YESU WA TONGAREN AKATAA KUSULUBIWA (PART 1 OF 4)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.

Комментарии • 823

  • @abdallahsaid1968
    @abdallahsaid1968 Год назад +41

    Allah akujaaalie subira shekhe ramadhan maana kazi ya Allah ni ngumu ila kwa Allah ndio malipo makubwa Allah akufanyie wepesi usikate tamaaa 🤲

    • @naimaabuualii578
      @naimaabuualii578 Год назад +1

      Amin

    • @mwanamtotosaid702
      @mwanamtotosaid702 Год назад +2

      Allahumma Aamin 🤲

    • @stevek8318
      @stevek8318 Год назад +1

      Wamkataao Yesu wa haki wote hawana tofauti na huyu yesu muongo, hukumu iko juu yao. Soma Yohane 3:16Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uhai wa milele. 17Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe.

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Год назад +1

      ​@@stevek8318 hKuna muislam anae mkataa yesu waislam pekeake ndio wanamfuata yesu Kwa kila kitu but wakiristo wote wana mpinga yesu wao ni kumuunga Kwa mdomo tuu bc but vitendo na maneno ya yesu hwafuati

  • @erickjmgema3923
    @erickjmgema3923 Год назад +7

    Uyo yesu ata kuoga tu ana oneka ni shida..kweli hii dunia..mungu naomba uwape adhabu wavuta bangi kama hawa..

  • @newvip4663
    @newvip4663 Год назад +8

    I love the way this shekhe anajaribu kumfunza huyu mzee,,after everything that happened in Brazil for the sake of peace please fear God

  • @akhrazjunior4089
    @akhrazjunior4089 Год назад +21

    Shekhe Ramadhan Allah akupe ngunvu na wepesi na maisha marefu ili uweze kutangaza Allah tabaraka wataalla. Na mtume wetu Muhammad s. a. w, na dini yetu ya kiislam

    • @antibiotic7238
      @antibiotic7238 Год назад

      Aende awahubirie alshabab waache ushetani Somalia kama anajiamini 🤣🤣🤣

    • @ARNOLDKARISA-fs3ht
      @ARNOLDKARISA-fs3ht 7 месяцев назад

      amiin

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 3 месяца назад

      AaaminaYaarabi.nihatari.miesikuwahiJuwaHiikitu😭😭SubhanaAllah

  • @rashidrajab1391
    @rashidrajab1391 Год назад +12

    Shekh Ramadhan tafadhali naomba umfikie yule mama zumaridi kule mwanza tz

  • @millicentwawira1779
    @millicentwawira1779 Год назад +16

    Aki uyu Ramathni ni mwalimu kweli Moto wakuote Bali be blessed ust

  • @leilaathumani3611
    @leilaathumani3611 Год назад +11

    Alhamdulillah uislam raha saaaana 🤲 yaallah tujalie Mimi nawewe mwisho mwema 🤲😭 Dunia ime kuwa na watu wa ajabu

  • @noornoor-pr6nf
    @noornoor-pr6nf Год назад +14

    Alhamdulillah nakushkuru Allah kunijalia neema ya uislam wabariki wazazi wangu na utufishe tukiwa muslim amiiin.

  • @mwalimumlaula6167
    @mwalimumlaula6167 Год назад +11

    Allah ataleta kheri zake na kwa uwezo wake Noor ya Allah ataiona yy pamoja na wafuasi wake na watakuwa waislam Amin In Shaa Allah,Yesu wa Tongeren hawezi mpita Omar,naye alisilimu kwa uwezo wa Allah,Allah atawaongoza Amin

  • @isseamin2017
    @isseamin2017 Год назад +24

    M.A may Allah Guide this christian to the straight path Insha Allah

  • @hassadube225
    @hassadube225 Год назад +8

    Inalilah wainaileyh rajuhuni hawa watu krist kila siku maajabu tu walai na hii imani ya kristo ni ya ajabu walai nashukuru ALLAH kwa nihima ya upeke mbae ni islamu alhamdulilah alhamdulilah alhamdulilah

  • @42HUSNA38
    @42HUSNA38 Год назад +13

    Allah awafanyie wepesi na awakinge na kila la shari AMEEN THUMA AMEEN🤲 tuna wapenda mashekhe wetu kwa ajaili ya Allah.

