Mashaallah shekh wetu unatupa raha ya kusikiliza mawaidha y'ako tunapata amani ktk nyoyo zetu kwa mda mrefu sana, mm ni mfuasi wako Ninae kusikiliza sana hizi hadi zako natena hiyi hadhithi unaweza kufika takriban miaka 18 au nazaidi tangia nianze kkuuskliza tangia maridioni hadi sasa tunakpata ktk u tube kwa aman kabisa, hio sauti yake utajua sio ya sasa nimdasana,na nilishawah Toka pemba kuja kksklza ww shekh wetu hapo mombasa kwa mchina msjd Muhammad Noor ,darsaa ya saa Kumi , na kwakila anaempenda shekh wetu afike hapo msjd Noor ,atapata kiburudisho Cha roho unaweza kujivunia mambo mengi hapo kwanza kumuona shekh wetu bila chenga na kupata mazuri aleyopewa na Allah utayasikia vzr sana,huyu ndie mrithi wa mtume s,a,w. , namuombea kwa Allah ampe maisha Mema hapa dunian na akhera , pepo frdausi iwe makaadhi yake milele inshaaallah ,
Alhamdulillah tunamshukur Allah kwa kutujalia kuwa ni miongoni mwa waumin wapendao kufuatlia channel za Dini...Alhamdulillah Cha kuskitisha Wenzetu ni wafuasi wa channel za miziki na upotovu Allah tunakuomba nao uwaongoee nasi uzidi kutupa uongofu wako Amiiyn
Sheikh sauti yako ni ndogo kwa hiyo unapokuwa daawah karibia sana mike maana sehemu nyingine sauti iko chini zaidi sasa cjui ni matatizo yangu mm au ni sauti iko chini sijaelewa
Walykm Salam warahmatullah wabarakatuh Mashallah zeyyat wajitahid riyadh haikupiti kila clip itikayo Alkah azidi kukuongoa pamoja nasi na atujalie tuwe pamoja katika Pepo zake Kesho Amiiiyn
Mungu amueke shehe w2 nampenda kwajili ya mwenyezi mungu
My favourite sheik may Allah protect you ❤❤❤
Mashallah wallah shk nmepata funzo kubwa zito liso nakifani wallah mungu atakulpa mema fil dunia wal akhery
Masha Allah mungu akuzidishie ilmu na umri ya Ibadan jazakumullahu kheiran wa jazaa
ماشاالله احبك ف الله يا شيخ عثمان ابن معالم
Hata mié nampenda sana huyu kwa ajili ya ALLAH,yaa rabby mjaalie afya njema.
Masha Allah ya shekhe
Mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie na akupe pepo kesho akhera
Mungu akujaalie pepo wewe na family yako nasisi pia Amina yarab
Ameen
Amina yarb
Amin InshAllah kwetu sote
Mungu ukuajaliye na moyo huwo kujitoliye na kutielimisha alhamdulillah napenda Sana mawaida yako
MashaAllah. Shukran Sheikh
Mashaallah sheikh Allah barik
Alhamndullillah, mwenyezi mungu akupe afya bora shekhe ulie jitoa kwa ajir ya Allah.
barakallah fikum sheik wetu
Mashaallah Allah akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha
Shukran wajazaka llahu heri
MaashaAllaah
Maashaallah
Hichi qisa kimenifunza Mambo mengi sanah....JazakaAllahu Kheir sheikh Othman Maalim
Jazzakalah sheikh napenda kisa cha nabi issa sana
Mashaallah shekh wetu unatupa raha ya kusikiliza mawaidha y'ako tunapata amani ktk nyoyo zetu kwa mda mrefu sana, mm ni mfuasi wako Ninae kusikiliza sana hizi hadi zako natena hiyi hadhithi unaweza kufika takriban miaka 18 au nazaidi tangia nianze kkuuskliza tangia maridioni hadi sasa tunakpata ktk u tube kwa aman kabisa, hio sauti yake utajua sio ya sasa nimdasana,na nilishawah Toka pemba kuja kksklza ww shekh wetu hapo mombasa kwa mchina msjd Muhammad Noor ,darsaa ya saa Kumi , na kwakila anaempenda shekh wetu afike hapo msjd Noor ,atapata kiburudisho Cha roho unaweza kujivunia mambo mengi hapo kwanza kumuona shekh wetu bila chenga na kupata mazuri aleyopewa na Allah utayasikia vzr sana,huyu ndie mrithi wa mtume s,a,w. , namuombea kwa Allah ampe maisha Mema hapa dunian na akhera , pepo frdausi iwe makaadhi yake milele inshaaallah ,
MashaAllah shukuran sn sheikh wetu😘😘😘
Mashaa Allah
Congratulations and God azi kukuzidishia
Stay blessed n stay healthy Sheikh Othuman Maalim
Mashallan
Masha allah shekhe
Alhamdulillah tunamshukur Allah kwa kutujalia kuwa ni miongoni mwa waumin wapendao kufuatlia channel za Dini...Alhamdulillah
Cha kuskitisha Wenzetu ni wafuasi wa channel za miziki na upotovu
Allah tunakuomba nao uwaongoee nasi uzidi kutupa uongofu wako Amiiyn
mashaaallah..shukuran
Shukran 🙏
Mungu akuripe kira raheri she
Mashallah jazakallah kheir
مش اللة
Mashallah sheikh Allah akubarikie elimu uzidi kutuelimisha na akulipe kila kheri
Shekhe nakupenda kwajil ya allah
Wallah shk unapo soma Qur'an nathaman iwe sura nzima mola akulpe pepo kexho akherah
Amiin ya Rabbi
Amin
Mashallah
Mashaallah
Nice
Yeah
Mashallah shukran
Faiza Said ahsante
allymhd tumepata msiba waoman kabus amefariki😭
Sheikh sauti yako ni ndogo kwa hiyo unapokuwa daawah karibia sana mike maana sehemu nyingine sauti iko chini zaidi sasa cjui ni matatizo yangu mm au ni sauti iko chini sijaelewa
Mmi nasikia vizuri sana na volume iko nusu wenda simu yako au earphone yako
Sauti iko sawa kabisa check simu yako!!
Mimi nasikia vizuri japo shekh saiti yake siyo Kali. Ma Sha Allah
Basi itakuwa shida ni cm yangu
Ndio mawaidha mazur lkn kwann hamuweki video ya shekhe wetu othuman maalim?
🤲🤲👂👂
Oh sheikh Othman bin Maalim tupo na wewe
MashaAllah
The audio is not very clear
Muhammed na Faiza kaeni mkao wa kusubri👂chakula cha nafsi
Haya asante zayati
zayyati yusufu asnte nipo
Mohammed saleh shikamoo
Shekhe siku nikija kukuona naweza kugalagala kwa furaha
Mashaall
حياك الله وطال الله عمرك يا شيخنا الغالي
Asalam alaykum warahatullah wabarakatu wadau wa Riyadh na koo zima ya Riyadh Tv online Znz
Waleykum Salam
Waleikum msalam
Waalykumussalaam warahmatullah wabarakaatuh
Walykm Salam warahmatullah wabarakatuh
Mashallah zeyyat wajitahid riyadh haikupiti kila clip itikayo Alkah azidi kukuongoa pamoja nasi na atujalie tuwe pamoja katika Pepo zake Kesho Amiiiyn
@@omarsalaah4611 👍
🙏🙏🙏
So…
The Bible and the Quran ….
The story is the same ???????
Then why the right?
Maashaallah
Mashaallah