Mkeo ni Malkia zingatia haya usije sema hukuonywa - Sheikh Othman Maalim

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 апр 2022
  • Sheikh Othman Maalim akitoa nasaha kwa wanandoa ‪@kalamuMedia‬

Комментарии • 180

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 2 года назад +55

    HUYU SHEIKH OTHMAN MAALIM HACHUJI KILA SIKU NI MPYA HAISHI RADHA KUMSIKILIZA MASHA ALLAH.. ALLAH AMPE UMRI MREFU ZAIDI TTUWEZE KUFAIDIKA

  • @abubakarially059
    @abubakarially059 2 года назад +12

    Allah akupe mwisho mwema shekhe wetu🙌🙌🙌🙏

  • @mwanayamumambo2837
    @mwanayamumambo2837 2 года назад +8

    Mashallah shekhe wetu m mungu akuweke akujaalie afya njema uendelee kutupa elmu ishaallah

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 2 года назад +27

    Ma shaa Allah! Mawaidha mazuri sana. Raha ilioje kwetu kuwemo ktk kundi hilo la wanawake. Lakini shekhe kuna wenzetu ambao hujitolea kwa hali na mali kutunza familia zao akiwemo mume. Mara nyingi waume kurudi nyumbani wakichunguza mezani kuna chakula gani ingawa yeye kwa kawaida haachi matumizi yoyote. Haya ni maisha ya kila siku kwa wanawake hao. Je, nini hukumu yao wanawake hawa kwa mola wao? Na hawa huwajali sana waume zao, wakiwatumikia kwa maisha yao yote. Kama kuna maelezo kuhusu wao, bila shaka watafurahi kusikia darsa linalohusu mchango wao huo. Jazaakumullahul kheir Shekhe wangu.

    • @fawziaabdurrahman2251
      @fawziaabdurrahman2251 2 года назад +6

      Ndio maana mwanamke anafaa akichagua mume aangalie tabia na dini. Zote mbili ziwe zimekuridhisha ndio posa ikubaliwe. Bila hivyo, wadada watajipata wameolewa na wanaume ambao wanafikiri kuwa mume ni kuvaa trouser hawajui kuleta chakula wala kuangalia familia na bado hao waume watarajia wewe dada Haki zao zote uwatimizie. Kuweni makini madada mnapo chagua waume

    • @faridamkwizu3333
      @faridamkwizu3333 2 года назад

      Mashallaah allaah akupe umri mrefu wa kheri uzidi kutunufaisha na elimu yako. Inshaallaah

  • @armankassim5906
    @armankassim5906 2 года назад +2

    MASHAALLAH nampenda sana othaman maalim kwa ajili ya ALLAH kila ninaposikiliza mawaidha ya SHEIKH Othman maalim lazima nibubujike na machozi

  • @siwemangalunda4655
    @siwemangalunda4655 5 месяцев назад +2

    Napenda. Sana mawaidhayako nilikuwa nimekata tamaa kwenye ndoa Allah atujalie mwisho mzuri ila ninamtianisana kwenyendoa

  • @TausiSinaela
    @TausiSinaela 2 месяца назад +1

    Mashaallah mawaidha mazuri mungu akupe umri mrefu uzidi kutoa darasa maana wengi wetu hatujui majukumu yetu

  • @jimilamuzanga2551
    @jimilamuzanga2551 2 года назад +9

    Masha Allah mwenyezy mungu hawungoze mwanaume

  • @mrboogie255-dr2kh
    @mrboogie255-dr2kh 2 года назад +11

    MashaaAllah Darsah lipo vyema kwakwel may Allah blessings us and this media...TV

  • @latifahnassoro17
    @latifahnassoro17 2 года назад +2

    Mie tangu nainukia naanza kusikiliza mawaidha namkubal mpk leo huyu shaikh jaman maa shaa Allah tabaraka rahman Allah akuweke shaikh quran yake sasa subhanallah akisoma