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Год назад +16

    Alaykum Salaam Warhmatullah Wabarakatuh asante Shekh Ramadhan nilikuwa nasubiri kwa hamu baada ya kusikia habari yake ya kukimbilia police kwa kuhofia kusulubiwa Mwenyeez Mungu akulipe kheri hapa dunian na kesho shekh wetu kipenzi Aman ya Mwenyeez Mungu iwe juu yako

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Год назад +8

    Innalillah wainna illahi rajuon SubhanaAllah mtihani mkubwa huu Allah atakupa ujira wako kwa kazi hii nzuri ya daawa

  • @aishaally6602
    @aishaally6602 Год назад +5

    SUBHANAH ALLAH awahid hawa watu mm napenda ujarisi na subra yako ALLAH akuzidishie

  • @najatsalum2122
    @najatsalum2122 Год назад +7

    Dini ya Haki mbele ya mwenyezi Mungu ni uisilam,karibuni katika uisilam.

    • @jeanmuzaliwa9023
      @jeanmuzaliwa9023 Год назад

      leta andiko dini ya kweli mbele za mwenyezi Mungu ni islamu sio utupe qu'ran 3:19!ahina msingi wote ule!

    • @petermathenge-eu1tr
      @petermathenge-eu1tr Год назад

      ramathan uliza uyoyesu kama kweri niyule alie sulubiwa yesu hakuna kitu hajui mulize mamlaka yakuoa alitoa wapi kama alikuja kuchukua kanisa ok watoto wake watahukumiwa peter

    • @khamisjumaa-vm2tk
      @khamisjumaa-vm2tk Год назад +1

      ​@@jeanmuzaliwa9023 ww TOA andiko kuwa Christian no dini ama TOA andiko yesu asema yy ni mungu

    • @jeanmuzaliwa9023
      @jeanmuzaliwa9023 Год назад

      @@khamisjumaa-vm2tk mm najuwa dini ya Muhammad ahiwezi jitetea kwa maandiko bali inatetewa na midomo ya watu ndio maana Muhammad mwenyewe kasema dini imekujaga kushindana na dini zote duniani ndio maana waislamu wote wabishi!

    • @ambarnelly6071
      @ambarnelly6071 Год назад

      ​@@jeanmuzaliwa9023asalama alaikum ndugu ,mm naomba tu wewe umekuwa mkristo kwa amri ya nani ,kwa ushahidi wa mandiko

  • @samxx411
    @samxx411 Год назад +4

    Wallahi Sheikh Ramadhan kazi mnazofanya ni ngumu sana tena sana ambayo mitume wote wa Mungu hivyo ndivyo walivyokuwa wakifanya (kazi yao) na takriban wote wamefeli kwa kukataliwa na kudharauliwa na hata kutaka kuuliwa kama yesu akaokolewa na Mungu ila usichoke kwani Mtume Muhammad pekee hakufeli katika hili hadi amefariki bado kazi yake tunaiendeleza waislamu hadi mwisho wa dunia

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Год назад +4

    Walahy hii kazi ni ngumu saana maana mnakutana na watu wenye akili na fikra tofauti.Maana hata Ramadhani hatulii alipokaa na kumkazia yesu macho haamini anachokiongea.Subhana Allah umetakasika RABB wetu MOLLA wa arshi zote.

  • @Adm9464
    @Adm9464 Год назад +49

    This guy is just chilling and playing with the minds of this poor people in his village. He doesn’t want to work rather do all this to just survive the pandemic of hunger in our society.

    • @firebwizegelfas
      @firebwizegelfas Год назад +1

      😂😂😂😂😂😂 #huyumungu

    • @mildrednafula3082
      @mildrednafula3082 Год назад +9

      In Kenya anything is possible Bora akili yako

    • @Adm9464
      @Adm9464 Год назад +2

      @@mildrednafula3082 I got you . Make sense

    • @joycekoech8277
      @joycekoech8277 Год назад +3

      So true, taking advantage of the vulnerable

    • @samawadeahmed4380
      @samawadeahmed4380 Год назад

      He is guiding them if you mean Ramadan is doing So. They are misled by satani

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Год назад +6

    Ramadhai naona leo wako malaika wapya, wameongezeka. Alhamdulillahi kwa wiislamu yaa الله.

