Kwahiyo wasio kua wasilamu unawaweka kundi gani basi sisi tumuomba Mungu wa iblahimu Mungu wa isaka Mungu wa yakobo na wa musa na wa dauda na wa sulemani na wa danieli na wa yesu ambaye jina lake ni yehova huyu ndiye Mungu atakae tuokoa ndiye Mungu wa kweli Soma zabuli 83:18
ALLAH atupe mwisho mwema Waislamu wote ulimwangun atusamehe dhambi zetu na Mtume wetu Kipenzi Muhhammmad (S.A.W) atuombee sote waislamu siku NZIITO ya kiama. Waislamu wenzangu tujitahidini kuacha maovu tutekeleze yale yote anyoyaridhia ALLAH SUBHANNAHU WATAALA na Mtume wake. Na kwa wale wasiokua Waislamu jisalimisheni haraka hamjachelewa njooni kwenye dini ya hakkkki muachane na upotofu uliokithiri Shekh wetu Alllah akuzidishie elimu na kila rehma za Alllah zikufikie
Nduguzangu Mimi sioni haja ya Muslim kujenga majumba n kusaka hela,siku zmeisha tena mtume alsema dalili kubwa na siku kwenda mbio sanaaaaaa,hamuoni?bdo mtu anatumainii tuu kusaka maisha badala ya kutafta akhera,waislamu mbona twfukuza duniaa? Dunia inafaida Gani,?Mola wetu ,nusuru waislamu,amiin
Allahu akbar subhanaallah innalilah wainnailayhi rajioun umetuacha shekh umeondok allah alitie nuru kabri lako mpaka siku ya kiama daima tutakukumbuka kwa mambo yako mema uliotuachia
jazakallahu sheikh khamis kisamamo cha siku moja ya hapa duniani huko ni miaka 50000 na jua kwenye utosi si mchezo watu siku hiyo wataomba hukumu itolewe mara moja ilutupelekwe huko tunapopelekwa kwani hicho kisimo chenyewe hatujuwi itachukuwa muda gani waislaamu rudini kwa ALLAH NATUJIKITE KIKWELI KILA ANAYEONDOKA HARUDI TENA AMEEN
Sheikh anatoa khutba nzuri Naomba kama kuna mtu wa karibu amuombe azungumze kuhusu dhulma. Kwetu watu wanajisahau kwa kudhulumu wenziwao. Kuna mmoja kachukuwa nyumba 11 za msajili wa majumba. Jamani hizi nyumba zina wenyewe. Na mashamba ya watu wananyanganywa. na mengi mengine.
wengine ndo kwanza bado wana habari za ukiristo tu licha ya vyote ivyo wanavyokumbushwa hawajuwi kama watakwenda kujuta na huyo yesu ambae wao wanamuabudia hawajuw kwamba naye kaumbwa na M.Mungu. Allah ambae ndo kaumba vyote vilivyomo mbinguni na ardhini wal hana mshirika
YESU KRISTO ndio njia ya kweli na uzima yoyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa tubuni kabla hamjachelewa kwa YESU KRISTO ndio sehemu sahihi kuliko zote duniani bila ya YESU KRISTO umeshahukumiwa kwenda Jehanamu tubuni na kumpokea na kumuamini YESU KRISTO
Mariana chriss Bahati nzur sisi waislamu tunamkubali YESU kama unavomkubali wew .. Ispokuwa sisi tunaamini hadi maneno yake .. maana yeye ndio amesema kuwa atakuja mtume baada yake jina lake ni Ahmad . Jee na wew unamkubali yesu pmj na maneno yake . Au unamuamini ktk jambo gan ?? Kama kweli unampenda na kumuamin Yesu bas unatakiwa ufuate na kuamini kila kitu chake . Na lazma umfuate , hapo itathibiti kuwa kweli unamependa .. kwa7bu mweny kumpenda mtu lazma amfuate mpenzi wake ktk mwenendo wake , ktk tabia zake njema , ktk maneno yake mema , ktk mambo yake yoote . JEE KWELI UKO TAYARI KUMPOKEA YESU KWA MIKONO MIWILI KAMA SISI .
