"YESU WA TONGAREN AKANA WATOTO WAKE" hao sio watoto wangu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Meet the kids of Yesu wa Tongaren, Yesu wa Tongaren warambulisha wanawe wote na kujikana wengine wanaosema pia ni wana wake.
    Watch, like, share, comment and subscribe

Комментарии • 469

  • @calistustitus4566
    @calistustitus4566 Год назад +3

    Kuitwa Yesu siyo shida maana jina Yesu maana yake ni mwokozi. Lazima tufahamu kwamba aliyekuja kuwakomboa wanadamu anaitwa YESU KRISTO. Yaani mwokozi aliyepakwa mafuta. Ndiyo mana wakristo twasema kwà jina la YESU kristo wa natharet. Kwa iyo uyu Yesu wa Kenya ni bangi tu alizovuta chooni haya Sasa ndiyo madhara yake.

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani7953 Год назад +4

    Joshua yesu!!!!!!!!kazi kweli kweli!!!na watoto wake wote ni manabiii!!!!!!daah!!

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 Год назад +27

    Bora sisi tuko na YESU wetu wa Nazareti alie kufia dhambi zetu msalabani pale kalvary akasema yamekwisha🤲🙏

  • @StanslavsMuoki-il5uz
    @StanslavsMuoki-il5uz Год назад +1

    Waluya muache hii tabia kumbuka kulikua Jehovah wanyonyi Sasa hii ni matusi mutubu mungu awasamehe

  • @zakayokeli4000
    @zakayokeli4000 Год назад +2

    Naomba tu kuwauliza ndugu zangu waluhya mnatoanga wapi hii nguvu ya kumchezea Mungu.....langu tu Mungu awasamehe

  • @J1n2891
    @J1n2891 Год назад +10

    Ooh huyu ni yesu wa tongaren sii Yesu kristo

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Год назад +3

    Subhanaallah ewemwezi mungu atusitiri nahaya yanaotokea duniani jamani mbona kuna binadamu wako bado kwenye ngiza nene? Hembu amkeni mumuogope mwenyezi mungu 💔💔💔💔💔

  • @shabanijmrisho4715
    @shabanijmrisho4715 Год назад +2

    Uyu mzee anajifanya yesu kweli wee ngoja Mungu akudhalilishe

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 Год назад +11

    Sasawewe ni yesu gani unakataa watoto na Yesu anasema waacheni watoto wadogo waje wangu.🌹🌹🌹🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @azinahramadhan8326
    @azinahramadhan8326 Год назад +13

    😂😂😂😂 Mama ni wazimu, wazimu uko kwa hii boma 😂😂😂😂 inahitaji Mungu mwenyewe.

    • @carenkhisa2165
      @carenkhisa2165 Год назад

      You type exactly what am about to type 😂😂

    • @azinahramadhan8326
      @azinahramadhan8326 Год назад

      @@carenkhisa2165 😂😂😂yaani Yesu watongareni anasema yeye ni Yesu mwenye ako kwenye bibilia na ako na mpaka mkhwasi na bibi pia ako busy ati wakabaras wako lucky,😂😂😂

    • @SalehAbdallah-zx2cq
      @SalehAbdallah-zx2cq Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @strongwomanwithnoregret8234
      @strongwomanwithnoregret8234 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @simbamiseyeki7338
    @simbamiseyeki7338 Год назад +4

    Hakuna malikia mwenye kitambi kwendaaaa😂😂😂😂

    • @abwanrukun1827
      @abwanrukun1827 Год назад

      Hhhhh saulte to her for being there to foolish others

    • @Iover7789
      @Iover7789 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @DianahDebra
    @DianahDebra Год назад +2

    He is just fulfilling rhe word.
    End times:- oh God have mercy on us

  • @dhuluufiklihassan537
    @dhuluufiklihassan537 Год назад +11

    When the wife says "nimebarikiwa kuliko wanawake wote duniani" makes the likes of Michelle Obama, Oprah Winfrey and Rihanna look like a joke to her😂😂😂

    • @liz0609wk
      @liz0609wk Год назад +1

      😂😂😂kenyans

  • @skunjemdaku780
    @skunjemdaku780 Год назад +3

    Yesu.... Mimi ni kijana wa ngapi.. mimi ni Nabii Kigongiiii.

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 Год назад +3

    Muulize Yesu Kristo alioa

  • @strongwomanwithnoregret8234
    @strongwomanwithnoregret8234 5 месяцев назад

    God have mercy on your people siwezi kuhukumu hiyo ni kazi ya mungu ila nimecheka yangu yote

  • @peterkiguta1558
    @peterkiguta1558 Год назад +4

    Nmetokezea kumpeda ❤ mtoto wa yesu

  • @kamelyne7033
    @kamelyne7033 Год назад +2

    Aki these guy has trained his support system....its strong and sure bet for him.

