SHEIKH OTHMANI MAZINGE | HUYU NDIE MUNGU MTU | ALIE DHALILIKA MBELE YA WAUMINI WAKE | WAKASILIMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • SHEIKH OTHMANI MAZINGE | HUYU NDIE MUNGU MTU | ALIE DHALILIKA MBELE YA WAUMINI WAKE | WAKASILIMU
    #Masjid_Mtoro_Online_Tv #Othman_Mazinge

Комментарии • 444

  • @kingilazaro344
    @kingilazaro344 3 года назад +12

    Wallahi sheikh mm sina la ziada ila nakuombea kwa Allah akuzidishie umri na akujaalie maisha marefu uzidi kutuelimisha na uzidi kuitangaza dini ya ALLAH.Allahu bareek.

  • @bintkijangwa4305
    @bintkijangwa4305 3 года назад +21

    Allahu akbru
    Allah akupe umri mrefu furaha na amani akuondolee hasadi za waja wake

  • @amoury1481
    @amoury1481 3 года назад +7

    Allah Akupe Maisha Marefu Na nguvu Shekhe Wetu Mazinge.Tunakupenda Waislamu

  • @hanifaamani3363
    @hanifaamani3363 3 года назад +9

    Nakupenda kwa ajili ya Allah.Allah akupe mwisho mwema.

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад +20

    MashaAllah... Kipenz cha mtume Muhammad.. Mazinge Mazinge kipenz chetu umefanya kazi kubwa ktk dinn yetu ya Islamic... Allah akulipe ujira mwema..

  • @abdallahzuwena6292
    @abdallahzuwena6292 2 года назад +1

    Allah azidi kumpa afya na umri mrefu sheikh wetu MAZINGE

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 3 года назад +7

    Sheik mazinge Allah akupe umri na kila cha kheri unachokitaka na kuelewa sana inshaa allah

  • @allyshomari7417
    @allyshomari7417 Год назад +1

    Maashallah taabaraka Allah!! Mwenyezi mungu akupe nuur!! Na mwisho mwema kwa kuutangaza dini mwenyezi mungu Mmoja!! Allah!! Subhana llah nahuu wat'aala!!

  • @mrashisuweid940
    @mrashisuweid940 3 года назад +3

    Mungu akupe umri mrefu akulinde na kila hasad akupe ujira usiokoma duniani na akhera

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 Год назад +2

    Sheikh Mazinge nakupenda kwajili ya Allah 🙏

  • @khadijaiddi4887
    @khadijaiddi4887 3 года назад +9

    Allahu Akbar sheikh mazinge Allah akujaalie umri mrefu yaa Rabbi

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Год назад +1

    Mashaallah 💓❤️ mazinge Allah akuzidishie umuri

  • @yusufmahdi8921
    @yusufmahdi8921 Год назад +3

    May Allah sw bless our sheekh and grant him janaa firdows Amiin

  • @sadauwimana9550
    @sadauwimana9550 3 года назад +5

    Allah akupe maisha marefu akulinde na kila baya..

  • @husseinbwakame3785
    @husseinbwakame3785 3 года назад +6

    Mashalaa mungu akupe maisha marefu

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 3 года назад +21

    Allah akuweke mazinge asante kwa daawa 🤲🤲🙏🙏

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr 3 года назад +6

    Mazinge ni moja tu hawezi akatokea mwengine yani ww ni kibogo kichwa chako kiliko Google mtu akiaza swali ww ushajua mjibu vipi MashaAllah

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 года назад

      Subhanallah!!!kuamini hivyo unavyosena, maana yake ni kuamini ukomo katika uwezo wa Mungu, kitu ambacho si kweli!!

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 года назад

      @@AA-yr7sr acha ujinga kaka, kudai kuwa hatatokea mwingine ni kuamini katika ukomo wa uwezo wa Mungu kitu ambacho sio sahihi, sasa kama unaendelea kupinga, sikukatazi,,,,ila nashuhudia kwa Allah kuwa nimekufikishia!!

    • @adanali3074
      @adanali3074 3 года назад

      Mimi ni sheik naniko Nairobi

    • @adanali3074
      @adanali3074 3 года назад

      Mimi ninataka kufaya muhadaraa

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 3 года назад +5

    Masha Allah penda sana sheikh mazinge jmn,Allah akuweke ww na akupe afya njema .

