PETER MADELEKA AKIWASHA SAKATA LA KUTEKWA KWA SATIVA, AFUNGUKA MAZITO, ATAKA SULUHU YA UTEKWAJI WATU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 25

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 месяца назад +3

    Madeleka one of the vary brave lndipendet privet advocate who knows vary clear tanzania constuetion in and out even lntanationol system challenge on Africa constuetion wise now after lessening vary clear you pin point l understand vary clear your pin point madeleka umeongea point sana km mwanasheria anaye kutambua ktk nchi yetu ukiwa na mueshimiwa mwabukusi baba lao

  • @jesuinababili2280
    @jesuinababili2280 3 месяца назад +4

    Kheri tumbo lililokuzaa🤝🏽

  • @MussaNondo-t6n
    @MussaNondo-t6n 3 месяца назад +3

    Kweli kabisa wakili msomi Peter Madeleka ❤

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 3 месяца назад +2

    Mumgu akubariki Madeleka

  • @RichardTinda
    @RichardTinda 3 месяца назад +4

    Ikiwa hivyo ndivyo tunasubiri nini?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 месяца назад

    Aaaaaaaaa imezidi sana huu utekaji mateso kama haya sasa hivi imezidi

  • @teddypetersimengwa6705
    @teddypetersimengwa6705 9 дней назад

    Naomba namba zenu Wana space na ya madeleka, Mungu awatunze sana.

  • @MonayLai
    @MonayLai 3 месяца назад +2

    Wakili umesema kweli sasa hatua zianze sana isiishie tu mjadala wa hapa

  • @SwaleheKudisa
    @SwaleheKudisa 3 месяца назад

    Kaka mkubwa nakuelewa vizuri mungu akujaalie UMRI na afya

  • @bilalisaidi3605
    @bilalisaidi3605 3 месяца назад

    Good!!

  • @bibletv9818
    @bibletv9818 3 месяца назад +1

    Dada Maria naomba namba ya Madereka tafadhali

  • @hassanrwitita2503
    @hassanrwitita2503 3 месяца назад +1

    Ha!! kumbeee!!!!

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 месяца назад

    Utekaji huu kiboko Mungu tusaidie nchi iwe na amani Tanzania

  • @AloisMosha-uv2fu
    @AloisMosha-uv2fu Месяц назад

    Naomba yako madeleka

  • @NicodemBarantanda-ud7qy
    @NicodemBarantanda-ud7qy 3 месяца назад

    Usiseme tumwombee Madeleka uwe na uhakika umeshaanza Mungu hataki watu Mungu anataka mtu mmoja achukuaye hatua ili Bwana wa Majeshi Mungu aliye hai afanye .Lakini pia MUNGU wa haki Yuko kazini unaweza ukaona japo Rohoni wanaohisi wanayo mamlaka leo watajikuta hawanayo Tena na kujuta kwa Nini walifanya tunayoyaona kwa rekodi ndeefu yakijirudiarudia.

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 3 месяца назад +1

    Mungu mpe nguvu huyu mtu mkombozi. Wetu watanzani wachungaji maasikofu mashehe tumwombee huyu mtu tuweke siku yake yamaombezi. Asante nitajielimisha kwa faida ya taifa langu ndiye maderka elimu yake inasaidia taifa lote.

  • @frankkaronge1609
    @frankkaronge1609 Месяц назад

    Sasa suala la utekaji linazidi kuongezeka. Tuchukue hatua tumuunge mkono wakili msoni Madaleka ili kina Soka na wengine waliotekwa na kupotezwa wapatikane na wanaoendeleza unyama huo wafikishwe mbele ya sheria.

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 3 месяца назад

    Naomba namba ya Madeleka au nijuwe tuu ofisi zao ninashida ya kisheria

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 3 месяца назад

    Weken no ya malipo na utaratibu tuchangie tumechoka na watu kupotea leo kwangu kesho kwako. n muda cc mwenyewe kujikomboa.

  • @frankkaronge1609
    @frankkaronge1609 Месяц назад

    Sasa lutekaji la Soka limeongezeka. Tumuunge mkono wakili msomi ili tuchukue hatua.

  • @JuliasMwita-c2l
    @JuliasMwita-c2l 3 месяца назад

    Tunaomba akina madeleka wawe wengi ili hii inchi iamke.

  • @BozaDizamile-u1d
    @BozaDizamile-u1d 3 месяца назад

    Km Ccm Wanatuteka Kwa Nn Sisi Tusiwateke C Tunaishi Nao?

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 3 месяца назад

    Madereka yuko sahihi,tuache kulalamika hatua zichukuliwe

  • @eunho9529
    @eunho9529 3 месяца назад

    ni kweli serikali inahusika kwa yote.