#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024

Комментарии • 17

  • @elvisikimaro1178
    @elvisikimaro1178 15 дней назад +1

    Ubarikiwe sana, hivi ccm wananini .matapeli hawa, tumechoka nao sana, watuache chadema nasisi tuchukue uingozi tubadilishe nchi, ccm wauwaji

  • @KisakaMvungi
    @KisakaMvungi 15 дней назад

    Nakuombea mungu akulinde nchi yetu iko pabaya sana

  • @CharlesMulaki-j8h
    @CharlesMulaki-j8h 15 дней назад

    Kaka lema Mimi nakukubali sana mpaka machozi yananitoka tunawatu viongozi hawatujali kabisa waambie

  • @FestorMghway
    @FestorMghway 12 дней назад

    Hatar sana

  • @user-zs8de1os7q
    @user-zs8de1os7q 15 дней назад

    ❤❤❤❤ fact bro God 🙏 bless you

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 15 дней назад +1

    Ubarikiwe sana Mheshimiwa Lema kwa uzalendo wako

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 13 дней назад

    Waziri wa ulinzi na usalama yuko wapi? kwann yy wadhifa wake unasomaje kwani?

  • @CharlesMulaki-j8h
    @CharlesMulaki-j8h 15 дней назад

    Maaskofu bubu mashehe bubu jamani jamani

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 15 дней назад

    Sauti na midomo + vitendo vya mzungumzaji (Godbless Lema) havioani kabisa. Rekebisheni video yenu

  • @Iddi-xw7vw
    @Iddi-xw7vw 15 дней назад

    Majaji Tunawaogopa

  • @latifuelias5089
    @latifuelias5089 15 дней назад

    Sauti

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 15 дней назад

    Makamanda

  • @reginas1832
    @reginas1832 15 дней назад +1

    Too many words. Take action chura kasema hasikii kelele. N

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule2896 15 дней назад

    Tanzani nyie wapinzani subiriniYesu arudi, hamwezi kuitoa ccm kwa kupiga kura, uzuri nikwamba Yesu amekaribia kurudi, mtawala wa amani na wa milele

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 15 дней назад +1

    Ni kundi gani sasa hili ambalo linalotumia jina la "Jeshi la polisi" kuteka, kutesa na kisha kuwaua watu? Na kwanini Jeshi la polisi halishituki kuchafuliwa na kundi hili la ujambazi na uhalifu na kufanya kazi yake kuwatafuta majambazi na wahalifu hawa? Je, tuamini kuwa polisi nao ni washiriki wa ujambazi na uhalifu huu? Kwanini hawashituki? Kwanini hawafanyi kazi yao?

    • @reginas1832
      @reginas1832 15 дней назад

      Wanafanya kazi ya shetani.

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 13 дней назад

      sijui nani atawastua Police. usingizi gani huu wanalala mpaka hata gazette na mitandao wanapiga kelele kupitia amplifier na bado hawawezi amka. nani kawatwanga usingizi huu jmni au?