  • @doreenlukas
    @doreenlukas Год назад

    Pasta Doreen pole ameijua bibilia tu sio yesu yesu anakitambi mara mungu Mara yesu iyo kazi kweli

  • @mutuacollins1551
    @mutuacollins1551 Год назад +7

    Ramadhan, asante kwa kazi yako...tunaomba sasa uende kwa pastor Awour na Ezekiel

  • @ummabubakar5319
    @ummabubakar5319 Год назад +7

    Salute ustadhna'a ALLAH akuzidishie kila la khery

  • @nasramusaro
    @nasramusaro Год назад +5

    Ndugu Ramadhani ALLAH akupe subra maana kuongea na mental ni kazi ngumu namuomba Mwenyezi Mungu mwisho mwema Inshaallah

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 Год назад

      Hyu jamaa atakuwa Dakota wa vichaa ,maana sio vichaa waliyomzunguka

  • @ggv866
    @ggv866 Год назад +6

    Mashaallah Allah akupe kila la kheri Ustadhi Ramadan .

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Год назад +1

    Nchi ya Kenya inacheza na kumdhihaki Bwana Yesu Kristo (Mungu aliye hai) kwa kuruhusu wendawazimu kama hawa kumdhihaki Mungu. Kenya subirini. Dawa yenu kutoka Mbinguni inachemka. Mungu kamwe hadhihakiwi, kila mtu huvuna anachokipanda. Waulizeni Wabrazili yaliyowakuta.

  • @maqottes5833
    @maqottes5833 Год назад

    Nashukuru sna mwenyzi mungu kwa kuzaliwa ndni ya uislamu hii dunia ama hii Kenya kuna kabila wenye hawatawai toka kwa ujinga MTU kujiita yeye ni mungu enywe njaa ni mbya Ruto punguza bei ya unga

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi8092 Год назад +3

    Maajabu ya ukristo yaani yesu mbaluya naanaongea kiswahili, pick up mei God bless you sherk Rama alha akuhifadhi kwa mema yako inshallah

  • @aishaabdi2059
    @aishaabdi2059 Год назад +4

    Mtihani huu wallahi Allah atuhifad inshaallah

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 Год назад +6

    Wakati mwingine napenda misimamo yauslam nasheria zake,sisi akristo tunamdhiaki Sana yesu mungu aponye roho zetu.

    • @hafsamnenga1942
      @hafsamnenga1942 Год назад

      sanaaaaaa km zumarid uyo sasa inakuwaje jamani

  • @asharamdan363
    @asharamdan363 11 месяцев назад

    🤲🤲allaah akupe guvu akuogoze

  • @abdulpires9091
    @abdulpires9091 16 дней назад

    Allah akulinde ustadh Ramazan

  • @tinadesmond3877
    @tinadesmond3877 Год назад

    Jina ni mwalimu Yesu so this month is for you but kufufuka ni hiari yako yesu wa tongareni

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад +1

    Pole sanaa Shekhe Ramadhani naona umesimama umeshika tama unawashangaa. Wallah mimi mwisho wa siku machozi yamenitoka nawahurumia hawa wafuasi wake.

    • @zuwenamohd4372
      @zuwenamohd4372 Год назад

      Alafu yule anoruka sana ndo shekh ramadhan kamuangalia sana, sjui alikua anawaza nini

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 Год назад

      @@zuwenamohd4372 umeona eee 😂? Msiba huu kwa hawa ndugu zetu ktk Adamu .