  • @yasinamiri7649
    @yasinamiri7649 3 года назад +34

    MASHAALLAH ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ MASHAALLAH 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 AFRICA FATHER INSHAAALLAH ALLAH AKUPE MWISHO WEMA NA KAULI SABIT SHEH OTHMAN MAZINGE

  • @Arishafa547
    @Arishafa547 Год назад +4

    Hakika mungu na kumpenda kwaajili ya Allah

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 3 года назад +4

    Sheikh mazinge Allah azidi kukulinda na akupe umri mrefu uzidi kuulingania dini ya kweli Al Islam

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 2 дня назад

    Mashallah Mashallah Mashallah shukrani Allahu Akbar Allah akubariki akulinde

  • @mwachidzopoposalimpopo8890
    @mwachidzopoposalimpopo8890 3 года назад +6

    Am proud to be a Muslim

  • @omarjeylani9144
    @omarjeylani9144 3 года назад +20

    Allahu Akbar, he is the best MashaAllah TabarakaAllah, walahi Sheikh mimi nakupenda na Allah anijaaliye nionane nawe ili nikukumbatiye na npigie selfi nawe, wewe ndio celebrity wangu na wala sio Diamond au Ronaldo.

    • @asiaabdullah3747
      @asiaabdullah3747 Год назад

      Mashallah Allah akuzidishie Inshallah na akupe maisha marefu yenye kher na ww

  • @shakilaabdallaherio5617
    @shakilaabdallaherio5617 3 года назад +4

    Mashaallah shekhe wetu mzinge hakika ukionoka katika hii dunia hakuna atezba pengo lako

  • @zuenawhite4777
    @zuenawhite4777 3 года назад +4

    MashaAllah Allah akupe umri uzidi kufaidisha umma sheikh wetu..

  • @nadhifasalum1662
    @nadhifasalum1662 3 года назад +8

    Mashaallah sheikh wetu kipenz kabisa mungu awape umri wenye mafanikio wahadhiri wote wanaotetea dini ya Allah sw mungu akulipe shekh wetu aaaamin

  • @ibrahimchelangat1710
    @ibrahimchelangat1710 3 года назад +28

    You are most respected sheikh in the world I respect you ustath mazinge may ALLAH bless you

  • @bendobidhaa3018
    @bendobidhaa3018 Год назад

    Allah akuhifadhi Sheikh malipo yako kwa Allah yazamishe mizani kwa mema matupu..

  • @maimunakassim2840
    @maimunakassim2840 3 года назад +6

    Allah nijalie watoto wema wasimame kutangaza dini kama mazinge

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 3 года назад +15

    Allah akujaalie kheri duniani na akhera!!!

  • @fatumahamisi7064
    @fatumahamisi7064 3 года назад +9

    Allah akulipe khery dunia fil _ Akhera .ust mzinge na maisha marefu uvune khery nying ( Jazaq llah khery

  • @aishaburundi7058
    @aishaburundi7058 2 года назад +1

    MAsha Allah tabarakaallah Allah Azid kukuifadha 🤲 Ustadh Mazing

  • @fatmahassan4790
    @fatmahassan4790 3 года назад +17

    MaSha Allah TabarakaLlah Mungu Akuhifadh,i Akubariki, Akupe Afya, Akulipe Kila Khatua unayoitukua. Dua twakuombea kwa wingi. Akulipe JANNATAL AL FIRDAUS

  • @hadijasaid9463
    @hadijasaid9463 3 года назад +2

    Yaa Allah mpe shekh wetu mazinge maisha marefu na afya njema ameen yaarab

  • @nooor1120
    @nooor1120 3 года назад +10

    MaashaaAllah
    Allah akuzidishie ilm yenye manufaa
    Allah akupe afya kamil
    Allah akupe umr tawil uzidi kuelimisha umma
    Allah akujaalie husn lkhatimah

  • @ramadhanchachamaa2430
    @ramadhanchachamaa2430 2 года назад

    allah akuweke maisha malefu uzidi kuwapambania hao makafili wasio ijuaa dini ya allah

