?
Ubarikiwe sana, hivi ccm wananini .matapeli hawa, tumechoka nao sana, watuache chadema nasisi tuchukue uingozi tubadilishe nchi, ccm wauwaji
Nakuombea mungu akulinde nchi yetu iko pabaya sana
Kaka lema Mimi nakukubali sana mpaka machozi yananitoka tunawatu viongozi hawatujali kabisa waambie
Hatar sana
❤❤❤❤ fact bro God 🙏 bless you
Ubarikiwe sana Mheshimiwa Lema kwa uzalendo wako
Waziri wa ulinzi na usalama yuko wapi? kwann yy wadhifa wake unasomaje kwani?
Maaskofu bubu mashehe bubu jamani jamani
Sauti na midomo + vitendo vya mzungumzaji (Godbless Lema) havioani kabisa. Rekebisheni video yenu
Majaji Tunawaogopa
Sauti
Makamanda
Too many words. Take action chura kasema hasikii kelele. N
Tanzani nyie wapinzani subiriniYesu arudi, hamwezi kuitoa ccm kwa kupiga kura, uzuri nikwamba Yesu amekaribia kurudi, mtawala wa amani na wa milele
Ni kundi gani sasa hili ambalo linalotumia jina la "Jeshi la polisi" kuteka, kutesa na kisha kuwaua watu? Na kwanini Jeshi la polisi halishituki kuchafuliwa na kundi hili la ujambazi na uhalifu na kufanya kazi yake kuwatafuta majambazi na wahalifu hawa? Je, tuamini kuwa polisi nao ni washiriki wa ujambazi na uhalifu huu? Kwanini hawashituki? Kwanini hawafanyi kazi yao?
Wanafanya kazi ya shetani.
sijui nani atawastua Police. usingizi gani huu wanalala mpaka hata gazette na mitandao wanapiga kelele kupitia amplifier na bado hawawezi amka. nani kawatwanga usingizi huu jmni au?