Mashaallah! Namuomba Mwenyezi Mungu atupe kheri na atuepushe maovu yatokanayo na masheitwani ,majini,wachawi, washirikina na hasadi za wanadamu. Allahuma Amin rabilaalamin.
Shukran sana shekh, jana tu nilipambana na mtu ananiambia mambo ya maulid ni bida, na mengi mengine mbishi kweli kweli, hataki kunifahamu nimemwambia nikutumie clip za shekh Othman maalim kasema no no usinitumie kabisa huyo
Nilikuwepo kwenye khutba hii kwa Mara ya kwanza kumuona shekhe laiv akizungumza alhamdulillah
Mashaa Allah ,Allah atujaalie ni wenye kuyafuata yaliyo mema na kiyaacha yaliyo mabaya
Aamina ya raby atujalie Ni katika wanao sikiliza maneno na kuyafata mazuri yake
@@aminaalmazrui9785 pia jina la Almazrui sio geni kwangu
Maashallah
@@abubakaribashiru9454 shukran ila sio jina Ni kabila,
Mashaallah!
Namuomba Mwenyezi Mungu atupe kheri na atuepushe maovu yatokanayo na masheitwani ,majini,wachawi, washirikina na hasadi za wanadamu.
Allahuma Amin rabilaalamin.
Kweli kabisa Anllah akupe umli mlefu shekhe kipenzi cha wengi nakupenda sana ♥️♥️♥️♥️
Masha Allah hutba nzuri
Ma Sha Allah Othman Maalim kwa mawaidha nzuri Allah Akulinde na Hasadi
Shukran sana shekh, jana tu nilipambana na mtu ananiambia mambo ya maulid ni bida, na mengi mengine mbishi kweli kweli, hataki kunifahamu nimemwambia nikutumie clip za shekh Othman maalim kasema no no usinitumie kabisa huyo
Maa shaa Allah khutba nzuri sana
Jazakallah khayran
Mashaa Allah
Allhaaa akinijalia uhai na afya Isha allhaaa lazima ntasafili kuja kumuona sheghe Othman maalim nimoja ya ma sheghe wangu fast class
@@athumansaid796 Assalam alaykum ya ndugu katika uislamu,samahani jitahidi kuandika Vizuri kama neno Allah Na In shaa Allah shukran.
Masha allah
Shukran sheikh
جزاك الله خيرا شيخنا
Zemesej
Shekh nna swali, nauliza mtume wetu Mohamed swallallah alleh wasalam mama yake alikufa pasipokua muslim? Na mtume hakumwombea mama yake?