RUTO UKITAKA CHUKUA VISA YANGU LAKINI MASHOGA LAZIMA TUWACHANE NAO!!BITTER MOHAMED ALI SAYS ON LGBTQ

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • RUTO UKITAKA CHUKUA VISA YANGU LAKINI MASHOGA LAZIMA TUWACHANE NAO!!BITTER MOHAMED ALI SAYS ON LGBTQ

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @Arita_thee.protagonist
    @Arita_thee.protagonist Год назад +199

    Today I stand with Mohammed Ali 💯

  • @edwinnanyaro6717
    @edwinnanyaro6717 Год назад +62

    Nimefurahishwa sana maoni ya Mohamed Ali...ni mtu makini sana...angalau Waafrika wanaweza kusema tena kwamba Marekani na Ulaya waheshimu Mila na desturi za Afrika...love from TZ 🇹🇿

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Год назад +3

      Shida ni hizi jinga ambazo hupendelea wazungu kila wakati, umemskia huyo mbunge wa mwisho hapo....ati friendly countries....

  • @appleeye1356
    @appleeye1356 Год назад +200

    May the good Lord increase your years and promote you to untold heights Hon Mohammed. You've spoken for us. Asante sana na usichoke kuizungumzia hadi iondolewe kama kule Uganda. Mwenyezi Mungu akutie nguvu.

    • @jackiel2798
      @jackiel2798 Год назад +4

      Jicho pesa...his not honest with Kenyans
      He was with ruto on that day in mombasa...hii ni hot air

    • @samuelmacharia6046
      @samuelmacharia6046 Год назад +1

      Let the truth be truth

    • @appleeye1356
      @appleeye1356 Год назад

      @@jackiel2798 Well, at least he's blowing hot and not cold. It's that heat we are looking for to blow LGBTQ out of Kenya.

    • @peterqp1
      @peterqp1 Год назад +1

      Apple eye repent

    • @abduljabbarmohammed4188
      @abduljabbarmohammed4188 Год назад

      @@jackiel2798 You are not telling the truth. Mohamed Ali is a true Muslim he doesn't tolerate homosexuality.

  • @Africa_unite
    @Africa_unite Год назад +138

    how i love this speech,, a true African leader, the next Gaddafi, museveni, Malema, kagame, i just admire his speech

  • @مبغضالبدع-ع9ص
    @مبغضالبدع-ع9ص Год назад +128

    Muheshimiwa Mohammad Ali tunakuunga mkono Mia kwa Mia! Wala usikhofu, Allah akuhifadhi na akupe umri mrefu wenye kila baraka na kheri! Aamin

  • @jacqya.m755
    @jacqya.m755 Год назад +28

    This is the kind of leadership we need. Not pple who can be silenced with money and corruption. May God continue to uplift you Hon.Muhammed Ali.

  • @APOSTLE_JOHN_WONDER_GITAHI
    @APOSTLE_JOHN_WONDER_GITAHI Год назад +98

    spirit of patriotism a true leader speaking out what you believe in,vry few can speak openly.kudos Hon Ali

  • @zuberihaji9944
    @zuberihaji9944 Год назад +36

    MashaAllah Mohamed Ali, may Allah protect your from the devil's, I agree with what you have said 🙏

  • @unveilwithbrenda3194
    @unveilwithbrenda3194 Год назад +108

    God is raising up leaders like you to bring Kenya back to God,much blessings

    • @mueninzioka1187
      @mueninzioka1187 Год назад +7

      I Salute you Mohammed Ali!! May God stand with Kenya as we pray against this evil thing!!! God bless you!

    • @enn4983
      @enn4983 Год назад

      You don't bring people back to God by saying that God's children should be killed.

    • @serengetiduma1090
      @serengetiduma1090 Год назад

      Oh man, whats up down there in Kenya!..😢😢

  • @paulnyakxx
    @paulnyakxx Год назад +175

    I love the fact that he used Swahili instead of English
    Edit: it goes to the heart.

    • @cytkl
      @cytkl Год назад +5

      Hana minyororo ya akili.

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Год назад

      ​@@cytkl hataaa

    • @kwekwenyotakwekwenyota183
      @kwekwenyotakwekwenyota183 Год назад +2

      Juu anajua mwenye anamwambia hajui kiswahili hata sikia na pesa walikula 😂😂😂😂😂😂

    • @leetheintel
      @leetheintel Год назад

      Misplaced priorities!
      Sasa Mohammed Ali ulinyamazishwa na show yako ya Jicho pevu, pesa ikakutawala, and you're here wanting fame for that stand.. Judging others for sinning differently?? Hypocrisy at its highest!

