Usimpende mwana siasa kabla hajashika madaraka. Utashangaa akishika madaraka. Utakua kama wapinzani wote ambao wameshika madaraka Africa, hakuna chochote ambacho wamefaidi nchi za kwao
Acha mawazo mgando ndugu ,ww ndio kundi linaloamini bila CCM hakuna watu wengine wanaoweza kuongoza kutoka vyama VINGINE, huo ni mgando wa mawazo ,tubadilike ndugu ndo maana tunazidi kuburuzwa na maisha yanazidi kua magumu @@barrynzeyimana6270
Aksante sana Mheshimiwa Lisu . Hiyo ndiyo siasa unayoifanya. MwenyeziMungu akuzidishie kila la heri. uhasama hauna nafasi katika nchi yako ya Tanzania.
Ni sawa kabisa usemalo Ramadhan. Kikeke hajatulia. Na kuhusu mchango wa CCM kwa Lissu. Mdogo wangu na cmde Lissu, usemalo kuchangiwa na yeyote ni sawa. Tatizo letu ni: Mosi. Mchango umetoka muda gani (nakupiga makofi Mbeya halafu sasa chukua hela). Huoni kama hili lina ukakasi? Pili. Mchango unatoka kwa mtu mwenye akili gani. Watu kada ya aina ya Peter Msigwa, Enos Makala nahisi wakikuchangia waweza baadae wakakusimangia mchango huo. Je ikiwa hivyo huoni kama itakuwa aibu? Kumbuka wale wengine wa CCM waliokusadia na kukufariji wakati wa shida ni watu waungwana wanaojitambua. Lakini hii kada nyingine ya akina Peter Msigwa uwe macho sana nayo! Bado msimamo wangu, nakushauri usipokee mchango huo toka kwa wasiojitambua!
Maswali gani haya? Kwa mtu Mwenye exposure kama Kikeke???!!!!. How on earthy Katiba ya Chama KIMOJA itumike kwa vyama vingi?????? Inahitaji PhD hiyo??????
It's so sad, the "journalists" who interview Tundu Lissu don't even listen to his answers; all their attention is directed by the nature of their question to please the government in place. they cut off and jump to the next trick question. Everything is done to show that I am fighting the opposition, shame on you! too sad, bravo for your patience Mr. Lissu 
Mheshimiwa Rais wa Tanzania....Tundu Lisu..hata kama C.C.M wataiba kura kama ilivyo kawaida yao. Ana hadhi...ya kuiongoza si Tanzania tu peke yake.. Asanteni sana!
Vilevile kikeke uelewe lisu ni mtu msomi tofauli nawewe kikeke elimu yako ndogo huwezi Jilinganisha na lisu hivyo nterviwe na lisu inaangaliwa na watu wengi duniani hivyo watu wanakufuatilia natunaona umesha Anza kuyumba vitu ambavyo kikeke jiepushe navyo nikama vifuatavyo udini uchawa chuki hila, unafiki
Alichosema Mrema siyo kupokea watia nia bali alizungumzia kama tayari chama kimepitisha mgombea naye akasema kuna kufuata katiba na chama kikipokea kitayapitia kwa mujibu wa katiba hiyo
Chadema kinahitaji mwenyekiti mwingine,mbowe aachia ngazi uendelee kulinda heshima yako unako elekea unakiiuwa chama ,chama kimekosa mvuto Kwa sababu yako ,watu wapo chadema Kwa sababu ya tundu lissu akiondoka chadema kinakufa kama CUF na NSSR MAGEUZI
Mm sina chama ila ili jembe Nashukuru kuzaliwa Tanzania ningetaman viongozi waache uchama watengeneze nchi kwa pamoja japo kikeke unamuhoji kama Afande bhana unampa maswali magumu
Hiiii ni zawad tundu tunakupenda sanaaaa
Usimpende mwana siasa kabla hajashika madaraka. Utashangaa akishika madaraka. Utakua kama wapinzani wote ambao wameshika madaraka Africa, hakuna chochote ambacho wamefaidi nchi za kwao
Acha mawazo mgando ndugu ,ww ndio kundi linaloamini bila CCM hakuna watu wengine wanaoweza kuongoza kutoka vyama VINGINE, huo ni mgando wa mawazo ,tubadilike ndugu ndo maana tunazidi kuburuzwa na maisha yanazidi kua magumu @@barrynzeyimana6270
Bwana Kikeke unamuuliza Bwana Lisu swali, akijibu unamwambia "hizo ni hisia zake"! Sasa ukitaka anibu kwa "hisia" za nani? Au unamuuliza "leading questions" aingie mtegoni upate jibu ulililokusudia? Jitahidi kuwa "impartial"!
