TUNDU LISSU ALIPUKA, KUGOMBEA URAIS, MIGOGORO NDANI YA CHADEMA, KUHUSU MICHANGO YA GARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 276

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu 2 месяца назад +73

    Hiiii ni zawad tundu tunakupenda sanaaaa

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 2 месяца назад +3

      Usimpende mwana siasa kabla hajashika madaraka. Utashangaa akishika madaraka. Utakua kama wapinzani wote ambao wameshika madaraka Africa, hakuna chochote ambacho wamefaidi nchi za kwao

    • @ibrahshifta1595
      @ibrahshifta1595 2 месяца назад

      Acha mawazo mgando ndugu ,ww ndio kundi linaloamini bila CCM hakuna watu wengine wanaoweza kuongoza kutoka vyama VINGINE, huo ni mgando wa mawazo ,tubadilike ndugu ndo maana tunazidi kuburuzwa na maisha yanazidi kua magumu ​@@barrynzeyimana6270

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 2 месяца назад +1

      Bwana Kikeke unamuuliza Bwana Lisu swali, akijibu unamwambia "hizo ni hisia zake"! Sasa ukitaka anibu kwa "hisia" za nani? Au unamuuliza "leading questions" aingie mtegoni upate jibu ulililokusudia? Jitahidi kuwa "impartial"!

  • @djumakonki1964
    @djumakonki1964 2 месяца назад +14

    Aksante sana Mheshimiwa Lisu . Hiyo ndiyo siasa unayoifanya.
    MwenyeziMungu akuzidishie kila la heri.
    uhasama hauna nafasi katika nchi yako ya Tanzania.

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 2 месяца назад +26

    Ahsante sana mheshimiwa Lisu, japo unahojiwa kama kukemea pepo lakini uko vizuri. Mungu akubariki sana, mheshiwa Tundu Lisu..❤️❤️❤️✌️🙏

  • @IvanRaphael-hh6zz
    @IvanRaphael-hh6zz 2 месяца назад +29

    Kiuongozi ❤ uko vizuri baba

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 2 месяца назад +224

    Kama unaunga mkono lisu agombee urais like

    • @HassanIdrisa-uo6qc
      @HassanIdrisa-uo6qc 2 месяца назад +6

      Mm napenda audi tena bungeni

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 2 месяца назад +3

      Lissu ni kiboko yaoo

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 2 месяца назад +4

      ​@@HassanIdrisa-uo6qcakafanye nini labdaa sisi tunataka awe Rais wetu

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 2 месяца назад

      LISU ANATAKIWA KUMTUMIKIA MUNGU AU YESU KWA MWONGOZO WA ROHO MTAKATIFU.

    • @swedywamba5535
      @swedywamba5535 2 месяца назад +4

      Hana sifa ya kuwa rais

  • @Nunshumutwafa
    @Nunshumutwafa 2 месяца назад +10

    Mimi ni mwana CCM ila tundu lisu nikiongozi kweli kweli na zidi wakina mboe 100 lisu uko vizur sana BROTHER.

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 2 месяца назад +55

    Lisu akili kubwa sana

    • @WillisonMkumbo
      @WillisonMkumbo 2 месяца назад

      Lissu anaa ability nzito sana,hafai kuwa rais

  • @nautharimakuka
    @nautharimakuka 2 месяца назад +11

    Crown mko vizuri sana

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 2 месяца назад +29

    Walahi WATANZANIA mnaachilia madini ,tundu lisu ni dhahabu na ni msomi muelewa, na ni kiongozi.

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 2 месяца назад

      Unamtaka aje awe kiongoz ktk taifa lenu

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 2 месяца назад

      Ni madini kwa wenya afya mbaya ya akili

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 2 месяца назад +11

    Crown tunakua kwa kazi hongera king kiba

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 2 месяца назад +21

    Kikeke muachie mh Lissu nafasi ya kuongea usikatishe mazungumzo yake

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 2 месяца назад

      Anaona anakwepa mitego yake

    • @stewartdyamvunye-wz6rn
      @stewartdyamvunye-wz6rn 2 месяца назад +1

      Ni sawa kabisa usemalo Ramadhan. Kikeke hajatulia. Na kuhusu mchango wa CCM kwa Lissu. Mdogo wangu na cmde Lissu, usemalo kuchangiwa na yeyote ni sawa. Tatizo letu ni: Mosi. Mchango umetoka muda gani (nakupiga makofi Mbeya halafu sasa chukua hela). Huoni kama hili lina ukakasi? Pili. Mchango unatoka kwa mtu mwenye akili gani. Watu kada ya aina ya Peter Msigwa, Enos Makala nahisi wakikuchangia waweza baadae wakakusimangia mchango huo. Je ikiwa hivyo huoni kama itakuwa aibu? Kumbuka wale wengine wa CCM waliokusadia na kukufariji wakati wa shida ni watu waungwana wanaojitambua. Lakini hii kada nyingine ya akina Peter Msigwa uwe macho sana nayo! Bado msimamo wangu, nakushauri usipokee mchango huo toka kwa wasiojitambua!

