MAZINGE AFUNGUKA KWA NINI MABALAA YALIWAKUTA MAHAKIMU MAPOLISI WOTE WALIOMFUNGULIA KESSY MIAKA HIYOO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июл 2024
  • Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

Комментарии • 47

  • @kassimjuma6151
    @kassimjuma6151 16 дней назад +11

    Moja kati ya masheikh wanao lingania Dini ya Allah ambae na mpenda kwa moyo wangu wa dhati juu ya hili basi ni sheikh Mazinge Allah amuhifadhi

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 14 дней назад +2

    Mashallah Mazinge kofia mzuri akonaroho safi Allah akueke akufungulie yakheri na baraka Inshallah na nyote mulokuwa pamoja twa mpenda kwa Ajli ya Allah

  • @user-vi8sz5zo4d
    @user-vi8sz5zo4d 16 дней назад +2

    Nakupenda sheikh Mazinge kwa ajili ya Allah. Nakusukiliza from Cairo Egypt. Nakuombeya Allah muweza akubali dua yako na uende kuhiji.

  • @AliJuma-go4rc
    @AliJuma-go4rc 16 дней назад +2

    Allah akupe umri mrefu Sheikh Habib Mazinge ❤❤❤❤

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 14 дней назад +1

    Sheikh Mazinge yupo vizuri sana kwa kazi ya dini

  • @MamaP-ro2xw
    @MamaP-ro2xw 16 дней назад

    Assalaam aleikum mashekhe wetu ma shaa Allah mungu awastiri awajaalie jannatul firdaus ,sheikh mazinge njoo mombasa uwanja wa tononoka uwafunze hawa ndugi zetu kwa adam njia ha yaki na ya kweli mbele ya Allah shukran

  • @planetanimals9547
    @planetanimals9547 15 дней назад

    Mashallah sheikh mazinge Allah akupe umri mrefu na afya njema

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo 9 дней назад

    Babu Babu nakupenda kwajili ya mungu

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo 9 дней назад

    Babu Babu bwana

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo 9 дней назад

    Yahata mpe 2)13 Tito daa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @allyway999
    @allyway999 15 дней назад

    Mazinge Allah amekupa IQ kubwa mno Allah akupe kila lakher wallahi

  • @zingzong3928
    @zingzong3928 12 дней назад

    Maashallaah maashallaah

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y 16 дней назад +1

    Kaka mazinge ukianzisha account ya mchango wako wa kwenda hija mimi wakwanza kukuchangia takacho jaaliwa ili mradi tu nipate dua zako.

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y 13 дней назад

    MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @zaharanituwano6615
    @zaharanituwano6615 14 дней назад

    Namlingania shekh Mazinge aachie ndevu asizinyoe ndivyo 2me amrishwa na Mtume we2 s.a.w. nakuvuga ndevu ni (Wajibu)lazima nime shafikisha nanyi mkishieni..

  • @user-np1bf6me4u
    @user-np1bf6me4u 16 дней назад +1

    Saimu masuali yako nimependa sana ila huyo ust mazinge akitumiwa pesa kidogo anaidharau mimi na mpenda na fatilia sana mapambano yake napenda ila hakuna alokosa kasoro

  • @kerosenealimasi8019
    @kerosenealimasi8019 11 дней назад

    Safi

  • @Hgd-jk6lh
    @Hgd-jk6lh 9 дней назад

    Professor hiyo kilemba au kofia😂😂😂😂mungu awape umri mrefu

  • @jafarimtimkuu
    @jafarimtimkuu 15 дней назад

    Amaashaallah

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 14 дней назад

    Mashaallah

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 16 дней назад

    Waislamu, tukumbushane kuwa tunapo zungumza mguso wa maswala ya DINI hapatakiwi mzaha. Rejeleeni aya ndani ya kitabu kitukufu Qur'an na maelekezo ya Mtume Muhammad s.a.w. huto ona penye ucheshi. Mazinge na Gwao. Maswala yanayo husu DINI hapatakiwi mzaha. Simulizi zote tulizo achiwa na Mtume, hakuna za kuchekesha the same kwenye Qur'an. Amesema Mtume kuwa. hakika mini Muhammad ni mfano wa Qur'an na matendo yangu, ukifuata matendo yangu utakuwa umeifuata Qur:an na ukiifuata Qur'an utatenda ninavyo tenda mimi. Muda umekaribia hebu angalieni ile nyota inayo andamisha mwezi je ipo?

