UKAIDI NA VITIMBI VYA BANI ISRAIL. SHEIKH NURDEEN KISHK
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Khutba ya Ijumaa iliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Ihsaan Veternary Temeke Dar es Salaam Tanzania Tarehe 16/1/ 2009 . Mada ikielezea Ukaidi na Vitimbi vya Baini Israil, Ni Vitimbi gani fatilia mada hii hadi mwisho upate kuelimika,pia tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh sifa zote ziende kwa Allah Subhana Wa Ta'ala muumba mbingu na ardhi Rehma na Aman za Mwenyezi Mungu zimshukie mtume wetu kipenzi Mohammad Swalallahu Alleyhi Wasallam Maasha Allah sheikh Mwenyezi Mungu akustiri akupe ujasiri nguvu na umri mrefu tuzidi kunufaika katika mambo ya Dini shukraan jazzakah Allahu kheir barakallahu feekum crew nzima ya #kishkitvonline kwa kila darsa
Waalykum salam warhamatulh wabarakatuh
@@zainabmaulidi9846 za saa hizi habibty umeshindaje?
@@user-ws9ek8dj5n ALIHAMDULIH ukhty khof kwak
Na Mimi naitaji maombi yako jmn
waaleykum salam warahmatullah wabarakatuh
Manshallah! Mungu akujalie pepo na waislam wote kwani watufunza mambo yanayozidi kuimarisha imani zetu katika kuielekea dini ya Allah!
M.a sheikh wangu. Mungu akusamehe dhambi wako na sisi pia waislamu
Shekhe alikuwa bado kijana hapa hata kiremba alivyo funga so young hehehe shekhe shukrn twakupenda kwajili ya allah
ruclips.net/video/rYgJ7IL9sPQ/видео.html
Maa shaa Allah tabarak Allah
Ma sha allah
Hapa sheikh bado barobaro
Hata sauti bado ndogo
Allah akuruzuku pepo sheikh wetu pamoja na ss wengine
Asaalam Allyakum warhamatulah wabarakatuh sheikh nurdeen kishk ALLAH Akujalie afya njema 🤲🤲 we pamoja na family yak Nakupenda kwaajili ya ALLAH
waaleykum salam warahmatullah wabarakatuh
🤲🤲
Wa alleykum salaam warahmatulah wabarakaatuh Amiin ya Rabbil Allamin habibty #ikhilasabubakar
@@user-ws9ek8dj5n Amiiin
@@zainabmaulidi9846 amiin ya Rabb habibty
Allah atuepushie mtihani n tuwe wenye kusikia maneno yny imeandikwa kw Quran n maneno y mtume S.A.w
Allahu akbar lailahailallah ☝️ Mohammad rasullullah 🕋💕🕋💕
Subhanallah...baraka llahu fik sheikh kishk
Amiin Amiin Amiin habibty
Mashaallah allah akuzidishie kheri katika maisha yako amiin
Ma shaa Allah. Laa quwata illa billah
Allah akuhifadhi shekhe wetu
Allahuma Aamin Yaa Rabb 🤲🏻
Allahummah Amiin ya Rabbil Allamin habibty #saAy
Amiin yarab
Mashaalla Alla akulpe kheri ishaalla
Subhanallah
Alhamdulillah
Allahu Akbar
La Illaha ila Allah
Allah Akbar
MashaaAllah
Maasha Allah habibty
Asalam alaykum walahmatullah wabalakatu Allah akuifaz sheh wetu
Nakuelewaga sana shekhe kishk sizani kama kuna mtu atakuja kutokea japo sijui kuruhani lakini nikukusiliza mungu kuna kitu unaniongezea katika maisha yangu
Innalladhiinaa amanuu walladhiinaa haddu wannaswaaraa waswabiliina man, amana billah wal, yaumiil akhera wahamilaswaliihan falaum ajruhum indar rabbihim waalaa ghofun alayhim waalaa hum yahzanun. Kumbuka aya hiyo kishki
Mashallah
Asalwa ni ndege aliyenona
Natamani hiki kisa kiendelee😍😍😍😍💪😂
jazzakallah sheikh kishki from 254 alhamdulillah Allah akuhifadhi na waislam wote....na wasio kuwa waislam Allah awaogoze katika haki
Mungu akulinde na maadui shekhe kishki na maadui insha alla heri nyingi ziwe juu yako
Maa shaa Allaah Tabarakallaah Allaah akuhifadhi Sheikh wetu kipenzi
اللهم آمين
Shehe Kishki changamka umpokee Yesu kristo moyoni mwako kabla siku za uhai wako hazijaisha ili usijute milele. Yesu ni uzima.
Kishki hawez kuja kwenye ukafili
🙄🙄🙄🙄Hivi nyie makafir mnakujag kufany nn huku chefu aje wapi ampokee yesu yupi
Akili zako zimeoza
Kwanza ungetoa sababu za msingi kuthibitidha Madai yako
Maashaa Allah shukraan Sana sheikh wetu jazaka Allah khaira
MASHAALLAH UMENIBARIKI BABA
انا احبك في الله يا شيخ جزاك الله خير
Shekh hayo mawaidha Niya zamani endele kutuletea mawaidha yazamani tujikumbushe
Banii Israel ni Uma bora katika zama zao. Baada ya kuja ummat Mohammad. Sisi ndio umma bora kuliko zote
ruclips.net/video/rYgJ7IL9sPQ/видео.html
Asallam alaikum warahmatullah wabarakaatuh Alhamdulillah, Allahu akbar
Bani israil kweli kiboko pamoja na miujiza yote lakini bado hawakumuamini Mungu nandio laana inayowatafuna mpk sasa hv ,sisi tusiowaona mitume na tumewakubali lakini wao wamewaona Kwa macho na wamewakataa Allah tujaalie mwisho ulio mwema na utufishe hali yakuwa tuko waislamu
Kama umeyaelewa haya mawaidha ni ya Muda na wakati huo shekh alikuwa na sauti tamu tofauti na Sasa hv kidg umri mkubwa
Kweli kakaangu Mwenyezi Mungu awape umri tuzidi kunufaika katika mambo ya Dini
Naam kutokea 2009
JazaakAllahu khayran🙏
🙏🙏🤲🤲
Allahu akbaru
Saluti
usikose kuangalia nadua online tv kupata elimu mbali mbali za tiba ndani ya qur an mitishamba nk
Kweli Hawa Banu israel
Hakuna anayewaweza
isipokua mungu mwenyewe
Subhanallah
Suhbannnalllah
Apo jo waislamu mjuwe kuamba israel ni taifa teule la mungu
31:03 WHAAT🤔
Kama ni hivyoo kwanini waislamu wote mnataka kuwauwa watakatifu wa allah ,wambieni palestine wawasujudieee
Masha ALLAH
Maa shaa Allah
Masha Allah