  • @josephsaidi9430
    @josephsaidi9430 Год назад +6

    This guy is very canning,akiulizwa swali anakwepa na scriptures,anyway he's very genius

  • @rehemakipesile4930
    @rehemakipesile4930 Год назад +17

    These people need serious deliverence🥺🥺🥺

  • @omarisiliverio2965
    @omarisiliverio2965 Год назад +4

    Nmependa mtoto wa yesu sana

    • @mukarani_ke
      @mukarani_ke Год назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂 chukua

  • @Lizahltore-eg8dm
    @Lizahltore-eg8dm Год назад +1

    Mungu akumalize

  • @doreennanjala9331
    @doreennanjala9331 Год назад +2

    Wewe mtoto wa yesu wa Tongaren,,,, hebu style up

  • @azinahramadhan8326
    @azinahramadhan8326 Год назад +1

    Yes wa tongareni ako na mkhwasi 😂😂

  • @phidayswairimu57
    @phidayswairimu57 Год назад +5

    Surely tunaelekea wapi mtu anajiita yesu

    • @DianahDebra
      @DianahDebra Год назад

      Fulfilling the word:- end times
      Oh God have mercy on us

  • @jovialjuma7018
    @jovialjuma7018 Год назад

    Huyu MTU ni genius comedian mbaya Sana Ilihali anajiita yesu Kwa kukejeli🤣😂🤣😂

  • @celestine9225
    @celestine9225 Год назад +2

    Wewe lazima siku Moja tutakuweka msalabani😂😂😂😂

  • @salomesally2976
    @salomesally2976 Год назад +8

    Yaani shetani alivotawala hii familia 😢😢mungu kumbuka wanao

  • @maryawino7951
    @maryawino7951 Год назад +5

    Yesu unapenda ngolokante sana waţoto 8😃😃

  • @thomasorungo6898
    @thomasorungo6898 Год назад +3

    This guy is on high speed puff😂😂😂😂

  • @sylviaken1022
    @sylviaken1022 Год назад +6

    The many times he says asande after kuitwa😅😅😅😅

  • @Kisigino
    @Kisigino 10 месяцев назад

    Hii familia kuna kitu hakipo sawa

  • @onyaluoma848
    @onyaluoma848 Год назад +5

    Huyu MTU ni wazimu pamoja wagwasi wake🤣🤣🤣🤣

  • @aaronkipyegonkirui5282
    @aaronkipyegonkirui5282 Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 i die, kwanza ukisema yesu!!!!

  • @20olga00
    @20olga00 Год назад +8

    Watu wa bungoma tuko na shida
    I don't know what next😢

  • @BramwelOnyapidi-zb3hq
    @BramwelOnyapidi-zb3hq Год назад

    Oooh!! Kemunau emoit idwe

  • @godfreyochiengonyango5635
    @godfreyochiengonyango5635 Год назад

    Yaani nimeishi kuona wakati hii ya ulevi wa hali ya juu 😂😂😂🤣

  • @pointblank6769
    @pointblank6769 Год назад +5

    Yesu anakaa kufinya ugali na mrenda design moja ya ajab sana.

    • @rahemarahema9645
      @rahemarahema9645 Год назад +2

      😂😂😂😂😂

    • @catherineandaye4518
      @catherineandaye4518 Год назад

      😂😂😂😂😂 aaaaiiii yaawa aki walai

    • @Awatee
      @Awatee Год назад

      😂😂😂Tena na tambi limetoka kwa ugali 😂Yesu wa mchongo

  • @lenaosore6710
    @lenaosore6710 Год назад +4

    In kenya we manufacture and sell madness wholesale 😅😅😅

    • @blessed599
      @blessed599 Год назад +1

      😂😂..inaeza kuwa real

  • @aineskikoti9420
    @aineskikoti9420 Год назад +2

    Yan huyo mke wa Yesu feki anavyojitambulisha km kweli vileee utafkiri ufalme wa Mungu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wameshauonaaa Wasenge sanaaaaa hawa ndo wanaoichafua kenyaa from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 here

  • @jeriothgithitho4633
    @jeriothgithitho4633 Год назад +6

    Huyu yesu wa togaren anakuanga na kiherehere sana.

