Habari za Kiama ,vitimbi vya Bedui kwa Mtume na Tabia njema za Mtume - Shekh Othman Maalim

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 апр 2022
  • Katika Darsa hili Sheikh Othman anasafiri nasi katika visa vitamu katika maisha ya mtume,kuanzia habari za kiama,bedui aliyeleta mitihani kwa mtume,tabia njema za mtume hadi Stori ya kijana alie muombea dua mchumba wake kwenye sala ya Jamaa akiwa imamu.

Комментарии • 63

  • @ruu6592
    @ruu6592 2 года назад +5

    Sheik Allah amueke hana sifa za kugombana wala kujibishAna Allah akueke sheikh wetu

  • @allymasuke1543
    @allymasuke1543 2 года назад +11

    Wallah Shekh Othuman Allah Akutunze Daahh, Alhamdulillah Unatupa Elim kubwa mno!

  • @mzirahiramadhani3175
    @mzirahiramadhani3175 2 года назад +5

    Maàshallah

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 Год назад +3

    Nakupenda piya kwa ajili ya Allah ❤sheikh wetu

  • @hamzarajabu9201
    @hamzarajabu9201 2 года назад +4

    Maasha Allah

  • @abdullwasafi836
    @abdullwasafi836 2 года назад +5

    Ramadhn kareem

  • @mohamedyadamu888
    @mohamedyadamu888 2 года назад +8

    Masha Allah mungu hakupe umri mrefu ili tuendelee kupata faida kwako

  • @salumnakauka5355
    @salumnakauka5355 2 года назад +4

    Masha Allah.

  • @mariamahmed8586
    @mariamahmed8586 2 года назад +3

    ❤️

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 2 года назад +3

    JazakaAllahu kheir. Twakupenda kwaajili ya allah

  • @jumahaineni2496
    @jumahaineni2496 2 года назад +3

    Shukran

  • @fitness8330
    @fitness8330 2 года назад +6

    ManshaAlla sheikh wetu

  • @domykimata5768
    @domykimata5768 2 года назад +4

    Masha Allah

  • @zainabsibuma-omary7061
    @zainabsibuma-omary7061 2 года назад +5

    Masha Allah tabaraqallah Mwenyezi mungu akuzidishie daima ameen, mawaidha na ukumbusho mzuri sana kwa sote

  • @naseemmajid4286
    @naseemmajid4286 2 года назад +3

    Allah akujazi mema na sisi tunakusikiza Allah atujaalie kufata na aya zako kuzifanyia kazi yaraaab

  • @alimuchiri6151
    @alimuchiri6151 2 года назад +7

    MashaAllah tunapata elimu, hekma na faida nyingi sana sheikh othman. Allah akulipe kheri

  • @mwapondawilliam2435
    @mwapondawilliam2435 2 года назад +3

    Masha allah Allah akuifadhi inshaallah akupe umri

  • @saumuyahaya8789
    @saumuyahaya8789 2 года назад +5

    Shukran kwa ukumbusho

  • @fetyfarahan6363
    @fetyfarahan6363 Год назад

    Mashallah mashallah shekh Othman allah akupe umri mrefu inshallah 🙏

  • @aishaabdi2059
    @aishaabdi2059 2 года назад +3

    Mashaallah nawapenda kwajili ya Allah

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 2 года назад +1

    Asalamu alaikum waramatulaih wabarakatuh .dugu angu kwa kweli tunafaidika Sana na elimu yako tukiwa apa kenya

  • @asfyoo5405
    @asfyoo5405 Год назад

    Mashaa allah Shekh wetu kipenzi chake allah wallah huwa nakupenda mno allah akujalie mwisho mwema wenye nuru Tele 🤲🤲

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Год назад

    MashaAllah Allah akuzidishie umri shekh wetu

  • @abdulbakari8737
    @abdulbakari8737 2 года назад +1

    Innshaalla MUNGU akure umri mrefu tunufaike kupiti kwako

  • @alisuleiman7698
    @alisuleiman7698 2 года назад +3

    Jazak Allahu feeq.Arahman akuongeze umri ili tuzidikupata faida

  • @ummuramadhan1842
    @ummuramadhan1842 2 года назад +3

    Ma shaa Allah...👌💯💯💯

  • @abbymtei3979
    @abbymtei3979 2 года назад +1

    Allah akupe afya njema

  • @azizaathumani1617
    @azizaathumani1617 Год назад

    Wallah jazakallah khayr Allah akuhifadhi sheikh wetu.

