KISA CHA NABII ISSA-Othman Maalim

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 май 2013

Комментарии • 174

  • @piarowasafi3281
    @piarowasafi3281 4 года назад +17

    Mwnzo mm nimetoka katika jamii ya kikristo lkn mafunzo ya sheikh yamenipadilisha kuwa muislam

    • @Abdulrahman-ie7dy
      @Abdulrahman-ie7dy 2 года назад +1

      Allahakbaru allah akupe imani y kwl maan umekuj ktk dini sahihi sn

  • @boubabizo246
    @boubabizo246 Месяц назад +4

    Who else is here in 2024?

  • @mossinivyamana3831
    @mossinivyamana3831 4 года назад +27

    Who else still watching in 2020

  • @samwelwakora4371
    @samwelwakora4371 10 лет назад +71

    Allahu akbar me mwenyewe nilikuwa mkristo leo muislamu,wallahi jahannam wakristo jueni ndio makaazi ya abadan,Allah akuhifadhi sheikh

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 8 лет назад +34

    Masha Allah
    hawa ndio masheikh wa kusikilizwa maana wanafafanua kwa mapana sana hadi mtu anaelewa anachokiongea. Allah akulinde sheikh wetu Maalim .tunakupenda sana kwa.ajili ya Allah.

  • @nasramohamed1459
    @nasramohamed1459 9 лет назад +30

    Shukran shaikh mungu akuzidishie elmu na sisi sote ummat moh (s.a.w) mashaallah wa barakallah

  • @aslithar2049
    @aslithar2049 3 года назад +5

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👍 comment kama bado ipo hapa 2021

  • @BizozaFrank
    @BizozaFrank Месяц назад

    Allah atu ongeze sote Muslim and mwisho mwema insha alha❤❤❤

  • @hadijamohammed1058
    @hadijamohammed1058 9 лет назад +14

    Mashallah sheikh unatubadilisha tabia zetu,kutokana na mawaidha mazuri mim I nimeanza kufunga sunnah na kuiweka subra

  • @magawarama7077
    @magawarama7077 8 лет назад +28

    only thing sheikh othuman what you can do is to register university so that you can teach people about islamic believe before and todays

  • @hamisikitwana7957
    @hamisikitwana7957 8 лет назад +16

    Napenda sana mafunzo yako Ustadhi

  • @bijumakassim3697
    @bijumakassim3697 5 лет назад +8

    Allahu Akbar Mashaallah Sheikh huwa napenda Sana kuskiza mawaidha yako wallahi huwa najifunza mengi kupitia kwako tunakupenda kwa ajili ya Allah..M/mungu akupe umri mrefu inshaallah

  • @hawamambo4268
    @hawamambo4268 8 лет назад +5

    jazakallahu sheikh unaeleza mpaka asiyekuwa mwelewa anaelewa natamani hao wanaosema Allah Ana mtoto waje hapa wasikilize kwa makini, haiingii akilini kabisaa kwa mwenye akili timamu kutamka Allah Ana mtoto Alhamdulillah kwa kuzaliwa muislam yarabbi tunakuomba khusnil khatima kwetu sooote waislam

  • @rashidamashaallahnyimbohio1664
    @rashidamashaallahnyimbohio1664 Месяц назад +1

    Mashallah mawaidha mazuri mno

  • @mzaramoabdallah1707
    @mzaramoabdallah1707 7 лет назад +11

    mwenyezimungu akuzidishie kila la kheri sheikh.unastahili kuwa mufti Wa nchi yetu.kwan ilmu uliyokuwa nayo ni tosha kuwa kiongozi

    • @gainomshangani3234
      @gainomshangani3234 7 лет назад +1

      naisi elimu Yako ata muft wa tz aifikii na sijaona km anatuelimisha chchte zaidi ya kushirikiana na serikali tu. mungu akupe kheri na maisha marefu uzd kutuelimisha, insha.allah

  • @rizikiyahya9565
    @rizikiyahya9565 11 лет назад +20

    Allah akubariki kwa kazi nzuri unayoifanya akulipe mema insha-Allah

  • @aminaabdulghanim8256
    @aminaabdulghanim8256 28 дней назад +1

    Shukran kwa elimu ❤

  • @mahmoudkibwana6465
    @mahmoudkibwana6465 7 лет назад +7

    munqu akurehem na akupe maisha malefu yenye manufaa

  • @aligedi2869
    @aligedi2869 6 лет назад +6

    Mashallah mungu akujazie kheir na atujalie wengine wengi kama wewe Ishallah

  • @kulthumali5050
    @kulthumali5050 9 лет назад +11

    mashaallah, ALLAH akujazi kheir ameeeen yarrab.