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Год назад

    Mungu wangu😮😂😂 hii ni bangi

  • @James-cu1dp
    @James-cu1dp Год назад +1

    😂😂this is more than comedy

  • @ephellyindika2405
    @ephellyindika2405 Год назад

    Yesu wa kiherehere nkt 😅Asulubishweeeeeee

  • @lydiahdominique1326
    @lydiahdominique1326 Год назад +7

    "my people perish due to lack of knowledge"

  • @wisdom123-s3k
    @wisdom123-s3k Год назад +1

    Hatutopona hasira ya Mungu kwayote mnayo yafunya upuuzi tu, Yesu akose kuja duniya yote tumjuwe anakaa tu kichakani tunamuonatu kwa yoube!!! Kemewa

  • @davidjallobaini2943
    @davidjallobaini2943 Год назад

    Malaika mnabii ameenda maji, atakuicha imbeko uweeh😂😂😂🔥🎃🎃🎃

  • @furaharyana5019
    @furaharyana5019 Год назад +2

    Njaa ni mbaya yesu tumbo

  • @Enemyofallah-y4u
    @Enemyofallah-y4u Год назад +14

    The Bible says when Jesus comes back he won’t touch this world again we will all see him in the air.

  • @l.comics6348
    @l.comics6348 Год назад +3

    Kenyan comedy😂

  • @UsseinSadam-ly2vy
    @UsseinSadam-ly2vy Год назад

    Huyu mluhya ako na ujinga sana😁😁😁😁

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 Год назад +1

    Ibrahim yupo ??? Siwaelewi nasikia amina amina wamekaa uongo uongo kama ngombe wa mwituni yusuf alikua mzuri nusu ya dunia uzuri wake huyo.katoto 😅😅😅 ndio yusuf

  • @mukarani_ke
    @mukarani_ke Год назад

    Hehehe hi ni bozaa walai😂😂😂😂😂😂😂

  • @destiny0012
    @destiny0012 Год назад +3

    He is quoting those scriptures out of context 😊 and yet some of you believe he is telling the truth!!.." my people perish because they lack knowledge."

  • @kyalokavilu7755
    @kyalokavilu7755 2 месяца назад

    Kama wewe ni yesu kweli.mbona hujui watu

  • @omarisiliverio2965
    @omarisiliverio2965 Год назад

    Nabii ameenda maji wueeh 😂😂

  • @davidayew-ot9uc
    @davidayew-ot9uc Год назад

    Hii ni jokes ama mko serious ati nabii yusufu😂😂

  • @peterwambua3192
    @peterwambua3192 Год назад

    Mwenye ameulisa yesu hauna mpango wa kando😂😂😂😂😂🏃

  • @heritier5119
    @heritier5119 Год назад +3

    Huyu ni Yesu wa Tongaren na sio Yesu wa Nazareth

    • @jovialjuma7018
      @jovialjuma7018 Год назад

      Kweli nadhani ni jina la yesu anatumia sio vyema,

  • @ephellyindika2405
    @ephellyindika2405 Год назад

    Yes anaongea shebeteng'...hii ni bangi watu wangu🤣🤣

  • @irenelyamuya5466
    @irenelyamuya5466 Год назад +5

    Mungu komboa hii familia😢

  • @liz0609wk
    @liz0609wk Год назад +1

    His wife's Bible is saying everything ,🤣🤣🤣

  • @ngayaimkwe5175
    @ngayaimkwe5175 Год назад

    Wapumbavi kwli

  • @gracewambui-tl8ld
    @gracewambui-tl8ld Год назад

    Hapo umemtoa jasho,,,waaaaa huyu ndiye bibi harusi

  • @micaangote2138
    @micaangote2138 Год назад

    This is a sick man

  • @nickboy3340
    @nickboy3340 Год назад +1

    Jesse ameenda maji😂😂😂😂😂😂

  • @nickboy3340
    @nickboy3340 Год назад

    Awezi change nguo kupitia maomvi😂😂😂😂😂😂😂

  • @maryawino7951
    @maryawino7951 Год назад +1

    Nabii jesse ameenda maji😋😂

    • @nickboy3340
      @nickboy3340 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😊

  • @yussuflimited4220
    @yussuflimited4220 Год назад +4

    He named all his children manabii na malaika....michezo

  • @themanlive
    @themanlive Год назад +1

    Erastus and Deborah, Baba Yesu amesema Mkwepe Kadhapu😅😂 He has Jumped you..