  • @mizolion923
    @mizolion923 3 года назад +25

    Mashallah mungu akupe umri mrefu na wenye manufaa

  • @faridabakari3528
    @faridabakari3528 3 года назад +4

    mashaAllah .. mawaidha ajab .... 2021 .. Alhamdhullih.. Allah akuongozeee shekh wetu

  • @minahadi2190
    @minahadi2190 3 года назад +5

    MashaAllah Allah akuifadh shekh wetu

  • @user-hk2om2ef7m
    @user-hk2om2ef7m 3 года назад +6

    Wallahi sheikh mazinge waeza kumskiliza siku nzima

    • @rehemahamisi3198
      @rehemahamisi3198 3 года назад

      Mashaallah,,mungu akupe umri mrefu naomba uje mpaka Arusha kwa morombo

  • @mariumpeter6147
    @mariumpeter6147 3 года назад +7

    Sheikh we kiboko.Namuomba Allah aniwezeshe japo siku moja nikuandalie muhadhara mkubwa sana

  • @user-je7jj1vi2u
    @user-je7jj1vi2u 3 года назад +82

    Naminatamani nizaye mtoto awekama mazinge insha Allah

  • @mnyongehome5013
    @mnyongehome5013 3 года назад +3

    Allah akupe maisha marefu shekh mazinge inshaallah

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 3 года назад +6

    Mungu akupe afya na umri mrefu wewe na wenzako munaotufahamisha

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 Год назад

    Mashaallah_Mungu_akupe_pepo_umeanza_Dini_mi_nazaliwa_wewe_umeanza_kutangaza_Dini

  • @yusuphamani72
    @yusuphamani72 3 года назад +7

    Mwenyezi mungu akuongezee umri wa kuishi
    Inshaallah

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 3 года назад +10

    Mazing tunakupend Kwaajil ya Allah❤🙏🙏

  • @mrashisuweid940
    @mrashisuweid940 3 года назад +5

    Tunakupenda sana kwa ajili ya Allah

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko 3 года назад +2

    Mashaallaah mola tuhifadh..nakuepush na madui na mahasidi..amiin yarab tujalie tukaigie pepon kwa rehema zako 💜❤🇹🇿🇹🇿🤲🤲🤲

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад +7

    Mashallah tabarakallah mie nilikua sijulikan kama takueko dunian

  • @saidahlizwilly3835
    @saidahlizwilly3835 3 года назад +13

    Ma shaa Allah May Allah bless me with a kid to be like you Sheikh Mazinge In shaa Allah

    • @JumaNguchiro
      @JumaNguchiro 11 месяцев назад

      Nipo kep ta un wee unaesema mazinge muongo nyinyi watu waagano jipya nalakale mnatab

  • @slaartistproduction6937
    @slaartistproduction6937 3 года назад

    Shekhe wangu mazinge pamoja na kishki hawa ni binaadam wasiwaumize vichwa hao wanaowalaumu matusi haya hawakuyasikia au wanajitoa ufahamu kumbuka kwenye msururu wa mamba hata kenge wapo mungu atawakinga endeleen kutoa daawa mungu awaweke ihshaala,

  • @rashidkalimbo2451
    @rashidkalimbo2451 3 года назад +10

    MashaAllah Sheikhe Mazinge Allah Akupe umri mrefu In Shaa Allah...

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme5381 3 года назад +4

    Mazinge eeee njooo malindi basiiiii nikuone live shekh wangu
    Penda wewe bure tu

  • @yussuffamau3571
    @yussuffamau3571 3 года назад +2

    Mashallah mungu akufanyie wepesi ktk maishayako pamoja nawaisilamu wote

  • @shixeoshxs7276
    @shixeoshxs7276 3 года назад +14

    Takbiiiir Allahu akbar mashaallah mungu akuengezee umri na afya njema inshaallah uzidi kupambana nao makafiri

