Visa vyenye mazingatio juu ya haki na uongo - Sheikh Othman Maalim

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 24

  • @abubakaribashiru9454
    @abubakaribashiru9454 Год назад +12

    Nilikuwepo kwenye khutba hii kwa Mara ya kwanza kumuona shekhe laiv akizungumza alhamdulillah

    • @aminaalmazrui9785
      @aminaalmazrui9785 Год назад +2

      Mashaa Allah ,Allah atujaalie ni wenye kuyafuata yaliyo mema na kiyaacha yaliyo mabaya

    • @abubakaribashiru9454
      @abubakaribashiru9454 Год назад +2

      Aamina ya raby atujalie Ni katika wanao sikiliza maneno na kuyafata mazuri yake

    • @abubakaribashiru9454
      @abubakaribashiru9454 Год назад +1

      @@aminaalmazrui9785 pia jina la Almazrui sio geni kwangu

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  Год назад +1

      Maashallah

    • @aminaalmazrui9785
      @aminaalmazrui9785 Год назад

      @@abubakaribashiru9454 shukran ila sio jina Ni kabila,

  • @rashidkejo8666
    @rashidkejo8666 Год назад +3

    Mashaallah!
    Namuomba Mwenyezi Mungu atupe kheri na atuepushe maovu yatokanayo na masheitwani ,majini,wachawi, washirikina na hasadi za wanadamu.
    Allahuma Amin rabilaalamin.

  • @Rehema-h6t
    @Rehema-h6t Год назад +1

    Kweli kabisa Anllah akupe umli mlefu shekhe kipenzi cha wengi nakupenda sana ♥️♥️♥️♥️

  • @kazungumohammad3424
    @kazungumohammad3424 Год назад +2

    Masha Allah hutba nzuri

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 Год назад

    Ma Sha Allah Othman Maalim kwa mawaidha nzuri Allah Akulinde na Hasadi

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 Год назад

    Shukran sana shekh, jana tu nilipambana na mtu ananiambia mambo ya maulid ni bida, na mengi mengine mbishi kweli kweli, hataki kunifahamu nimemwambia nikutumie clip za shekh Othman maalim kasema no no usinitumie kabisa huyo

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi7747 2 года назад +2

    Maa shaa Allah khutba nzuri sana

  • @a.856
    @a.856 2 года назад +3

    Jazakallah khayran

    • @aminaalmazrui9785
      @aminaalmazrui9785 2 года назад +1

      Mashaa Allah

    • @athumansaid796
      @athumansaid796 Год назад +1

      Allhaaa akinijalia uhai na afya Isha allhaaa lazima ntasafili kuja kumuona sheghe Othman maalim nimoja ya ma sheghe wangu fast class

    • @aminaalmazrui9785
      @aminaalmazrui9785 Год назад

      @@athumansaid796 Assalam alaykum ya ndugu katika uislamu,samahani jitahidi kuandika Vizuri kama neno Allah Na In shaa Allah shukran.

  • @asuminirashidi148
    @asuminirashidi148 Год назад +1

    Masha allah

  • @twahamikidadi5826
    @twahamikidadi5826 Год назад +1

    Shukran sheikh

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi7747 2 года назад +1

    جزاك الله خيرا شيخنا

  • @AllyYakoubHassan-sb1xm
    @AllyYakoubHassan-sb1xm Год назад

    Zemesej

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 Год назад

    Shekh nna swali, nauliza mtume wetu Mohamed swallallah alleh wasalam mama yake alikufa pasipokua muslim? Na mtume hakumwombea mama yake?