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Год назад

      @@leetheintel my friend nothing is more important than family ...unaona chenye kinafanyika USA.....wacha waibe, but LGBTQ....hiyo hapana....

  • @nancywambui8593
    @nancywambui8593 Год назад +48

    Very good 👍 and God bless you 🙏 you are not just a leader but a blessing to our country Kenya 🇰🇪

  • @amosafrica2350
    @amosafrica2350 Год назад +36

    This man is speaking in spirit. Let's keep his message alive and support his vision. Tutakomesga ushetani.

  • @alfanmwatamu9030
    @alfanmwatamu9030 Год назад +62

    Mungu akuongoze na kila lakheiri na uendelee kuitetea haki bila hofu In Sha Allah

  • @njerimukiria6151
    @njerimukiria6151 Год назад +27

    I salute you Sir. Thank you for speaking the truth

  • @ynahmorata7604
    @ynahmorata7604 Год назад +14

    Allah akupe maisha mema na marefu mbunge 🙏🙏

  • @peacefulrhythms9027
    @peacefulrhythms9027 Год назад +19

    Thank you Lord the kind of leaders we need, increase them in boldness and wisdom, God above everything

  • @monicakariuki7988
    @monicakariuki7988 Год назад +46

    May the Lord,bless you Mohammed Ali

  • @kyalokamina6497
    @kyalokamina6497 Год назад +45

    May God bless you Sir for standing up against Satanism.

    • @elizabethmkude9452
      @elizabethmkude9452 Год назад

      Tena kaka wazungu wananuka Sana kaanae hasubui ikifika sa6 ananuka mno

    • @halidiabdallah1355
      @halidiabdallah1355 Год назад

      Nimekuelew xn mungu akupe afya njema by kanick from Tz

  • @leonardrono3868
    @leonardrono3868 Год назад +29

    I salute you jijo pevu Moha for speaking the truth

  • @philiswanjiru2328
    @philiswanjiru2328 Год назад +35

    The leader we want in Kenya , God bless you , you're still jicho pevu we used to follow those days🎉🎉🎉🎉

  • @gracejapheth3476
    @gracejapheth3476 Год назад +21

    Mungu akubariki mh. Usiogope kufanya kazi uliyotumwa na Mungu upo hapo kwa makusudi yake, Mungu akulinde na mabaya yote.

  • @maggymaina8104
    @maggymaina8104 Год назад +12

    How do I support this a hundred times oh Jesus bless this man

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba6802 Год назад +27

    Nimekupenda bure; umeongea kitu cha maana sana Mungu akubaliki 🙏🙏🙏🙏

  • @mwanduzironald7960
    @mwanduzironald7960 Год назад +7

    I love this man.. much respect for Uganda+Kenya+

  • @emmanuelokengo
    @emmanuelokengo Год назад +17

    Wow, may Almighty God bless you kiongozi , hongera 🙏🙏... you've nailed it. And that's the truth.

  • @zainaburuthzainaburuth3376
    @zainaburuthzainaburuth3376 Год назад +22

    Well spoken and may God answer our cry,hatutaki mashoga

  • @ibrahimkibiru9055
    @ibrahimkibiru9055 Год назад +6

    visa ya mbinguni. Mohammed Ali God increases your knowledge in seeking his kingdom. asante sana. God bless you

  • @alicemukiri941
    @alicemukiri941 Год назад +24

    Kenya we need such tough leaders like Mohammed Ali kudos kaka jicho pevu💪💪👍👍

  • @SamsungSamsung-qs8mb
    @SamsungSamsung-qs8mb Год назад +15

    Well spoken Ali may almighty cover you with blood of God..If you say true you are bad but we always say the truth will set you free

  • @yasintakahamba1320
    @yasintakahamba1320 Год назад +19

    Niko Tanzania lakini Nina kuomba kaka MUNGU akulinde na raisi wenu luto naserikali ya luto mungu awafunike Kwa uwezo wake shetani asipate nafasi

  • @harungalana2751
    @harungalana2751 Год назад +51

    The beautiful speech ever heard

    • @dulsen2011
      @dulsen2011 Год назад

      This is because you’ve got a baby brain.
      LGBT is a non issue for kenyans .
      How about jobs, social security, health care discussions?
      Stoop this schupidity , your kids are dying using drugs no jobs no perspective, politicians are robing us our future and our children’s future, but your issue is what other adults doing in their beds ?
      Id!0t

    • @eliahmauza
      @eliahmauza Год назад

      Hongera sana Mbunge wangu

  • @brendamwangi2639
    @brendamwangi2639 Год назад +4

    Thenk you jicho pevu keep up my brother for a good job i am behind you we want the LAW in Kenya NO SHOGA TO BE IN KENYA!!