@@saidihaji3739 kama unamuamini na kumkubali YESU KRISTO kuwa ni BWANA na mwokozi unatakiwa ufanye kazi zake, kama wanavyofanya wanaomfuata KRISTO YESU,sasa we unasema unamkubali YESU KRISTO huku unabebelea Quran ,YESU KRISTO hausiani la Quran hilo ujue ,huko wanawadanganya kuwa issa ndio YESU KRISTO ,kumbe ni uongo wa shetani aitwaye allah, allah sio Mungu wa kweli ni shetani mkubwa audanganyaye ulimwengu wote na kuwapeleka watu jehenamu,
Hahhh nimefurah kwel but na uzuni ndani yake huna ujualo kweny biblia wewee nitajie sehem yesu kwa maneno yake kajiita kua yeye ni mungu wakat nyie ndio mumempa huo umungu
Kiama hakitabiriki na siku hiyo malipo ni papoha po. BIBLIA inafanana na kurani maidhui yake. Tuseme tu ukweli ni kujiungamanisha na nguvu za giza kuharibiana kila nafsi. Uchawi pia haukubaliki popoote ni giza torooooroooo hadi kiama.
Hivi ww Kama kweli una muogopa mungu kwa yesu Kuna mambo Kama haya yaongelewayohapa zaidi ya kukanyagisha .mafuta mfute muhamadi sikiliza vizuri ndiyo unijibu
Allah Ndio mjuzi zaidii na.wala sio mwanadamu Yy anajuaa na.wew hujui yy aanasikiaa na wew husikiii Allah anaona na.wew huoni,,, Kesho yako waijuaa huijui ila Allah Tuombee slaama na hatima ilio nzurii na Allah azichukue roho zet halli ya kuwa yupo radhii na sisi
Mimi Ni mkristo lakini nawapenda Sana waislam haswa mashekh wasema kweli tupo pamoja shekh nimejifunza Sana
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Karibu sana sana ndugu yangu katika uisilam upate elimu ya kiisilam na uishi kiisilam kwani uisilam ndio njia ilio nyooka
Allah akujaalie usilim tukaingie pamoja pepon
Tunamuomba Allah atujaalie mwisho mwema: na kila mwenye kusema AMIN.
Aamin yaarabbi
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Amiin
Aameen
Aaaaamiiin
Waislam Wenzangu Tumche Allah Tuombeni Mwisho Mwema Waumini Wenzangu Tupo Katika Foleni Mauti Yapo Njiyani Jamani😭😭☝️☝️🙏🙏🇸🇦🇸🇦🇵🇰
Kabisa shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
🙏🤝
Kwahiyo wasio kua wasilamu unawaweka kundi gani basi sisi tumuomba Mungu wa iblahimu Mungu wa isaka Mungu wa yakobo na wa musa na wa dauda na wa sulemani na wa danieli na wa yesu ambaye jina lake ni yehova huyu ndiye Mungu atakae tuokoa ndiye Mungu wa kweli Soma zabuli 83:18
ALLAH atupe mwisho mwema Waislamu wote ulimwangun atusamehe dhambi zetu na Mtume wetu Kipenzi Muhhammmad (S.A.W) atuombee sote waislamu siku NZIITO ya kiama. Waislamu wenzangu tujitahidini kuacha maovu tutekeleze yale yote anyoyaridhia ALLAH SUBHANNAHU WATAALA na Mtume wake. Na kwa wale wasiokua Waislamu jisalimisheni haraka hamjachelewa njooni kwenye dini ya hakkkki muachane na upotofu uliokithiri
Shekh wetu Alllah akuzidishie elimu na kila rehma za Alllah zikufikie
Nduguzangu Mimi sioni haja ya Muslim kujenga majumba n kusaka hela,siku zmeisha tena mtume alsema dalili kubwa na siku kwenda mbio sanaaaaaa,hamuoni?bdo mtu anatumainii tuu kusaka maisha badala ya kutafta akhera,waislamu mbona twfukuza duniaa? Dunia inafaida Gani,?Mola wetu ,nusuru waislamu,amiin
aamin yalabilalamin
Aaamiin yaaa rabbal aalamyna
Amini
Ya Allah
Ya Kareem
Ya rahman
Ya Rahim
Tujalie mwsho mwema na tujalie tupokee kitbu kuliani
Allahu akbar subhanaallah innalilah wainnailayhi rajioun umetuacha shekh umeondok allah alitie nuru kabri lako mpaka siku ya kiama daima tutakukumbuka kwa mambo yako mema uliotuachia
M/Mungu Atujaalie mwisho mwema (Amin)
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
INNALILAHI WAINA ELHI RAJUUN ALLAH AKUSAMEHE MAKOSA YAKO SHEIKH WETU AKUPE NURU KATIKA KABURI LAKO AMEEN
DIE TODAY 07 NOV 2023
Allah ampe kauli thabit na amsamehe madhambi yake. Ameen ameen
Namuona Shekhe Othuman Maalim Mwingine. Jazakallahu khairah
Naam shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Hata me namshuhudia wafanana sauti
Masha Allah
Allah amemuhitaji mja wake leo tarehe 07 November 2023. Allah amjaalie pepo kua ndio makaazi yake
Msashanlaah jazaka nlaah heri
