Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

KISA CHA SAID BIN MUSAYYIB //SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 апр 2023
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

Комментарии • 80

  • @azizaidd6082
    @azizaidd6082 Год назад +1

    Mashaallah shekhe osman

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Год назад +1

    Ma shaa allah Sheikh Othman Maalim kisa kizuri sana chenye mafunzo

  • @a.856
    @a.856 Год назад +1

    Jazakallah khayran

  • @user-td9zr7ur5h
    @user-td9zr7ur5h День назад

    Mashallah

  • @user-go9lm6ut9u
    @user-go9lm6ut9u 4 месяца назад +1

    Mungu akupe kila kheri

  • @rahoumkhatry3758
    @rahoumkhatry3758 Месяц назад

    ماشاء الله ❤

  • @mussaathumani9814
    @mussaathumani9814 Год назад +1

    Shekhe kisa kizuri sana
    Nanifunzo kubwa sana lakini inakua vip asaiv ukitaka kuowa mapesa kibao kama black people kuoa mwarabu ndio kipengere kabisa shida nini ikiwa dini yetu inaitaji uhadirifu

  • @ShekheMsela
    @ShekheMsela 2 месяца назад

    Shukrani kwa ukumbusho shekhe

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Год назад

    MashaaAllah tabark

  • @AlikanAbdull-oh7nr
    @AlikanAbdull-oh7nr Год назад

    Masha Allah

  • @Mejusmapishini8573
    @Mejusmapishini8573 Год назад

    Ma sha Allah

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Год назад

    Bismillah MashaAllah ❤❤❤❤❤❤

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 Год назад

    Mashallah tabaraqah

  • @mohamedabdallah3253
    @mohamedabdallah3253 Год назад

    Mashaallah

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Год назад

    Maa Shaa Allah Sheikh🙏

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 9 месяцев назад +1

    Afu anatokea mtu anamtukana shkhe wetu aisee nimewamind mawahabi sina upendo nao ata chembe

  • @indamajid865
    @indamajid865 Год назад

    Mashaallah duktur

  • @hamso254
    @hamso254 Год назад

    Jazzakah Allah kheir sheikh,kisa chenye mafundzo mazuri.

  • @HarunaShabani-hy8mx
    @HarunaShabani-hy8mx Год назад

    msikate Kate vipamde banana tupate fanyd❤❤

    • @arkasonlinetv2370
      @arkasonlinetv2370  Год назад

      Hiki KISA kimeishia hapo huko mbele ni story nyengine
      Ahsante

  • @user-ni8ci5gs1z
    @user-ni8ci5gs1z Год назад

    Alhamdullilah kisa kizuri mno

  • @abdirahman7321
    @abdirahman7321 Год назад

    Nimekipenda kisa adhwim

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Год назад

    Subhanallah

  • @coyancodavao4004
    @coyancodavao4004 Год назад +1

    Kisa kizuri

  • @azizaidd6082
    @azizaidd6082 Год назад

    Kisa kizer san

  • @nadiaharoon9648
    @nadiaharoon9648 Год назад

    Kisa kizuri lakini hamujaanza Wala hamumalizi?

  • @HarunaShabani-hy8mx
    @HarunaShabani-hy8mx Год назад

    mbona mnakata kata vikande sana

    • @HarunaShabani-hy8mx
      @HarunaShabani-hy8mx Год назад

      inshalla ss tupo bara ila shekhe odhuman maalim tunamuwelewa mno tunataman Visa vichukuwe saa2 hv tunufaike

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Год назад

    Mwandish Umeandik Sayyid Lakin Anaitwa Said bin Musayyib Ni Bwana Mkubwa wa Taabiina.
    Ila Huyu Ochumani Ni mtu wa visa Tu Na Mengne ya Urongo.