  • @athmaniathmanisimba4976
    @athmaniathmanisimba4976 5 месяцев назад +1

    Mawadha mazuri.sana.huwa ninapo sikiliza.nkua.katika utulivu.allh.akup.nuru.sgh

  • @mukreemhassan7347
    @mukreemhassan7347 2 года назад +6

    MASHALLAH 💯 jamani maneno ya ALLAH Msiandik kwa harufi ndog yandiken kwa herufi kubw mfn km INSHALL. N.K mshanielew ndg zanguni tn sehem yeyet panapo stahik

  • @malombemunyithya9341
    @malombemunyithya9341 Год назад +2

    Mwenyezi Mungu akujaalie umri na afya njema shekhe wetu Inshaallah

  • @yusraabdullhaji7923
    @yusraabdullhaji7923 5 месяцев назад +1

    Aslm alykm warahmatullah wabarakat mashallah hasbiyyallah Allah akujaze her na Imani na akupe umri mref wenye mwish mwema inshallah amn half shekh kama na mwanamke ana jitihada Kwa kila alivy pangiwa kwenye miongozo mema na lakin Bado hapati kizur kwa anae mtegemea zaid ya maumivu usiyo yategemea 💔

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi7747 2 года назад +5

    Maa shaa Allah darsa nzuri sana

  • @ZuwenaAlvin
    @ZuwenaAlvin 2 месяца назад +1

    Allah akupe umli mlefu sheikh othuman

  • @fauziaabdalla7925
    @fauziaabdalla7925 2 года назад +4

    Mashaalla Allah akupe umr shekhe wetu uzidi kutuelimisha inshaallah🤲🏼🤲🏼🤲🏼 ila sauti kdg imekua na kukwamakwama mamodereta hakikisheni mnaset speaker vzr plz ndio sauti tuiskie clear🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @bilalybarisesa5206
    @bilalybarisesa5206 2 года назад +12

    Allah akujaze kheri sheikh wetu, pia akupe mwisho Mwema Aaamin 🤲

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi7747 2 года назад +8

    Maneno mazuri sana. Allah atujaliye wanawake wema

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi7747 2 года назад +6

    بارك الله فيك شيخ

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum5974 2 года назад +1

    Sheikh Othman Maalimu nakupenda sn yani Nakupenda kwaajili ya ALLAH,huwa unazungumza kwa upole sn jmn Duh yani unaeleweka

  • @aaliyahholden9282
    @aaliyahholden9282 2 года назад +4

    Wanaume hao hawapo ukae yeye akahangaike mmh! utasimbuliwa mpaka ujute kuzaliwa Allah atujalie mwisho mwema yarabi

    • @mirajiissa4603
      @mirajiissa4603 3 месяца назад

      Wapo ikiwa wewe hukujaaliwa kumpata mume wa namna hiyo si wote

  • @ivyroses9019
    @ivyroses9019 Год назад +6

    Nakupenda,mimi mkristo,laah namiini kwenye Islamic na ukristo,niweke sawa hizi dini mbili naamini, kwenye ukweli,Napenda kusikia wakiabudu,hadithi na mawaidha,natamani kuilewa Quran na bible tena bila kubagua,nazipenda hizi dini mbili ,bila dharau wala kejeli,Namshukuru Mungu kwa dini ya Islamic na Christian's nawapenda wote 🙏🙏✍✍🙏🙏

    • @abassmohammedmohammed5948
      @abassmohammedmohammed5948 Год назад

      labda nikupe wasia mzuri iwapo utatia akili katika maneno yangu...uisilamu ndilo dini pekee la haki mbele ya Allah. na Kwanini uamini Hilo kwasababu ukristo si dini ni jina ambalo walianza kuitwa miaka nyingi baada ya kufa yesu ambalo tena katika sehemu panapo itwa antokia yaani walikuwa ni watu wa yesu --kristo-- wakaitwa wakristo kama vile kusema watu wa Kenya tukawaita wakenya sijui unanielewa ila tangu kuanzia utume mpaka kukoma kwake Allah alikuwa ajawahi kulipa jina dini yake mpaka ilipofika mwisho wa utume ndio akasema katika qurani kuwa na nimewaridhia uisilamu kuwa ndilo dini lenu

