Uislamu mtamu sanaa - Sheikh Othman Maalim

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 июн 2022

Комментарии • 32

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee7503 Год назад

    ALLAH AWE RADHI NAWEWE FIDUNYA WAL AKHERA AMEEN CHAKULA CHA ROHO KITAMU UNASHIBA SIDHIHAKA ALHAMDULILLAH

  • @RamadhaniNgwatu
    @RamadhaniNgwatu 2 месяца назад

    Mashaallah shekh Othman Allah aikubali Dua zako

  • @dickikahese9681
    @dickikahese9681 Год назад

    Mashaalwah shekhe Othman maalim

  • @Lippi2022-br4cq
    @Lippi2022-br4cq Год назад +1

    Mashallah

  • @thedontiger2010
    @thedontiger2010 6 месяцев назад

    Mashallah Allah akulie kher

  • @a.856
    @a.856 Год назад +1

    Jazakallah khayran

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 Год назад +1

    Mashallah Mashallah

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Год назад +1

    Jazak Allahu Khairaan Kathiraan

  • @MariamAbad-js4mq
    @MariamAbad-js4mq Год назад

    Shukran sheikh , Barakallah fiyk,

  • @saadiahemedi956
    @saadiahemedi956 Год назад +1

    Shukran kwa ujumbe mzuri Allah akulipe

  • @RamadhaniNgwatu
    @RamadhaniNgwatu 2 месяца назад

    Jazakallah khaira

  • @mohamedmaguo3910
    @mohamedmaguo3910 Год назад +1

    Mashalwah

  • @mkongomanidrc849
    @mkongomanidrc849 2 года назад +2

    Barka'llah feek ♥️♥️

  • @mustafatsomba6178
    @mustafatsomba6178 2 года назад +2

    Barakallahu fiik ya Sheikh wa jazakum llahu khayr

  • @mohamediabdirashidi1099
    @mohamediabdirashidi1099 Год назад +1

    Allah akuhifadhi

  • @shadiasuleiman3788
    @shadiasuleiman3788 Год назад +1

    Amelaaniwa mwanamke anevaamavzi ya wanaume

  • @user-rc6mq1np3l
    @user-rc6mq1np3l Год назад

    Mola akupe umri Shekh Othman maalim

  • @alihusssein5163
    @alihusssein5163 Год назад

    Maa shaa Allah..mungu akuhifadhi sheikh uthman maalim..

  • @ibushomari707
    @ibushomari707 Год назад

    Allah akupe maisha marefu (AMIN)🤲🙏🙏🙏🙏🤲

  • @biabumwarua2444
    @biabumwarua2444 2 года назад +1

    Shukran walhamdulilah

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Год назад

    Alhamdullillah. Jazakallah kheri

  • @shinayzashiraaz4588
    @shinayzashiraaz4588 Год назад

    BarakaLlahu Feeyk❤❤

  • @ahmedfatma2534
    @ahmedfatma2534 Год назад +3

    Aa ukweli kabisa uislamu haukuwacha mafunzo yoyote nituisoma vizuri uislamu ili tuwavutie wengine kwa dini ya haki

