mashaa Alla mawaidha ya shekhe Othumani maalim ni mazury sana maana unaweza kusikiliza masaa 24 huchoki Alla Amuafu inshaa Alla Alla ihifidhik fidin fidunia wal Akhela jazaka llahu khairan inshaa Alla
Masha Allah...Allah barik na Allah(s.w) atifanyie wepesi na kutuzdshie iman thabit katika uhai wetu na kutufanyia wepesi wkt wa FARADHI YETU....Allah barik kwa mawaidha....
Maa shaa Allaah TabakaAllaah wallah hiki kisa kila siku ya Mungu lazima nikirudie zaidi ya mara tatu...Sheikh wetu Allaah akuhifadhi na In shaa Allaah akatukutanishe peponi Aamiiyn
Kama una angaliya 2020 kama mm weka like.... Allah....kareem
Mashaalah..... Marehemu Babu yangu siku ya kufa kwakwe.... Aliamka akaswali swalati subuhi...... kisha akasema sijisiki vizuri ngoja nipumzike.....Basi alipo jinyoosha kitandani Mauti yakamchuku akiwa na Udhu wake wa Swalati Subuhi Mashaalah
mashaa Alla mawaidha ya shekhe Othumani maalim ni mazury sana maana unaweza kusikiliza masaa 24 huchoki Alla Amuafu inshaa Alla Alla ihifidhik fidin fidunia wal Akhela jazaka llahu khairan inshaa Alla
mawaidha haya ni zaidi ya mawaidha ya kawaida, MashaALLAH tufate mafundisho yatutafaa duniani na akhera
nakupenda sheikh wetu kwa kutupa mawaidha mazuri sheikh wetu ALLAH akupe mwisho mwema☝
Mwenyezimungu akuongezee kuwa na sauti zuli uendelee kutoa dawat maana ndo chakula cha nyoyo zetu isha,alla
Masha Allah...Allah barik na Allah(s.w) atifanyie wepesi na kutuzdshie iman thabit katika uhai wetu na kutufanyia wepesi wkt wa FARADHI YETU....Allah barik kwa mawaidha....
Namkubali sana shekhe wangu
Ma sheikh zetu wanatujaza Imani nyoyo zetu Allah awape maisha marefu duniyani na ahera
Mashaallah hakika sheikhe unavyoisoma hiyo qroan tukufu inaniingia hadi kwenye utumbo mwenyezi Mungu akujaze kila la kheri innshaallah
Maa shaa Allaah TabakaAllaah wallah hiki kisa kila siku ya Mungu lazima nikirudie zaidi ya mara tatu...Sheikh wetu Allaah akuhifadhi na In shaa Allaah akatukutanishe peponi Aamiiyn
Shukran jazzakallah khairan ustadh umeniongeza imaan
Mashaallah shekh othmani Allah akujalie kila kheri na akupe umri mrefu kwa rehma zake allah
Subuanalaaah Allah ni mkubwa🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Allah akupe shahada mwisho was uhai wako
Aa napenda mawaidha yako shukran
Allah akupe umri mrefu shekhe wangu tuzid kupata maarifa
Allahu Akbar tabaraka Allah manshaallah
Mungu akujalie
Amina amina mungu akupe umrinmrefu