MATATIZO YA WANA NDOA ..?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 апр 2019
  • НаукаНаука

Комментарии • 99

  • @afric01
    @afric01 3 года назад +4

    Aslm alkm wtw... Wallahi Sheikh wetu umefunza funzo kubwa, kwa atakae kushika maneno yako. Nimefurahi na wewe Allah akufurahishe. Hii darsa ni tamu wallah. Hawajui hayo wanaume. Niugomvi na hasira na kusema sisi ni wanaume lazma mutuskilize wanawake. Allah awajaalie wawe ni wenye kukuskiliza. Allah akulipe mema Sheikh Izudin alwy Ahmed. Jaza yako iko kwa Allah.

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 2 года назад +3

    Bismillah maishaallah yote ni kweli sheikh wangu mtihani mkubwa ,

  • @fauziaally9970
    @fauziaally9970 5 лет назад +14

    natamani hii clips imfikie kila mwanamme. matatizo hayo yapo sana wengi hawana ihsani

  • @user-ph3ck4mi9b
    @user-ph3ck4mi9b Год назад +1

    MaaShaAllaah alhamdulillah ALLAAH akupe afya njema ustadhi mada yenye faraja.

  • @hamidaa3886
    @hamidaa3886 3 года назад +2

    Ma Shaa Allah Muhadhara mzuri Sana kwa wana Ndowa Wanaume na wanawake Asante sana

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 5 лет назад +9

    Darsa tamu masha Allah ,
    Alhamdulilahi nmefarijika na kucheka pia nmechaka shukran ustadh barakallah fiik

  • @rasheedadjdjj5197
    @rasheedadjdjj5197 5 лет назад +5

    Shukran shekhe Izudin Allaah akuongezee umri wakuishi dunian

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 года назад +1

    Mashallah jazkallah kheir sheikh izudin shukran napata mafunzo mazuri kwa darasa ya wana ndoa

  • @zobidaal4423
    @zobidaal4423 5 лет назад +3

    Asantee sheikh lzuldin Allah akuhifadhi na mitihani mikubwa na midogo na akupe umri wenye kheir nawe amina yaarab

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh8650 5 лет назад +17

    Mimi ni mmoja wa wanafunzi wako nasoma sana kupitia darsa zako. Sheikh izudin Allah akuhifadhi

  • @zobidaal4423
    @zobidaal4423 5 лет назад +5

    Maneno unayosema niyakweli sheikh Allah akuzidishie elmu uzidi kutuongoza

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 5 лет назад +2

    Mashaa Allah ni kweli kabisa Sheikh unaongea vizuri kwa anaekufahamu unaeleza kwa umakini na maana kubwa mambo haya wengi hutofautisha kauli zao,mie nimependa sana qauli zako zina maana sana ndani yake kwa wenye ufahamu ila kwa wenye kusikiza bila kukuelewa hataelewa jambo

  • @halish133bby6
    @halish133bby6 5 лет назад +4

    InshaAllah. Mungu. Akinijaalia. Nikirudi. Nyumbani. InshaAllah. Nitakutafuta. Uliko. Mm. Ni. Mkaazi. WA. Kongowea.

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 лет назад +6

    Alhamdulilah, MaashAllah, InshAllah heri, shukran sana

  • @aminasulleiman4812
    @aminasulleiman4812 5 лет назад +4

    Maashaallah..jazaka llahu khayra..Allah akbrki shekh wet na aktnukie umr mrfu I'll tuzd knufaika na nawaidh yk.! .inxhaallah!!!

  • @dadkenya6878
    @dadkenya6878 4 года назад +2

    Masha Allah. mola atuongoze na atufanyie wepesi mambo yetu. AMEEN

  • @fatmarashim6353
    @fatmarashim6353 5 лет назад +3

    Shukran shekhe wtu maneno yko swadaqta kbsa Allah akujalie uzima uzidi kutuelimisha

  • @hajihajirajab609
    @hajihajirajab609 5 лет назад +4

    Masha Allah. Darsa nzuri yenye mazingatio makubwa sana...

