Masha Allah sheikh uthman maalim mungu ampe umri mrefu ni raha kutumia miaka yake akiwa kijana na akiwa Mzee Kwa njia ya Allah kuelimishana na kukumbushana mm kutoka Kenya lakini ni nadra kukose mawaidha ya sheikh uthman
Sheikh huyu mtume sio TU tabia yake peke yake Bali ukiitazama TU sura yake utajua TU kuwa huyu ni mtume wa mungu na ana uzuri usio kifani wa matendo na tabia.waliomuona mtume hata ndotoni wanalijua hili
Mashaallah kipind icho shekhe wetu Othman maalim bado kijana Mashaallah
MashaAllah, Sheikh Orhman Maalim katika ubora wako.Kama kawaida, Allah akujazi heri
Masha Allah sheikh uthman maalim mungu ampe umri mrefu ni raha kutumia miaka yake akiwa kijana na akiwa Mzee Kwa njia ya Allah kuelimishana na kukumbushana mm kutoka Kenya lakini ni nadra kukose mawaidha ya sheikh uthman
Mashallah Mashallah Mashallah
Mashaala allah ujana raha kumbe allah 🙏 💖 akupe nuru pepo ya firdaus
Mashallah nampenda sayyidina umar.shukran sheikh uthman
Mashallah allah akupe afy ya milel
Nampenda sana sheikh uthman
Othumani Allah akupe zaid ya apo,natamani ningekuwa mimi,
ماشاء الله..احبك في الله
Alhamdulilah Allah akulipe pepo yenye daraja kwa mawaidha mazuri inshaalla
Jjazakum llhahu khairem
Mungu akupe umri mkubwa na utajiri wa afya njema na kizazi chenye uwono Kama ulio kua nao ww
Wallahi she othumani nakupenda kwa ajili ya Allah
Mashallah akhe
Maashaalaa
Nakupenda kwa ajili ya allah sheikh othman Allah akulinde
Mashallah, shekhe Othman Maalim, Jazakallahu kher shekhe Allah akulipe Jannah na akupe umri mrefu na Afya NJEMA, Nakupenda kwaajili ya Allah.
Masha Allah lkn kuna hiyo picha umetumia kama ndo Sayyidina Omari haipo sawa
MashaAllah...kitambo sana!!!
Hahika mm Niko na darsa lake la mwaka 2004 mpaka sasa ni miaka 20
4:07 4:12
Sheikh huyu mtume sio TU tabia yake peke yake Bali ukiitazama TU sura yake utajua TU kuwa huyu ni mtume wa mungu na ana uzuri usio kifani wa matendo na tabia.waliomuona mtume hata ndotoni wanalijua hili