jazakallahu sheikh khamis kisamamo cha siku moja ya hapa duniani huko ni miaka 50000 na jua kwenye utosi si mchezo watu siku hiyo wataomba hukumu itolewe mara moja ilutupelekwe huko tunapopelekwa kwani hicho kisimo chenyewe hatujuwi itachukuwa muda gani waislaamu rudini kwa ALLAH NATUJIKITE KIKWELI KILA ANAYEONDOKA HARUDI TENA AMEEN
Asante shukran
MAA SHA ALLAH ALLAH AKUZIDISHIE ELIMU NA UMRI TWAWEEL.
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mashallh mungu akuzidishie
Allah tujalie mwisho mwema yaarab
Allah turuzuku mwisho mwema
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Maa Shaa Allah, Allah akulipe kher na atujaalie mwisho mwema sore amiin.
Amiin.
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Subhanaallah yaarabi mwenyezi mungu atujalie tuwe katika watu wake wema alio wachangua yaarabi ameen 🙏🙏🙏🙏🙏
Yaa Rab tujalie Muisho
Mwema tusamehe mazambi
Yetu sisi na watu wetu walisema
Tutangulia Amin .
Aamiin
Kama muulizaji huyu kakake Othman Maalim au maana naona kama namsikiliza Othman
Allah Amhifadh Ampe Jannatul firdausi Amiin yaa Rabi
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Pamoja ba cc in shaa Allah, Aammyyynn
Hatukonae nae tena huyu juzi tu ameshatangulia
MashaAllah
Darsa nzito kabisa
Wachache wenye kuzingatia
Naam shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Sana kabisa shehewangu mashallah
Subhana Allah mungu atupe hosni al khatima yaraabi
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Allahumma Ameen
Sheikh anatoa khutba nzuri Naomba kama kuna mtu wa karibu amuombe azungumze kuhusu dhulma. Kwetu watu wanajisahau kwa kudhulumu wenziwao. Kuna mmoja kachukuwa nyumba 11 za msajili wa majumba. Jamani hizi nyumba zina wenyewe.
Na mashamba ya watu wananyanganywa. na mengi mengine.
Tumepokea tutamfikishia
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Yaarabbi tujalie mwisho mwema na tuongoze ktk kutenda mema
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Maa Shaa Allah na Jazak Allahu Khairaan Kathiraan kwa Darsa Muruwa lenye Mafundisho na Mazingatio Makubwa sana.
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Innalillah waina ilaih rajiun leo tarehe 7/11/2023 sheikh khamis amefariki Dunia Allah amjaalie makazi mema pepon amin
Mwenyezi Mungu anifishe katika uislam!! Amiin
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Maashaallah mungu atujalie mwisho mwema
Subhanallah Allah atusamehe yarabi shukran sheikh wetu
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@@zvpOnlineTv inshallah
Allah tuakuomba utupe muisho mwema. Allahumma amin
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
jazaakallahu kheyr mashaallah yani sheikh othman maalim namba 2
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mungu nakulilia kwa mema na nisamehe ninapokukosea
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Masha Allah sheikh Khamis Kheri Allah akulipe kheri kwa ukumbusho
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Allah atujaalie tukaipate pepo yake inshallah
Jazzakh Allahu kheir
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
mungu nipe mwisho mwema
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Allah atujaalie mwisho mwema
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
ruclips.net/video/YQ6_Fpg4Cds/видео.html
Swadakta, jazzakalah sheikh. Allah akuhifadhi duniani na akhera in shaa Allah
Alhamdullillah kwa nasaha nzuri Allah atujalie mwisho mwema inshaallah
Aaamiin
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Allah akupe kauli thabit
شكرن
Asante
ruclips.net/video/YQ6_Fpg4Cds/видео.html
Mashallah Mashallah
Subhana Allah Allah Akbar😭😭😭😭
mashaallah shekh Allah akulipe kheri inshaallah na atujaalie bihusnil-khatma
Allah atujaliee mwisho mwemaa
Aamin thumma Aamin
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Asante shelkh
@@nooroman2535 Amiiin
Aaamyn
Mashaallah allah atujaalie inshaallah
Mashaallah Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online
Yaarabi tujalie mwisho mwema
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Shukran.Allah.akulipe kher daima.