  • @hamidsaidi2839
    @hamidsaidi2839 7 лет назад +5

    Jazaka Allahu kheir Sheikh Othman Maalim. Amiin

  • @salymahsaleh2988
    @salymahsaleh2988 8 лет назад +10

    Baraqa'Allahhu feeq ya ustadh Othman............Mashaa'Allah aleyya nmejifunza kwa kina Alhamdulillah

  • @shebetymudi7927
    @shebetymudi7927 8 лет назад +7

    mashallah mola akubarik

  • @nuruddin5074
    @nuruddin5074 Год назад

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SHEIK WETU NA ALLAH AKUUJAALIE KILA ULIOMBALO UFANIKIWE NA SISI PIA INSHALLAH

  • @kelvinjulius7531
    @kelvinjulius7531 3 года назад

    Yalaab mjalie kila mja wa kislam katka mwisho mwemA na umkinge na husda sheikh Othuman Malimu

  • @SuleimanMuhamad
    @SuleimanMuhamad Год назад

    nashukuru sana suratul tawba yafasiriwa

  • @hussein2hasssan213
    @hussein2hasssan213 7 лет назад +7

    Allah Akbaru
    napenda vipindi vyoko shee

  • @MohagmailcomKinudhia
    @MohagmailcomKinudhia 10 лет назад +8

    Mashaallah sheikh Uthman.Wenye itikadi yakiyahudi na kinaswara wamepotea pakubwa, wanapinga nakuipindua haki ilotoka kwa Allah(s.w) huu ni mswiba.

  • @absewajunior8130
    @absewajunior8130 6 лет назад +4

    Mungu hakulipe kazi na janatul firdous

  • @chocolatebby7328
    @chocolatebby7328 2 года назад +1

    Dahh 2022 mashallah

  • @zinaibrahim7004
    @zinaibrahim7004 5 лет назад +4

    mashallah shekhe mwenyezi mungu akupe umr mrefu amina yarab

    • @mbaroukabdalla3967
      @mbaroukabdalla3967 4 года назад

      Yaah Allah tupe khr na barka pa1 na sheikh we2 othman maalim utujaalie mwisho mwema

  • @kwetuzanzibartour8320
    @kwetuzanzibartour8320 6 месяцев назад

    Mashaallah

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 4 года назад +2

    Shukran wajazaka llahu Heri inshallah

  • @mwatimengao2398
    @mwatimengao2398 5 лет назад +3

    Maa shaa Allah

  • @salimuabbas5965
    @salimuabbas5965 8 лет назад +5

    inshallah sh mungu akupe yakuweza kutupa daawa

  • @magawarama7077
    @magawarama7077 8 лет назад +9

    you are doing a great job!, educate people about allah

  • @elenissaa181
    @elenissaa181 7 лет назад +3

    aki mungu akuzidishie mie mkristo ila mafunzo yako yananijenga saana hadi nimemkumbuka babangu isaa alitaka niwe muislam bali aliaga tukiwa wadogo saana so ilibidi tulelewe kikristo ila nafurai sana

  • @mnyamwezionlinetv3998
    @mnyamwezionlinetv3998 8 лет назад +6

    Allahu waahid

  • @mnyamwezionlinetv3998
    @mnyamwezionlinetv3998 8 лет назад +4

    Allah Ahad

  • @hanzurunihamidu6613
    @hanzurunihamidu6613 4 года назад +2

    Mungu akujalie kila kher, inshaallah.Tunajifunza mengi.

  • @hamisally7523
    @hamisally7523 7 лет назад +4

    jazaka allahu kheir sheikh,mawaidha yako mazuri.

  • @mariamwazir1125
    @mariamwazir1125 5 лет назад +5

    Maashaa allah allah azidi kukuongoza uzidi kutuelimisha ila mwenye mawaidha ya huyuu shekhe naomba anitumie +96997737975

  • @NimoJama-iw6tg
    @NimoJama-iw6tg 8 месяцев назад

    Hero of mislims

  • @mohamedsurur2726
    @mohamedsurur2726 5 лет назад +3

    Allahu Akbar

  • @aisharamadhan4778
    @aisharamadhan4778 3 года назад

    Allah,, awaongoze waliyo potea kwa dini isio eleweka waingie katika dini iyo salimika uisilam dinii yakhaki... Allah,, atuongoze mema filli dhunia walli akhera.. Allah,,akupe umbri wamema shekhe wetu othiman maalim...akuweke wengi wasim kupitia kwako... Amiin Amiin ya rabbi Allah Amiin Amiin

  • @sabrinayounisaden6413
    @sabrinayounisaden6413 8 лет назад +7

    JazaakaAllah khair sheikh Othman may Allah bless you and your family Inshaa Allah