Aksante sana Mheshimiwa Lisu . Hiyo ndiyo siasa unayoifanya.
MwenyeziMungu akuzidishie kila la heri.
uhasama hauna nafasi katika nchi yako ya Tanzania.
Ahsante sana mheshimiwa Lisu, japo unahojiwa kama kukemea pepo lakini uko vizuri. Mungu akubariki sana, mheshiwa Tundu Lisu..❤️❤️❤️✌️🙏
Kiuongozi ❤ uko vizuri baba
Kama unaunga mkono lisu agombee urais like
Mm napenda audi tena bungeni
Lissu ni kiboko yaoo
@@HassanIdrisa-uo6qcakafanye nini labdaa sisi tunataka awe Rais wetu
LISU ANATAKIWA KUMTUMIKIA MUNGU AU YESU KWA MWONGOZO WA ROHO MTAKATIFU.
Hana sifa ya kuwa rais
Mimi ni mwana CCM ila tundu lisu nikiongozi kweli kweli na zidi wakina mboe 100 lisu uko vizur sana BROTHER.
Lisu akili kubwa sana
Lissu anaa ability nzito sana,hafai kuwa rais
Crown mko vizuri sana
Walahi WATANZANIA mnaachilia madini ,tundu lisu ni dhahabu na ni msomi muelewa, na ni kiongozi.
Unamtaka aje awe kiongoz ktk taifa lenu
Ni madini kwa wenya afya mbaya ya akili
Crown tunakua kwa kazi hongera king kiba
Kikeke muachie mh Lissu nafasi ya kuongea usikatishe mazungumzo yake
Anaona anakwepa mitego yake
Ni sawa kabisa usemalo Ramadhan. Kikeke hajatulia. Na kuhusu mchango wa CCM kwa Lissu. Mdogo wangu na cmde Lissu, usemalo kuchangiwa na yeyote ni sawa. Tatizo letu ni: Mosi. Mchango umetoka muda gani (nakupiga makofi Mbeya halafu sasa chukua hela). Huoni kama hili lina ukakasi? Pili. Mchango unatoka kwa mtu mwenye akili gani. Watu kada ya aina ya Peter Msigwa, Enos Makala nahisi wakikuchangia waweza baadae wakakusimangia mchango huo. Je ikiwa hivyo huoni kama itakuwa aibu? Kumbuka wale wengine wa CCM waliokusadia na kukufariji wakati wa shida ni watu waungwana wanaojitambua. Lakini hii kada nyingine ya akina Peter Msigwa uwe macho sana nayo! Bado msimamo wangu, nakushauri usipokee mchango huo toka kwa wasiojitambua!
mungu akusimamie uwe rais
Tundu Lisu ndio Rais ajaye Mungu atupe wasomi ndio waiongoze Tanzania
wanapatikana chadema haya makijani yashashiba vya kutosha
Yaani natamani nione lissu akiwa Raisi ningari hai
@@faustinebahenobi3412Amen
Alisu.kachukue.fomu.unapita.kwakishindo
beautiful interview, salim inabid ujiamin unapohoji usioneshe kam upo upande flani na unahofia kuwakwaza, fany kaz yako
Alivyokuwa BBC anzi za Magufuli alikuwa anahoji akiwa against Magufuli Leo Yuko bongo ..
Hujamsikia akiwa BBC enzi za Magufuli
Very Nice Interview Indeed
Let's Pray for our Country.✌️
Tundulisu mwaka ujao Hauna mpinzani maana safari hii WATANGANYIKA hawakosei.