    • @zuwenamohd4372
      @zuwenamohd4372 Год назад +1

      @@nakundwamkubwe7823 mm ningekua karibu ningempiga jiwe yule anoruka sana mana naona ndo anotia hasira🤣🤣

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 Год назад

      @@zuwenamohd4372 😂😂😂

    • @DoctorKajase
      @DoctorKajase Месяц назад

      @@zuwenamohd4372 huyu ni pumbavu au mwendawazzimu shenzi sanna mpelakeni kwa Aatiwoli. Simple , simple;

  • @zainaal-nabhani9034
    @zainaal-nabhani9034 Год назад +5

    Unabidii sana sheh ramazan mungu atakulipa heri inshallah na atakuepusha nakila shari inshallah

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 11 месяцев назад

    Kaka Ramadhan mungu akuzidishie hekima maana hawa watu ni mental kesi kabisa mungu akupe umri mrefu wenye kheri na ww uxid kufanya daawa

  • @mgeninaima9866
    @mgeninaima9866 Год назад +3

    Masha Allh tabaraka Allh kwakazi nzuri

  • @joseealexislenguumeni18
    @joseealexislenguumeni18 Год назад +53

    watu walivuta bangi hadi wakaamua kujiita miungu...alafu viumbe zingine bado zinafuata tu....Ee mwenyezi Mungu,muumba mbingu na dunia,uturehemu

    • @samxx411
      @samxx411 Год назад +7

      Nyie ndio mnaokoroga watu hadi sisi waislamu tupambane lakini nyinyi mnaruhusu yote

    • @stoispapi2380
      @stoispapi2380 Год назад +2

      @@samxx411
      Lol this guy Loves Islam.. don't be too judgmental

    • @samxx411
      @samxx411 Год назад +3

      @@stoispapi2380 ok bro

    • @mzaliwaseif7079
      @mzaliwaseif7079 Год назад +3

      Mungu aturehem?

    • @jamilaomari2444
      @jamilaomari2444 Год назад +5

      Alikunywa chang'aa litres tano akapoteza fahamu the following day akaanza kujiita yesu according to her 1st born dota. 😂

  • @asadahmedadan2959
    @asadahmedadan2959 Год назад +4

    Manshaalah ustad wetu kuwa kazi mzuri alah akuli jana fardowsa

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011 Год назад +7

    Allah awaongoze wote waliopotea

  • @godwinmbwambo3316
    @godwinmbwambo3316 Год назад

    Uislam ni dini nzuri sana. Ingekuwa dini inaokoa basi ningechagua kuwa Muislam. HAINA shaka. Wokovu hauhusiani na dini. Wokovu ni kumwamini Yesu.
    Masihi alisulubiwa ndugu yangu Muislam. Wewe huamini, basi endelea na safari Yako ndefu.

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw Год назад +6

    Shekh Ramadhan kasema ehee. Nimecheka kweli 😂😂😂😂😂😂. Chezea yesu wa tongareni we

  • @sospetermaina-nw2jk
    @sospetermaina-nw2jk Год назад

    Angejiita to pastor

  • @dannyosolo2752
    @dannyosolo2752 Год назад +2

    HUYU SIYE YESU HATA KIDOGO!!!Anatuaaibisha sis Wakristo

  • @ashahossein1743
    @ashahossein1743 Год назад +3

    Waalekum salam warahmatullah wabarakatu, mwenyezi atujaalie mwisho mwema

  • @nasra8436
    @nasra8436 Год назад +3

    Mwenyezi Mungu akuzidishie sana sheikh Ramadan Kazi nzuri ,natoka kitale kiminini,naomba ufike Huko inshaAllah

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj Год назад +2

    Usichokeeh shekhe wetu Allah akusimamie ktk hili maan inasikitisha kwakwel

  • @user-wg8jt5fi7w
    @user-wg8jt5fi7w 7 месяцев назад

    Yesu hakuoa aache kuaibisha wachristo

  • @rahmamrishoyussuf2652
    @rahmamrishoyussuf2652 Год назад +6

    Jamani sheikh Ramadhan Mungu akupe subra hii kazi binafc naona siiwezi naona ntatia mtu makofi 😂😂😂😂 mtu unamuelewesha haelewi anapinga woii Inataka subra na hekima ya halii ya juu
    Najivunia kua muislamu Alhamdulillah ❤ Mungu awaongoze 😢

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад +1

    Iko siku uyu baba atawachoma moto kama Kabwetere wa Uganda alivyo wachoma moto waumini wake akachukua pesa zao na mali akakimbia. Allah tunusuru na hii shirki ya hawa watu na usituadhibu sote kwasababu yao. ALLAH awaongoze watoke ktk hii kufru na shirki Amiin

