QISA CHA MFALME ALIYE AMRISHA MTUME MUHAMMAD AKAMATWE | AKAFA YEYE GHAFLA - SHK OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2021
  • QISA CHA MFALME ALIYE AMRISHA MTUME MUHAMMAD AKAMATWE | AKAFA YEYE GHAFLA - SHK OTHMAN MAALIM

Комментарии • 102

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 Год назад +2

    Hakika Mtume alikuwa wa Allah kwa kuwafahamisha watu yaliyofanyika ya sirini.Mwenyezi Mungu akujalie umri uzidi kuelimisha ummah. Akupe afya na jamii yako.

  • @SakinabintIssa-yr3by
    @SakinabintIssa-yr3by Год назад +1

    Shukran

  • @user-hp7xc2ig2u
    @user-hp7xc2ig2u 2 года назад +11

    Namkubali sana shekh wangu huyunampenda sana kwaajili ya allah subuhana huuwataalla nakupenda sana shekh wang

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 2 года назад +4

    Mashallah mashallah mashallah shekh wetu Allah akupe umri mlefu

  • @adandahir6882
    @adandahir6882 2 года назад +6

    Allaahuma swalliiwasalim Alaa sayidnaa Muhammad waa Alaa aalihii wasalim jazaakallaahu kheir sheq Othman maalim

  • @kaumosara1810
    @kaumosara1810 Год назад

    Jazakallah khayra

  • @adilihassan8455
    @adilihassan8455 2 года назад +11

    Mashallah ,kiswa kizuri Sanaa,Allah akupe umri marefu ,zaid akulipe firdaus pamoja n waislamu wote,yaarab Tuokoe na moto wa jahamu sisi tulomkubal mtume (s.a.w)

  • @abdulaisha4145
    @abdulaisha4145 2 года назад +6

    Mashaa Allah haya ndio tunayo yataka tuwe na visa vya maswahaba na mtumie wetu na sio mambo ya mipira vichwani mwetu ... Allah azidi kutuongoza na shekhe wetu Allah azidishie nguvu za kutuelimisha

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 2 года назад +1

      Nasi tuingize kwenye Dua zako Allah s.w atuvue na mapenzi ya mapumbao ya kidunia!

    • @abdulaisha4145
      @abdulaisha4145 2 года назад

      @@noorbazaar9063 Ameen thuma Ameen Allah atutakabalie dua zetu

    • @altamando
      @altamando Год назад

      Aamina insha Allah

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 9 месяцев назад

    subhanalha

  • @munasayed8657
    @munasayed8657 2 года назад +2

    Jazakallah kheyr

  • @ramlatumba3965
    @ramlatumba3965 2 года назад +1

    Qisa Kina Mafunzo Mengi Kwetu Waislam Na Muslimat Yarab Tuzidishee uongofu. Shukran Mwalim Wangu Othman Maalim.

  • @haoranyusuf6164
    @haoranyusuf6164 2 года назад +1

    Assalamu alaikum Allah akubariki kwa kutuilimisha na Allah akuzidishie ilmu uzidi kutuilimisha

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k 2 года назад +2

    Mashallah

  • @shabanluwambo3309
    @shabanluwambo3309 2 года назад +1

    Mungu akupe kila la heri

  • @hassancassim8748
    @hassancassim8748 Год назад +1

    Mungu akulipe apa duniani na kesho ahra

  • @ruddeinruddeinruddeinrudde2206

    Mashallah tabaraq llah fiiq Allah akupee swiha njema afya akuepushia na mashari akuzidishie umrii mrefu uzidii kutupa daawa shuqran

  • @rahmaalfan1776
    @rahmaalfan1776 2 года назад +5

    Shukran sheikh wetu barraka allahu feek yaarabi akujalie umri mrefu uzidi kutuelimisha mawaidha mazur sana

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 2 года назад +7

    Mashallah Mashallah Sheikh umesema uzuri Jazakallah khery Allah Akupe umri mrefu na Afya yako kamili

  • @bibasulesh7866
    @bibasulesh7866 2 года назад +1

    Shukran sana jazakallahu khairan

  • @munasayed8657
    @munasayed8657 2 года назад +1

    Maa shaa allah

  • @mamanabdoul4397
    @mamanabdoul4397 Год назад

    Waalaykum salam warahmatullah wabarakatuh.Jazza kAllahu khayri

  • @martinahzaina9115
    @martinahzaina9115 Год назад

    Mashalla kisaa kizuri hicho❤

  • @jafarfarhan7749
    @jafarfarhan7749 2 года назад

    Maashallah shekhe umeoa lwake wngapi mm nataka unioe nkusikia sauti yko tu inlanichanganya

  • @sultanalawymussa7149
    @sultanalawymussa7149 2 года назад +1

    شکران یا شیخ

  • @aishazeinalawy634
    @aishazeinalawy634 2 года назад +1

    Maa shaa Allah tabarakAllah

  • @rukaiyaramadhani4879
    @rukaiyaramadhani4879 2 года назад

    Mashaallaah shehe ALLAAH akuweke na hakuifadhi

  • @haoranyusuf6164
    @haoranyusuf6164 2 года назад

    Allah akupe umri mrefu

  • @AishaSharubaidi
    @AishaSharubaidi Год назад

    Mashaallah

  • @hamisasalehe8553
    @hamisasalehe8553 2 года назад +4

    MashaaALLAH! Shukrani ya Rabi kutupa Dini hii nzuri ya Uislaam na bora. Najivunia hili.Tusamehe ya ALLAH na utuukutanishe pamoja ummat Muhammad ktk Janna. Umri uwe mrefu kwako Othman Maalim na ALLAH akupe mwisho ulio mwema.