Uyu Mzee tundu Lissu mungu amlindetu maaan duh
Mungu akupe maisha Malefu kaka Na mzalendo Lisu
One army, one struggle and one state!!! Together
Huyu ndiyo angekuwa mwenyekiti wa chama cha maendeleo na demokrasia Taifa chadema
Pumzika kikeke unauwogasana❤
Maswali gani haya? Kwa mtu Mwenye exposure kama Kikeke???!!!!. How on earthy Katiba ya Chama KIMOJA itumike kwa vyama vingi?????? Inahitaji PhD hiyo??????
Crown media hapa ni nyumban
Boss ana msimamo mkali sana akati tamaa
lissu twakupenda sana kwakweli
Ukiwa unaenda kumuhoji lissu jipange na Kama huna maswali ya mhimu na kueleweka usihangaike.
Uhakika anahoj kwa fact lakin kikeke analazimisha kudominate mjadala
Kabisaaa
Nimekosea ku like.
Mana ulichoandika ni tofauti na unachohoji.
big brain lisu
Mtu makini sana.
Onaoji Kwa kumbanaa Sanaa Yani utaki ccm ukosolewee tufauty na ulivyo kuwa na BBC
Hakuna muandishi hata mmoja tz ambae anaweza kumbana kiongozi wa upinzan mwenye kutaka haki
Hapana kikeke hayupo upande wowote ukitaka kujua ukwel angalia interview alivyofanya na msigwa ...kosoa ukiwa na data kaml
Kikeke ni khabar nyingine anafanya kazi yake vzuri hana upande angalia mahojiano yake na samia.
@@gabrielolotu6857🙌🙌🙌
Nenda kamohoji ww tukuone
Naam, namwomba Mungu apite kwa KISHINDO KWELI, KAULI YAKO IWE AMINA!!!
🇹🇿🇹🇿🇹🇿lissu his my blood president forever🫵💪💪🙏
It's so sad, the "journalists" who interview Tundu Lissu don't even listen to his answers; all their attention is directed by the nature of their question to please the government in place. they cut off and jump to the next trick question. Everything is done to show that I am fighting the opposition, shame on you! too sad, bravo for your patience Mr. Lissu

Tundu Lissu ana sifa zote za Urais.
Tundu Lissu siyo mnafiki na hana uchawa.
Tundu Lissu ni mzalendo 100%.
Wewe huyu jamaa hana sifa ya kuwa kiongozi
Hata ubaLozi hana loote
Humjui vizuri
@@mohamedhaji2200 wewe ndo unamjua vizuri
King salim kwenye moja na mbili , legend na journalist wangu bora toka nimeaanza kumsikiliza na kumuona kwenye runinga🎉
Lissu president
Crown kutuleteaa huyu mtu
Tundu ni Genius
big mind mh tundu lissu
Ninapo kusikiliza sijawahi kujutia mwamba Lissu
Kikeke nikama anakwepa hoja juu ya mamlaka
Kam umeliona hilo nipe like😂
Kikeke ana kera sana
Kikeke anajpendekeza kea serikal anataka apate uteuzi
Majibu ya Kisiasa hayo.
Hela imeingia Hujapata Text Tena Mheshimiwa Msomi.
Hapana mpaka uende Bank kuangalia
Mheshimiwa kwahili mm ccm lakin kula yanguu umepata huna ubaya na yeyote
Jipange kumuhoji mtu mwenye akiri kubwa.Safi sana lisu.
Mheshimiwa Rais wa Tanzania....Tundu Lisu..hata kama C.C.M wataiba kura kama ilivyo kawaida yao. Ana hadhi...ya kuiongoza si Tanzania tu peke yake..
Asanteni sana!
Vilevile kikeke uelewe lisu ni mtu msomi tofauli nawewe kikeke elimu yako ndogo huwezi Jilinganisha na lisu hivyo nterviwe na lisu inaangaliwa na watu wengi duniani hivyo watu wanakufuatilia natunaona umesha Anza kuyumba vitu ambavyo kikeke jiepushe navyo nikama vifuatavyo udini uchawa chuki hila, unafiki
Katombwe huk far wee😂
Khari ni mbaya sana kwasasa
Lisu for president
Kamanda Lissu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania -Tundu 🐜 pus Lissu
Kama una jua lisu moja ni akina mboe 100 nipe Like zangu hapa.
I'm looking for extended interview
Kikeke mpe nafasi ya kuongea unamaliza Radha bana
2027 kura yangu chukua
Uchaguzi upi wa Kenya au Tanzania?
