SINTOFAHAMU NYUMBANI KWA SATIVA ALIYETOWEKA RAFIKI YAKE ASIMULIA A TO Z "SIMU ZAKE HAZIKUITA TENA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 июн 2024

Комментарии • 146

  • @pceodhc
    @pceodhc 2 дня назад +18

    Mungu Aliye hai amlinde na kumrudisha salama kwa familia yake Katika jina la Yesu! Amen!

  • @martinamahenge4476
    @martinamahenge4476 2 дня назад +15

    Huyu ndio rafiki wa kweli ❤😊

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu 3 дня назад +5

    Huyu sativa yupo peace sana❤ na watu nmuonea huruma mam yake😢

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 3 дня назад +29

    Huyu kk ni rafiki wa kwer❤❤

    • @Star_one-975
      @Star_one-975 3 дня назад

      Sana

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 дня назад +6

      usiseme hvo😢, binadamu tunasiri sana yan sana, na usiamuamini kila mtu

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 2 дня назад

      ​@@nancyg8664kabisa kabisa

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 2 дня назад +1

      Unaweza kukuta nae anahusika usiusemee moyo wa binadam😅

    • @BROTHER-FOR-BROTHERS
      @BROTHER-FOR-BROTHERS 2 дня назад

      Hujui kitu kumanyoko , ​@@joycekalago532

  • @TiktokTech6
    @TiktokTech6 3 дня назад +4

    Asante sana Millard kwa kutuongezea nguvu

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x 2 дня назад +6

    watu wanatekwa na kuuliwa sijui shida ni nini 😢😢😢 binadam hawana huruma

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 3 дня назад +22

    Huu mtindo umerudi sikuizi watu hatupo salama hata kidogo nchini kwetu km Gaza tu

  • @emmanuelmwasyoge2053
    @emmanuelmwasyoge2053 2 дня назад +2

    Mwenyewezi Mungu amlinde ,arudi akiwa mzima kabisa

  • @HassaniMohamedi-lk7ow
    @HassaniMohamedi-lk7ow 2 дня назад +8

    UMOJA NI NGUVU KIJANA APATIKANE
    KIJANA ASIYEKUWA NA SHIDA NA MTU🙏

  • @user-vz6kk8id2f
    @user-vz6kk8id2f 2 дня назад +3

    Daaah huyu ndorafiki wa kweli

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 2 дня назад +5

    sisi wenye dii mbili tushaelew ila mh

  • @user-it7qs3nh4o
    @user-it7qs3nh4o День назад

    Dah J polen sana mwanangu

  • @dafrosamonko8254
    @dafrosamonko8254 3 дня назад +2

    Big up mtangazaji unahoji maswali muhimu

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations 2 дня назад +27

    Inaumiza sana kiukwel, na mimi nimempoteza ndg yangu hapo hapo dar Mbezi Beach, tokea tarehe 31 ya mwezi wa 3, na had leo hatujafanikiwa kumpata, inaumiza sana kiukweli hili swala. Mungu abarik aonekane na tuwapate ndg zetu wote waliopotea.

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 2 дня назад +2

      Subuhanallah. Pole mtihani sijuiwanawapelekagawapi.

    • @KitangariGenerations
      @KitangariGenerations 2 дня назад +2

      @@HanifaOman-oo4pl yani kupoteza mtu kwenye familia ndio mwanzo wa kuyumba kiuchumi ki familia mzima, maana had sasahivi mambo yalivyo kwenye familia yetu yamekuwa magumu sana kiukwel.

    • @user-fi2bu5pk9l
      @user-fi2bu5pk9l 2 дня назад

      L

    • @user-fi2bu5pk9l
      @user-fi2bu5pk9l 2 дня назад

      ​l@@KitangariGenerations

    • @user-fi2bu5pk9l
      @user-fi2bu5pk9l 2 дня назад

      ​😊 4:00

  • @shabanisalumu4366
    @shabanisalumu4366 2 дня назад

    #WhereIsSativa mungu amlinde huko alipo 🙏🙏

  • @japhetluhende4901
    @japhetluhende4901 3 дня назад +3

    hatupo salama wakuu😢

  • @Cryptocurrency_bitcon_Pi_Coin
    @Cryptocurrency_bitcon_Pi_Coin День назад +1

    Oy wazee mm nina shida na uyoo jamaa anae hojiwa hapo Taivana mc ... Anajulikana vipi kwa social medias