  • @mtigabwebwe9238
    @mtigabwebwe9238 2 года назад +1

    Mungu akupe upeo zaidi

  • @aishaabbas4869
    @aishaabbas4869 Год назад

    Mashaallah mashaallah tabarakallah Allahu Akbar

  • @user-tc8un3cf1n
    @user-tc8un3cf1n Год назад

    Allah akuhifadhi uzidi kutuelimisha shekhe wetu ٱحيبك في الله

  • @kousaroman471
    @kousaroman471 2 года назад +1

    Mashallah

  • @binbaya923
    @binbaya923 2 года назад +1

    Maa shaa Allah

  • @maryammussa8838
    @maryammussa8838 2 года назад +1

    Mashaalh

  • @khalafmohammed7457
    @khalafmohammed7457 2 года назад +2

    Sheikh Othman barakallahu feek.

  • @odetteuwimana4251
    @odetteuwimana4251 2 года назад +3

    Masha Allah mungu akujariye kutufundisha

    • @khaleedahmed9396
      @khaleedahmed9396 Год назад

      Huyu c jamaa wa wakati huu..........Allah Amrehemu

  • @salimaalharthy6473
    @salimaalharthy6473 2 года назад

    Allah akuzidishie umuri bora

  • @shinayzashiraaz4588
    @shinayzashiraaz4588 2 года назад +1

    Jazakumullah kheir

  • @user-vp7qe2un2j
    @user-vp7qe2un2j 11 месяцев назад

    Allah akuzidishie umri mlefu

  • @simbadume1694
    @simbadume1694 Год назад

    Shukran sheikh kupitia mawaidha yako najivunza vitu vingi...

  • @SeluSelu-lc8rp
    @SeluSelu-lc8rp Год назад

    Allah atujalie tuwe miongoni mwa anaowapenda

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 2 года назад +2

    MashaaAllah walhadulilah ❤️😘

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад

    Alahmdhulilah Rabbily Alamin

  • @arenaibrahim2794
    @arenaibrahim2794 2 года назад +1

    Ma Shaa Allah Sheikh Mungu akupe umri mrefu Aamiin

  • @zuberiomar4125
    @zuberiomar4125 2 года назад

    Maa shaa Allah Sheikh wetu

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 2 года назад +1

    Asalamu alaikum waramatulaih wabarakatuh pia mimi nakupeda kwa ajili ya mwenyezi mungu na mtume

  • @sharifrajab1166
    @sharifrajab1166 Год назад

    Jazakallahu khayr

  • @rhakhesharjan9565
    @rhakhesharjan9565 2 года назад +1

    Shukran kwa ukumbusho✓

  • @abdouljabbar9835
    @abdouljabbar9835 Год назад

    Manshaallah

  • @omaryally3489
    @omaryally3489 6 месяцев назад

    Marshall Allah

  • @fadhilimnalale2742
    @fadhilimnalale2742 2 года назад

    Jazakallahu kheir, sheikh Othman maalim,🙏

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 2 года назад +3

    Masha Allaah. Nimemkumbuka mwenyewe 🏃🤣🤣🤣

  • @rhakhesharjan9565
    @rhakhesharjan9565 2 года назад +3

    Nimejikuta natoka machozi ustadhi othman malumu bdaa ya kusema siku io tutaangaika na kufuata mitume ili kutuombea na izo shangwee na mitihani ya siku ya kiama ✓ Nina marafiki wengi sio waislam najikuta natoka machozi nikiona bdo wapo kwenye dini ambao sio sahihi kwao

  • @KhadijaKhadija-zs9wb
    @KhadijaKhadija-zs9wb 2 года назад +5

    Maashaallah

    • @ashaaweis4516
      @ashaaweis4516 2 года назад

      MashaAllah .Allah akupe umri mrefu wa kheiri hapa dunia na Akhera 😘😘