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 2 месяца назад +5

    mungu akusimamie uwe rais

  • @MgeniNyela
    @MgeniNyela 2 месяца назад +22

    Tundu Lisu ndio Rais ajaye Mungu atupe wasomi ndio waiongoze Tanzania
    wanapatikana chadema haya makijani yashashiba vya kutosha

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 2 месяца назад +1

      Yaani natamani nione lissu akiwa Raisi ningari hai

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 месяца назад

      ​@@faustinebahenobi3412Amen

  • @SaitotiLukumar
    @SaitotiLukumar 2 месяца назад +17

    Alisu.kachukue.fomu.unapita.kwakishindo

  • @officialyasum5390
    @officialyasum5390 2 месяца назад +5

    beautiful interview, salim inabid ujiamin unapohoji usioneshe kam upo upande flani na unahofia kuwakwaza, fany kaz yako

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 месяца назад

      Alivyokuwa BBC anzi za Magufuli alikuwa anahoji akiwa against Magufuli Leo Yuko bongo ..

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 месяца назад

      Hujamsikia akiwa BBC enzi za Magufuli

  • @ericklyatuu1098
    @ericklyatuu1098 Месяц назад

    Very Nice Interview Indeed

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 месяца назад +9

    Let's Pray for our Country.✌️

  • @KwiniJoel
    @KwiniJoel 2 месяца назад +8

    Tundulisu mwaka ujao Hauna mpinzani maana safari hii WATANGANYIKA hawakosei.

  • @JamalyzoMilanzi-h2d
    @JamalyzoMilanzi-h2d 2 месяца назад +4

    Uyu Mzee tundu Lissu mungu amlindetu maaan duh

  • @DanielMgeni-x1z
    @DanielMgeni-x1z 2 месяца назад +1

    Mungu akupe maisha Malefu kaka Na mzalendo Lisu

  • @AlexPetro-z1e
    @AlexPetro-z1e Месяц назад

    One army, one struggle and one state!!! Together

  • @erickmkwera2784
    @erickmkwera2784 2 месяца назад +3

    Huyu ndiyo angekuwa mwenyekiti wa chama cha maendeleo na demokrasia Taifa chadema

  • @GivenMabena-ls7dq
    @GivenMabena-ls7dq 2 месяца назад +2

    Pumzika kikeke unauwogasana❤

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 2 месяца назад +7

    Maswali gani haya? Kwa mtu Mwenye exposure kama Kikeke???!!!!. How on earthy Katiba ya Chama KIMOJA itumike kwa vyama vingi?????? Inahitaji PhD hiyo??????

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 2 месяца назад +1

    Crown media hapa ni nyumban

  • @yusuphkayuni8188
    @yusuphkayuni8188 2 месяца назад +2

    Boss ana msimamo mkali sana akati tamaa

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 2 месяца назад +4

    lissu twakupenda sana kwakweli

  • @KhalfanJuma-ii4fk
    @KhalfanJuma-ii4fk 2 месяца назад +6

    Ukiwa unaenda kumuhoji lissu jipange na Kama huna maswali ya mhimu na kueleweka usihangaike.

    • @Juma-e8l
      @Juma-e8l 2 месяца назад

      Uhakika anahoj kwa fact lakin kikeke analazimisha kudominate mjadala

    • @EsterNdalu
      @EsterNdalu 2 месяца назад +1

      Kabisaaa

  • @protusmushi7162
    @protusmushi7162 2 месяца назад +12

    Nimekosea ku like.
    Mana ulichoandika ni tofauti na unachohoji.

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py 2 месяца назад +3

    big brain lisu

  • @Manikacha
    @Manikacha 2 месяца назад +1

    Mtu makini sana.

