UKAIDI NA VITIMBI VYA BANI ISRAIL. SHEIKH NURDEEN KISHK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Khutba ya Ijumaa iliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Ihsaan Veternary Temeke Dar es Salaam Tanzania Tarehe 16/1/ 2009 . Mada ikielezea Ukaidi na Vitimbi vya Baini Israil, Ni Vitimbi gani fatilia mada hii hadi mwisho upate kuelimika,pia tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.

Комментарии • 100

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n 3 года назад +12

    Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh sifa zote ziende kwa Allah Subhana Wa Ta'ala muumba mbingu na ardhi Rehma na Aman za Mwenyezi Mungu zimshukie mtume wetu kipenzi Mohammad Swalallahu Alleyhi Wasallam Maasha Allah sheikh Mwenyezi Mungu akustiri akupe ujasiri nguvu na umri mrefu tuzidi kunufaika katika mambo ya Dini shukraan jazzakah Allahu kheir barakallahu feekum crew nzima ya #kishkitvonline kwa kila darsa

    • @zainabmaulidi9846
      @zainabmaulidi9846 3 года назад +4

      Waalykum salam warhamatulh wabarakatuh

    • @user-ws9ek8dj5n
      @user-ws9ek8dj5n 3 года назад +2

      @@zainabmaulidi9846 za saa hizi habibty umeshindaje?

    • @zainabmaulidi9846
      @zainabmaulidi9846 3 года назад +2

      @@user-ws9ek8dj5n ALIHAMDULIH ukhty khof kwak

    • @hassanisadiki824
      @hassanisadiki824 3 года назад +3

      Na Mimi naitaji maombi yako jmn

    • @saay4273
      @saay4273 3 года назад +3

      waaleykum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @nyetaapaul619
    @nyetaapaul619 3 года назад +11

    Manshallah! Mungu akujalie pepo na waislam wote kwani watufunza mambo yanayozidi kuimarisha imani zetu katika kuielekea dini ya Allah!

  • @matkerahmed2354
    @matkerahmed2354 3 года назад +5

    M.a sheikh wangu. Mungu akusamehe dhambi wako na sisi pia waislamu

  • @furahandabadugitse2659
    @furahandabadugitse2659 3 года назад +7

    Shekhe alikuwa bado kijana hapa hata kiremba alivyo funga so young hehehe shekhe shukrn twakupenda kwajili ya allah

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 3 года назад

    Ma sha allah
    Hapa sheikh bado barobaro
    Hata sauti bado ndogo
    Allah akuruzuku pepo sheikh wetu pamoja na ss wengine

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 3 года назад +11

    Asaalam Allyakum warhamatulah wabarakatuh sheikh nurdeen kishk ALLAH Akujalie afya njema 🤲🤲 we pamoja na family yak Nakupenda kwaajili ya ALLAH

    • @saay4273
      @saay4273 3 года назад +2

      waaleykum salam warahmatullah wabarakatuh

    • @Lailal-bg8di
      @Lailal-bg8di 3 года назад +2

      🤲🤲

    • @user-ws9ek8dj5n
      @user-ws9ek8dj5n 3 года назад +1

      Wa alleykum salaam warahmatulah wabarakaatuh Amiin ya Rabbil Allamin habibty #ikhilasabubakar

    • @zainabmaulidi9846
      @zainabmaulidi9846 3 года назад

      @@user-ws9ek8dj5n Amiiin

    • @user-ws9ek8dj5n
      @user-ws9ek8dj5n 3 года назад

      @@zainabmaulidi9846 amiin ya Rabb habibty

  • @user-sh2ir9ti3e
    @user-sh2ir9ti3e 10 месяцев назад

    Allah atuepushie mtihani n tuwe wenye kusikia maneno yny imeandikwa kw Quran n maneno y mtume S.A.w

  • @munaahfarina2934
    @munaahfarina2934 3 года назад +4

    Allahu akbar lailahailallah ☝️ Mohammad rasullullah 🕋💕🕋💕

  • @halimaramadhan2975
    @halimaramadhan2975 3 года назад +4

    Subhanallah...baraka llahu fik sheikh kishk

  • @kizamaulidi6004
    @kizamaulidi6004 3 года назад +6

    Mashaallah allah akuzidishie kheri katika maisha yako amiin

  • @zainabalabry6996
    @zainabalabry6996 3 года назад +4

    Ma shaa Allah. Laa quwata illa billah

  • @saay4273
    @saay4273 3 года назад +6

    Allah akuhifadhi shekhe wetu

  • @user-xx9qp7ov4v
    @user-xx9qp7ov4v 9 месяцев назад

    Mashaalla Alla akulpe kheri ishaalla

  • @Unkown30476
    @Unkown30476 10 месяцев назад

    Subhanallah
    Alhamdulillah
    Allahu Akbar
    La Illaha ila Allah

  • @ndayushimiyerungarunga8712
    @ndayushimiyerungarunga8712 3 года назад +3

    Allah Akbar

  • @saay4273
    @saay4273 3 года назад +6

    MashaaAllah

  • @user-gy8dq1dt3j
    @user-gy8dq1dt3j 10 месяцев назад

    Asalam alaykum walahmatullah wabalakatu Allah akuifaz sheh wetu

  • @allympore6328
    @allympore6328 3 года назад

    Nakuelewaga sana shekhe kishk sizani kama kuna mtu atakuja kutokea japo sijui kuruhani lakini nikukusiliza mungu kuna kitu unaniongezea katika maisha yangu

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 10 месяцев назад

    Innalladhiinaa amanuu walladhiinaa haddu wannaswaaraa waswabiliina man, amana billah wal, yaumiil akhera wahamilaswaliihan falaum ajruhum indar rabbihim waalaa ghofun alayhim waalaa hum yahzanun. Kumbuka aya hiyo kishki