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve Год назад

    Shukran Ahsante sheikhe wetu

  • @abdulpoppa5004
    @abdulpoppa5004 2 года назад +1

    🥰

  • @machondamuhammedi-wx8gp
    @machondamuhammedi-wx8gp Год назад

    Yapo aya

  • @bartazarideogratius5611
    @bartazarideogratius5611 Год назад

    Bwana Yesu Kristo Asifiwe,
    Wapendwa katika kristo.
    Inasemekana kwamba, Quran iliteremshwa kutoka, Mbinguni, lakini ukweli ni kwamba Quran imeandikwa na Baadhi Ya Wanathiolojia akiwemo Mohamad,Na uandishi huu, ulikuwa ukichukua Mistari Baadhi katika Biblia, na Mawazo Yao , kisha kutengeneza Quran.
    Ikumbukwe, Biblia ndiyo iliyoanza karne nyingi 1450 BC hadi 4000 BC hadi Kipindi Cha Yesu kristo, Quran imekuja 610 A.D.
    HII NDIYO BAADHI YA MISTARI NDANI YA QURAN, ILIYOCHOMOLEWA KUTOKA KWENYE BIBLIA:
    1- ORIGINAL KATIKA BIBLIA.""
    """"""MATHAYO 28:18:
    YESU Akaja Kwao, Akasema Nao Akawaambia Nimepewa MAMLAKA YOTE MBINGUNI Na DUNIANI" .""""""
    KOPI KATIKA QURAN.
    """Surat AlI'Mran 3:45:
    "Na Pale Malaika Waliposema: Ewe MaryamuMwenyezi MUNGU AnakubashiriaMwana Kwa Neno Litokalo Kwake. Jina Lake Ni Masihin Isa Mwana Wa Maryamu (YESU), MWENYE HESHIMA Katika DUNIA Na AKHERA""""""
    ORIGINAL KATIKA BIBLIA.
    Mathayo 25:34-46:
    34:Kisha Mfalme atawaambia wale walioko mkono wake wa kuume, Njoni, mliobarikiwa na Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu kuumbwa ulimwengu;
    35:kwa maana nalikuwa na njaa, mkanipa chakula; NALIKUWA na KIU, MKANINYWESHA; nalikuwa MGENI, MKANIKARIBISHA;
    36:nalikuwa UCHI, MKANIVIKA nalikuwa MGONJWA, mkaja KUNITAZAMA; NALIKUWA KIFUNGONI, mkanijia.
    37:Ndipo wenye haki watakapomjibu, wakisema, Bwana, ni lini tulipokuona una njaa, tukakulisha, au una kiu tukakunywesha?
    38:Tena ni lini tulipokuona u mgeni, tukakukaribisha, au u uchi, tukakuvika?
    39:Ni lini tena tulipokuona u mgonjwa, au kifungoni, tukakujia?
    40:Na Mfalme atajibu, akiwaambia, Amin, nawaambia, kadiri MLIVYOMTENDEA MMOJAWAPO WA HAO NDUGU ZANGU WALIO WADOGO, MLINITENDEA MIMI.
    41:Kisha atawaambia na wale walioko mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake;
    42: kwa maana nalikuwa na njaa, msinipe chakula; nalikuwa na kiu, msininyweshe;
    43:nalikuwa mgeni, msinikaribishe; nalikuwa uchi, msinivike; nalikuwa mgonjwa, na kifungoni, msije kunitazama.
    44:Ndipo hao pia watajibu, wakisema, Bwana, ni lini tulipokuona wewe una njaa, au una kiu, au u mgeni, au u uchi, au u mgonjwa, au u kifungoni, tusikuhudumie?
    45:Naye atawajibu, akisema, Amin, nawaambia, Kadiri msivyomtendea mmojawapo wa hao walio wadogo, hamkunitendea mimi.
    46:Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele.
    KOPI KATIKA QURAN.
    Haya Maneno Aliyosema Bwana YESU katika MATHAYO yamegeuzwa kidogo na kuingizwa katika Quran, Tazama
    Quran hadithi 22:
    Kutoka Kwa Abu Hurayrahرضي الله عنه ambaye alisema kwamba Mtume صلى الله عليه وسلم amesema:
    ((Allaah عَزَّ وَجَلَّ Atasema siku ya kufufuliwa: Ewe Mwana wa Aadam, NILIUMWA na USIJE KUNITAZAMA. Atasema: Ewe Mola, vipi nije kukutazama nawe ni Mola wa ulimwengu wote? Atasema: Ulijua kuwa mja wangu fulani alikuwa MGONJWA na HUKWENDA KUMTAZAMA? Ulijua kuwa ungekwenda ungalinikuta Niko pamoja naye? Ewe mwana wa Aadam, NILIKUOMBA CHAKULA na HUKUNIPA. Atasema: Ewe Mola, vipi nitakupa chakula na Wewe ni Mola wa ulimwengu wote? Atasema hukujua kuwa MJA WANGU FULANI alikuomba CHAKULA NA HUKUMPA? Hukujua kuwa ungalimpa chakula ungalikuta hayo (jazaa) kwangu mimi? Ewe mwana wa Aadam, NILIKUOMBA MAJI NA HUKUNIPA. Ewe Mola, vipi nitakupa maji na Wewe ni Mola wa ulimwengu wote? Atasema HUKUJUA KUWA MJA WANGU FULANI alikuomba MAJI na HUKUMPA? Ungalimpa maji ungalikuta hayo (jazaa) Kwangu Mimi)) [Muslim]
    3- MSTARI HARISI:
    """"""""Yohana 5:25:
    AMIN, AMIN, nawaambia, SAA INAKUJA, na SASA IPO, WAFU watakapoisikia SAUTI ya MWANA wa MUNGU, na wale waisikiao WATAKUWA HAI.""""