  • @shom1229
    @shom1229 3 года назад +17

    Allah akupe umri mrefu

    • @jamilajamila4572
      @jamilajamila4572 3 года назад

      Masha allaah shekh Mazinge Allah azidi kukupa umri mrefu shkhe🙏🙏

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 3 года назад +4

    Laailaaha illa llah Muhammadur'rasuulullah

  • @sofialion4925
    @sofialion4925 3 года назад +4

    Allah akbar mazinge Allah akuhifadhi na akukinge na hasda na husda

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed3437 2 года назад

    Maa Shaa Allah.
    Allah akulipe pepo
    Amin

  • @sakinamohamed5518
    @sakinamohamed5518 5 месяцев назад

    Allah akupe umri sheikh mazinge

  • @nadianyamuraka7068
    @nadianyamuraka7068 Год назад

    Allah akupe umri mrefu sheikh wetu

  • @shabanimbenu2163
    @shabanimbenu2163 3 года назад +3

    ALLAH AKUPE SIA NJEMA NA UMRI MREFU SHEKH WETU Amiin

  • @allyniyonkuru1761
    @allyniyonkuru1761 3 года назад +5

    Thx Mazinge

  • @mohamedomary870
    @mohamedomary870 3 года назад +10

    Allah aendelelee kukupa afya njema na uendelee kukupambania uislam

  • @mokaally9955
    @mokaally9955 2 года назад

    Allhaaa kariiim Allhaa akupe umrimrefuu inshallhaa

  • @mwanaimaabdallah7825
    @mwanaimaabdallah7825 3 года назад +15

    Allah akuhifadh kipenzi changu Sheikh Habibu Mazinge

  • @mizemudushame3676
    @mizemudushame3676 3 года назад

    Allah akujalie umri mrefu upate kuelimisha zaid n zaid

  • @ramangadu6451
    @ramangadu6451 3 года назад +11

    ILLAH KARIM Akupe Umri Twawili.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 3 года назад +5

    Allahu Akbaru, shukrani kwa somo.

  • @shukriolati4633
    @shukriolati4633 3 года назад +4

    MashaAllah Sheikh Allah (SW) AKULINDE. AMEEN

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 3 года назад +6

    Maa sha Allah

  • @cholomsury1548
    @cholomsury1548 3 года назад +1

    Shekh kila mjuzi ana mjuzi zaid... Usiseme hamna huku unakula kiapo ... Yote kwa yote Allah akulipe kwa amali zako na akudumishe kweny njia ya sawasawa na sote kwa ujumla...

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 года назад

      Kwa ujumla hapo ameteleza,,,,kwani kuamini kuwa hakuna mwingine akiondoka yeye, ni kuamini katika ukomo wa uwezo wa Mungu kitu ambacho sikweli!!

    • @saidasaidjuma3505
      @saidasaidjuma3505 3 года назад

      Mm naona kasem hivo kwa sababu mm binafsi sjaona ambay anaweza kuwa kam yeye labda kwa baadae

  • @fatmahassan6497
    @fatmahassan6497 3 года назад +15

    mashaAllah sheikh Allah akupe umri mrefuameen insha'Allah

  • @ameirsalmini6253
    @ameirsalmini6253 3 года назад +4

    Mungu anaumwa subhanallah

  • @allymahaba5584
    @allymahaba5584 3 года назад +9

    May Allah (SWT) Bless you Sheikh Mazinge. AMINA.

  • @smileboy6199
    @smileboy6199 3 года назад +3

    Mungu akuweke shehe inshaalha

  • @mhinatitus2547
    @mhinatitus2547 3 года назад +2

    Allah akupe mwisho mwema sheikh wetu na umri mrefu

  • @salehsuleiman8519
    @salehsuleiman8519 3 года назад

    Allah akujaalie umri mrefu wenye manufaa zaid

  • @hamisimaliseri8872
    @hamisimaliseri8872 3 года назад +7

    Inshallah n/mungu akulinde ili uutangaze uislam ulimwengu mzima" tuombeane uzima nitakutafuta sheikh nikupe zawadi yako