  • @hamisiallymwenda5103
    @hamisiallymwenda5103 3 года назад +3

    Mashallah

  • @zainabalabry6996
    @zainabalabry6996 3 года назад +3

    Asalwa ni ndege aliyenona

  • @najmaulaya8819
    @najmaulaya8819 3 года назад +3

    Natamani hiki kisa kiendelee😍😍😍😍💪😂

  • @athumanramadhan6001
    @athumanramadhan6001 3 года назад

    jazzakallah sheikh kishki from 254 alhamdulillah Allah akuhifadhi na waislam wote....na wasio kuwa waislam Allah awaogoze katika haki

  • @allympore6328
    @allympore6328 3 года назад

    Mungu akulinde na maadui shekhe kishki na maadui insha alla heri nyingi ziwe juu yako

  • @swaumupaji3623
    @swaumupaji3623 3 года назад

    Maa shaa Allaah Tabarakallaah Allaah akuhifadhi Sheikh wetu kipenzi

  • @zainabalabry6996
    @zainabalabry6996 3 года назад +2

    اللهم آمين

  • @ngwanafabian9668
    @ngwanafabian9668 3 года назад +1

    Shehe Kishki changamka umpokee Yesu kristo moyoni mwako kabla siku za uhai wako hazijaisha ili usijute milele. Yesu ni uzima.

    • @muhsinmngazija4004
      @muhsinmngazija4004 3 года назад +1

      Kishki hawez kuja kwenye ukafili

    • @user-pj8ed9kn6g
      @user-pj8ed9kn6g 3 года назад +1

      🙄🙄🙄🙄Hivi nyie makafir mnakujag kufany nn huku chefu aje wapi ampokee yesu yupi

    • @hamisimwarimo5560
      @hamisimwarimo5560 3 года назад +1

      Akili zako zimeoza
      Kwanza ungetoa sababu za msingi kuthibitidha Madai yako

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад

    Maashaa Allah shukraan Sana sheikh wetu jazaka Allah khaira

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 года назад +1

    MASHAALLAH UMENIBARIKI BABA

  • @edge6016
    @edge6016 10 месяцев назад +1

    انا احبك في الله يا شيخ جزاك الله خير

  • @aminajaber9618
    @aminajaber9618 3 года назад +1

    Shekh hayo mawaidha Niya zamani endele kutuletea mawaidha yazamani tujikumbushe

  • @zainabalabry6996
    @zainabalabry6996 3 года назад +6

    Banii Israel ni Uma bora katika zama zao. Baada ya kuja ummat Mohammad. Sisi ndio umma bora kuliko zote

  • @masimangosaidat1461
    @masimangosaidat1461 3 года назад +1

    Asallam alaikum warahmatullah wabarakaatuh Alhamdulillah, Allahu akbar

  • @hamidaissa4769
    @hamidaissa4769 3 года назад

    Bani israil kweli kiboko pamoja na miujiza yote lakini bado hawakumuamini Mungu nandio laana inayowatafuna mpk sasa hv ,sisi tusiowaona mitume na tumewakubali lakini wao wamewaona Kwa macho na wamewakataa Allah tujaalie mwisho ulio mwema na utufishe hali yakuwa tuko waislamu

  • @hassanisadiki824
    @hassanisadiki824 3 года назад +6

    Kama umeyaelewa haya mawaidha ni ya Muda na wakati huo shekh alikuwa na sauti tamu tofauti na Sasa hv kidg umri mkubwa

    • @user-ws9ek8dj5n
      @user-ws9ek8dj5n 3 года назад

      Kweli kakaangu Mwenyezi Mungu awape umri tuzidi kunufaika katika mambo ya Dini

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 3 года назад

      Naam kutokea 2009

  • @nasiihusnan9892
    @nasiihusnan9892 3 года назад

    JazaakAllahu khayran🙏

  • @halimaalimwamajeni6291
    @halimaalimwamajeni6291 3 года назад +2

    🙏🙏🤲🤲

  • @aminajaber9618
    @aminajaber9618 3 года назад +1

    Allahu akbaru

  • @najmaulaya8819
    @najmaulaya8819 3 года назад +3

    Saluti

  • @NADUAonlineTV
    @NADUAonlineTV 3 года назад +2

    usikose kuangalia nadua online tv kupata elimu mbali mbali za tiba ndani ya qur an mitishamba nk

  • @allyiddy9109
    @allyiddy9109 3 года назад +1

    Kweli Hawa Banu israel
    Hakuna anayewaweza
    isipokua mungu mwenyewe

  • @zuhuramwavyoni1988
    @zuhuramwavyoni1988 3 года назад

    Subhanallah

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 года назад +1

    Suhbannnalllah

  • @DifaRobelindo-cj2ij
    @DifaRobelindo-cj2ij 10 месяцев назад

    Apo jo waislamu mjuwe kuamba israel ni taifa teule la mungu

  • @omaar5693
    @omaar5693 3 года назад +2

    31:03 WHAAT🤔

  • @user-bh5uf9jh1m
    @user-bh5uf9jh1m 9 месяцев назад

    Kama ni hivyoo kwanini waislamu wote mnataka kuwauwa watakatifu wa allah ,wambieni palestine wawasujudieee

  • @abubakarsadiq8179
    @abubakarsadiq8179 3 года назад +3

    Masha ALLAH

  • @muhsinautu5626
    @muhsinautu5626 3 года назад

    Maa shaa Allah

  • @faudhiamanzi8531
    @faudhiamanzi8531 3 года назад +2

    Masha Allah