    • @abassmohammedmohammed5948
      @abassmohammedmohammed5948 Год назад

      pili... yesu nimtume aliyekuwa sahihi ila Sasa Hawa wanaoitwa watu wake yaani wakristo wametia mishkeli na makosa mengi katika dini Yao Kila siku ndio Kwa maana mpaka leo utaona wanatoa bibilia mpya ambalo Hilo mpya ni improved yaani emekuwa modernized imefanywa kuwa ya kisasa kwasababu Hilo zikawa bibilia Moja hutofautiana na nyingine katika baadhi ya mashala hivyo Sasa ndivyo wanavyo chafua mafundisho ya yesu mpaka wengine washa fikia kumfanya ni mungu wengine wamemfanya ni mtoto wake wengyaaniine wamemfanya ni mtume tu na wengine wamemfanya ni mungu na nimtoto wa mungu na nimtume

    • @abassmohammedmohammed5948
      @abassmohammedmohammed5948 Год назад

      yaani hawaekeweki kwamsingi wa Imani Yao na Cha ajabu ukienda israil ambapo yesu alikuwa akiishi utawakuto wanao amini hakusulubiwa yesu nao pia niwakristo na wanao amini kuwa alisulubiwa Kwa msalaba na wengine wanaamini alisulubiwa Kwa mti straight tu lakini ukisoma historia hakuna watu walio wahi kuwa na Mila la kusulubisha watu Kwa msalaba kama + ilikuwa ni hivi tu | tu sijui wanielewa ila ishu ya msalaba huu ilianzia Rome mbalisana na Israel ajabu sana wakasema eti wameamisha administration ya wakristo mpaka Rome ndio kukaanza ukatoliki

    • @abassmohammedmohammed5948
      @abassmohammedmohammed5948 Год назад

      ndio Sasa ukitaka kujua ukweli ulioko katika bibilia ukweli ambao haujatiwa nakshi yeyote ni Yale yanao afikiana na qurani tuna qurani imehifadhika na kutiwa dosari kwasababu jibril alipo muhifadhisha mtume nao waisilamu Waka ihifadhi Kwa kichwa Allah alijaalia hivi Ili iwemiongoni mwanjia ya kuitakasa qurani isije ikachafuliwa kama zilivyo chafuliwa vitabu vingine Sasa Leo hata herufi Moja tu ukiisoma sivyo Kila mwisilamu aliye hifadhi Hilo sura atakwambi koma Hilo umetia makosa

    • @abassmohammedmohammed5948
      @abassmohammedmohammed5948 Год назад

      ila Sasa bibilia Zina mambo ya ajabu angalia bibilia ya wakatoliki Kuna vita takriban kumi na mbili za ziada
      .....na ukisoma king james bible historia yake ilipotungwa ilitungwa miaka zaidi ya saba tena na wasomi walugha sio wasomi wadini akiwa king huyu anawalipa Kila siku Kwa kazi Yao kwahiyo hapa lazima mapungufu yawepo

  • @zubedamselem7217
    @zubedamselem7217 2 года назад +5

    Mashallah.maana kuna wanaume hawajitambui kutwa kutesa wake zao.