  • @sirnaismail8926
    @sirnaismail8926 8 месяцев назад

    Allah akuhifadhi na macho ya watu

  • @nabeajulius1682
    @nabeajulius1682 Год назад +3

    Am fearing this, mungu si wakucheza naye

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 Год назад +2

    Subhanallah huyu anajita yesu amepotea na wafuasi wake wote Allah awaongoze

  • @moseskathenyaofficial6111
    @moseskathenyaofficial6111 Год назад +10

    Huyu yesu anabore,asulubishwe

  • @barakamkalimbe-ep4br
    @barakamkalimbe-ep4br Год назад

    Yesu anamiliki simu duuuuh na yesu anakitambii duuuuh hata so smart hizoni njaaaa

  • @mariethabuhulula7637
    @mariethabuhulula7637 Год назад

    Yesu bado hajarud kwa macho ya nyama.

  • @aminaabdiaden
    @aminaabdiaden Год назад

    For God loved the world he give his only son to bring salvation on the world John 3:16

  • @marymukolwe5137
    @marymukolwe5137 Год назад +3

    Anaona Jina la mungu ni ya mchezo ety palipo mwana pana baba mwambie aje uku Saudi watoe watu wanateseka kama kweli ametumwa na mungu

  • @Kitwitwi
    @Kitwitwi Год назад +3

    Masikitiko makubwa ! Ibilisi hapa kafanya kazi ya hali ya juu!

    • @eddahmzee5237
      @eddahmzee5237 Год назад

      Kweli kabisa mbona hajiti yesu Christ anajita yesu watongeren

  • @SarahNyambura-ns3xp
    @SarahNyambura-ns3xp Год назад +1

    Mungu tusaidie kulinda imani yetu maana wanabii wa uongo watapoteza wengi aki mungu tuhurumie

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Год назад +1

    We ramadhan uwe msabato maan kuna madin ndan yako!!

  • @magnussanga
    @magnussanga Год назад

    Shekhee naona umepiga salute
    Mungu atufanyie wepesi.kwa kweli
    Nimefatilia wote lakini naona imefika maala kila Mmoja imekuwa mshangao kwa mwezake.

  • @rachelmliwa9830
    @rachelmliwa9830 Год назад +6

    Asitubebe ufala Yesu anamke 😔😔😔 tumepigwa

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 11 месяцев назад

      Tena mkwe yesu anamimba hapo kubwa tu

  • @germamassawe6968
    @germamassawe6968 Год назад +1

    Kwenda! Yesu wetu hakuli sukuma!

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 Год назад +1

    Yesu mwana wa Mungu alie vaa mwili kupitia kwa kuzaliwa na Bikira Maria wakati huohuo anauungu mfalme wa ajabu nae ni neno pia ni alfa na omega mwenye kusamehe dhambi na ndio atakuja kuukumu ulimwengu. Hizo sifa wasilam wanajifanyaga hawazioni wanakomaa alipo sema mnataka kuniua mimi mtu mwana wa Mariam anakwenda haja analala katahriwa ndio wameweka hoja hapo tuu

  • @issasembe
    @issasembe Год назад +2

    Allah akubark Ndugu yangu Kwa kuwa elimisha ungemuambia asitumie kitabu kama yeye ni yesu

    • @mariammganga5061
      @mariammganga5061 Год назад

      Safiiiiiiii

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 Год назад

      Hawezi huyo hata maandiko kichwan hayapo😂 hapo akimtega swali bila Bibilia aulize lipo sura gani hawez jibu maana hawezi jua linako patikana

  • @harunisack8489
    @harunisack8489 Год назад

    Kama yeye n yesu si asome maandiko bila kufuatilia kitabu juu n yy ameteremsha jameni🤗

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 Год назад +1

    Hata kama babake alitabiri Sio.kuwa wewe nipesa Ni kuwa utajua Mungu Ila wewe unajiita Yesu,,Wewe wafaa kichapo

  • @maryamjuma1980
    @maryamjuma1980 Год назад +3

    Alhamdulillah kwa neema ya uislamu ❤

  • @samsiakassakangeta1780
    @samsiakassakangeta1780 Год назад +7

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh!
    Tumewasikilizeni mnavyojibizana na Yesu mzushi wa Kenya!