  • @ibrahimissack9251
    @ibrahimissack9251 Год назад +17

    What a true leader he is. May Allah protect you and guide you

  • @marymwema9355
    @marymwema9355 Год назад +2

    God bless you so much. May He add you many more years to fight for the truth. Thank you brother!!

  • @virginianganga2556
    @virginianganga2556 Год назад +6

    Moha thumbs up such a fearless and bold leader, sure Moha well spoken we fear God but not man

  • @jemimahmaghenyi7035
    @jemimahmaghenyi7035 Год назад

    Asante Muhamed kwa kutetea wanyonge na watoto. God bless

  • @rashidbilal1150
    @rashidbilal1150 Год назад +4

    Umeongea Muhammed Ali.. na INSHAA ALLAH watashindwa kwa uwezo wa ALLAH

  • @josephmulwa.9249
    @josephmulwa.9249 Год назад +1

    Bravo Hon.Mohammed Ali,I second your sentiments mheshimiwa "mashoga na wasagaji na wauawe"Thanks for your prudence Sir

  • @sarahwangoi2621
    @sarahwangoi2621 Год назад +20

    May God bless you muhammad for the stand without fear

  • @anjellamasika-lm4ze
    @anjellamasika-lm4ze Год назад +1

    Thank you Sir,isalute you.

  • @jacobsladder890
    @jacobsladder890 Год назад +7

    Well said Muhammed Ali!!! Keep the zeal!

  • @icemanb5065
    @icemanb5065 Год назад +3

    Brave brilliant Mohamed Ali. Usitishwe . Alhamdulilah you are our voice na tuko na wewe.

  • @raymondofula6620
    @raymondofula6620 Год назад +3

    That is the Mohamed Ali, I knew, respected and had faith in, an upright citizen, patriotic, knowledgeable and committed to what is right. 👍👍👍

  • @perisken118
    @perisken118 Год назад +4

    Speak it up Mohammed we are also tired of it here in America. May my mother land kenya fear God. Love this!

  • @chrisodongookubasu134
    @chrisodongookubasu134 Год назад +8

    Kweli! Kabisaa.
    This speech is Deep.

  • @paulinemasengo2837
    @paulinemasengo2837 Год назад +4

    Very good, bravo Sir Mohammed

  • @rehemamwandemani5182
    @rehemamwandemani5182 Год назад +7

    Mungu ibariki Kenya Mungu ibariki Africa 🙏

  • @sylviaakinyi937
    @sylviaakinyi937 Год назад

    Thanks for your good words my MP nyali

  • @loisechege6449
    @loisechege6449 Год назад +12

    On this one I say speak louder 👍👏👏👏👏👏‼️

  • @bernsterproduction7724
    @bernsterproduction7724 Год назад

    Safi sana kiongozi. Mungu akuongezee maisha marefu..WAAFRIKA TUSIMAME IMARA NA TAMADUNI ZETU TUSIKUBALI MAKABURU WATUHARIBU.

  • @monicawangarichannel1299
    @monicawangarichannel1299 Год назад +11

    This is good and intelligent mind we need

  • @monicahmaganga570
    @monicahmaganga570 Год назад +1

    Thank you my MP Mohammed Ali for moving this motion God bless

  • @kevinahbarongonyachae
    @kevinahbarongonyachae Год назад +18

    Visa tunayotafuta ni visa ya mbinguni I support you jicho washindwe kwa jina la yesu kweli ljbtq wauwawe

  • @OldisGold1982
    @OldisGold1982 Год назад +1

    I really like this mp. May God help you

  • @monicawangarichannel1299
    @monicawangarichannel1299 Год назад +11

    Next governor for mombasa.he has what it take for good leadership

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Год назад +1

    Safi Sana

  • @slynimoh8441
    @slynimoh8441 Год назад +16

    All wat he has said its true wakenya na wafrika wengine wanapenda kusugercoat vitu all wat he said it 1000% real

  • @wrongturn...4576
    @wrongturn...4576 Год назад +1

    I'm from Tanzania...ManshaAllah Mohammed Alli

  • @leonard2121
    @leonard2121 Год назад +5

    Mungu akutie ujasiri na nguvu na akukinge na kukuzingira na wigo wake. 🙏 Amen!

  • @lucyzacharia2959
    @lucyzacharia2959 Год назад

    Mungu akulinde mh wewe na family Yako, kiranja wa kweli ni Mungu pekeake,, Ubarikiwe sana 🙏!.