  • @hamidamhanaya8126
    @hamidamhanaya8126 2 года назад +9

    ALLAH ATUJAALIE TUPATE RADHI ZA WAUME ZETU INSHALLAH

  • @hafswaomar2841
    @hafswaomar2841 2 года назад +13

    Jamanii kumbesisi tuna thamani lakini waume wengine hawaiyoni thamani yetuu wanatufanya kama watumwa waoo

  • @MwakishaStella
    @MwakishaStella 6 месяцев назад +1

    Ma sha Allah

  • @rayasaid7400
    @rayasaid7400 2 года назад +1

    BISMILLAAHH MAA SHAA ALLAH ALLAH AKUPE UMR WENYE KHEYR AKUWEZESHE KAMA ALIOWAWEZESHA AKUNYANYUWE KAMA ALIOWANYANYUA ATUPE MANUFAA KWA UWEPO WAKO TUNUFAIKE NA IL'MU YAKO NA MWISHO NAKUOMBEA KWA ALLAH AKUTUNUKIE JANNATUL FIRDAUS AAMIN

  • @bammboomm7763
    @bammboomm7763 2 года назад +3

    MashaAllah Shukran jazakAllahu kheir

  • @AbdallahHassan-hy2rm
    @AbdallahHassan-hy2rm 4 месяца назад +1

    Asalam alaiqum mashallah hadithi nzur

  • @user-lt4db8df6e
    @user-lt4db8df6e 4 месяца назад +1

    Sheikh napenda sana kusikiza mawaida yako

  • @ummiali1208
    @ummiali1208 2 года назад +4

    جزاك الله خير

  • @sergemassamba5677
    @sergemassamba5677 2 года назад +1

    Alhamdullilah Najivunia kua muisilam Maana Elimu yote duniani ipo katika Qur'an 🙏
    insha'Allah god bless you maalim os

  • @fatmamasafu8606
    @fatmamasafu8606 2 года назад +4

    MashaAllah Allah akujaze🤲

  • @InssasulaiRachide
    @InssasulaiRachide Месяц назад +1

    Macha Allahu

  • @InssasulaiRachide
    @InssasulaiRachide Месяц назад +1

    Machalaa cheik weitu ntukufu

  • @swaummukonjero7352
    @swaummukonjero7352 Год назад

    MashaAllah...ila waume wengi wa kiislamu siku hizi wame fail katika majukumu..ila wana weka uzito katika ruhusa ya kuoa zaidi ya mmoja..

  • @salimmariga149
    @salimmariga149 2 года назад +2

    Ma Shaa Allah darsa zuri sana

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 года назад +3

    Masha Allah shekhe wetu

  • @universitylink
    @universitylink 2 года назад +2

    Mashaallah sheikh Othman Maalim

  • @fatumaabdallah7541
    @fatumaabdallah7541 2 года назад +3

    Swadakta sheikh uthman maalim Allah akulipe inshaallah

    • @marygoshashy9954
      @marygoshashy9954 Год назад

      Jamani mm nampenda sana huyu sheikh saaa dooo natamani nikutane nae live doooo ♥️

    • @suzanokila3612
      @suzanokila3612 Год назад

      Mashalla .mungu akupe mwisho nzuri inshallah

  • @afric01
    @afric01 Год назад +1

    Aslm alkm ww... Haiwezekani mmeo akushughulikie na kukupenda alafu wewe ukose kumpenda mmeo Hilo haliwezekani sheikh. Ndoa za sikuhizi hazina mawadata Wala rahma. Mke anasubiri kifo, majuto na uvumilivu labda amezaa anahurumia watoto wake wasiteseke. Nabii Muhammad S. A .W . Alikaa na wakeze vizuri na lau wanaume wangeiga mfano wake, basi pepo ingewepo hapahap duniani. Ndoa ni pepo sheikh wangu. Lakini pole hakuna ndoa iliobaki ni ndoana. Shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏

    • @adilaibrahim2069
      @adilaibrahim2069 6 месяцев назад +1

      Allah alete kheri zake in sha Allah

    • @user-jv1ch4tr8q
      @user-jv1ch4tr8q 2 месяца назад

      We Acha tu ndugu yangu hata ujishushe aje atakupelekeasha tu

  • @user-xy2qj1gc9p
    @user-xy2qj1gc9p Год назад

    Sichokag kumsiliza na wala sijawahi kuwa mvivu kumsikiliza allha akupe maisha marefu 🙏