    • @gracembete1867
      @gracembete1867 Год назад

      Aky huyu Yesu WA tongaren,ati anasema watu wawe na wogovu wa kweli watoke kwenye kisa😂😂

  • @eagleoneelectronics8318
    @eagleoneelectronics8318 Год назад +4

    waluya mtafanya tukose uzima wa milele Mungu atwabie tujisort na yesu wetu

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Год назад +3

    Allah angekufanyia wepesi ukamfata zumaridi kwanza,anavyo wapoteza watu,na ule anajiita nabii Georgie

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 6 месяцев назад

    Dunia inaelekea pabaya Subhanallah 😢

  • @natashamusoo211
    @natashamusoo211 Год назад

    Jameni mungu atuhurumie mimi ni mcrito na nina hamini mungu ni moja ambae hakuzaliwa wala kuzaa. Yesu ilitumwa tu kukomboa walio potea kwaivyo yesu ni mtume tu

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 Год назад +3

    Innalilah wainna ilayhi rajiun

  • @user-wf6uw6hl7v
    @user-wf6uw6hl7v 8 месяцев назад

    Allah ni Mkuu na ansbra watu waciojielewa Hadi wanajiita manabii na Mungu na hali Allah anawapuruzia Tu uko cku mda mchache watarudi kwake waone Yale walokuwa wakijizuliya Enyi watu tumiogopeni Allah shetani acikuhadaeni

  • @shamimnorah9156
    @shamimnorah9156 Год назад +1

    Masha Allah ramadhan Allah Aku bless sana

  • @leonardseur3717
    @leonardseur3717 Год назад +2

    A very good comedy 😂

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Год назад +2

    Shekhe Ramadhaini nilikusubiri sana kwa hii stori. Nikajua walifanikiwa kumsulubu yesu wa uongo, chezeakufa wee, yani sijui watu wanachotwaje hakili kiasi hiki.

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Год назад

    Yaani huyu anajua kuwatenganisha kati ya wanaume na wanawake wasikae pamoja na anawafundisha wavae nguo za stara ila sasa ndo yupo kwenye upotovu
    Shekh mlinganie labda ataongoka In shaa Allah

  • @claudiamole7216
    @claudiamole7216 Год назад

    Sheitani shindwa katika jina la yesu

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Год назад +2

    Achana n'a huyo muongo eti Yesu anachezea maisha yake n'a Hao wanaomfuata ni mjinga sana huyo Ana mle n'a ametelekeza watoto wake😊

  • @lucyoyiela6718
    @lucyoyiela6718 Год назад

    Amina Amina endelea kuwafunza Ili wajuwe Mungu ni mmoja na sio binadamu

  • @hussainmasoudsubhannallah3786
    @hussainmasoudsubhannallah3786 Год назад +3

    Subhannallah

  • @daudyussuf8180
    @daudyussuf8180 Год назад +3

    Bwana yesu anapinga mambo ya mwenyezi mungu huyo si yesu

  • @stoispapi2380
    @stoispapi2380 Год назад +31

    Mark 12:29
    Jesus replied, “The most important commandment is this: ‘Listen, O Israel! The Lord our God is the one and only Lord .

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Год назад +1

      Kwahiyo andiko hilo unaliamini ila mengine huamini? Waislam akili zenu Ni Kama panya tu mnachagua chagua yani

    • @stoispapi2380
      @stoispapi2380 Год назад

      @@madetetv6576
      Is that verse False?
      Let's debate.. bring any topic up if you are a man 🙂

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Год назад +3

      @@stoispapi2380 Biblia haisomwi Kama gazeti lenu la quran Kaka Soma kwa kujifunza utaelewa

    • @stoispapi2380
      @stoispapi2380 Год назад

      @@madetetv6576
      Be a man 🙂

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Год назад

      @@stoispapi2380 I can't argue with a foolman

  • @munawwarbashir2680
    @munawwarbashir2680 Год назад +2

    Innalillah wainna ilayh rajioun😮

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 Год назад

    Watu hawana elimu y kumjua mungu mkuu ambae n Allah. Ndomaan wanaabudu binadamu wenzao

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb Год назад +2

    collassian 2:18 Do not let anyone who delights in false humility and the worship of angels disqualify you. Such a person also goes into great detail about what they have seen; they are puffed up with idle notions by their unspiritual mind.