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
I love Islamic for sure
ALLAH atujaaLie Mwisho Mwema.
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Amina
Amiin yarabiy amiin
Allahumma aamin
Maashaallah, Sheikh Khamis Kheir
Inna lilah waiina ilayh rajiun
Subhana allah
Bismilah Mashallah mungu aku barik .
ALLAH BARIIK always my brother Shukran.
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Amin
Subhan Alla 😢😢
SUBHANA ALLAH
Walhamdulillah
Masha allah
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Tumuombe Allah atupe husnul khatma, kiyama kizito wallah. Shehe Mungu akubariki kwa ukumbusho
Mashallah Allah
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Laa ila illa llah.
Naam
Laa illaaha ilallaj
Ewe Allah tunusuru na adhabu yako
Inna lillah wainna ilyh rajiun
wengine ndo kwanza bado wana habari za ukiristo tu licha ya vyote ivyo wanavyokumbushwa hawajuwi kama watakwenda kujuta na huyo yesu ambae wao wanamuabudia hawajuw kwamba naye kaumbwa na M.Mungu. Allah ambae ndo kaumba vyote vilivyomo mbinguni na ardhini wal hana mshirika
Yarabi tupe mwisho mwema
Allah tujaalie mapenzi kwako na yote uyapendayo...na utupe sisi mapenzi yako
Yarrab tuongoze na utujalie mwisho mwema amina
Jazakallah
Subhanallah
Mashaalah
Allah s.w akulipe kheri Sheikh wetu.
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
ruclips.net/video/YQ6_Fpg4Cds/видео.html
Manshaallah na shuklan san
Subuhanallah
Leo tarehe 07 November, 2023 Sheikh wetu huyu ametangulia mbele ya Haki... Allah amrehemu na amjaalie makaazi meme peponi
May the Almighty Allah Forgive us all
Aamiin
😥😥😥😥😭🤲
😭😭
allaah akuhifadh n mahasid n akupe mwuish mwem
Amin,
Mungu nipemwisho mwema
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mawaidha ya aina hii siku hizi hakuna, Siku hizi ni mwendo wa kutunishiana misuli na Kujifakharisha kwa usomi na kukosoana
EEEH,,,, MWENYEZI MUNGU TUPE MWISHO MWEMA
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
😢😢
Hatuko nae tena duniani kijana mwenzetu juzi tu kaondoka
Siku zamwisho.munguatatumia.hata ambao.walikuwa hawawezi kusemakweli.siku yamwisho watasema kweli hapondo mwishowadunia unapokalibia yesu analudi
Yani nyinyi hamfichiki subhunah Allah
Hee
🙏🙏🙏😭😭😭😭
Naam
mm nawausia tu kila ambae ataupata ukumbusho huu kama ni mkiristo basi asilimu tu na ausome uislamu vizur itakuw ni mweny kupata faida
🙆🙆🙆😭😭😭😭💔💔💔
Naam
🤲🤲🤲🤲🤲😭🤲🇲🇿
Mcheni na Yesu Kristo kwani ndiye Njia Kweli na Uzima wa milele.