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад +4

      Hata mwenyezi mungu amemtolea hadithi mtume wake wa mambo yalopita kabla yake katika ushukaji wa Qur'an angeyajuwaje yalopita na alisoma ya mitume ilopita kwa hizo hadithi vipi shek Othman awe ajabu kutupatia hizo hadithi wacha chuki za kijinga

    • @arkasonlinetv2370
      @arkasonlinetv2370  Год назад

      Shukran

    • @idrissamohamed1100
      @idrissamohamed1100 Год назад

      Acha Husda vya urongo visema tuvione

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Год назад

      @@sabihaibrahim143 Hujaelewa Kuna Zama Ambazo Walizuka Watu wa BIDAA Ktk DINI, Kwa kuwasimulia Visa vingi Ambavyo Wanaongea Tuu Bila Kuwa Na Vtabu Ambavyo Vinathibitisha Hayo Yaliyosemwa Kwa Sanadi Safi.Watu Hao Ni Waongo ktk DINI wana Ngano Nyingi sana.Watu Hao Zama Walipozuka Waliitwa kwa jina la QASWAASUUNA.
      Hukmu yao Ni Kuwa Hawafai kusikilizwa kwa Mujibu Wa Ijmaai ya Wanachuoni wote.
      Na Watu Hao QASWASUUNA kama Ochumani Malengo yao ni kuwaburudisha Watu kwa Kuwachekesha,Kuamsha Hisia zao za Huzuni na Ama Kutoa Stress.Kama vle Mtu Anayeenda Banda za Sinema Kuangalia FILAMU.
      sasa Hayo yanayosimuliwa Hayawez kuwanufaisha UMMA Kielimu.kwan watu wake Hawawez Kukhofishwa na Shirki wala Bidaa Ktk Dini yao na wakaambiwa na kusisitizwa wafuate Tawhidi na Sunna.Wala hawawez Kusemwa Kwa yale Wanayoyafanya Ktk Bidaa mfano Bidaa za Mawlid,Khitma,Kunyoa Ndevu O,Kuvaa Isbali kwa wanaume. na n.k
      Na kuhusu Vile Visa Vya Mitume waliotangulia ambavyo Vimetajwa ndan ya Quraan
      1:kwanza Vile visa Vimethibit kweli bali Hata mtume Ameelezea Hali halisi ktk Hadithi zilizothibiti.
      2:Pili Visa vile sio Lengo mtu Aburudike Bali Ni YaPatkane Mazngatio Kwa mweny Kusikia ili na yeye Ajiepushe Au ajibidiishe ktk Amali.Na vile Visa Vilikuja Kwa Lengo La Kuuthibitisha Utume wa Mohammad kuwa ni Mtume kwel Anayepokea wahyi.
      Lakin lengo kubwa Ni Watu waijue Tawhidi.Sas Unapomtaja Mtu kama Saiid Bin Musayyib Hakuwa Mtu Wa Mawlid,Wala Khitma,Wala Sufi,Alikuwa Msomi Mkubwa Ambaye Alikuwa Akifundsha Sunna na kukataz Bidaa.
      Kwa nn. Asingesimulia Kisa Ambacho Kimethibit Kutoka kwake kwa sanad Ktk kitab. cha Al Imaam Albayhaqiyy kuwa Alimkataza Mtu Asiswali Sunna Nyingne Baada ya Alfajir!Kuwa Huyo Bwana Akatoa hujja kuwa"Hiv Allah ataniadhibu mim kwa Kuswali!? Akajibiwa"Hapana Lakin Atakuadhib kwa sabab ya Kuacha Sunna ukaenda kinyume Na Sunna.
      Na ukimuona Mtu Mpenda visa Basi Huwapenda Masheikh wasimulia Visa kama Ochumani.Kiukwel huyu Mtu Ni Muongo balaa Na anawatukana Manabii na Mataabiina.Kama ambavyo apo alipomtia sifa ya Ukhawaarij Huyo Said bin Musayyib kwa Anaitwa na Mtawala kisha Agome.Hilo hawez Kufany kwa ni Ktk Bidaa.

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Год назад

      @@idrissamohamed1100 Sikiliza Hapa uongo wake
      ruclips.net/video/aQMKOIIkojQ/видео.html

  • @bauchatv-yd4ug
    @bauchatv-yd4ug Год назад

    Mashallah