    • @fardacdaty8725
      @fardacdaty8725 2 года назад

      Mwenyezi mungu akupe mwisho mwema shk

    • @jafarfarhan7749
      @jafarfarhan7749 2 года назад

      .hivi shekh anawakenwangapi nahitaj aniioe hat bure niulizieni au mnipe nmba xke

  • @AishaSaidi-vv5do
    @AishaSaidi-vv5do 9 месяцев назад

    💞

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 2 года назад

    Mada zako nzuri Ila maulidi ya kuzaliwa kwa mtime uache

  • @aminaathumani9721
    @aminaathumani9721 2 года назад

    Mashaallah allah kareem

  • @TheLimbo11
    @TheLimbo11 2 года назад

    Jazaka ALLAH kheyr

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 года назад

    mashaallah tabarakaallah

  • @ywconline2817
    @ywconline2817 2 года назад +2

    Asalaam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh kwa ajili ya ALLAH nampenda saaaana SHEKH Othiman sijui alienda wapi Manshallah.

  • @fardacdaty8725
    @fardacdaty8725 2 года назад +1

    Jazakaallah

  • @faridamalifedha4416
    @faridamalifedha4416 2 года назад

    Subhannaalla

  • @Rahma94Oman-cn5qo
    @Rahma94Oman-cn5qo Год назад

    Mashallah❤

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 2 года назад

    tumejifunza vizuri

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 2 года назад +1

    MASHA ALLAH.

  • @user-pv7hl5xn5v
    @user-pv7hl5xn5v 5 месяцев назад

    Assalam alaykum

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 2 года назад +2

    @munir Ahmed. Nina mashaka na wewe unaesomeka kwa jina la #Munir Ahmed kuwa sio Muislamu na unatudanganya au ni Mnafik unabeza hiyo historia. Lkn elewa kuwa Mwenyezi Mungu s.w ni hodari wa kupindua vitimbi.

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 2 года назад

    Mashaallah kiswa kizuri shekh wetu

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 2 года назад +1

    Kwani alikufa kwa sababu ya kutaka kumkamata mtume au wakati wa kifo uliwadia? Mbn unatuchanganya othman tena?

    • @salmabintuthman3243
      @salmabintuthman3243 2 года назад

      Munir unajichanganya mwenyewe tu

    • @suleshaziz9841
      @suleshaziz9841 2 года назад

      Kusoma dini muhimu

    • @munirahmed7753
      @munirahmed7753 2 года назад

      Othman anachanganya tu

    • @munirahmed7753
      @munirahmed7753 2 года назад +1

      Kifo kila kiumbe kitakufa kwa wakati aliopangiwa na wala si eti kwa kuwa alitaka kumkamata mtume

    • @munirahmed7753
      @munirahmed7753 2 года назад +1

      @@suleshaziz9841 mh elimu ni kubwa si kila anaevaa kanzu ukamwite mjuzi jaribu kumchambua

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 2 года назад

    Kila kiumbe kitaondoka kwa wakati ulipangwa na si sababu ya kutaka kumkamata mtume! Mbn Omar khatab wakati akiwa kafiri alikuwa tayari kwenda kumkata kichwa mtume na mbn hajafa ghafla? Othman fatwa ukitoa pitia kwanza kabla hujarusha

    • @salmabintuthman3243
      @salmabintuthman3243 2 года назад +2

      Una chuki flani wewe ama upungufu wa kuelewa Dini yako ama unamuona mtume s.w.a Ni kama wewe. Ufahamu wako ndio mdogo tu.

    • @aliomar5589
      @aliomar5589 2 года назад +1

      @@salmabintuthman3243 ucwajibu hawa...hawa wanamaradhi ktk nafsi zao...wanajiona wao tuu wapo sahihi

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 2 года назад +1

      @munir Ahmed. Nina mashaka na wewe unaesomeka kwa jina la #Munir Ahmed kuwa sio Muislamu na unatudanganya au ni Mnafik unabeza hiyo historia. Lkn elewa kuwa Mwenyezi Mungu s.w ni hodari wa kupindua vitimbi.

    • @jafarfarhan7749
      @jafarfarhan7749 2 года назад +1

      Mbna wewe husikiliza vizur

    • @jafarfarhan7749
      @jafarfarhan7749 2 года назад +1

      Namm nawaswas nahuyo kwakua anvyosema mm cjui anamaanisha nini unamaradhi