  • @emmainyele2700
    @emmainyele2700 Год назад +8

    May Allah grant you more wisdom 🙏 hon Ali

    • @cytkl
      @cytkl Год назад

      Dume kweli i respect him

    • @dulsen2011
      @dulsen2011 Год назад

      @@cytkl having a small d!ck and big mouth is not being "dume”

  • @b.tedley2586
    @b.tedley2586 Год назад +5

    apply the same passion in dealing with the corrupt...they are making life unbearable for the rest of us

  • @marthangumi371
    @marthangumi371 Год назад +4

    Nothing but truth,a true son of mother Africa,we see you and salute you,we need leaders like you who are not afraid to stand for their people.much respect

  • @stellahokworo6561
    @stellahokworo6561 Год назад

    God bless you Mohammed Ali for your good point

  • @raelamunga6785
    @raelamunga6785 Год назад +7

    Amen my brother 🙏

  • @joelerasto1411
    @joelerasto1411 Год назад

    Excellent mp keep it up

  • @hannahfurrer2811
    @hannahfurrer2811 Год назад +7

    May the Lord God continue to give you same wisdom you have .talk for the voiceless

  • @PauloChacha-mg3ck
    @PauloChacha-mg3ck Год назад

    Well saying my brother from Kenya God bless you

  • @lucykarii
    @lucykarii Год назад +47

    we need more of our Muslim brothers in the government!

    • @blaquecinderella3560
      @blaquecinderella3560 Год назад +8

      Hmmm not really. We just need humans with a conscience and bold enough to express it. If memory serves me right, even the Christians have openly condemned that Ruling, both in government and opposition and the President was first in line

    • @ketlivenews7843
      @ketlivenews7843 Год назад +1

      ​@@blaquecinderella3560 Ati President did what?😂😂😂
      Huyo ameshikwa mateka na US/UK hawezi pinga ushoga/ushagaji.

    • @blaquecinderella3560
      @blaquecinderella3560 Год назад +1

      @@ketlivenews7843 😂😂alipinga hata ilikua headlines kwa magazeti wewe.

    • @Jrhythms.
      @Jrhythms. Год назад

      Indeed

    • @juliusmagoti5650
      @juliusmagoti5650 Год назад +2

      Its not a matter of being a Moslem, and Hope Honourable Mohemed did not stand to speak as a Moslem but rather a member of Parliament, regardless of hos religion

  • @abdikadirsheikhmohamed8075
    @abdikadirsheikhmohamed8075 Год назад

    mohomed ali shukran baraka allahu fiika

  • @kerush6983
    @kerush6983 Год назад +7

    What I love is his kiswahili!!! Watu we wa nafikiria eti lazima tuongee luzungu!!!! Our African language, roots, cultures, names is everything.

  • @esthermliga4875
    @esthermliga4875 Год назад

    Mungu azid kukulinda kiongoz, hakika roho wa Mungu yu ndani yako!! Asante kwa kusema kwel, damu ya Yesu ikufunike!!

  • @tajiriadamu41
    @tajiriadamu41 Год назад +8

    God bless you African hero 🙏🏿

  • @titusmutungi9407
    @titusmutungi9407 Год назад

    Amen 🙏🙏 be blessed bwana Ali Mohammad

  • @veronicamueni2176
    @veronicamueni2176 Год назад +13

    The leader we want in this country 👏

  • @petermwaluma2044
    @petermwaluma2044 Год назад

    I like your courageous Mohammed Ali .. Speak out the Truth and ashame the devils

  • @solomonmwangale5089
    @solomonmwangale5089 Год назад +5

    I agree with the Hon. Mohamed Ali

  • @simonprosperity9573
    @simonprosperity9573 Год назад +1

    Kwa kinywa chako Mungu ameweka ujasiri ndani yako wa kuisema kweli, na hakika tukiifahamu hiyo kweli itatuweka huru. Be blessed man of God.

  • @Hellennafula48
    @Hellennafula48 Год назад +6

    Mashoga wauwawe hata ni aibu ukweli na African ndio mtu wa kwanza kuumbwa na mungu wazungu ama watu weupe wapo na roho mbaya hatuwataki kabisa let the truth be talked ❤❤

  • @catherinemunee7419
    @catherinemunee7419 Год назад +1

    Ali God bless you. Be sure God will bless you for this. I agree with you 💯

  • @ketlivenews7843
    @ketlivenews7843 Год назад +11

    All along I have known that Mohammed Ali is a leader who means well for the common wananchi. In fact in the run up to 2022 elections, some of us Azimio supporters in Mombasa wished and thought that he would lose his Nyali seat! I remember betting with someone on this when I maintained that Mohammed Ali is the only UDA candidate who would make it in the elections. When the elections came, they saw the win in viusasa and buuuuum, Mohammed Ali won with a landslide margin. Today when he stands on the podium agitating for the desire of the common wananchi berry confidently like he does, then it's not only us who are happy with him but God who chose him is HAPPIEST with him. Moha, shikilia hapo and God will reward you for discerning and condemning moral decadence in our Society.