  • @rayasaid7400
    @rayasaid7400 2 года назад +2

    RABBY TUWEKEE vipenz vyetu walimu wetu masheykh wetu wallahy tunanufaika Allah atukutanishe peponi na Sheykh WETU aamin

  • @user-ge6gu4fh7x
    @user-ge6gu4fh7x 3 месяца назад +1

    MASHAALAH

  • @kulthumally881
    @kulthumally881 2 года назад +2

    Ma sha allah

  • @asmaanassoro7842
    @asmaanassoro7842 Год назад

    Maashallah sheikh mungu akutunze kwa. Ajil yetu amiiin

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q 2 месяца назад

    Mashallaaah shekh ila sikuhizi wanaume hawajuwi thamani ya ubikra mume wangu wa1 aliniowa nikiwa bikra ila alinishika km mtumwa tuliishi kwa mwaka1na nusu nikizaa mtt1 ila Ndowa yangu ya2 naishi natamani tele ndo kaniowa na mtoto

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 2 года назад +3

    MASHA ALLAH

  • @saidimkopi9273
    @saidimkopi9273 2 года назад

    Mungu amuhifadhi shekhe wetu huyu

  • @aseefpa1461
    @aseefpa1461 2 года назад

    Mashallah mashallah mashallah.Allah akuzidishie hapa na pengine

  • @mallulu9086
    @mallulu9086 Год назад

    Masha Allah sherkh othman kweli kabisa

  • @juneithartony9543
    @juneithartony9543 2 года назад +3

    Mashallah

  • @asiaswedi8945
    @asiaswedi8945 2 года назад +12

    Mawaidha mazuri japo yameegea sana kwa wanawake...lkn wanaume wa siku hizi pasua kichwa hawawajibiki ktk familia.ni chanzo cha kuvuruga ndoa zao.

    • @hamidamhanaya8126
      @hamidamhanaya8126 2 года назад +1

      Kweli kabisa

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      sasa hivi wanawake wasipotafyta watoto wafa njaa yaan imekuwa kazi ya wanaume zimekuwa za wanawake majukum tumebeba ss wanawake wao kaxi ni kubwa huwa ni kuongeza wake kuzalisha bila huduma mpaka kichefuchefu

  • @user-dp3cu8dv3y
    @user-dp3cu8dv3y 8 месяцев назад

    MàshaAllah jazakallahu khayr

  • @dallamanzanzibar8685
    @dallamanzanzibar8685 Год назад

    Marshall mungu atuongoze sote kwa ujumla

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 2 года назад +1

    Shukran shekhe

  • @abubakarially059
    @abubakarially059 2 года назад +2

    Mashaallah💓

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 2 года назад +1

    Allah barik

  • @mahramarswad6041
    @mahramarswad6041 2 года назад +3

    Sasa vipi kuhusu wanawaje wanapowafanyia waume zao mazuri nahuku tunaitwa washenzi na huku twawapikia

  • @shefumasanja-wn6lj
    @shefumasanja-wn6lj Год назад

    Asante shekh othaman

  • @fitness8330
    @fitness8330 2 года назад

    Shukran sheikh

  • @binthamoudshariff5492
    @binthamoudshariff5492 2 года назад +3

    Wallahi naam maneno kuntu👌

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 2 года назад +3

    MashaaAllah walhadulilah ❤️😘

    • @halimamnyati9311
      @halimamnyati9311 2 года назад

      Alhamdulilahi mawaidha mazr sn shee mungu akuzidishie inshaa allah

    • @halimahalima1488
      @halimahalima1488 2 года назад

      @@halimamnyati9311 amiiiin 👏 wajina wa mie

  • @kamilyaibrahim9784
    @kamilyaibrahim9784 2 года назад +3

    Sikuhizi wanaumme hawataki wake waloshika dini, wanataka mvaa uchi ukiwa unajistiri unaonekana sio mke so naona shekhe wangu hao enzi za Mitume waumme hao hamna kabisa waumme hao

  • @sharifshek7240
    @sharifshek7240 2 года назад +1

    Aslkm vp hali yako sheikh letu laukweli?alhmdllh mawaedha matamu sana mungu akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha amiin..sasa niipi hukmu yamwanaume ambae mkewe yuwamtaka katika tendo la ndoa nayy hataki??yuwamkatalia?