  • @zainabuhmbabazi4928
    @zainabuhmbabazi4928 5 лет назад +9

    Asalam alaykum warahmatuLLAH WABARAKAT shekh wewe ni mwangaza kwang jazakallah khayr

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh8650 5 лет назад +3

    Asalaam aleykum warhmatullah wabarakatu
    Hakika napenda sana masomo yako nastafidi sana. Allah akupe afya njema na umri mrefu na khatma njema. Jazzak llah kheir sheikh wangu

  • @faridamohamed3561
    @faridamohamed3561 5 лет назад +4

    Asalam aleykum umesema ukweli mtupu sheikh kweli kabisa. Nimefarijika wllah

  • @ummua5006
    @ummua5006 5 лет назад +4

    Jazakumu LLAAHU khairan kwa mafundisho mazuri

  • @mozakhalfansaid7246
    @mozakhalfansaid7246 17 дней назад

    Subhana Allah, kweli siyo rahisi wanaume kuomba msamaha, hatahakikukosea

  • @asswiddiqwatamaaman979
    @asswiddiqwatamaaman979 4 года назад +1

    Shekh Masha Allah mada murwaaaa kabisa,lakini hapo ktk kuowana lah kuna mmoja ameowa na mwingine kaolewa lakini ukisema usemi huo wako eti tumeowana lah,hiyo kuali inapashwa irekebishwe shekh mume ndiye anae owa mume haolewi baana lah na mke "anaolewa"haowi hata kama yeye ndiye katoa mahari.

  • @saadarashid7054
    @saadarashid7054 5 лет назад

    SHEIKH mashaallah. NA unguja uje jamani maana ndoa nyingi zinaharibika bila ya shaka sababu ni hizohizo. Njoo uziokoe ndoa. WANANDOA hujisahau sana baada ya kupita mwaka wa ndoa na ALLAH akuwezeshe amiin

  • @swahabahusein23
    @swahabahusein23 5 месяцев назад +2

    Masha Allah

  • @halish133bby6
    @halish133bby6 5 лет назад +2

    A salaam. Aleikum. Nakushkuru. Kwa. Mafundisho. Yako. Rabana. Akuzidishie. Uendelee. Kutuelmisha

  • @fatmahassan4790
    @fatmahassan4790 5 лет назад +4

    MaShaAllah Shukran. Allah Atuhifadhie. Akulipe kila Lakheri.

  • @alidingongo443
    @alidingongo443 5 лет назад +2

    Shukran sheikh jazakallah kheir

  • @aminaabdul1696
    @aminaabdul1696 3 года назад

    Mashallah shekh unayoongea ninkweli kabisa Allah akubar Ila wanaume wengi hawajui tha Mani za wake zao

  • @tiffahbby3697
    @tiffahbby3697 5 лет назад +2

    MashaaAllah mollah atuongoze sote InshaaAllah

  • @sarahmohamed337
    @sarahmohamed337 5 лет назад +1

    Allah Akunyanyue Darja la juu Sheikh.

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 3 года назад

    alihamdulila.asante.shekhe
    kwakutugea
    mawaiza.bora naelimu
    bora.amiini.mungu.azidi.kukueka

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 лет назад +2

    Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh, naomba Namba yako unisaidie

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 5 лет назад +3

    Barakallahu fiyk yaa Akhy

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 5 лет назад +3

    Assalam alaykum
    Allah akulipe badali ustadh wetu
    Yaani uyasemayo ni kweli tupu