  • @FrenkMushi-i7f
    @FrenkMushi-i7f 2 месяца назад +18

    Onaoji Kwa kumbanaa Sanaa Yani utaki ccm ukosolewee tufauty na ulivyo kuwa na BBC

    • @Zanzibar-e4h
      @Zanzibar-e4h 2 месяца назад +1

      Hakuna muandishi hata mmoja tz ambae anaweza kumbana kiongozi wa upinzan mwenye kutaka haki

    • @gabrielolotu6857
      @gabrielolotu6857 2 месяца назад +3

      Hapana kikeke hayupo upande wowote ukitaka kujua ukwel angalia interview alivyofanya na msigwa ...kosoa ukiwa na data kaml

    • @mohamedhamad2374
      @mohamedhamad2374 2 месяца назад +3

      Kikeke ni khabar nyingine anafanya kazi yake vzuri hana upande angalia mahojiano yake na samia.

    • @EdnaMbowe
      @EdnaMbowe 2 месяца назад

      @@gabrielolotu6857🙌🙌🙌

    • @DennisFandi
      @DennisFandi 2 месяца назад

      Nenda kamohoji ww tukuone

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 2 месяца назад +9

    Naam, namwomba Mungu apite kwa KISHINDO KWELI, KAULI YAKO IWE AMINA!!!

  • @SetephaJery
    @SetephaJery 2 месяца назад +3

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿lissu his my blood president forever🫵💪💪🙏

  • @Hyun626
    @Hyun626 2 месяца назад

    It's so sad, the "journalists" who interview Tundu Lissu don't even listen to his answers; all their attention is directed by the nature of their question to please the government in place. they cut off and jump to the next trick question. Everything is done to show that I am fighting the opposition, shame on you! too sad, bravo for your patience Mr. Lissu

  • @meiruzibwe9145
    @meiruzibwe9145 2 месяца назад +6

    Tundu Lissu ana sifa zote za Urais.
    Tundu Lissu siyo mnafiki na hana uchawa.
    Tundu Lissu ni mzalendo 100%.

    • @WillisonMkumbo
      @WillisonMkumbo 2 месяца назад

      Wewe huyu jamaa hana sifa ya kuwa kiongozi

    • @WillisonMkumbo
      @WillisonMkumbo 2 месяца назад

      Hata ubaLozi hana loote

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 2 месяца назад

      Humjui vizuri

    • @EsterNdalu
      @EsterNdalu 2 месяца назад

      ​@@mohamedhaji2200 wewe ndo unamjua vizuri

  • @ericsway3093
    @ericsway3093 2 месяца назад +1

    King salim kwenye moja na mbili , legend na journalist wangu bora toka nimeaanza kumsikiliza na kumuona kwenye runinga🎉

  • @joshuarose6756
    @joshuarose6756 2 месяца назад +3

    Lissu president

  • @pdwanakaza2411
    @pdwanakaza2411 2 месяца назад +8

    Crown kutuleteaa huyu mtu

  • @Chekibobu
    @Chekibobu 2 месяца назад +1

    Tundu ni Genius

  • @stephenaron1251
    @stephenaron1251 2 месяца назад +3

    big mind mh tundu lissu

  • @EdesAron
    @EdesAron 2 месяца назад +4

    Ninapo kusikiliza sijawahi kujutia mwamba Lissu

  • @titojeremiah1441
    @titojeremiah1441 2 месяца назад +6

    Kikeke nikama anakwepa hoja juu ya mamlaka
    Kam umeliona hilo nipe like😂

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven 2 месяца назад +1

      Kikeke ana kera sana

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 2 месяца назад

      Kikeke anajpendekeza kea serikal anataka apate uteuzi

  • @MONEY_CHANNEL.
    @MONEY_CHANNEL. 2 месяца назад +1

    Majibu ya Kisiasa hayo.
    Hela imeingia Hujapata Text Tena Mheshimiwa Msomi.
    Hapana mpaka uende Bank kuangalia

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 2 месяца назад +1

    Mheshimiwa kwahili mm ccm lakin kula yanguu umepata huna ubaya na yeyote

  • @zakayomasingoti9238
    @zakayomasingoti9238 2 месяца назад

    Jipange kumuhoji mtu mwenye akiri kubwa.Safi sana lisu.

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 2 месяца назад

    Mheshimiwa Rais wa Tanzania....Tundu Lisu..hata kama C.C.M wataiba kura kama ilivyo kawaida yao. Ana hadhi...ya kuiongoza si Tanzania tu peke yake..
    Asanteni sana!