  • @BuruhaniAdamWawa
    @BuruhaniAdamWawa 16 дней назад

    Professor DD, Tupo Maidha

  • @franciscomtambakuluca2830
    @franciscomtambakuluca2830 13 дней назад

    Ndacha bado yupo tz

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z 16 дней назад

    Mazinge

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 16 дней назад

    🤣🤣🤣🤣🤣 masha'allah sheikh wetu mpendwa

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 16 дней назад

    😂😂shekhe mazinge hiyo baraka shee au soksi ya kuchujia chai😂😂😂😂😂

  • @mirzah117
    @mirzah117 15 дней назад

    Kwenye uchawa ndio mnaharibu

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 15 дней назад +1

    Ww waambiea umekwenda hijjah lakn unamuhoji mazinge kifitna mambo ya Pete yahusu Nini ni hyo mada mnayoiongelea?mbona cc waislamu Bdo tuko nyuma?kw stayle hii hatufiki na hatutofika,mnapandikiza chuki wa wahadhiri na masheikh na waumini acheni hii tabia uislam usogee hta kidogo

  • @Chemba67
    @Chemba67 15 дней назад

    GWAO, MAZINGE HAITAJI KUANGALIA CAMERA KWAKUA MAZINGE NI MMOJA TU AFRIKA NA SAUTI YAKE INATOA TASWIRA YAKE HALISI NA INATOSHA.

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 16 дней назад

    Bendera chuma mlingoti chuma . Ccm

  • @sautikuu212
    @sautikuu212 16 дней назад

    Sheikh mazinge analeta mambo ya uchawa

    • @user-np1bf6me4u
      @user-np1bf6me4u 16 дней назад

      Hana mambo hayo kabisa huyo labda humjui vizuri huyo ukimpenda atakupenda naukimuudhi anakurarua bila chenga

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 16 дней назад

      @@user-np1bf6me4u acha kutetea ujinga, sasa hivyo anavyofanya kuna tofauti gani na mwijaku anayewasifia watu ili anufaike?

    • @SaleheAmiry-mx1yn
      @SaleheAmiry-mx1yn 16 дней назад

      Acha maneno machafu wewe

    • @HajiMasmenti
      @HajiMasmenti 15 дней назад

      We ndo chawa bwege ww

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 15 дней назад

      @@HajiMasmenti mapenzi yenu yasiyotumia akili kwa sheikh Mazinge yanawafanya muwe vipofu msiione hata haki, mtu anakosea lakini hamuoni. Hatari sana hii

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 16 дней назад

    hata salam hajui, ....wabarakatihi. endelea kujifunza

    • @user-mf2ll7nz5g
      @user-mf2ll7nz5g 16 дней назад

      Salamu gani we hasidi

    • @nailaomar4810
      @nailaomar4810 16 дней назад

      Subahna Allah binadamu mungu atuhidi

    • @user-np1bf6me4u
      @user-np1bf6me4u 16 дней назад

      Huyo profesa eti hajui Salam wewe unamapungufu sibure

    • @sadathboutique6253
      @sadathboutique6253 15 дней назад

      Acha ujuaji kwani wewe ujawai kukosea matamshi,we ni kajinga

    • @aliakrabi8321
      @aliakrabi8321 15 дней назад

      @@sadathboutique6253 ukikosea kama una elimu unajirekebisha hapohapo, acha matusi

  • @jaystrongmagaboy1633
    @jaystrongmagaboy1633 13 дней назад

    Sheikh Mazinge nakupenda bure.

  • @user-np1bf6me4u
    @user-np1bf6me4u 16 дней назад

    Kumbe kwenda hija ni millioni 10 tu 😮