    • @africa251
      @africa251 Год назад +1

      😂😂😂😂 wacha dhihaka

    • @themanlive
      @themanlive Год назад

      @@africa251 kiswahili yako imekuuza, are you one of them? 😆😆Sitaki masimango

    • @africa251
      @africa251 Год назад

      @@themanlive 😂😂😂😂😂 enenda uka fungue Mandingo matakatifu.
      .
      Aamina

  • @azinahramadhan8326
    @azinahramadhan8326 Год назад +1

    Hakuna mtu huuliza huyu Yesu wa tongareni maswali ya Maana 😂😂

    • @innocentkaramuta8200
      @innocentkaramuta8200 Год назад +1

      That's true, they don't even ask of knowing all languages and going everywhere,coz after kufufuka Kwa yesu anaeza Kua mahali popote

  • @EuniceEunicemoraa
    @EuniceEunicemoraa Год назад +1

    Yesu mjinga unawesha kukana watoto na unaongelele kwenda mbinguni utapeleka nani kama ww mwenyewe ujapanga family yako utapeleka nani ww

  • @FredOdhiambo-he1rw
    @FredOdhiambo-he1rw Год назад

    Uyu yesu ata bibilia ajui anatowa mistari tofauti.tafauti na vas😅😅😅ahende bible school

  • @lucyoyiela6718
    @lucyoyiela6718 Год назад +6

    Aki Kenya yetu kuna mambo huyu mtu nilasazima asulubishwe pamoja na bibi yake

  • @mainamwareri6984
    @mainamwareri6984 Год назад +1

    Kama alisema watoto wake sio wake, basi naona ujinga pia ni course ambayo unaweza hitimu na diploma, degree ama hata PhD. "Yesu wa Tongaren" amesomea na kufaulu kama mjinga mwenye sifa.

  • @daisyhidaya7329
    @daisyhidaya7329 Год назад

    Yesu atakuja kama mwizi sio kama Mluyha😅😅😅huyu mama ni pretender

  • @matts6894
    @matts6894 Год назад

    Hi Sara kazi ilibakia kachmega

    • @susanodero8354
      @susanodero8354 Год назад

      This 'Jesus'is not reading between the lines....anakuwa enjoyed na maswali na haoni🤣🤣🤣

  • @emmanulvictory507
    @emmanulvictory507 Год назад +3

    Inakuaje wanaendea maji mtoni😂😂😂

  • @shilashish9837
    @shilashish9837 Год назад

    Kila kitu n kilingana n maandiko😂😂😂😂😂

  • @georgeodhiambo8719
    @georgeodhiambo8719 Год назад +1

    Napenda huyu bibi wa yesu tongaren

  • @kushdeno
    @kushdeno Год назад +3

    let me warn you old man if you dare to play with the name of my father there is consequences you will face and it not easy.respect is for my father Jesus ❤

  • @emelyf2294
    @emelyf2294 Год назад +5

    Akwende na huko eti yesu 😆😆😆😆😆😆 yesu ako na Bibi anatomba usiku kumanino 😂 yeye

    • @martoo539
      @martoo539 Год назад

      Na ananyonya Kuma😂😂😂😂

    • @emelyf2294
      @emelyf2294 Год назад

      @@martoo539 mbaka kulamba🤣🤣🤣🤣

    • @martoo539
      @martoo539 Год назад

      @@emelyf2294 ati sasa n mwokozi😂😂

    • @silviak1776
      @silviak1776 Год назад +1

      Uuuwi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🎂

    • @emelyf2294
      @emelyf2294 Год назад

      @@silviak1776 halafu twanze kwambiwa eti yesu ... akwende na huku na kuma yake

  • @leonardnjoroge1692
    @leonardnjoroge1692 Год назад

    Kuanzia penyewe....kulingana na Hali jinsi ilivyo..,haya maneno yamekita mizizi Kwa mdomo ya Jesus tongaren

  • @smartlovemediasministries
    @smartlovemediasministries Год назад +1

    This man knows the scripture well but he can't be Christ how agree with me

  • @francismacharia8565
    @francismacharia8565 Год назад +3

    Haleluyah.. Translation... Yesu alikuwa ni mluhya😂😂

  • @issackabdi7001
    @issackabdi7001 Год назад +3

    I thank God for selecting me to be a muslim .no drammer in islamic faith ...

    • @josephatmuveta7995
      @josephatmuveta7995 Год назад +3

      Aren't AL Shabaab, AL Qaeda, Hezbollah,Isis,Boko Haram more than drama? That's everybody's question.

    • @hebronmulemia6667
      @hebronmulemia6667 Год назад

      Well. The Truth is One and Jesus Christ is truth. He died and rose again. At the centre of history is the God in human flesh. He is our King. The drama doesn't in any way taint His Person and so my self, am not ashamed of this Gospel for it is the power of God for salvation to everyone who believes.