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 дня назад

    Subuhanallah. Mtihani

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 3 дня назад +5

    Jamani ameenda wp kijana wa watu dah mungu mpe uzima mlinde na maadui mana kupotea kwa vijana imekua kawaida 😢

  • @user-hf1wo3zd2m
    @user-hf1wo3zd2m 2 дня назад +2

    Kikubwa amepatika

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku День назад

    Yani inaumiza sana

  • @YakoboDaudi-hp2mt
    @YakoboDaudi-hp2mt 2 дня назад +1

    Miradiayo, nami Nina taarifa hapa naomba mnisaidie kunipazia sauti! Nimetafuta namba zenu nikazikosa, Niko mwanza!

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 3 дня назад +4

    Wasiojulikana hao ndio mtindo wä siku hizi.

  • @Star_one-975
    @Star_one-975 3 дня назад +2

    Tusaidieni mwanetu apatikane🙏

  • @RichWise671
    @RichWise671 2 дня назад +2

    Kapatikana katavi yu Hoi 🙌🙌🙌

    • @evasilaa9064
      @evasilaa9064 2 дня назад

      Kama ni kweli tunamshukuru Mungu

    • @user-vz5ti5ot8u
      @user-vz5ti5ot8u 2 дня назад

      Kweliii kpatkana Mung n mwema😢​@@evasilaa9064

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 2 дня назад +2

    Au Kuna MTU alipigwa mamillion kwenye betting,,,, akasema sikubari

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 3 дня назад +1

    Dah mtihani

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 2 дня назад +4

    jmn tutaogopa kuwa maarufu

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations 2 дня назад +3

    Kuna video imewekwa kwenye akaunt ya samsago inaonyesha kaonekana huyo SATIVA, kaonekana Katavi, ila amepigwa sana, wanaemfaham kwa sana watembelee akaunt ya samsago.

    • @omanmobile5746
      @omanmobile5746 День назад

      Ndio kapatikana ila kapigwa vibaya mno sijuk ata aliwakosea nini mpaka wakamteka jmn😢😢😢😢

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 День назад

    Nchi hii daah😢 mambo haya yana rudi sasa 😢

  • @davicekombe4932
    @davicekombe4932 2 дня назад +1

    Dah hadi chozi limenitoka 🥺

  • @jaymotz7523
    @jaymotz7523 2 дня назад +3

    Taivina ni rafiki haswaaa

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 2 дня назад +1

    Kwaiyo Mama nae ameamua atuteke sio.. 🙄🙄

  • @mahambamujengwa8059
    @mahambamujengwa8059 2 дня назад

    Get well soon broh

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 дня назад +3

    Ukisoma ripoti za haki za binadam kuhusu Tz mmmh sio sehem salama saaana , tena kuna balozi wameanisha maenezo ambayo ni hatari kuishi au kutembelea nyakati za usiku na maeneo ya mbezi , kimara wamejaa watu wa kaskazini kuna matukio ya ujambazi saaana

    • @farajaMezza-qn4be
      @farajaMezza-qn4be 2 дня назад

      Kwamba watu wa kaskazini ndo wanaongoza kwa ujambazi😅😅

    • @julianmsele3880
      @julianmsele3880 2 дня назад

      sisi wa kaskazini ni wastaarabu sana labd utuchokoze

  • @alfredsaliga1554
    @alfredsaliga1554 2 дня назад

    Au kaenda kenya kwenye maandamano

  • @motiruhega
    @motiruhega 2 дня назад +1

    Tunamshukuru Mungu Amepatkana salama ila amepigwa vbaya sana 😢😢
    Sa iv dar imebadilika imekua ya kutekana kuuwana Kila sku inahuzunisha sana

    • @user-yc1rr7ry9u
      @user-yc1rr7ry9u 2 дня назад

      Ya kweli

    • @christaoman8890
      @christaoman8890 2 дня назад

      Nikweli kapatikana au unatufariji.bas ashukuriwe Mungu

    • @christaoman8890
      @christaoman8890 2 дня назад

      ​@@user-yc1rr7ry9u Hakuna uhakika

    • @user-vz6kk8id2f
      @user-vz6kk8id2f 2 дня назад

      Kweli kapatikana huko Katavi

    • @zeddysamo1276
      @zeddysamo1276 2 дня назад

      ​@@user-vz6kk8id2faisee kutoka dar mpk katavi M.MUNGU amfanyie wepesi amnusulu hilo na lingine tena.