    KOPI KATIKA QURAN:
    """""""""Quran 22:7:
    Na kwamba hakika SAA ITAKUJA hapana shaka kwa hilo, na kwamba hakika Mwenyezi Mungu ATAWAFUFUA WALIO MAKABURINI."""""""
    4- MSTARI HALISI:
    """""""Luka 1:42:
    akapaza sauti kwa nguvu akasema, Umebarikiwa wewe katika wanawake, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa."""
    KOPI KATIKA QURAN:
    "Quran 3:42:
    Na angalia pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Kwa hakika Mwenyezi Mungu amekuteuwa, na akakutakasa, na AKAKUTUKUZA KULIKO WANAWAKE WOTE.
    JE MUNGU NI MMOJA ANAYE ABUDIWA KATIKA UKRISTO NA UISLAMU:
    Bwana Yesu Kristo Asifiwe,
    Ujumbe huu ni Muhimu sana kwa Wale Wakristo, walio wachanga Wasio na Imani dhabiti Na Mungu Wanayemuabudu.
    Kina cho Niuma.
    Ni Waislamu kubaki katika Uislamu, Pia baadhi Ya Wakristo kuhamia uislamu.
    Tega sikio ufahamu ukweli huu. Tofauti kati Ya
    Allah s.w na Muhammad s.a.w VS
    YEHOVA Mungu Na YESU KRISTO Bwana Wetu.
    1- Allah S.W hana Jina kamili.
    """Quran.17:110 au surat Bani Israil:
    Sema; muombeni (Mwenyenzi Mungu) kwa (jina la) Allah au muombeni (kwa jina la) Rahman. Kwa jina lolote mnalomwita (katika haya itafaa). Kwani ana majina mazuri mazuri."""
    2- hili ndilo Jina la Mungu wetu.
    """Kutoka 6:2-3,
    Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, mimi ni YEHOVA;
    3- Nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.""""
    4- Allah ana Maadui ambao ni Wakristo na Wayahudi.
    """""Quran. 4:51 na 57 (surat Al Maida):
    Enyi mlioamini! Msiwafanye MAYAHUDI NA WAKRISTO KUWA NI MARAFIKI. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika hao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu."""""
    5- Mungu Wetu ni wa upendo kwa Wote,
    na sisi ametuamuru tusiwe na Adui.
    """"Mathayo 5:43-45:
    Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;
    44: lakini MIMI nawaambia, WAPENDENI ADUI ZENU, waombeeni wanaowaudhi,
    45: ILI MPATE kuwa WANA WA BABA YENU ALIYE MBINGUNI; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.""""*
    6- Wafuasi Wa Allah Wote ni lazima Wapelekwe Jehanam Kwanza kuuunguzwa, Kisha Ndio Watolewe.
    """""Quran 19:70 - 72:Tena hakika Sisi tunawajua vyema zaidi wanao stahiki kuunguzwa humo.
    Hapana Atakaye kwepa adhabu hii kati Yao.
    71: WALA HAPANA YEYOTE KATIKA NYINYI ILA ni MWENYE KUIFIKIA. HIYO ni HUKUMU ya MOLA WAKO MLEZI ambayo LAZIMA ITIMIZWE.
    72: KISHA TUTAWAOKOA WALE WALIO MCHAMUNGU; na TUTAWAACHA MADHAALIMU humo wamepiga magoti.""""""
    7 - Kwa Wanao Mfuata YESU KRISTO.
    Watakao enda Kuzimu ni Wadharimu peke Yao.
    """"Zaburi 9:17:
    Wadhalimu watarejea kuzimu, Naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu."'''''
    Wakristo hatuendi Jehanam tuna kwenda Mbinguni na Bwana Yesu.
    """"''Yohana 14:2-3:
    Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.
    3- Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.""''''
    8- Allah naye ataijazilizia Jehanam, ili ijae.
    """""''Quran 50:30:Siku tutakayoiambia Jahanamu, ‘Je! Umejaa?’ Nayo itasema ‘Je kuna ziada (zaidi? Naije tu!.
    Imesimuliwa na Anas kuwa: mtume alisema watu watatupwa jahanamu, Naye Allah ataiuliza jahanamu akisema je umejaa nayo jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake nayo jahanamu itasema inatosha! Inatosha.""''''""""'
    Lakini Mungu wetu hataingia Jehanam.
    YEYE anaishi katika Mlima Wake Mtakatifu Sayuni na Watakatifu Wake.
    """""Isaya 57:15:
    Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu."""""'

  • @sharifasuleiman9134
    @sharifasuleiman9134 10 месяцев назад

    Mashallah

  • @halimamustapha3959
    @halimamustapha3959 Год назад +1

    Maashaallaah

  • @mohamedmaguo3910
    @mohamedmaguo3910 Год назад +1

    Mashalwah

  • @shamilachebi1642
    @shamilachebi1642 2 года назад +1

    Mashallah

  • @saidnassor5675
    @saidnassor5675 2 года назад +1

    Mashallah