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 2 месяца назад +5

    Vilevile kikeke uelewe lisu ni mtu msomi tofauli nawewe kikeke elimu yako ndogo huwezi Jilinganisha na lisu hivyo nterviwe na lisu inaangaliwa na watu wengi duniani hivyo watu wanakufuatilia natunaona umesha Anza kuyumba vitu ambavyo kikeke jiepushe navyo nikama vifuatavyo udini uchawa chuki hila, unafiki

  • @johnboscomasumbuko1073
    @johnboscomasumbuko1073 2 месяца назад +1

    Khari ni mbaya sana kwasasa

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Месяц назад

    Lisu for president

  • @amidulyuma1833
    @amidulyuma1833 2 месяца назад +1

    Kamanda Lissu

  • @johngerrald4453
    @johngerrald4453 2 месяца назад +3

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania -Tundu 🐜 pus Lissu

  • @Nunshumutwafa
    @Nunshumutwafa 2 месяца назад +9

    Kama una jua lisu moja ni akina mboe 100 nipe Like zangu hapa.

  • @AngelJoseph-charllo
    @AngelJoseph-charllo 2 месяца назад

    I'm looking for extended interview

  • @AmosNhandi
    @AmosNhandi 2 месяца назад +3

    Kikeke mpe nafasi ya kuongea unamaliza Radha bana

  • @HamisiSamweli
    @HamisiSamweli 2 месяца назад +7

    2027 kura yangu chukua

    • @farijala1
      @farijala1 2 месяца назад

      Uchaguzi upi wa Kenya au Tanzania?

  • @Mosmwampa
    @Mosmwampa 2 месяца назад +1

    Kuhusu pesa zilizochangwa na ccm hazina shida hizo chukua tu rais wangu

  • @thomasmwaipaja5158
    @thomasmwaipaja5158 2 месяца назад

    Kikeke umepooza sana kaa kwenye nafasi yako au unaogopa serika

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 месяца назад

      Lazima aogope kwani hajui wasiojulikana wapo

  • @saidi.m.korongo9855
    @saidi.m.korongo9855 2 месяца назад

    Hivi Kuna crown TV kweli?

  • @SeaBreeze-k5p
    @SeaBreeze-k5p Месяц назад

    CCM hawatatoka kwa amani, ever!!!

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 2 месяца назад +1

    Alichosema Mrema siyo kupokea watia nia bali alizungumzia kama tayari chama kimepitisha mgombea naye akasema kuna kufuata katiba na chama kikipokea kitayapitia kwa mujibu wa katiba hiyo

  • @AdilOmary
    @AdilOmary 2 месяца назад

    🌍🌍🌍🌍🌍🌍

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 2 месяца назад

    Lissu kiboko rais 2025

  • @abrahamuisrael6161
    @abrahamuisrael6161 2 месяца назад +1

    uzuri na ubaya wake kura hazipigwi mtandaoni,,,subiri NOVEMBER 2025 Uone CHADEMA watakavokuwa wadogo km paka

  • @emmanuelshimbi4494
    @emmanuelshimbi4494 2 месяца назад

    ✌️✌️✌️✌️

  • @JERRYMWAKABONA
    @JERRYMWAKABONA 2 месяца назад

    CHAMA YUPI BRO😂

  • @mankautv9993
    @mankautv9993 2 месяца назад

    Chadema inaendeshwa kijanjajanja sana, namna hii inatia mashaka kuaminiwa kukabidhiwa Nchi, heri ya nusu shari kuliko Shari kamili

  • @ibrahimunyaruhawa2416
    @ibrahimunyaruhawa2416 2 месяца назад

    2025🔥🔥🔥🔥🙏

  • @SalmaLigeni
    @SalmaLigeni 2 месяца назад

    Mpovizuli sana

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari3057 2 месяца назад

    List akili kubwa sana,Kikeke rudi shuleni,Amejibu vizuri sana kama msomi.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 месяца назад +2

    Heche yuko wapi?

  • @JAMILAJAFAR-jk8iu
    @JAMILAJAFAR-jk8iu 2 месяца назад

    Hakuna lolote mpe urais mutajitia.watanzania uliza libia huo ujingaa😂 from Moçambique

  • @Charlesmajani
    @Charlesmajani 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @richardgeorge5377
    @richardgeorge5377 2 месяца назад