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 2 дня назад

    Taivina,sativa na sadati,,,hizi AKA kulikoni

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 2 дня назад +12

    sorry, mtangazaji usikunje sana sura jmn kah unakua kama imelda wa global bhn😢

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 19 часов назад

    Tanzania na watu wasiojulikana nchi ya mama Samia kwanini Hilo?

  • @pumpandnozeltec3019
    @pumpandnozeltec3019 2 дня назад

    MAMBO YA MATUSI AYO SIO MAZULI JAMANI😂

  • @wahidamohammed7294
    @wahidamohammed7294 2 дня назад

    Hivi hi sehemu anayoishi usiku anarudi vipi?mmmh

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 3 дня назад +8

    Alikuwa anajihusisha na siasa za upinzani Kwanza?

    • @herotv3609
      @herotv3609 3 дня назад +2

      Kubet

    • @praisesteven7774
      @praisesteven7774 3 дня назад

      uyu itakua mambo ya siasaaa maan nackia alikua maaarufuu twitter 🌚🌚🌚

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 2 дня назад +1

      Mzee wa kubet huyo muuza Mikeka ya mtandaoni," wanashirikiana na makampuni ya Betting kushawishi watu wajiingize kwenye Betting kwa mikeka Yao ya kueditt'

    • @h169_Jo
      @h169_Jo 2 дня назад

      ​@@jumaamohamed2815mikeka ya ku edit wewe Kuma Kama hujui kitu Kaa kimya mwana tu napiga nae kazi ya betting mimi ni zaidi ya miezi 6 now na tume tengeneza pesa nyingi kupitia betting zake tuna nunua mikeka kwake na ku bet mikeka anayo post mwana anajua kisenge KUNA WEWE🚮

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 2 дня назад

      ​@@herotv3609biashara za kishetani hizo ndo zinapelekea kudhulumiana mwisho zinaishia hivyo!

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 дня назад +1

    Nyumban huku Masikini nime misss home 😢

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 2 дня назад

      Mpuuzi kweri wew si uwende yani sis tunahuzuni alafu wew unatuambia umemis kwenu kwenu kwenyew Kuna upotevu wa watu alafu unatulingia

    • @faudhiasalum7279
      @faudhiasalum7279 2 дня назад

      @@user-sv6zy3hc8o Ahsante sana my dear friend Ubarikiwe ❤️

    • @Rehemamakuka
      @Rehemamakuka 2 дня назад

      ​@@user-sv6zy3hc8oKunywa maji makubwa nakuja kulipa mana umenifurahisha

  • @lelaiddy6856
    @lelaiddy6856 2 дня назад

    Kina partnership haoo

  • @alivinydeusdedit4958
    @alivinydeusdedit4958 3 дня назад

    WHERE SATIVA

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 2 дня назад

    Kumbe hii ya kupotea watu kwenda wasikojulikana bdo ipo??duh!!!!!!!nikajua maguful alikufa nayo

  • @emmanuelleonando361
    @emmanuelleonando361 3 дня назад

    Pray 4 SATIVA

  • @CalvinCosta-rq6ql
    @CalvinCosta-rq6ql 2 дня назад

    Dogo amepatikana leo ila kaumia

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 2 дня назад

    Uenda amegogwa na Gari jamani Mara nyingine inatokeq mtu kagigwa vibaya mpaka ajulikani Mungu

  • @msabatozeson9023
    @msabatozeson9023 2 дня назад

    TAIVINA I SEE U

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 2 дня назад +1

    Dar napaogopa sana, na ndio nahamishiwa huko kikazi. Da!