  • @mahmoudnassor6964
    @mahmoudnassor6964 Год назад

    بارك الله لك شيخ

  • @fatmahmohammed9214
    @fatmahmohammed9214 5 лет назад +2

    Masha Allah mawaidha mazuri

  • @halish133bby6
    @halish133bby6 5 лет назад +3

    Niamatatizo. Kama. Hayo. Uliyoyasema. Na. Kwa. Sasa. Ndowa. Yangu. Imeharibika. Mwenzangu. Ameniuliza. Sanaa. Moyo. Wangu

    • @sittimohamed5910
      @sittimohamed5910 4 года назад

      Halish&133 Bby Allah akutilie wepesi na akujalie subra

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 5 лет назад

    Ni kweli maneno yako Sheikh Nuzdin usemayo ni kweli,wahenga walisema kibari bila mafuta hakiwaki.Elimu ni mwangaza.

  • @adijahmdosi5863
    @adijahmdosi5863 Год назад

    Jazzaka Allaah kheri 🤲💕♥️🤲

  • @salmaalkyumi2270
    @salmaalkyumi2270 5 лет назад +2

    Shukran mawaidha mazur
    Allah akulipe kila la kheir ameen

  • @hamdukhamis1551
    @hamdukhamis1551 3 года назад +1

    Shukran

  • @maryamhaule7539
    @maryamhaule7539 4 года назад

    shukran shekhe ndoa nyingi ni mtihani

  • @fauziaally9970
    @fauziaally9970 5 лет назад +1

    Allah akulipe kwa jitihada zako

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 5 лет назад +3

    Amiin amiin thumma amiin

  • @halimaabdi3125
    @halimaabdi3125 Год назад

    Ma SHA Allah Tabara Allah ❤ 💞💯💯

  • @ummsalma2461
    @ummsalma2461 10 месяцев назад +1

    ni kweli

  • @abuushaban3466
    @abuushaban3466 3 года назад

    Mashaallah jazakallahl

  • @wardamohamed1471
    @wardamohamed1471 4 года назад

    MashaAllah mungu azid kkupa elimu ili na sis utuelimishe

    • @fatumambonde6263
      @fatumambonde6263 3 года назад

      Mashaallah hao unaosema wapo wachache kwenye ulimwengu huu unayozungumza kusingekuwa naugomvi majumbani

  • @kassimnyangasa8670
    @kassimnyangasa8670 5 лет назад

    Asante Sana kwa darasa lako

  • @aminatadanso9330
    @aminatadanso9330 4 года назад

    Salaam aleikum mimi nina swali mime alisha uwowa alafu aka ulizwa na familia ama aliwowa akakata ate hajawayi kuwowa yiyo ndoa inafayi

  • @ahmehomar7915
    @ahmehomar7915 5 лет назад +1

    Masha Allah jazaka Allah kheir

    • @judejon8198
      @judejon8198 2 года назад

      i dont mean to be so offtopic but does someone know a way to get back into an Instagram account?
      I stupidly forgot the account password. I would appreciate any assistance you can give me.

    • @reubentheo95
      @reubentheo95 2 года назад

      @Jude Jon Instablaster :)

    • @judejon8198
      @judejon8198 2 года назад

      @Reuben Theo Thanks so much for your reply. I got to the site thru google and Im in the hacking process now.
      Seems to take quite some time so I will reply here later with my results.

    • @judejon8198
      @judejon8198 2 года назад

      @Reuben Theo it worked and I actually got access to my account again. I am so happy!
      Thanks so much, you saved my ass :D

    • @reubentheo95
      @reubentheo95 2 года назад

      @Jude Jon glad I could help =)