  • @kakamama5104
    @kakamama5104 2 года назад +1

    Mashallahحفظهلله

  • @kineromakame7295
    @kineromakame7295 Год назад

    Alhamdulillah 😊

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed5378 2 года назад

    mashaAllah

  • @rashidimatogwa-rr3rj
    @rashidimatogwa-rr3rj Год назад

    Alláâh akuhifadhi

  • @karimukoriwa6520
    @karimukoriwa6520 Год назад

    Hakika mwenyezi mungu ampe nuru

  • @mwanamkasi5278
    @mwanamkasi5278 2 года назад

    Mashaallah

  • @AbdulazizJuma-qu2tk
    @AbdulazizJuma-qu2tk 7 месяцев назад

    mashallaH
    🕌

  • @jumamohammed1818
    @jumamohammed1818 Год назад

    Masha Allah mawaiza mazur sanna tungepata namba yake kwakweli tunamaswala mengi kukuuliza

  • @jenifamtima9325
    @jenifamtima9325 Год назад

    Utandandawazi umeharibu utamaduni wa kidini,,,haki sawa ,,50kwa 50 ,,,mfumo wa maisha umetubadilisha ...mmebaki wachache ,,,kwa sasaa utasikia mwanamke kijishughulisha na sio kubweteka,,imebaki ni shidaaa!

  • @zubedahassan409
    @zubedahassan409 День назад

    2024🙏

  • @alawimkonga5557
    @alawimkonga5557 2 года назад

    INSHALLAH

  • @naimajeddara8687
    @naimajeddara8687 Год назад

    ❤❤❤❤💖💖💖💖💯

  • @Dasoor-tt3vf4dj8i
    @Dasoor-tt3vf4dj8i 5 месяцев назад

    Mbona wanaume wengi wamesoma dini ila wazifatilii wake zao uteseka kutwa nafamiliya kula kuvaa kulala kuu yote juu yamwanamke je awo wanaume wanayo yafanya nihaki?

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад +1

    kwa hiyo wasiozaa wasiolewe duh mtihan maana kuna wanaume uwezo wa kumpa mimba hana na wanawake wapo hawana uzazi jee hawapaswi kuolewa na kuolewa ni lazima shekhe watoto ni mpka mungu atake

    • @Rydah389
      @Rydah389 2 года назад

      Nmekua na swali hilo ila mola ndo ajuae zaidi maana c maneno ya shekh hayo

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@Rydah389 pia kwenye kuridhika c mabikira pekee sasa hivi mabint wengi hawaridhiki kivyovyote aidha kipesa mpaka kimwili naweza kusema kuridhika inatengemea na mty mwenyewe tena binti usimwambie huna pesa ya kitu fulan atakuumbua ndugu ni kuomba ty umpate mwenza alokuwa mwema bac

    • @Rydah389
      @Rydah389 2 года назад

      Hii generation tulio sasa mambo yanaenda speed sana kila gender imejisahau....mola atufanyie wepesi tukae kwnye mipaka ya dini

  • @mwerochindoro2910
    @mwerochindoro2910 2 года назад +2

    Assalaam aleikum warahmatullahi,, naomba mnijuze Ndungu zangu in Islam,,, niwakati gani unaofaa kustarehe na mkeo, katika Usiku WA Ramadhan? Swaum maqbul

    • @munirasuleiman2006
      @munirasuleiman2006 2 года назад +1

      Ikisomwa adhana tu hata kama wataka umfuturie yy ruksa hadi kabla ya adhana ya mwanzo aallahuaalam