    • @issackabdi7001
      @issackabdi7001 Год назад

      @@josephatmuveta7995 guysim lesbianism is from christian countries

    • @threebrothers..
      @threebrothers.. Год назад

      Point of correction,,it's not God who choose you to be a Muslim,it's the devil and false prophet Muhammad

    • @ndalisoxozwa3279
      @ndalisoxozwa3279 Год назад

      @@issackabdi7001 child molestation equals Muhammed plus 9 year old Aisha... Child brides taken by old Muslim guys... Chained Muslim boys in Sudan and Nigeria... Don't overate Islam...

  • @agnesmutindi3094
    @agnesmutindi3094 Год назад +2

    This people needs a very serious deliverance

  • @estherwanja9754
    @estherwanja9754 Год назад

    Unajiita yesu na unadanganya…hao watoto ni wako

  • @igcateshiks1871
    @igcateshiks1871 Год назад +3

    Samson imbako wimbo😂😂😂

  • @heritier5119
    @heritier5119 Год назад +7

    Tutasulubisha Yesu

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Год назад +2

    Mkiambiwa ukristo sio dini hamkubali ukristo ni jina na biashara

    • @threebrothers..
      @threebrothers.. Год назад

      Usiongelelee usichokijua,soma bibilia Kwanza ndio utaelewa Kwa nini huyu anajiita yesu,lakini huwezi elewa sababu huna roho mtakatifu,bibilia ilitabiri kuna watu watakuja kujifanananisha na yesu,

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@threebrothers.. naosoma biblia vizuri hata quran inasema nabi wa mwisho ni mohamed sw lakini watakuja manabi wa uwongo mimi siwezi kusoma biblia kiroho kwa sababu biblia inasema hosea 9:7 huyo nabi ni mpumbavu huyo mtu mwenye roho ana wazimu kwa sababu ya wingi wa uwovu wake kasome hilo andika kwenye biblia yako kisha uniambie lipo halipo

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@threebrothers.. Hosea 9:7
      Siku za kupatilizwa zimekujā, siku
      za kulipa zimefika; Israeli atayajua
      hayo; huyo nabii ni mpumbavu, huyo
      mtu mwenye roho ana wazimu; kwa
      sababu ya wingi wa uovu wako, na
      kwa sababu uadui umekuwa mkubwa

    • @CarolineKabeyeka-bo4qx
      @CarolineKabeyeka-bo4qx Год назад

      Yesu hakuwa na mke,tena alikuwa na nguvu kama moto akaribiwi

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@CarolineKabeyeka-bo4qx kweli nabi yesu alikuwa hajaowa na atakapo rudi ndio ataowa sisi tunamuamini yesu na tunampenda kwa sababu yesu ni musilamu mwenzetu nipe andiko linasema yesu alikuwa ni moto aliweza kuwafundisha vipi wanafunzi wake km alikuwa moto na na umesema hakaribiwi ilikuaje wakamkamata na kumsulubu msalabani na hakaribiwi

  • @africa251
    @africa251 Год назад +7

    Do you agree this guy knows alot of scriptures ?

    • @ustadhfarouq7729
      @ustadhfarouq7729 Год назад

      Huyu ni bure kabisa hakuna kitu anajua hawa ndio wale Yesu alituonya katika MATHAYO 24:24

    • @wycliffemokua7639
      @wycliffemokua7639 Год назад +1

      uliza kiande. atakuambia, "kama ni dini na shetanii ana dini. walla dini sio njia ya uzima".

    • @StanslavsMuoki-il5uz
      @StanslavsMuoki-il5uz Год назад

      This man is mad

  • @jackiewanami1543
    @jackiewanami1543 Год назад +1

    Lakini hii jamaa imeshika bibilia kuniliko😂😂😂😂

    • @nickboy3340
      @nickboy3340 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Год назад

    Huyu jamaa kalisha wafundisha uongo Mkuu,

  • @Sheylahope
    @Sheylahope Год назад

    Bangi mbaya 😂😂😂

  • @mwajumamunezero4055
    @mwajumamunezero4055 Год назад

    Mnatafuta pesa kwenye njia haramu subili Allah anawawaona

  • @jobwanjala9176
    @jobwanjala9176 Год назад

    Ako chuo😂😂😂

  • @francisomondi3549
    @francisomondi3549 Год назад +1

    Huyu Yesu amekunywa Omulunje nyingi sana.

  • @titustendwa
    @titustendwa Год назад

    Huyo mzee atubu dhambi zake asamehewe

  • @DottoVales-m7p
    @DottoVales-m7p 5 месяцев назад

    Balaaa 😂😂😂😂