  • @hassanmohamed9325
    @hassanmohamed9325 Год назад

    MASHAALLAH 👌👌

  • @ruwaidashaaban7267
    @ruwaidashaaban7267 2 года назад

    Mashaallah

  • @ummsalma2461
    @ummsalma2461 10 месяцев назад

    سبحان الله الحمدلله

  • @khadijaissaissa5824
    @khadijaissaissa5824 5 лет назад

    Mashaallah mashaallah 😘

  • @ummsalma2461
    @ummsalma2461 10 месяцев назад

    سبحان الله

  • @aminaabdul1696
    @aminaabdul1696 3 года назад +1

    Wanaume walio wengi hudhani kumjali mke ni kumpa kula na malazi tuu

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 4 года назад

    MASHALLAH ALEIK

  • @abusaeed9037
    @abusaeed9037 5 лет назад

    Ya salaam

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 3 года назад +1

    😄

  • @sheekway3191
    @sheekway3191 4 года назад

    Assallam alleykum

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 лет назад

    Mashallah

  • @sarahmohamed337
    @sarahmohamed337 5 лет назад

    Swadaka yangu sheikh Allah Akuhifadhi.

  • @asyakhamis903
    @asyakhamis903 3 года назад

    Dah😭😭😭 ni kweli

  • @fauziaally9970
    @fauziaally9970 5 лет назад

    swadakta shekhe

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 5 лет назад +4

    Masha Allah, jazakallah kheyr

    • @mohamedburhan1619
      @mohamedburhan1619 4 года назад

      Ask

    • @saadaabdallah7346
      @saadaabdallah7346 4 года назад

      Mashaallah napenda Sana mawaidha yako sheikh Allah akupe afya nauzima uzidi kutupa chakula cha roho Inshaallah

  • @theatremovies7585
    @theatremovies7585 5 лет назад +5

    Ustadh hii imekua too much maneno mnayotumia katuka kuhutub simaneno sawa kijamii kwanini mnaongea vitu wazi sana vinakua kama matusi ndani yake ningeomba in shaa Allah tujirrkrbisheni maustadh na pia vijana wanatelekea kwa uhuni na utaibu na kutoswali na zina hizi mada ndio za maaana lakini skuizi maustadh karibia nyote mmekazana kwenye ndoa na tendo la ndoa tu

    • @wacmber2131
      @wacmber2131 5 лет назад +4

      Hapa ndio ubovu ulipo kitambo umuhimize mke ama mume kufanya ibada lazima kuwe na maskizano bila hivyo itakua kama kupigia mbuzi gitaa maana kila mmoja ajiona yeye ndio yuko sasa
      Sioni ubaya kuongelea ndoa zaidi maana talaka akhy zimezidi mno na kuongea hivyo si kwa ubaya maana yuajua haya ndio maneno yanayotumiwa ndani ya majumba mengi mno

    • @abullahkabaka8774
      @abullahkabaka8774 4 года назад

      Na khutba zote ni za wanawake shekhi tiafahamu

    • @abullahkabaka8774
      @abullahkabaka8774 3 года назад

      Ni kweli usemayo bro kenya bado hatuja Pata mashekhi wa kisawasawa wanawake tuu

    • @khadijaally8676
      @khadijaally8676 3 года назад +1

      Chukua yalo na faida kwako na uwache kukejeli masheikh..... . Sheikh kiiamua kuzungumza Mada flani Ina Maana amefanya utafiti na akaona hili jambo Lina tatizo kwa jamii na ndio Maana a alipangia kuelimisha umma kwa Hilo.

    • @halimaalliy6805
      @halimaalliy6805 3 года назад +1

      Kwasababuu makosaa yenuu wengii yapoo kwenyee ndoaa

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 лет назад

    😂😂

  • @marwaabdalla9306
    @marwaabdalla9306 5 лет назад +2

    Shukran

  • @najma3268
    @najma3268 5 лет назад +3

    Mashaallah

  • @ameenaothman2166
    @ameenaothman2166 5 лет назад +2

    Masha Allah

    • @sallythiery5290
      @sallythiery5290 5 лет назад

      Ameena Othman asalam alykum.tuko weng tunataabika kweny ndoa.wasikie hao wanaume

  • @dadijamoahmed5287
    @dadijamoahmed5287 3 года назад +1

    Mashaallah

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 4 года назад

    Shukran