068 OTHMAN MAALIM....UKAIDI WA BANI ISRAEL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 фев 2015
  • www.akashadaawahtraders.com/

Комментарии • 243

  • @Zanzibar288
    @Zanzibar288 4 года назад +35

    Kama una angaliya 2020 kama mm weka like.... Allah....kareem

  • @roddybob6871
    @roddybob6871 3 года назад +6

    Mashaalah..... Marehemu Babu yangu siku ya kufa kwakwe.... Aliamka akaswali swalati subuhi...... kisha akasema sijisiki vizuri ngoja nipumzike.....Basi alipo jinyoosha kitandani Mauti yakamchuku akiwa na Udhu wake wa Swalati Subuhi Mashaalah

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 4 года назад +4

    mashaa Alla mawaidha ya shekhe Othumani maalim ni mazury sana maana unaweza kusikiliza masaa 24 huchoki Alla Amuafu inshaa Alla Alla ihifidhik fidin fidunia wal Akhela jazaka llahu khairan inshaa Alla

  • @najashjejeje6216
    @najashjejeje6216 3 года назад +4

    mawaidha haya ni zaidi ya mawaidha ya kawaida, MashaALLAH tufate mafundisho yatutafaa duniani na akhera

  • @tabuselemani6869
    @tabuselemani6869 4 года назад +15

    nakupenda sheikh wetu kwa kutupa mawaidha mazuri sheikh wetu ALLAH akupe mwisho mwema☝

  • @hassaninamkanda7524
    @hassaninamkanda7524 6 лет назад +33

    Mwenyezimungu akuongezee kuwa na sauti zuli uendelee kutoa dawat maana ndo chakula cha nyoyo zetu isha,alla

  • @ramamohammed1438
    @ramamohammed1438 4 года назад +4

    Masha Allah...Allah barik na Allah(s.w) atifanyie wepesi na kutuzdshie iman thabit katika uhai wetu na kutufanyia wepesi wkt wa FARADHI YETU....Allah barik kwa mawaidha....

  • @obbyabdalah1617
    @obbyabdalah1617 5 лет назад +7

    Namkubali sana shekhe wangu

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana5601 4 года назад +5

    Ma sheikh zetu wanatujaza Imani nyoyo zetu Allah awape maisha marefu duniyani na ahera

  • @hamishemed9179
    @hamishemed9179 6 лет назад +18

    Mashaallah hakika sheikhe unavyoisoma hiyo qroan tukufu inaniingia hadi kwenye utumbo mwenyezi Mungu akujaze kila la kheri innshaallah

  • @swaumupaji3623
    @swaumupaji3623 4 года назад +6

    Maa shaa Allaah TabakaAllaah wallah hiki kisa kila siku ya Mungu lazima nikirudie zaidi ya mara tatu...Sheikh wetu Allaah akuhifadhi na In shaa Allaah akatukutanishe peponi Aamiiyn

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 года назад +2

    Shukran jazzakallah khairan ustadh umeniongeza imaan

  • @sophiamaaher5777
    @sophiamaaher5777 3 года назад +2

    Mashaallah shekh othmani Allah akujalie kila kheri na akupe umri mrefu kwa rehma zake allah

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu 4 года назад +5

    Subuanalaaah Allah ni mkubwa🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @sumajuma8860
    @sumajuma8860 7 лет назад +48

    Allah akupe shahada mwisho was uhai wako

  • @fahimkarama9341
    @fahimkarama9341 3 года назад +2

    Aa napenda mawaidha yako shukran

  • @nassortwahir139
    @nassortwahir139 4 года назад +5

    Allah akupe umri mrefu shekhe wangu tuzid kupata maarifa

  • @allymadjaliwa1374
    @allymadjaliwa1374 5 лет назад +10

    Allahu Akbar tabaraka Allah manshaallah

  • @faquebacar794
    @faquebacar794 4 года назад +3

    Mungu akujalie

  • @saidsaidmrisho1988
    @saidsaidmrisho1988 4 года назад +3

    Amina amina mungu akupe umrinmrefu