MBOWE AFUNGUKA MAZITO SAKATA LA UTEKAJI wa "SATIVA", AMTAJA HAYATI MAGUFULI LIVE,.......

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 июн 2024

Комментарии • 31

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 8 дней назад +5

    Nyinyi kama hamtamuacha Magufuri mtapiga kelele sana hamtashinda uchaguzi. Kumsema Magufuri kunawafurahisha baadhi ya chadema tatizo lenu hamfanyi tafiti Magufuri bado anakubalika sana na ana wapiga kura wengi kupita CCM na chadema.

    • @nelsonnyamle
      @nelsonnyamle 7 дней назад

      IPO SIKU ATATEKWA MWANAO NDIPO UTAJUA VIZURI JUU YA MANENO YAKO YA KUKEJELI WATU

    • @PhilipoMwita-wc1ku
      @PhilipoMwita-wc1ku 7 дней назад

      KWAVILE sio wewe uliotekwa Wala aliotekwa sio ndugu Yako ...endelea

  • @husseinc
    @husseinc 7 дней назад +3

    r.i.p shujaa dr jonh pombe magufuli

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 8 дней назад +2

    Haki iko wapi Tanzania,?tnajifichaa kwenye kivuli cha Tanzania nchi Ya Amani,pole sna Mwanaharakati Sativah

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 8 дней назад +2

    Wakati wa magufuli haikuwa hivi hii ni enzi ya ulimboka

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 8 дней назад +3

    We mzee koma kumtaja taja magufur tena koma

    • @andrewkissava9184
      @andrewkissava9184 4 дня назад

      Kwanini asitajwe magufuli na wakati magufuli ndo mwasisi wa utekaji?

  • @SaimonMrema
    @SaimonMrema 6 дней назад +1

    Udhalim,utekaji unyangaji nauonevu nizao laserikali dhalim

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 8 дней назад +3

    Unaongea kama ulikwepo na unaushidi halafu jina la Magufuli ulikome kabisa wacha makufuli alale kwa amani kama nye hamana sera kazi yenu ni kutoa tarifa kama alvyosema komando Makonda 🤣🤣

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 7 дней назад

    Mbowe namuheshimu sana ila hapa pakuwa anamtaja MAGUFULI ndio huwa wanafeli ,aachane na JPM kbs yule alikuwa ni kiongozi Bora kuwahi kutoka hpa Tz.

  • @jumaahagu4764
    @jumaahagu4764 7 дней назад

    Ila kila anayehusika na unyama huu kuteka kutesa kuua hasa kwa mtu anayetetea haki bula kujali dini yake au hana dini ajue naye mungu anamsubir kwa msimpeleke vyombo vya sheria

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 7 дней назад +2

    We KENGEZA KOMA TENA KOMA KABISAAA MTETEA TUMBO SHENZI ZAKO

    • @georgesteven5185
      @georgesteven5185 День назад

      Kwakuwa anae ongelewa siyo mama yako Wala baba yako Wala dada yako ndomaana unaongea ushubwada wako

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 2 дня назад

    Inauma sana

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 4 дня назад

    Ninyi mnaye msema vibaya mbowe akiri zenu hazipo vizuri kama mbowe anasema juu ya suala la utekaji halafu ninyi mnaona sawa basi ninyi ni mAchawa ya mama kilemba

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 4 дня назад

    Police osterbay kuna cctv tunaomba uchunguzi ✌️

  • @husseinc
    @husseinc 7 дней назад +1

    kijana wanafunzi wa chuo aleyekuwa chama cha zitto kabwe abdul nondo alijidai katekwa na kwenda mafichoni mkoani

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 8 дней назад +4

    Magufuli hakuwahi kumfanya hivi mtu hata siku moja na hutapata kula hata kidogo kumsema magu

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 2 дня назад

    Wakuu tuambieni bado ni mwenda zaka au tumtazamie mwingine ?

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 7 дней назад

    Kamanda tuko pamoja

  • @user-oz4gz8kq9e
    @user-oz4gz8kq9e 8 дней назад

    Wewe paka ulitaka watu wasiseme kwaajili ya matukio yasemee yapi?

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 7 дней назад

    MUNGU WANGU SHUGHULIKA NA WALIOTENDA UBAYA HUU

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 8 дней назад

    Ila watu 😢😢

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu3036 8 дней назад

    HAKI HUINUA TAIFA

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 8 дней назад

    Kunaaja ya kulinda

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 7 дней назад

    Yaani moja ya chama ambacho kimepoteza dira ni Chadema yaani badala ya kubanana na mambo ya sasa mko busy na mtu ambae kashafariki. Huo ujinga kweli kweli 😂😂😂

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 8 дней назад

    Awa awana mpya kutekwa kulinzia tanzania wana sela ngaja wanasumbili matukio mbando la pina

    • @user-lt1nr4tk9r
      @user-lt1nr4tk9r 8 дней назад

      Acha upimbi wewe

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 8 дней назад

      Tanzania ni nchi nzuri sana, ukisikia hayo unaogopa sana. Mambo yote chini ya jua ni ubatili tu. Mahakama zipo kwa nini wasikamate mtu akashitakiwa?.