USTADH MAZINGE AWAUMBUWA MAPADRI KWA SWALI HILI ZITO LILILOWATOA JASHO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #Mazinge #Mdahalo #Debate

Комментарии • 63

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад +9

    Mashallah Profer Mazinge DD Allah akuweke.

    • @eshasalim5496
      @eshasalim5496 2 года назад +1

      Amiin

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад +2

      Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 2 года назад +7

    Asanten sana masheikh wetu mungu awape maisha marefu ili dunia ipate kuongoka

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад

      Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 2 года назад +6

    Mazige Gwijii Allah akuzidishie ummri mrefu love u much

  • @mizzainallahwainailalhiraj8576
    @mizzainallahwainailalhiraj8576 2 года назад +10

    Mashaallah mashekhe wetu Allah awape umri mrefu
    Amiin
    Jmn wenzetu wakirsto dini ya haki ni ya uislam
    Tubieni murud kwa Allah musiwe wakaid jmn 😍

  • @user-nt4qc4zg7y
    @user-nt4qc4zg7y 10 месяцев назад +2

    Mashaallah Allah awape ulinz zid ya maadui

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 года назад +5

    MashaAllah

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 года назад +7

    Allah hawaweke mashelhk wetu Mungu awape afya njema

  • @officialidrisadc8638
    @officialidrisadc8638 Год назад +1

    Uislam ndio njia ya Mungu

  • @HassanAbdisharamo-um7cz
    @HassanAbdisharamo-um7cz 7 месяцев назад

    Mazinge mungu akulinde na akupe umri

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад +2

    maashaallah maashaallah 🥰♥shekhe mazinge

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад

      Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

  • @masala8099
    @masala8099 2 года назад +7

    uislam Raha elimu tupu makafiri ubongo zero

  • @maulidimpindo6155
    @maulidimpindo6155 2 года назад +1

    ZVP ONLINE TV Allah Qalimu azidixhe baraka zake kwenu pia mashee wetu wote Allah Qalimu hawape maixha malefu zaid innsshaallah

  • @hudhaymatmbezi2172
    @hudhaymatmbezi2172 2 года назад

    Allah akuwek ustadh wtu hakik unafny kaz kubw inxllh itfik wakt wte wataingia ktk din ya allah tusem inshalla

  • @mohamedomar9580
    @mohamedomar9580 2 года назад +7

    Mashallah naona mko live wapi mungu awalipe mema yenu siku ya qiyama

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад +2

      Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад +2

      Hii ya Siku nyingi

    • @eshasalim5496
      @eshasalim5496 2 года назад +1

      Amiin Ya Rabb

  • @pierremira
    @pierremira 2 года назад +4

    Mungu hajamuua yesu

  • @mordally
    @mordally 2 года назад +4

    Mm mpaka leo huwa sielewi hivi mtu haoni ukweli na uongo? Swali simple unalikoroga ili ubishe tu. Tumia hata akili ya kuzaliwa upate jibu

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 2 года назад

    Alhamdhulilah nashukuru mungu kwa kuwa muislam na nife nikiwa muislam vile vile

  • @setcoonlinetv6655
    @setcoonlinetv6655 2 года назад +2

    UST MAZINGE JEMEDARI LA AFRIKA MASHARIKI.

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 2 года назад +1

    Kama draft akishikwa huku aruka huku, 😂😂 mazinge mkali

  • @hiimbinaimmuslim3041
    @hiimbinaimmuslim3041 2 года назад +1

    Mashallah elimu hiyo kama hamujaifahamu wala hamufahamu tena 💪🕹

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 2 года назад

    Kawaida ya makafiri hawaelewi ata ukiwafundisha

  • @user-vf8vf7bb4q
    @user-vf8vf7bb4q 6 месяцев назад

    Mpe maiki EMMANUEL 😅😂😂😅😅

  • @hiimbinaimmuslim3041
    @hiimbinaimmuslim3041 2 года назад +1

    Dini yahaki mbele ya mwenyezimungu ni uwisilamu

    • @shabansalee4924
      @shabansalee4924 2 года назад

      👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯wakilisto 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +1

    Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojali

  • @user-nt4qc4zg7y
    @user-nt4qc4zg7y 10 месяцев назад

    Wakiristo hawana elim ila wabishi

  • @yustinmbilinyi671
    @yustinmbilinyi671 2 года назад +1

    uzuri wa iman nikwamba mtu hashikiwi rungu kwamba lazima uamini dini furan lakini unafanya unalolijua na kuliamini kwafaida ya nafsi yako mwenyewe so tunaoamini kua Yesu ni Mungu tusome sana Zaburi 91:14-16

  • @innocentshilla8677
    @innocentshilla8677 2 года назад +1

    Sipendi kutukana ile nyie watu mnazingua kinyama, Mungu hayupo hivyo mnavyomchukulia nyie, sina tusi zuri la kuwapa aiseeeee, ila tafuteni maneno mazur ya kuja kumueleza allah

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange4500 2 года назад

    Hahaha

  • @mustafaabdallah1095
    @mustafaabdallah1095 2 года назад +1

    Hawa wakristo ni wazuka.. Hata hawajielewi

  • @yustinmbilinyi671
    @yustinmbilinyi671 2 года назад

    tafuteni sana njia zakupotosha watu Mungu anawaona one day mtayajibia haya mtakapomuona Kristo kua ni Mungu nawakati mtakua mmeuchelewa

  • @DIDIKILOZOfizi
    @DIDIKILOZOfizi 2 года назад

    Waislamu wabishi mno... hawampi mtu mda wa kuongea. Mnatafsiri biblia kama kitabu cha historia. Ujinga mtupu

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 2 года назад

    We mazinge na kundi lako mpigie simu Christian prince acha kusumbua watu wasio elimu ya kutosha Quran inakiri almassia ni Mungu saa we unapingana Quran

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад +2

      Tetea hoja acha jazba

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 2 года назад +1

      Be careful brother do research before u depart in this life mungu hafi

    • @shamimnassor6192
      @shamimnassor6192 2 года назад

      Christian prince mwenyewe ni muoga kafiri yule hana uislam wala x Muslim..amekaa ndani amewapanga makafiri wenzie wampigie simu wakisema uongo. ..yeye ni km apuss na devid wood,,wanajiona Simba wakijifungia ndani ila wakitoka nje kwenye midahalo wanashindwa hoja

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 2 года назад

      @@shamimnassor6192 wote hao wameshindwa ni wasanii tuu

    • @shamimnassor6192
      @shamimnassor6192 2 года назад

      @@mohamedimohamedi8933 walai huyo alomtaja ndio hamna kitu kabisa waislam kila siku wanamwambia km ww kidume acha kujifungia ndani kuja nje tujadiliane ..ss huyu anamsifia mtu hapa ambae hajaona hata sura yake anaweka sauti tu akijisemesha mwenyewe kisha anamuona mtu huyo ni mshindi

  • @MargyslyMutemi-rg4ve
    @MargyslyMutemi-rg4ve 7 месяцев назад

    Naomba number