  • @brotheralig6208
    @brotheralig6208 4 года назад +2

    Jazaka Allah kheir,

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z 4 года назад +1

    MashaaAllah shekhe mwenyezi mungu akulipe kheiri fii dunia wa kheira shukran

  • @mohamednassor4569
    @mohamednassor4569 6 лет назад +2

    Masha allah

  • @muhammadsaid1654
    @muhammadsaid1654 3 года назад +1

    Masha Allah 🕌🕌🕌🕌

  • @abassahmed8368
    @abassahmed8368 8 лет назад +5

    jazakallah

  • @mbarukumkali2691
    @mbarukumkali2691 8 лет назад +21

    Takbiriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @rahmaalfan1776
    @rahmaalfan1776 2 года назад

    Masha allah masha allah tabarrak rahmani allah akupe maisha yenye kheri kwako na kwetu sote yaarab

  • @rahmahass1318
    @rahmahass1318 4 года назад +2

    maaashaallah

  • @mohamudelmi8594
    @mohamudelmi8594 8 лет назад +4

    Thanks sheikh othman

  • @shabanimuniru9819
    @shabanimuniru9819 8 лет назад +4

    mashallaah mtalaaam wahistori

  • @halimanarcis6745
    @halimanarcis6745 8 лет назад +5

    Allah akupe umri mrefu InshAllah

  • @daudimango782
    @daudimango782 8 лет назад +3

    allah akuongeze elim uzid kutuhusia

    • @timemwaisha3719
      @timemwaisha3719 5 лет назад

      Mashallah mashallah jazzakh llah kheri inshaallah nd shukran

  • @leylasalim9380
    @leylasalim9380 2 года назад

    Mashallah baba bilali Allah SW azid kukuongoza pamoja nasi

  • @neemafelister9584
    @neemafelister9584 2 года назад

    ISA MASIAH NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA

  • @Som-Hanoolaato
    @Som-Hanoolaato 10 лет назад +4

    Masha Allah, Baarak Allahu feekum for sharing.

  • @alfredkabura
    @alfredkabura 8 лет назад +2

    sikubali na watu na watu ambao huibia binadamu wezio wamenibia hapa marikani sana hawana mafikirio kama sisi.

  • @saumuhilali1040
    @saumuhilali1040 7 лет назад +3

    allahuma minaher

  • @sturbbornvideoz8547
    @sturbbornvideoz8547 3 года назад

    Allah akuzidishie heri sheikh wangu, hakika jaza yako iko kesho kwa Allah

  • @mussashaban1739
    @mussashaban1739 7 лет назад +3

    jazaakaAllah kheir

  • @aminaamulavu1338
    @aminaamulavu1338 3 года назад

    Alhamdulilah neema ya Islam

  • @kautharsalat2261
    @kautharsalat2261 9 лет назад +3

    Mashallah

  • @rukiaally5196
    @rukiaally5196 8 лет назад +2

    jazakallah khair

  • @bwamisulaiman1451
    @bwamisulaiman1451 Год назад

    Shukran sana ya sheikh, Allah akuzidishie baraka zake!!

  • @halibabungubi6621
    @halibabungubi6621 6 лет назад +3

    MASHAALAH

  • @mathasibale4684
    @mathasibale4684 7 лет назад +2

    amiin

  • @claudetiddy6758
    @claudetiddy6758 3 года назад +1

    Assalamu alaikum warahmatullah wabarakatuh. Naulizo mwisilamu unakubaliwa kumuowa asiekuwa muislamu alafu aende kaninani naminisali iyoswallah itakubaliwa ? Mukewangu ndaniya nyumbayangu aongeye yesukilawakati naminisali. Watoto watamufata Nani.? Watamujuwa Allah ? yesu?

    • @ibrahimally5495
      @ibrahimally5495 6 месяцев назад

      Hairuhusiki ولا تنكحوا المشركات حتى يؤمن wala msiwaoe washirikina mpaka waamini... na wakiristo ni washirikin wanasem Issa n mtoto wa mungu kwahy haifai mpk asilimu..na sio ukamsilimishe baad ya ndoa ..Ile kuoana t haifai