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 3 года назад +7

    Masha Allah ❤❤❤❤

  • @saikkyiddy8129
    @saikkyiddy8129 3 года назад +2

    Alhamdullillah subhanaAllah lailaha illa Allah Muhammad Rasulu Allah

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 3 года назад +3

    Allahu AKBAR allah akulipe mazuri duniani na akhera

  • @kassimali8606
    @kassimali8606 3 года назад +5

    May almighty Allah protect you sheikh live long

  • @abdulkinana6774
    @abdulkinana6774 3 года назад

    Nashahadia kuwa hakuna Mungu apasaekuabudiwa kwa haki ispokua Alla na hakika Muhammad ni mtume wa haki wa Mwenyezi Mungu. In sha Allah Mungu akinijalia mtoto wa kiume nitamuita Mazinge

  • @mohammedjuma9449
    @mohammedjuma9449 3 года назад +3

    Allah akulipe kher

  • @majaliwamaheru5368
    @majaliwamaheru5368 3 года назад +2

    Jamani ee! Waislam tumuombeeni duaa huyu mzee wallah tena hii ni zaid ya Dhahabu kwa waislam

  • @sadammatsawili7558
    @sadammatsawili7558 3 года назад +2

    Mchango wangu kidogo hapo alipomalizia ndugu yangu, Sheikh Othman Mazinge kuhusu Wakristo Kutakiwa Kuoga Janaba - Ukweli ni kwamba Wakristo wengi huwa hawaogi Janaba, na wengi wao huenda kanisani kusali wakiwa na Janaba. Kwa maana kuoga Janaba kuna utaratibu wake maalaum ambao sisi Waislamu tumefundishwa na Mtume Muhammad (S.A.W) na siyo kuoga tu kama ilivyo kawaida. Ukisoma Biblia - Agano la Kale, imeandikwa hivi - “Kama mwanamume yeyote akitokwa na shahawa yake, ni lazima aoge mwili mzima kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Vazi lolote lililodondokewa shahawa au ngozi yoyote iliyoguswa na shahawa hiyo ni lazima ioshwe kwa maji, na itakuwa najisi mpaka jioni. Kama mwanamume akilala na mwanamke, akatokwa na shahawa, basi, ni lazima wote wawili waoge kwa maji, nao watakuwa najisi mpaka jioni." (Walawi 15:16-18). Hatahivyo, ukimwambia Mkiristo kuhusu mstari huu atasema hayo ni mambo ya Sheria na Manabii, wao wanafuata Agano Jipya - hapo msaidie kwa kumuwambia kuwa Yesu hakuja kutangua Mafundisho ya Manabii wala Torati kama ilivyo andikwa katika Biblia, Agano Jipya - “Msidhani kuwa nimekuja kutangua sheria na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha. Kweli nawaambieni, mpaka hapo mbingu na dunia zitakapopita, hakuna hata nukta moja au sehemu ndogo kabisa ya sheria itakayoondolewa, mpaka yote yametimia. Basi, yeyote atakayevunja hata amri moja ndogo kuliko zote, na kuwafundisha wengine wafanye hivyo, huyo atakuwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni. Lakini yule atakayezishika na kuwafundisha wengine, huyo atakuwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Ndio maana nawaambieni, wema wenu usipozidi ule wa waalimu wa sheria na wa Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni." (Mathayo, 5:17-20).

  • @nassoraliy3871
    @nassoraliy3871 3 года назад +2

    Mungu akulide

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад +4

    Maashallah maxing e huwoni mwaka niliyo zaliwa mm Daa mudamlefu Allah atujaalie mwishomwema lnshallah

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 3 года назад +14

    Yani huyu ni zaid ya elim mashaallah

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 3 года назад +5

    ALLAH AKBAR

  • @ibnuomar9417
    @ibnuomar9417 3 года назад +3

    Mashaa Allah... Mola akubarik Maalim..

  • @ArarsoAli
    @ArarsoAli 3 года назад +3

    Masha Allah shek othman

  • @kadejahh4036
    @kadejahh4036 3 года назад +2

    Mashallah ngoja nitege sikio langu kupata mambo mzr

  • @jumakarim2504
    @jumakarim2504 3 года назад +2

    mashaallha Allah akupe umri mrefu

  • @uwesusaid9764
    @uwesusaid9764 3 года назад +7

    Barakallah othman mazinge

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum5974 2 года назад +1

    ALLAHU AQBARU

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 3 года назад +13

    ""Mashaallah Allah akueke shekh wetu mazinge"