Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

JESHI LA UZITO | SHEIKH OTHMAN MAALIM 2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 дек 2021
  • .

Комментарии • 35

  • @jumahamis227
    @jumahamis227 2 года назад +9

    Nikiwa nimetingwa na mawazo na mitihani ya maisha nakuja kwa sheikh kupata mawaidha ili kupata elimu, kujiliwaza na kujikumbusha kuna wale waliopata mitihani kuliko mimi, na mimi nivumilie nisikufuru kwa neema nilizojaaliwa, Mungu akulipe kheri sheikh.

  • @fawziaabdurrahman2251
    @fawziaabdurrahman2251 2 года назад +3

    Allah akuzidishe umri na afya ya sheikh. uzidi kutupa darsa na kutukumbusha. mimi nakuskiza kwa youtube, kwenye cd za darsa, kwenye redio nikiwa kenya. allah akutakabalie juhudi zako za kueneza dini na ujumbe wa islam. na allah akuepushie kila la shari ya sheikh.

  • @muzdalifa8227
    @muzdalifa8227 2 года назад +1

    Alhamdhulillah.May Allah Make us among those who don't forget the good that many many people had once done for us ..Amiiin..

  • @Alkindy.001
    @Alkindy.001 2 года назад +4

    Najifakhiri kua miongoni mwa wanafunzi kamili wa sheikh Uthman maalim alipokua mombasa kenya changamwe...madrasatul taqwa pale

  • @timaala531
    @timaala531 2 года назад +1

    Masha allah

  • @ummesaniyah
    @ummesaniyah 2 года назад +2

    SubhanAllah!!!... Maneno mazito mno kutoka kwa Rasulullah kwa Answar... Allah atupe tawfiq atuzidishie imaan. Allah amlinde na kumlipa sheikh wetu sheikh Othman....

  • @binbaya923
    @binbaya923 2 года назад +1

    Maa shaa Allah

  • @aminashaib6956
    @aminashaib6956 2 года назад +1

    MashaAllah Allah Akubariki Akuzidishie afya na umri, Atujaalie sote mwisho mwema,

  • @mohammedmztio5621
    @mohammedmztio5621 2 года назад +1

    Maşh Allah

  • @shadracktv1345
    @shadracktv1345 2 года назад

    mashallah shukran habibib

  • @naimamusa2169
    @naimamusa2169 2 года назад

    masha allah

  • @rahmasoliman489
    @rahmasoliman489 2 года назад

    Maashallah

  • @bilalyahya6418
    @bilalyahya6418 2 года назад

    Mashallah

  • @rukiagambere8050
    @rukiagambere8050 2 года назад

    Mashaallah

  • @idrisadonsi6754
    @idrisadonsi6754 2 года назад

    idrisa Ali donsy

  • @othmanmpemba3980
    @othmanmpemba3980 2 года назад

    🙏🙏

  • @feisal6592
    @feisal6592 Год назад

    Aslm black zambarau,,yaute,,=

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +2

    Jifunz quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojl

  • @abdulkadirkivaya2580
    @abdulkadirkivaya2580 2 года назад +2

    Asalamualeikum

    • @Alkindy.001
      @Alkindy.001 2 года назад

      وعليكم السلام ورحمةالله وبركاته

  • @suleimanmdigo5062
    @suleimanmdigo5062 2 года назад

    Usiongee na mtu siku 40, ni shida kubwa sana, unaweza changanyikiwa😔😔🤔🤔

  • @shibblyhassan1254
    @shibblyhassan1254 2 года назад

    Alikuwa wapi leo

  • @mbarakjuma3523
    @mbarakjuma3523 2 года назад

    Sheikh hii Bermuda triangle imo kwa Quran?

  • @abdulkadirkivaya2580
    @abdulkadirkivaya2580 2 года назад

    Sheikh uthman anaubaguzi wamisikiti baadhi ya misikiti hapa pwani

    • @Alkindy.001
      @Alkindy.001 2 года назад +1

      Kimtazamo wangu ni kwamba alikua yuko booked lau na nyie mnamtaka mumfanyie booking nnaimani mtafaulu....
      Na kimafundisho ya kidini ni kuwa mwepesi wa kumpa udhuru Muislamu mwenzio zaidi ya mara sabiini .....na lau utafahamu hilo basi hutamlaumu fadhilatu sheikh Uthman..maalim...

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 Год назад

      Naam

  • @abdulkadirkivaya2580
    @abdulkadirkivaya2580 2 года назад

    Hatukusikizi tena baadhiyamisikiti ukiitwawaenda kwengine uendi¹🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤐🙏......

    • @Alkindy.001
      @Alkindy.001 2 года назад +1

      Sema sikusikizi tena usiamulie watu...utakuja shangaa umejiadhibu kwa kauli yako

    • @jumahamis227
      @jumahamis227 2 года назад +1

      Labda alikuwa na udhuru kaka, mbona sheikh othman msikiti wa kwa kishki anendaga na misimamo yao ni tofauti kidogo.

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 2 года назад +2

      Kwani ana miguu minne au sita ili ajigawe?? Sisi wengine tunahitaji kumsikiliza japo mitandaoni kama huendi huku umefata nini sasa 😳😳

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 Год назад

      Shida yako kumuona au kujifunza