    • @mwerochindoro2910
      @mwerochindoro2910 2 года назад

      MashAllah, Shukrani @ munira

    • @jamamvoni4053
      @jamamvoni4053 2 года назад

      Wee munira hhhhh daah

    • @sabraabdilnasir8826
      @sabraabdilnasir8826 2 года назад

      Visa nyie 🤣🤣

    • @AA-gt7bv
      @AA-gt7bv Год назад

      Wakti wa usku na hatkama itawafikia asbh mnaog Josh alfu mnaendlea n funga mashallh

  • @basilkaslingi441
    @basilkaslingi441 3 месяца назад

    Kwa nini ndoa ya kwanza huwa na migogoro

  • @meandme3437
    @meandme3437 2 года назад +1

    Mashaallah shukran ya sheikh. Yaani mwanamke ukiwa na ilmu ya dini hakuchezei mwanaume au mumeo unamuweka sawa hadi anajiona bora atulie tu. Wanawake tafteni waume wasomi wa dini. Kisha nyie kazi ni kumpatia mahaba full full.

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      wanaume wenye dini wako wapi pombe tupu

    • @meandme3437
      @meandme3437 2 года назад

      @@heyumi2340 🤪🤪😬😬

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@meandme3437 😂😂😂😂😂na bangi halafu wao wanataka au wanaambiwa waoe wenye dini kweli dini na pombe wapi na bangi kuswali kwenyewe Ramadhani hadi Ramadhani ssa hivi misikiti iko full subiri iishe 😂😂😂😂😂swafu tatu

    • @meandme3437
      @meandme3437 2 года назад

      Msiba fauka muswiba.

    • @aasiyaasia338
      @aasiyaasia338 2 года назад

      Waweza kumpata wa hvyo lakin kutwa msktin hatoki kutafuta ridhki

  • @donitoalberto3154
    @donitoalberto3154 Год назад

    Sheikh #Othman neste vídeo muito agressivo, será é por caso do assunto, meus irmãos constataram isto?

    • @AA-gt7bv
      @AA-gt7bv Год назад

      Yeah!! Tumeliona mashallh❤

  • @abkhamsalshamte429
    @abkhamsalshamte429 Год назад

    me juzi nilimuona na mvii nyingi, nilingia huzni kdg.

  • @farris_2549
    @farris_2549 Месяц назад

    🤌💚

  • @ruznaabdullah2050
    @ruznaabdullah2050 Год назад

    Nawale tusie zaa hatuta olewa na utajuaje kama nikfa

  • @CuteGirl-og2mr
    @CuteGirl-og2mr 2 месяца назад

    Nini hukumu ya mwanaume kumhama mke wake chumba

  • @mr.waziri9992
    @mr.waziri9992 2 года назад

    Hata kama anaziniwa nje, 😂

  • @mallulu9086
    @mallulu9086 Год назад

    Ya Arab tujalie mwisho mwema

  • @omaraliy6144
    @omaraliy6144 2 года назад

    Assalam alykum. Ya lini haya mawaidha

    • @asiahamza9495
      @asiahamza9495 2 года назад

      Assallam alley kum, 6 days ago (Siku sita zilizopita).

  • @jumatandiko7597
    @jumatandiko7597 Год назад

    Hachuji kwa kuwa sio mvivu wa kusoma,wengine wamechanganya na mambo yao ndio maana Mungu nae huwashusha

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc 2 года назад

    Usicheze na mwanamke, hebu muulize yeye mwenyewe Sheikh kashaoa akiacha wangapi?

  • @allyissa7163
    @allyissa7163 2 года назад +12

    Masha Allāah...Shkh Othman Maalim bado Wamoto... mawaidha mazuri alhamdulillah... shukran

  • @SANATVTZ
    @SANATVTZ 2 года назад +3

    MASHA ALLAH

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim2107 Год назад

    Mashaallah darsa nzuriii

  • @hanaalsiabi2821
    @hanaalsiabi2821 Год назад

    Mashaallah

  • @saidkanda8870
    @saidkanda8870 2 года назад

    Mashaallah