Alhamis ndio siku Bora ya Kusafiri - Sheikh Othman Maalim

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • Wanadamu hapa Duniani tuna safari mbili,Moja: ni Safari fupi za hapa Duniani ambazo huwa tunazifanya kila uchao na Pili ni Safari ndefu ambayo tukienda huwa haturudi(Kifo) Safari zote hizi zina miongozo yake kutoka kwa Mtume Muhammad (s.w). Sheikh Othman Maalim anaeleza miongozo ya Mtume (s.w) juu ya safari hizi mbili.

Комментарии • 34

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 2 года назад +3

    Mashallah Allah azidi kukupa subra katika kipindi hiki,maana kufiliwa na mzazi si jambo jepesi, MUNGU ampe kauli thabiti mzee wetu Allahumma ighfirlahu warhamhuu waskanhuu fii janna 😭👏 na Allah akuhifadhi na akulinde sheikhe wetu Othman maalim jazzakum llahu kheri 👏

  • @adnanadnan970
    @adnanadnan970 Год назад +1

    Masha allah

  • @abdurahmaniharunaramazani6878
    @abdurahmaniharunaramazani6878 Год назад +1

    Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh Allah akujalie afia njema nitakuonaje sheikh mpezi yaani kwa ajili ya Allah nimekupenda saaaaaaana ni kijana Haruna toka Congo.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 11 месяцев назад

    Shukran sana kipenzi chetu, shekhe Othman Maalim Allah akulipe Jannah firdausi Allahumma Ameen Yarabb 🙏

  • @habibahusein3883
    @habibahusein3883 Год назад

    Jazaqallah shekh wetu Allah akupe umri mrefu wenye baraka tele

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 месяца назад

    Allau akbar allah akupe pepo shekhe kwa kutuelimisha vyema yarabi❤

  • @firdauswangu716
    @firdauswangu716 2 года назад +1

    Allah am rehemu Baba yako na waslamu wengine wote walio tangulia mbele ya haki

  • @abdulaugustinho972
    @abdulaugustinho972 Год назад

    Mashallah mwenhez mungu atujalie atufanyie wepesi Inshaa llah

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 Год назад

    Ma Sha Allah

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 месяца назад

    Allahu akbar allah tusamehe na utulinde yarabi

  • @mariamhassan3540
    @mariamhassan3540 Год назад

    MashaAllah, mawaidha mazuri

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 2 года назад +1

    Mashallah Sheikh

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 2 года назад +2

    Mashallah Allah akulipe kila la kheri inshallah

  • @rahmaalfan1776
    @rahmaalfan1776 2 года назад

    Masha allah masha allah masha allah barraka allahu feek sheikh wetu wajazzak allahu min kully kher yaarab

  • @salimmnyeto2023
    @salimmnyeto2023 2 года назад

    Mashallah. Ustadh napenda mawaidha yako .mola akuzidishie amin

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 2 года назад

    Mashaa'Allah
    Jazzakumllah Khery

  • @halfanyahaya7945
    @halfanyahaya7945 Год назад

    Mashallah mawaidha yenye mafundisho makubwa sana Allah akujalie siha njema

  • @fahimamghallu7651
    @fahimamghallu7651 2 года назад

    MashaAllah sheikh,mola akuoe Kula la kheir

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 6 месяцев назад

    Sukran

  • @sadiahassan5316
    @sadiahassan5316 2 года назад

    Ma shaa Allah Allah akulinde na akuongoze uendelee kutuongoza

  • @mussafrancophonetours1356
    @mussafrancophonetours1356 2 года назад

    Mungu atuongoee inshallah

  • @arafatdua166
    @arafatdua166 2 года назад

    Asante kwa mafundisho mazur

  • @jaz9974
    @jaz9974 2 года назад

    Mashaallah shekh othman

  • @asfyoo5405
    @asfyoo5405 2 года назад

    Mashaa allah 🥰🥰🥰🤲🤲🤲

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 месяца назад

    Aaamiiini❤❤❤

  • @mikidadikapinga6388
    @mikidadikapinga6388 2 года назад

    Mashaallah

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 года назад

    Jazaqallah

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 месяца назад

    Aaamiiin

  • @najmaahmed8851
    @najmaahmed8851 Год назад

    plz tuandikie hyo dua😢

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    Yarabi uongoze waja wako katika fifua vyetu ili tukutaje wewe kila wakati ili tuipate furaka

  • @omarkhamismakame2047
    @omarkhamismakame2047 2 года назад

    Habar za jana

  • @samsung005.
    @samsung005. 2 года назад +1

    ❤❤❤

  • @arasanaamour503
    @arasanaamour503 2 года назад

    Mashallah

  • @adamgobeka5664
    @adamgobeka5664 2 года назад

    Mashaallah