Kuhusu pesa zilizochangwa na ccm hazina shida hizo chukua tu rais wangu
Kikeke umepooza sana kaa kwenye nafasi yako au unaogopa serika
Lazima aogope kwani hajui wasiojulikana wapo
Hivi Kuna crown TV kweli?
CCM hawatatoka kwa amani, ever!!!
Alichosema Mrema siyo kupokea watia nia bali alizungumzia kama tayari chama kimepitisha mgombea naye akasema kuna kufuata katiba na chama kikipokea kitayapitia kwa mujibu wa katiba hiyo
🌍🌍🌍🌍🌍🌍
Lissu kiboko rais 2025
uzuri na ubaya wake kura hazipigwi mtandaoni,,,subiri NOVEMBER 2025 Uone CHADEMA watakavokuwa wadogo km paka
Kua mtu wa haki
✌️✌️✌️✌️
CHAMA YUPI BRO😂
Chadema inaendeshwa kijanjajanja sana, namna hii inatia mashaka kuaminiwa kukabidhiwa Nchi, heri ya nusu shari kuliko Shari kamili
2025🔥🔥🔥🔥🙏
Mpovizuli sana
List akili kubwa sana,Kikeke rudi shuleni,Amejibu vizuri sana kama msomi.
Heche yuko wapi?
Hakuna lolote mpe urais mutajitia.watanzania uliza libia huo ujingaa😂 from Moçambique
❤❤❤❤❤❤
Hawa wanaiga sana mambo ya Kenya niwahuni tu
Take care!!
Mhuni ni mamako na Kuma lake
😂😂 nimefurah milion 5 za CCM
❤
Kwa mara ya kwanza nayasikia maswali ya ovyo ya Kikeke akilazimisha majibu
Chadema kinahitaji mwenyekiti mwingine,mbowe aachia ngazi uendelee kulinda heshima yako unako elekea unakiiuwa chama ,chama kimekosa mvuto Kwa sababu yako ,watu wapo chadema Kwa sababu ya tundu lissu akiondoka chadema kinakufa kama CUF na NSSR MAGEUZI
Radio ya mtanga anafanya kazi mtanga! Uliza swali subiri jawabu
Haiwezekani mtu anaongea bila kuoneshwa, kwa walemavu wa masikio mnatunyima haki yetu😮
Mwakahuu wa Tanzania tunahitaji mabadiliko lisu jiandae kiti nichako ccm hawana nafasi tena tanganyika
Hakuna kma lisu
Wenye D 2 tumemuelewa mzee Lissu
Kwani Lowasa alipatikana muda gani. Mbona hata mwezi haukupita?
An niende nkakupgie kura wwe nna kichaa??
anavaa shanga mikononi then anahitaji urais
Wapi wamesema ni kosa kuvaa bracelet mkononi? Au hizo ni shanga kwako? Duuh
usomi sometimes ni wendawazimu
Hivi kweli makamu Mwenyekiti wa chama hajui signatories wa chama
Nami natia shaka katika hilo .......
Kikeke uliingilia sana kumzuia Lisu asijieleze vizuri. Why?
Tundu na Mzingwu kuna kitu wanapika
Tatizo usikute hapa hamna mpiga kuraa
Mm sina chama ila ili jembe Nashukuru kuzaliwa Tanzania ningetaman viongozi waache uchama watengeneze nchi kwa pamoja japo kikeke unamuhoji kama Afande bhana unampa maswali magumu
Salimu unamchanganya mzungumzaji. Wewe uliongea na Mrema kabla Lisu hajapeleka barua zake
Kikeke fala sana kama ulikuwa unagopa usingemuita lisu naona umekuwa kama muandishi wa vi chanel vidogo
Vibaraka hao
Kumbe hakuna kitu ni yale yale ya alinasha anaenda mahakamani kushinda serkali za mitaa
Bila tume huru ya uchaguzi na katiba mpya, ushindi wa urais kwa wapinzani ni ndoto!!!!! Huo ndio ukweli!!!
Mwandishi uhodari umeishia wapi? Sioni kama ile ya majuu!!??
Kule huwa wana shinda kwa magoli ya mkono😁
Ukifatilia siasa umekwisha..
Absurd politician