  • @laizerlusiana9215
    @laizerlusiana9215 Год назад +1

    2 Corinthians 4:4,,The God of this age has blinded the minds of unbelievers,so that they cannot see the Light of the gospel that displays the Glory of Christ,who is the image of God,,,,,,,Neno ni nuru tusome Neno ili tusipotoshwe

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад +4

    Wallah nimecheka kwa sauti 😂😂eti Nazareti ni hapa Tongareni 😂😂.

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Год назад

    Mtian wallah duh shekh Ramadhan Allah azidi kukupa nguvu duh

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011 Год назад +2

    Waalekum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @ashalaurent2465
    @ashalaurent2465 Год назад

    Mwenyezi Mungu atuhifadhi pamoja tufanikiwe jamani kuujua ukweli nawe shekh wetu Mungu akuhifadhi na umri wenyefaida

  • @marymukolwe5137
    @marymukolwe5137 Год назад +7

    Uyu mtu ache kutuaribia sifa sisi wakristo ata nimeuthika,naona nikiambia boss wangu anisilimishe juu ni mda sana akitaka ni Silim uyu ameniuthi tuu sana,,akiwa na uyu mkewe ile chang'aa 5litre ilimharibu inafaa aperekwe hoc apimwe akili 😢

    • @rahmamrishoyussuf2652
      @rahmamrishoyussuf2652 Год назад +4

      Kama ushajiridhisha uislam ni dini haki usipoteze mda silimu ukae katika njia sahihi usikae ktk imani ambayo inakupa mashaka
      Karibu katika uislamu ndugu yangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Год назад +3

      Mkiristo hawezi ongea ujinga Kama unaongea ww Mary Mulokwe Ni kweli yesu wa Tongareni kakosea kujiita yesu lakini wewe Mary tambua kuwa Mambo haya yesu aliyatabiri kuwa yatatokea Sasa ww unaacha Imani yako kwa propaganda za kijinga za Kiislamu una akili kweli ww? imeandikwa wale watakaovumilia mpk mwisho basi ndio watakaouona ufalme wa mbinguni

    • @ambarnelly6071
      @ambarnelly6071 Год назад

      ​@@madetetv6576asalama alaikum, haya nikuulize tu ndugu yangu kbla kwenda kwenye propegunder hivi kuna dini inaitwa ukristo kwenye bibliya?

    • @qalbi8198
      @qalbi8198 Год назад +1

      ​@@madetetv6576 sasa mbn wa mkaripia kila mtu anaangalia nafsi yake wapi pana usahihi

    • @djsandi4419
      @djsandi4419 Год назад +1

      Sema hivi ukristo una demokrasia ila uhislamu ni udictekta hata uislamu ungekua una demokrasia ungefanyiwa hivi hivi kama ukristo ni kama waislamu walivyo magaidi but si wote

  • @kevinkemboi3419
    @kevinkemboi3419 Год назад

    Hyu yesu noma sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aminaoman2100
    @aminaoman2100 Год назад +18

    Yaan hao wafuasi wake ndio wajinga kupindukia Allah atujaalie mwisho mwema 🤲

  • @mariammganga5061
    @mariammganga5061 Год назад

    Mimi ni mkristo,, ila nimependa sana huyu shekhe Ramadhani ni mstaarabu Sana,, pia anaonyesha kuwa anaufahamu mzuri wa Imani YAKE japo hapo alipokwenda hawezi kupata majibu sahihi huyo anaye jiita YESU,,, hajitambui kabisaaa huyo amejiita mwenyewe wala hatambuliki na umma wa kikristo,,,,

  • @kimanithings5603
    @kimanithings5603 Год назад +1

    ati sasa huyu mzee ndie yesu.

  • @dennismorara7409
    @dennismorara7409 Год назад +1

    yes of course yeye zio yesu but yeye akaaye ndani yake ni yesu mwenyewe ndiye umutumika Amen ndio maana anasema ni yesu bt anatupoyeza kwatojua coz wengine awaelewi