    Hawa wanaiga sana mambo ya Kenya niwahuni tu

  • @thadeipeter2592
    @thadeipeter2592 2 месяца назад

    😂😂 nimefurah milion 5 za CCM

  • @nickchengula9983
    @nickchengula9983 2 месяца назад

    • @humphreychristopher8577
      @humphreychristopher8577 2 месяца назад

      Kwa mara ya kwanza nayasikia maswali ya ovyo ya Kikeke akilazimisha majibu

  • @chamlilemhando7478
    @chamlilemhando7478 Месяц назад

    Chadema kinahitaji mwenyekiti mwingine,mbowe aachia ngazi uendelee kulinda heshima yako unako elekea unakiiuwa chama ,chama kimekosa mvuto Kwa sababu yako ,watu wapo chadema Kwa sababu ya tundu lissu akiondoka chadema kinakufa kama CUF na NSSR MAGEUZI

  • @alphaexaud5279
    @alphaexaud5279 2 месяца назад +1

    Radio ya mtanga anafanya kazi mtanga! Uliza swali subiri jawabu

  • @petromahona6809
    @petromahona6809 2 месяца назад

    Haiwezekani mtu anaongea bila kuoneshwa, kwa walemavu wa masikio mnatunyima haki yetu😮

  • @Ibrahim-p7b2y
    @Ibrahim-p7b2y 2 месяца назад

    Mwakahuu wa Tanzania tunahitaji mabadiliko lisu jiandae kiti nichako ccm hawana nafasi tena tanganyika

  • @abasiachimika541
    @abasiachimika541 2 месяца назад +1

    Hakuna kma lisu

  • @mussamussa9446
    @mussamussa9446 2 месяца назад

    Wenye D 2 tumemuelewa mzee Lissu

  • @yudakavugushi
    @yudakavugushi Месяц назад

    Kwani Lowasa alipatikana muda gani. Mbona hata mwezi haukupita?

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 2 месяца назад

    An niende nkakupgie kura wwe nna kichaa??

  • @ahnafaykhan698
    @ahnafaykhan698 2 месяца назад

    anavaa shanga mikononi then anahitaji urais

    • @ZeProDJay
      @ZeProDJay 2 месяца назад

      Wapi wamesema ni kosa kuvaa bracelet mkononi? Au hizo ni shanga kwako? Duuh

  • @deohank5995
    @deohank5995 2 месяца назад

    usomi sometimes ni wendawazimu

  • @obedkiswaga2790
    @obedkiswaga2790 2 месяца назад

    Hivi kweli makamu Mwenyekiti wa chama hajui signatories wa chama

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 месяца назад

      Nami natia shaka katika hilo .......

  • @issasabuni7632
    @issasabuni7632 2 месяца назад

    Kikeke uliingilia sana kumzuia Lisu asijieleze vizuri. Why?

  • @lordymawoiya5818
    @lordymawoiya5818 2 месяца назад

    Tundu na Mzingwu kuna kitu wanapika

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 2 месяца назад +1

    Tatizo usikute hapa hamna mpiga kuraa

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 2 месяца назад

    Mm sina chama ila ili jembe Nashukuru kuzaliwa Tanzania ningetaman viongozi waache uchama watengeneze nchi kwa pamoja japo kikeke unamuhoji kama Afande bhana unampa maswali magumu

  • @allymohamedclaud7626
    @allymohamedclaud7626 2 месяца назад

    Salimu unamchanganya mzungumzaji. Wewe uliongea na Mrema kabla Lisu hajapeleka barua zake

  • @VictorMgodomi-xj1ey
    @VictorMgodomi-xj1ey 2 месяца назад

    Kikeke fala sana kama ulikuwa unagopa usingemuita lisu naona umekuwa kama muandishi wa vi chanel vidogo

  • @Ba63828
    @Ba63828 2 месяца назад

    Vibaraka hao

  • @lgf7297
    @lgf7297 2 месяца назад

    Kumbe hakuna kitu ni yale yale ya alinasha anaenda mahakamani kushinda serkali za mitaa

  • @raphmak1201
    @raphmak1201 2 месяца назад

    Bila tume huru ya uchaguzi na katiba mpya, ushindi wa urais kwa wapinzani ni ndoto!!!!! Huo ndio ukweli!!!

  • @kianda973
    @kianda973 2 месяца назад +3

    Mwandishi uhodari umeishia wapi? Sioni kama ile ya majuu!!??

  • @BarakaMugisha-g2m
    @BarakaMugisha-g2m 2 месяца назад

    Kule huwa wana shinda kwa magoli ya mkono😁

  • @MirajiFeruzi-j4c
    @MirajiFeruzi-j4c 2 месяца назад

    Ukifatilia siasa umekwisha..

  • @Ba63828
    @Ba63828 2 месяца назад

    Absurd politician