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 Год назад

    Mungu akupariki sana Mohammed Ali tuko na wewe mia kwa mia

  • @annshee972
    @annshee972 Год назад +12

    Nice thing have heard this year,,, may continue giving you more wisdom

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Год назад

      Ati vile wewe mcute hivi, uende kupelekea Dem mwenzako urembo huo wako....

  • @sammynjogu7748
    @sammynjogu7748 Год назад

    Mwenyezi Mungu akupe umri,akujalie heri na akuepushie Shari. Wewe ni kiongozi shupavu. Ushasema ukweli..visa tuyofuata sisi ni ya mbinguni. Ahsante Moha

  • @salahibrahim2798
    @salahibrahim2798 Год назад +3

    Who can’t love this guy.. true African speech there, speaking like Mzee president Museveni, I saw president Kagame in him while he was giving his speech. A lot to admire from Hon Mohamed Ali

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Год назад

    Jazak Allahu Khairaan Kathiraan Mh.Mohammed,Allah akulinde na kila shari na akupe umri mrefu wenye manufaa,Aamiin.

  • @apostlefredricksyengo2002
    @apostlefredricksyengo2002 Год назад +15

    💯💯God bless you honerable Ali,we refuse LGBTQ in Jesus might name

  • @josephinezawadi5773
    @josephinezawadi5773 Год назад

    Hongera sana mueshima Mungu akutete utusemee sisi wanyonge

  • @matheriglenjoseph7330
    @matheriglenjoseph7330 Год назад +3

    Most high bless this gentleman
    He deserves to be kenya president in days to come
    He his the only remaining heroes🙏

  • @williamsville3493
    @williamsville3493 Год назад

    Mungu akujalie MOHAMED ALI pambania haki

  • @aminaoman2100
    @aminaoman2100 Год назад +10

    Tunaitaji viongoz kama hawa wenye kauli za kijasir na zahaki ❤

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад

    Maashaallah Allah akupe mwisho mwema Muhammed Aly ❤

  • @priscahjebet5379
    @priscahjebet5379 Год назад +6

    Amen Amen 🙏🙏

  • @belindandiwa6606
    @belindandiwa6606 Год назад +2

    True ..we were searching someone to opposed this LGBTQ...ni kweli wauwawe kabisaaa nchi yetu imearibika kabisaa ukatili mkubwa watoto wetu wataishi vipi kama ni hii mambo ya roho ya Jezebel...mungu atusaidie kizazi chetuuu kweliii🙏🙏🙏🙏

  • @OscarLucars-yh5jj
    @OscarLucars-yh5jj Год назад +13

    Kauli nzuri sana "mkuu wa hii dunia ni mwenyezi MUNGU" waeleze ukweli MUNGU wa mbinguni akubariki sana🇹🇿

  • @allyshafi4391
    @allyshafi4391 Год назад

    Mashallah Mh M/mungu akusimamie ktk kazi zako❤

  • @dorahkwamboka2005
    @dorahkwamboka2005 Год назад +4

    God bless this man.

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Год назад +1

    Good 👍 hatutaki mambo ya wamarekani wanatumika na shetani kuuharibu ulimwengu

  • @davidaguvasu4553
    @davidaguvasu4553 Год назад +63

    How long are we going to talk on matters that are not helpful to Kenyans? LGBTQ is illigal from the creation, can we handle matters of hunger and high cost of living?

    • @frankchiedo4109
      @frankchiedo4109 Год назад +1

      really David???

    • @carolokoyo7466
      @carolokoyo7466 Год назад +3

      That’s true. Even uhuru told the world “that’s a nonissue for Kenya”

    • @dennisjuma6124
      @dennisjuma6124 Год назад +6

      This is avery serous issue if you don't know. Wacha hunger sasa .

    • @josephgateri5772
      @josephgateri5772 Год назад +12

      If your children eat well and be healthy and become gays and lesbians will you be happy?

    • @wayando
      @wayando Год назад +6

      While we are distracted with hunger, things are being pushed through the courts ... Laying ground work ... We must me vigilant.

  • @bonfacelitali9771
    @bonfacelitali9771 Год назад

    Mp Ali good job you are a legend