  • @omarmoha9869
    @omarmoha9869 8 лет назад +3

    ALLAHU AKBAR USTATH AMENIFUNZA MAMBO MENGI,BARAKALLAHU FIKUM

  • @reychapo9402
    @reychapo9402 6 лет назад +2

    mashaallah

  • @yusufuamani2638
    @yusufuamani2638 4 года назад

    Hakika she mungu akujarie mawaidha yananifundishA virivyo

  • @nasrahassan4220
    @nasrahassan4220 2 года назад

    Masha Allah Allah akuweke ukuzidi kupa Elim Insha allah

  • @rexmwansa9702
    @rexmwansa9702 6 лет назад +1

    Shkuran sheikh maalim

  • @Abdulrahman-ie7dy
    @Abdulrahman-ie7dy 2 года назад

    Uislam ndio dini y kwl

  • @hedayaabtwalib5853
    @hedayaabtwalib5853 5 лет назад +1

    mashallah

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 7 лет назад +1

    masha allah

  • @maryammariyam1916
    @maryammariyam1916 3 года назад

    Masha Allah

  • @hassasadiq4457
    @hassasadiq4457 7 лет назад +1

    MashAllah sheik
    The

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Год назад

    Aiseee thank you so much 🙏

  • @khalfanalsharji771
    @khalfanalsharji771 7 лет назад +2

    thanks maalim

  • @zeynabzangu1589
    @zeynabzangu1589 3 года назад

    Mashaallah mungu akulipe kla la kheri

  • @hadijahabwoye8651
    @hadijahabwoye8651 8 лет назад +10

    Mashaallah mungu amupe kla laheri naomba mawaidha haya munitumie kwa wetspp namba yangu +966543320464 jazaka heri

  • @shaafiyhamad6573
    @shaafiyhamad6573 2 года назад

    inshaALLAH

  • @abdulpires9091
    @abdulpires9091 4 года назад

    Masha Allah 2020

  • @jumanyaoko792
    @jumanyaoko792 2 года назад

    Allah akujalie umli mlefu

  • @hanitaslifestyle3945
    @hanitaslifestyle3945 11 лет назад +4

    endelea tunakupenda jazaa kalla kheyr

  • @rehemasalum3104
    @rehemasalum3104 7 лет назад +3

    ishallh

  • @manbawazir5392
    @manbawazir5392 6 лет назад +1

    ABDULRAHMAN BAWAZIR

    • @manbawazir5392
      @manbawazir5392 6 лет назад

      imamu sheikh othman maalim sauti kipezi chetu

  • @profnasramagati7860
    @profnasramagati7860 7 лет назад +2

    taqbir

  • @tadyinkmussa2530
    @tadyinkmussa2530 7 лет назад +1

    sema nn hamja posti latest video iz video za muda mrefu. tunaomba muweke latest video

    • @roznaalsheibani5616
      @roznaalsheibani5616 4 года назад

      maneno ya mwenyezimngu hauwez kuchoka kuyasikiliza na wala hamna zamni wala sasa pindi unapo angalia ubaona tuu kama ndo yamewekwa leo kwasababu nimazuri maneo ya mngu hayachokeshi

    • @nyetaapaul619
      @nyetaapaul619 3 года назад

      Maneno ya.Mwenyezi Mungu hayapitwi na wakati ndugu, tafakari zaidi

  • @mwajumahemedi1863
    @mwajumahemedi1863 8 лет назад +1

    Maashallah Allah awape uhai

  • @khamissifaki8810
    @khamissifaki8810 7 лет назад +2

    .

    • @sanuraomar7308
      @sanuraomar7308 6 лет назад

      Allah akuzidishie elimu

    • @h.rukuba7464
      @h.rukuba7464 5 лет назад

      ndugu yetu allah amjalie afya njema azidi kutupa dawa ya kiroho

  • @lynnvenic8240
    @lynnvenic8240 8 лет назад +3

    waongea vyema nakuskiza .ila sauti uliyotoka mbinguni wakati Mtume Issa alipokua akibatizwa.sauti ulitoka mbinguni ukasema "huyu ndiye mwana wangu wapekee msikilizeni" hiyo sauti ilikua ni ya nani.samahani kwa wenye nimewakera

    • @santodelove4351
      @santodelove4351 5 лет назад

      Yesu hakubatizwa tafuta agano la kale maana hujiulizi kila wakati munapewa Agano jipya

    • @shemsaomar1349
      @shemsaomar1349 5 лет назад

      Hiyo sauti ilikuwa ya nani?? Ni sauti tu huko mbinguni kuna wengi

    • @abdillahmohamed9818
      @abdillahmohamed9818 5 лет назад

      Lynn venic vp

    • @ramadhanwilbard4685
      @ramadhanwilbard4685 4 года назад

      Ktk Wislamu hakuna ubatizo wa maji

    • @annurmohamedi9824
      @annurmohamedi9824 4 года назад +2

      Lynn venic baadhi ya Wasomi wa biblia “wakristo “wanasema hiyo ukisoma Kwa kingereza imeandikwa “begotten son” ni fabricated yan imeongezwa tu na watu

  • @alfredkabura
    @alfredkabura 8 лет назад +2

    ask why is someone is not American can't do Everything American can do?

  • @user-rc6mq1np3l
    @user-rc6mq1np3l Год назад

    Sheikh Othman maalim tokea uko mdogo wafanya KAZi ya daawa Mola akupe pepo.. Ameen

  • @ragooboy5710
    @ragooboy5710 Год назад

    Mashallah umetoka mbli shekh wetu.ALLAH.. akupe mwisho mwema