    • @AlfaEnock-st9md
      @AlfaEnock-st9md 2 дня назад

      Pole ukifika nitafute nitakuwekea ulizi pia mwenye wako

    • @nancyenock5601
      @nancyenock5601 4 часа назад

      Ukifika unitafute nikufunze mapambano lmenikuta swala mwaka juz ilikuwa hatari

  • @bintalmasi2393
    @bintalmasi2393 2 дня назад

    Ni hiyo post ya mwisho

  • @yassinmrishoyassinmrisho6573
    @yassinmrishoyassinmrisho6573 2 дня назад +1

    Jamaa kapitikana ila wamempiga sana 😢

  • @MohammedMwinjuma
    @MohammedMwinjuma 2 дня назад

    Mmmhh

  • @apollojarden867
    @apollojarden867 3 дня назад +2

    #free sativa

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 дня назад

      free "angekua lock up ya police kweli"

  • @collinsstanley6126
    @collinsstanley6126 2 дня назад +1

    Kama Gaza

  • @user-vz6kk8id2f
    @user-vz6kk8id2f 2 дня назад +3

    Amepatikana kapigwa sana Mungu amsaudie apone😢

    • @tumpeernest9690
      @tumpeernest9690 2 дня назад

      Wee kweli?

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 2 дня назад +1

      Kapatikana wapi jamani. Sababu ya kupigwa je. Mungu msaidie jamani kaka wa watu

    • @fraitmgala5966
      @fraitmgala5966 2 дня назад

      ​@@HappyMwaigwisyaamepatikana hifadhi ya katavi national park

    • @immaculatepeter3229
      @immaculatepeter3229 2 дня назад +1

      Amepotea dar es salaam kapatikana kativi mkoa wa rukwa huko ameumizwa vibaya

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 День назад

      ​@@fraitmgala5966Mungu wangu😢

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 2 дня назад

    Post yake ya mwisho imemponza

  • @husseinlatifa1443
    @husseinlatifa1443 2 дня назад

    Kwanini mtangazaji anamuhoji mtu uku anaangalia pembeni? Naona ni kama dharau hivi!

    • @andrewkilave3532
      @andrewkilave3532 2 дня назад

      Siyo dharau bwana wengi wao huwa wanaogopa camera 📸 kukaa mbele ya camera sio mchezo

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y 2 дня назад

    Jeshi la polisi na vyombo vyote vya usalama linajificha hamnazo kila siku watu wanapotea tu

  • @messiasulleydidy2585
    @messiasulleydidy2585 3 дня назад +6

    Sativa au Santiva?

  • @georgebrown7391
    @georgebrown7391 2 дня назад +1

    Two years back nilikuwa nafanya nae mazoezi mkwajuni
    But Leo hii inauma sana kusikia tarifaa hii😢
    Allah amfanyie uwepesi

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 2 дня назад

    Huyo rafiki pia si wa kumuamini wambane tu siri itajulikana. Siku hizi hakuna ndugu wala rafiki wa ukweli ni tamaa kwenda mbele!

    • @user-hq5fg1zj5n
      @user-hq5fg1zj5n 2 дня назад

      It's okay ila usipende sana kuwa in negative thoughts most time,basi utakuwa huna mtu karibu maisha yako yote ama hutakuwa na mtu wa kushirikiana nae..it's okay urafiki umekuwa mtihani ila haimaanishi kuwa ndio hutakuwa na mtu wa karibu wa kushirikiana nae ktk mambo madogo madogo

    • @Rehemamakuka
      @Rehemamakuka 2 дня назад

      Huoni Kuna watu wamefia ndani kwa miaka miwili kwa kukosa kuwa karibu na watu mpaka miaka miwili watu ndo wanajua kafia ndani toa hoja zako za upuuzi

  • @AloyceTz762
    @AloyceTz762 2 дня назад

    𝗠𝗶𝗺𝗶 𝗽𝗶𝗮 𝗻𝗶𝗺𝗲𝗺𝗽𝗼𝘁𝗲𝘇𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗬𝗮𝗻𝗴𝘂 𝘆𝗮𝗮𝗻 𝗔𝗺𝗲𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗮𝗻𝗮𝗲𝗹𝗲𝗸𝗲𝗮 𝗸𝗮𝘇𝗶𝗻𝗶 𝗔𝗺𝗲𝗮𝗴𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗸𝗲 𝘄𝗮𝗸𝗲 𝘃𝗶𝘇𝘂𝗿𝗶 𝗷𝗶𝗼𝗻 𝗠𝗱𝗮 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗸𝗮𝘇𝗶𝗻𝗶 𝗝𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗵𝗮𝗸𝘂𝗼𝗻𝗲𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗠𝗮𝘇𝗶𝗺𝗮 𝗮𝗱𝗶 𝗟𝗲𝗼 𝗺𝗶𝗮𝗸𝗮 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗶𝗻𝗻𝗲

  • @mambas264
    @mambas264 3 дня назад +6