Kaka adabu iwepo ktk maneno yako
Wa kumcha ni Allah tu...na yesu ni mtume wake tu.zingatia hayo👆
Hakuna andiko Yesu alisema yeye Mungu tumuabudu
@Herick Anthony Waonyesha hauna heshima kabisa tubia ww Nabii Issa hana uwezo
Yani makafiri haya fichiki kabisa
YESU KRISTO ndio njia ya kweli na uzima yoyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa tubuni kabla hamjachelewa kwa YESU KRISTO ndio sehemu sahihi kuliko zote duniani bila ya YESU KRISTO umeshahukumiwa kwenda Jehanamu tubuni na kumpokea na kumuamini YESU KRISTO
Mariana chriss
Bahati nzur sisi waislamu tunamkubali YESU kama unavomkubali wew ..
Ispokuwa sisi tunaamini hadi maneno yake .. maana yeye ndio amesema kuwa atakuja mtume baada yake jina lake ni Ahmad .
Jee na wew unamkubali yesu pmj na maneno yake . Au unamuamini ktk jambo gan ??
Kama kweli unampenda na kumuamin Yesu bas unatakiwa ufuate na kuamini kila kitu chake .
Na lazma umfuate , hapo itathibiti kuwa kweli unamependa .. kwa7bu mweny kumpenda mtu lazma amfuate mpenzi wake ktk mwenendo wake , ktk tabia zake njema , ktk maneno yake mema , ktk mambo yake yoote .
JEE KWELI UKO TAYARI KUMPOKEA YESU KWA MIKONO MIWILI KAMA SISI .
@@saidihaji3739 kama unamuamini na kumkubali YESU KRISTO kuwa ni BWANA na mwokozi unatakiwa ufanye kazi zake, kama wanavyofanya wanaomfuata KRISTO YESU,sasa we unasema unamkubali YESU KRISTO huku unabebelea Quran ,YESU KRISTO hausiani la Quran hilo ujue ,huko wanawadanganya kuwa issa ndio YESU KRISTO ,kumbe ni uongo wa shetani aitwaye allah, allah sio Mungu wa kweli ni shetani mkubwa audanganyaye ulimwengu wote na kuwapeleka watu jehenamu,
We hujui soma biblia uelewe
@@iddiselemani5924 we ndio huelewi,unatafsiri BIBLIA kama udaku,
Hahhh nimefurah kwel but na uzuni ndani yake huna ujualo kweny biblia wewee nitajie sehem yesu kwa maneno yake kajiita kua yeye ni mungu wakat nyie ndio mumempa huo umungu
Yarrabbi atuongoze mwisho mwema.
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏👂😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Camera Man mbovu
Kiama hakitabiriki na siku hiyo malipo ni papoha po. BIBLIA inafanana na kurani maidhui yake. Tuseme tu ukweli ni kujiungamanisha na nguvu za giza kuharibiana kila nafsi. Uchawi pia haukubaliki popoote ni giza torooooroooo hadi kiama.
Njooni kwa yesu tutafika
Hivi ww Kama kweli una muogopa mungu kwa yesu Kuna mambo Kama haya yaongelewayohapa zaidi ya kukanyagisha .mafuta mfute muhamadi sikiliza vizuri ndiyo unijibu
Yesu ni mtume wetu karibu kwa uislamu tunampenda zaidi Ila hatumuabidu illa Allah
Ishara zote zinaonyesha kabla ya 2027 kiama kitakuwa tayari.
Duh
Hhahahahahahaha........
Allah Ndio mjuzi zaidii na.wala sio mwanadamu
Yy anajuaa na.wew hujui yy aanasikiaa na wew husikiii Allah anaona na.wew huoni,,,
Kesho yako waijuaa huijui ila Allah
Tuombee slaama na hatima ilio nzurii na Allah azichukue roho zet halli ya kuwa yupo radhii na sisi
@@Chemba67 umefurhik na nn
@@jamilashabani8580 Nimefurahika na huu uhakika wa hii kauli kua 2027 kitakua tayari.......... 🤣🤣🤣🔥🔥🔥
Baas
Naam
Khadija umeisoma iyo qiama,, unasema baas shekh asiendelee
Kasomeni ufunuo au kitabu kinachoitwa Daniel na siku zetu
Kasome ww
Siwezi kukulaumu maana sio utamuduni wa mtu mweusi kusoma na kufatilia vitu MTU mweusi anapenda story
Huyu nae katoka wapi
mashaallah
Allah atup mwish mwema innshaallah
Subhanna allah